Utafiti: Watumiaji wa simu za Tekno huweka nyimbo za kawaida kama miito ya simu zao

Enzi hizo michuzi blog ndio unapita habari zote.
Nakumbuka nilikuwa naenda cyber cafe kuchek mastori gangamix. Hatari mkuu

Michuzi ilikuwa njema, JF ilikuja kutake over kwa spidi kali sana.

Na Michuzi alikuja akapata kazi Ikulu akabaki ni tawi la CCM.
 
Umenena vyema kabisa,simu yangu always ni vibration tu..swaafi kabisa.
 
Michuzi ilikuwa njema, JF ilikuja kutake over kwa spidi kali sana.

Na Michuzi alikuja akapata kazi Ikulu akabaki ni tawi la CCM.
huezi animi jf nilikuwa guest vistor hadi 2015. Kila nikijaribu kujiunga inagoma. Nikawa napita tu nasoma.
 
huezi animi jf nilikuwa guest vistor hadi 2015. Kila nikijaribu kujiunga inagoma. Nikawa napita tu nasoma.

JF ilibamba sana kipindi cha Zitto Kabwe na sakata la Buzwagi nadhani, waziri Karamagi kusign mkataba hotelini.

And then uchaguzi 2010 Dr Slaa vs Kikwete, ikaja Richmond.
 
Ulimbukeni tu inakusumbua!!! Ni nini unachoenjoy na iphone yako na mtumiaji wa Tecno smartphone akashindwa??!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko na spark 2 yangu hapa sina shida.ring tone ya baba diamond,( aga aga gagaga dudu la yuyuuu..)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…