Utafutaji mpya wa Ndege ya Malaysia Airlines MH370 waanza tena baada ya miaka 11

Utafutaji mpya wa Ndege ya Malaysia Airlines MH370 waanza tena baada ya miaka 11

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Utafutaji mpya wa ndege ya Malaysia Airlines MH370 umeanza zaidi ya muongo mmoja baada ya kutoweka katika moja ya mafumbo makubwa ya ajali za anga duniani.

Kampuni ya utafiti wa baharini, Ocean Infinity, imeanza tena juhudi za kuitafuta ndege hiyo, kama ilivyothibitishwa na Waziri wa Uchukuzi wa Malaysia, Anthony Loke, Jumanne.

Bawa la ndege hii liliokotwa kisiwani Pemba mwaka 2016, zaidi soma hapa: Zanzibar: Bawa la ndege laokotwa Kisiwani Pemba

Loke alisema kuwa mazungumzo ya mkataba kati ya Malaysia na kampuni hiyo bado yanaendelea, lakini alipongeza juhudi za Ocean Infinity kwa kuanza operesheni ya utafutaji wa ndege hiyo iliyopotea Machi 2014.

Soma Pia: Malaysia yaidhinisha Tsh. Bilioni 166.9 ili kuanza utafutaji wa Ndege ya MH370 iliyotoweka miaka 10 iliyopita

======================
A new search for Malaysia Airlines flight MH370 has been launched more than a decade after the plane went missing in one of aviation’s greatest enduring mysteries.

Maritime exploration firm Ocean Infinity has resumed the hunt for the missing plane, Malaysian transport minister Anthony Loke said on Tuesday.

Loke told reporters the contract details between Malaysia and the firm were still being finalised but welcomed “the proactiveness of Ocean Infinity to deploy their ships” to begin the search for the plane, which went missing in March 2014.

Details about how long the search would last had not been negotiated yet, he said. He also did not provide details about when exactly the British firm had restarted its hunt
 
Kuna documentary huwa naangalia, zinaonesha jinsi upepelezi wa kesi mbalimbali zilizochukua muda mrefu kuja kujulikana baadae/kupata ufumbuzi wa muuaji, aliyesababisha ajali, ushahidi unakusanywa na fumbo linafumbuliwa.

Pengine kuna kitachowapatia ufumbuzi nini kilitokea.

Miezi kadhaa baada ya ndele ya Malaysia kupotea, nilipata safari ya kwenda Zanzibar kwa ndege. Tuko angani tushaanza kuona mataa ya uwanja wa Zanzibar bado kutua tuu, rubani akageuza ndege kurudi Dar.... weeeh nilikuwa nimekaa dirishani sikuamini tukio nilijua ndo napotelea angani.

Maana Malaysia Air nayo ilipotea baada ya kukata kona flani hivi eehehehehhee

Nilipiga uyoweee, dereva nishusheeee 😂😂😂 not a joke ila nilipanic na kulikuwa na watalii kadhaa kwenye ndege na ilikiwa imejaa. Sikuamini tulirudi Dar tukakaa masaa 4 kusubiri ndege nyingine ndo twende Zanzibar.
Nilijuta kutoondoka na boti.
 
Kwani kwenye ndege si Kuna paratute (miamvuli ya kujiokoa) kwanini kunapokuwa na dalili ya ajali abiria wasivae na mlango ufunguliwe waanze kuruka mmoja mmoja? Wataalamu wa ndege nisaidieni. Wewe kama ni abiria tu endelea kula kiporo chako.
 
Kwani kwenye ndege si Kuna paratute (miamvuli ya kujiokoa) kwanini kunapokuwa na dalili ya ajali abiria wasivae na mlango ufunguliwe waanze kuruka mmoja mmoja? Wataalamu wa ndege nisaidieni. Wewe kama ni abiria tu endelea kula kiporo chako.
Ajali hutokea kwa haraka sana, yaani ni chini ya dakika. Mnakosa muda wa kujipanga na kuvaa maparachuti na kuruka
 
Hauw
Kwani kwenye ndege si Kuna paratute (miamvuli ya kujiokoa) kwanini kunapokuwa na dalili ya ajali abiria wasivae na mlango ufunguliwe waanze kuruka mmoja mmoja? Wataalamu wa ndege nisaidieni. Wewe kama ni abiria tu endelea kula kiporo chako.

Kwani kwenye ndege si Kuna paratute (miamvuli ya kujiokoa) kwanini kunapokuwa na dalili ya ajali abiria wasivae na mlango ufunguliwe waanze kuruka mmoja mmoja? Wataalamu wa ndege nisaidieni. Wewe kama ni abiria tu endelea kula kiporo chako.
Haiwezekani Kwa ndege za kibishara ( Commercial airplanes ) kwasababu ya speed na umbali kutoka usawa wa Bahari.


Ndege Iko juu futi 30,000 hapo Kuna baridi na upepo mkali nani anaweza kushuka. Pia speed ya commercial airplane ni kilomita 500 Kwa saa hakuna binadamu anaweza kushuka kwenye ndege yenye hiyo speed
 
Ni kweli ile siku nakumbuka nikakuambia njoo huku!!!

Wacha saa hii tuone kama masihara na tunacheka, ila kiukweli niliwaza vitu vingi, inamaana nafia angani, kwahiyo hata sijamuaga mama na baba, na zile nguo zangu mpya nilizonunua kwenye sale ili nizivae kwenye siku yangu ya kuzaliwa je...!! Naziacha..?? Hata perdiem sijaitumia iko kwenye akaunti weeeh!!! Ni mixed feeling mbaya, ndo.maana kuna abiria wakipanda tu angani wanajidunga na pombe kupotezq mawazo.

Mimi si muoga ila dalili za ajali zikitokea adrenaline inapanda mwilini na kuanza kutapatapa najiokoaje hapa... unajikutq unakuwa mkali kwa jambo ambalo huna control nalo.

Acha kabisa, sitaki kukumbuka.

Miaka ya nyuma nilikuwa nasafiri sana na mabasi ya mikoani na nilikuwa napendq siti ya mbele nyuma ya dereva. Nafurahia kuona matukio njia nzima na huwa silali na sikuwa naogopa kuwa ajali ya uso kwa uso ikitokea siponi hapana, nashukuru Mungu hadi natoka kwenye hicho kipengele sikukutana na ajali.

Ila ilikuwa dereva akifunga breki namimi nakanyaga zangu 😆😆😆. Basi tuu bange za ujana 😅.
 
Wacha saa hii tuone kama masihara na tunacheka, ila kiukweli niliwaza vitu vingi, inamaana nafia angani, kwahiyo hata sijamuaga mama na baba, na zile nguo zangu mpya nilizonunua kwenye sale ili nizivae kwenye siku yangu ya kuzaliwa je...!! Naziacha..?? Hata perdiem sijaitumia iko kwenye akaunti weeeh!!! Ni mixed feeling mbaya, ndo.maana kuna abiria wakipanda tu angani wanajidunga na pombe kupotezq mawazo.

Mimi si muoga ila dalili za ajali zikitokea adrenaline inapanda mwilini na kuanza kutapatapa najiokoaje hapa... unajikutq unakuwa mkali kwa jambo ambalo huna control nalo.

Acha kabisa, sitaki kukumbuka.

Miaka ya nyuma nilikuwa nasafiri sana na mabasi ya mikoani na nilikuwa napendq siti ya mbele nyuma ya dereva. Nafurahia kuona matukio njia nzima na huwa silali na sikuwa naogopa kuwa ajali ya uso kwa uso ikitokea siponi hapana, nashukuru Mungu hadi natoka kwenye hicho kipengele sikukutana na ajali.

Ila ilikuwa dereva akifunga breki namimi nakanyaga zangu 😆😆😆. Basi tuu bange za ujana 😅.
🤣
 
Ukiona hivyo ujue kuna ishara zimejitokeza au kuna kitu wamegundua hivyo huko kuitafuta wana asilimia nyingi kupata matokeo mazuri.
 
Kwani kwenye ndege si Kuna paratute (miamvuli ya kujiokoa) kwanini kunapokuwa na dalili ya ajali abiria wasivae na mlango ufunguliwe waanze kuruka mmoja mmoja? Wataalamu wa ndege nisaidieni. Wewe kama ni abiria tu endelea kula kiporo chako.
Kwani imekuwa ndege za jeshi.. ndege za jeshi zina batani pembeni ya seat una clic tu
 
Kuna documentary huwa naangalia, zinaonesha jinsi upepelezi wa kesi mbalimbali zilizochukua muda mrefu kuja kujulikana baadae/kupata ufumbuzi wa muuaji, aliyesababisha ajali, ushahidi unakusanywa na fumbo linafumbuliwa.

Pengine kuna kitachowapatia ufumbuzi nini kilitokea.

Miezi kadhaa baada ya ndele ya Malaysia kupotea, nilipata safari ya kwenda Zanzibar kwa ndege. Tuko angani tushaanza kuona mataa ya uwanja wa Zanzibar bado kutua tuu, rubani akageuza ndege kurudi Dar.... weeeh nilikuwa nimekaa dirishani sikuamini tukio nilijua ndo napotelea angani.

Maana Malaysia Air nayo ilipotea baada ya kukata kona flani hivi eehehehehhee

Nilipiga uyoweee, dereva nishusheeee 😂😂😂 not a joke ila nilipanic na kulikuwa na watalii kadhaa kwenye ndege na ilikiwa imejaa. Sikuamini tulirudi Dar tukakaa masaa 4 kusubiri ndege nyingine ndo twende Zanzibar.
Nilijuta kutoondoka na boti.
kumbe lioga hivi...!!
 
Kwani kwenye ndege si Kuna paratute (miamvuli ya kujiokoa) kwanini kunapokuwa na dalili ya ajali abiria wasivae na mlango ufunguliwe waanze kuruka mmoja mmoja? Wataalamu wa ndege nisaidieni. Wewe kama ni abiria tu endelea kula kiporo chako.
story za vijiweni hizo. Zaidi ya life jacket hakuna cha parachte, hizo sio ndege vita. Ndege vita ndio wana parachute kwa vie marubani wake ni wanajeshi na wana mafunzo ya kuzitumia.
 
Hivi tunaweza kujiokoa/kujilinda vipi na Ajali ya ndege?
 
Nakumbuka uchunguzi ulitaja sababu ya ajali ya ndege hiyo ni suicide ya rubani wa ndege.

Ali plan tukio hilo kiukamilifu na kufanya practice kwa flight simulator kisha kuitekeleza plan kwa ustadi mkubwa akikwepa mifumo ya detection ya ndege na kuambaa kusikojulikana.
 
Back
Top Bottom