Haruni Kassian Kadege
Member
- Nov 15, 2023
- 86
- 122
- Thread starter
- #41
Aaah Ushaanza Unataka Unipige na MimiUna miaka mingapi kwanza dogo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah Ushaanza Unataka Unipige na MimiUna miaka mingapi kwanza dogo?
😁😁😁😂Huu uzi wacha niusindikize na ngoma ya Les Wanyika!!
Who likes pain?!Once one philosopher said "the problem we human we like pleasure more than pain"
Amina Ngoja Nilifanyie Kazi HiliPima upepo Fanya research chagua biashara moja komaa nayo wakati Sahihi ukifika Mafanikio yatakuja yenyewe kikubwa uvumilivu .
SI Huyo JamaaWho likes pain?!
Ahaaa Ahsante Sana Mkuumimi mwenyewe najua kidogo ila nimekupa mwanga, fuatilia!
Sometimes you need to path that situation kwa ajili ya malengo ya baadaeAmina Ngoja Nilifanyie Kazi Hili
Oooh Sawa Mkuujifunze unakosea wapi rekebisha
Acha kumdanganyaPima upepo Fanya research chagua biashara moja komaa nayo wakati Sahihi ukifika Mafanikio yatakuja yenyewe kikubwa uvumilivu .
Kuna mzee mmoja wa Radio Free alikua anasema Mujeni Dawa sipo, Dawa sipo.Njoo nikupeleke Malawi upate nyoka wako uwe don.!!
Km huna ujasiri usinisumbue 😹😹
Gharama za kuja piem kupata maelezo andaa laki, hiyo ni kwaajili ya kuisalimia mizimu..!!
Na nyie mliokosa nguvu za kiume kuna dawa kutoka Kongo 🤣
Wadada msiohongwa pesa nyie kila siku mnapigwa free P ipo dawa, bwana ako salamu ataomba account ya bank au atume kwenye namba ipi?
Wahi offer ni ya January ikifika February Ita panda…. 😹
Kumbe Ananipiga Tena Aisee!Acha kumdanganya
😂😂😂😂Bado sijaielewa. Lakini basi usipate shida kwa sababu mimi sio mteja asante
AnimalWho likes pain?!
Kwahiyo kama nikauza figo moja, nitaendelea kuishi? Kama nitaendelea kuishi kuna uhitaji gani wa kununua tena baadae?Uza figo yako kwa 40 milion halafu chukua 30 milion utafute odd 10 weka una uhakika wa kupiga 300 million halafu unatafuta figo nyingine kwa 40. Tayari utakuwa na hela
Uza figo yako kwa 40 milion halafu chukua 30 milion utafute odd 10 weka una uhakika wa kupiga 300 million halafu unatafuta figo nyingine kwa 40. Tayari utakuwa na hela
Dogo,Kama Wazo Hivi Wapi Wananunua??
Mimi sitanii nakupa mdinda dinda muda wote mnara unasoma 6G 😹😹Kuna mzee mmoja wa Radio Free alikua anasema Mujeni Dawa sipo, Dawa sipo.
Hivi alipoteleaga wapi, Nyinyi watu wa madawa ni wahuni huni sana. 😂
Aisee Shukrani sana Kwa Ushauri Mkuu hakika nnaufanyia kaziDogo,
Usithubutu, usiwe desperate kiasi hicho.
Kwanza, kamari ni biashara kichaa, utaweka pesa utaliwa zote hutaamini lakini ndo itakuwa imetoka mazima.
Pili, figo ya kuwekewa siyo kama ya kwako og, utatakiwa kumeza dawa kila siku, maisha yako yote!
Kuna mdau alienda mizunguko 7 akafa.Mimi sitanii nakupa mdinda dinda muda wote mnara unasoma 6G 😹😹
Hiyo dose nakupa na ya mkeo ili kusiwe na mmoja kusema sijui nimechoka… naye tunampa mnyegera muda wote anataka kulombwa 🤣