Utafiti waonyesha Watanzania wengi wachafu huwa wanaenda kulala usiku bila kuoga

Utafiti waonyesha Watanzania wengi wachafu huwa wanaenda kulala usiku bila kuoga

Unapinga faida za uchumi wa kati? Kushindwa kuoga ni mojawapo ya faida zinazoletwa na uchumi wa kati
 
Bandiko bila picha halinogi mkuu

IMG_20200618_092822_258.jpeg
 
View attachment 1695032
Niacheni nilale, fainali uzeeni.
Shime Watanzania tuhimizane kuoga kabla ya kwenda kulala usiku mtu usipooga usingizi waweza kuwa shida kupata lakini pia mishuka unaijaja uchafu mbaya na sababu mwili uko tired haujawa refreshed na maji waweza kuwa unaota sijui unakimbizwa na dubwana au dudu usiku pia asubuhi mwili ukiamka waweza kuta mwili mchovu utafikiri unaumwa corona kumbe tatizo hukuoga kabla ya kulala.
 
Tunaitikia wito wa yule Prof wa kizungu aliyedai kuoga kila siku siyo lazima!

Si wajuwa lazima kila asemacho mzungu ni LAZIMA sisi tufuatilie kama vyama kinzani?
 
Mkuu hiyo taasisi ya usafi inaitwaje na tafiti ilifanya wapi na wapi? Au kupitia bongo movie kama sisi tunavyojiaminisha baadhi ya mambo ulaya kupitia movie zao.
Akikujibu nitag 🤣
 
Back
Top Bottom