Haruni Kassian Kadege
Member
- Nov 15, 2023
- 86
- 122
- Thread starter
- #61
Ohooo sawaHakuna utajiri wa kuuza nafsi.
Acha mawazo mgando kijana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohooo sawaHakuna utajiri wa kuuza nafsi.
Acha mawazo mgando kijana.
Ukifanya hayo mambo hutoboi miaka 7 dunianikuna mapepo yanatoa utajiri kama mammon na valak
sema kuyaita ni kazi
unatafuta utajiri na huna uchu wa kujua mambo
kuna vitabu vya uchawi(grimoires) na fani ya mapepo kabisa(demonology) kwa nini usisome?
watafute satanists
mimi ambaye siamini haya mambo nakushinda kwa kuyajua!
OhooooMimi sitanii nakupa mdinda dinda muda wote mnara unasoma 6G 😹😹
Hiyo dose nakupa na ya mkeo ili kusiwe na mmoja kusema sijui nimechoka… naye tunampa mnyegera muda wote anataka kulombwa 🤣
utajiri wa haraka unata unakifua lakini..?Naomba Kuulizia Kwa Hapa Bongo ni Kweli Kuna Watu Wanauza Nafasi zao Ili Kupata UTAJIRI na Je Wanamwuzia Nani Au Wote Wameishia Kutapeliwa na Wajanja wa Mjini??
Mmmh Hawa Wamalawi nasikia ni Hatari Sanaaa!Njoo nikupeleke Malawi upate nyoka wako uwe don.!!
Km huna ujasiri usinisumbue 😹😹
Gharama za kuja piem kupata maelezo andaa laki, hiyo ni kwaajili ya kuisalimia mizimu..!!
Na nyie mliokosa nguvu za kiume kuna dawa kutoka Kongo 🤣
Wadada msiohongwa pesa nyie kila siku mnapigwa free P ipo dawa, bwana ako salamu ataomba account ya bank au atume kwenye namba ipi?
Wahi offer ni ya January ikifika February Ita panda…. 😹
Ndio kipoooutajiri wa haraka unata unakifua lakini..?
Zingatia neno UTAJIRINi mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
Kiufupi kuuza nafsi iko ya namna mingi sana, hata kuoga kwa bwawa iko na mamba mingi pia ni kuuza nafsi, hata kuzagamua kwa kahaba bila kinga pia ni kuuza nafsi.
Hivyo inategemea na unataka kuuza nafsi gani na unataka kumuuzia nani, maana hata nafsi yenyewe iko ya aina mingi. Mfano kuna ile nafsi ya kuonja umauti, pia kuna ile nafsi ya kusita sita. Ziko nyingi tu.
Hii dawa yangu ina limit mwisho round 10 ukizidisha wewe na mkeo wote mnashuka chini ya futi sita 😹😹😹Kuna mdau alienda mizunguko 7 akafa.
Hauko nyuma ya pazia kwenye hili kweli? 😂
Njoo nikupeleke Malawi upate nyoka wako uwe don.!!
Km huna ujasiri usinisumbue 😹😹
Gharama za kuja piem kupata maelezo andaa laki, hiyo ni kwaajili ya kuisalimia mizimu..!!
Na nyie mliokosa nguvu za kiume kuna dawa kutoka Kongo 🤣
Wadada msiohongwa pesa nyie kila siku mnapigwa free P ipo dawa, bwana ako salamu ataomba account ya bank au atume kwenye namba ipi?
Kwanini Mkuu?Ukifanya hayo mambo hutoboi miaka 7 duniani
We unataka utajiri au unaijaribu mizimu 👹Mmmh Hawa Wamalawi nasikia ni Hatari Sanaaa!
Kwamba hapa tayari naongea na Mizimu😎We unataka utajiri au unaijaribu mizimu 👹
Ewe mwanachama wa jobless pro max, mambo gani haya🤣😂Uza kijambio
Ebwanaa Wee hiyo Nouma, ko hakuna Njia Nyingine Zaidi ya Nyoka😂Nyoka akifa na wewe wafa,Kuna mzee .mmoja alikuwa na nyoka kwenye hice akachoropoka ,kwa bahati mbaya wadau wakamuua yule nyoka ili hali yule mzee alikuwa anasema jamani msimuue nyoka wangu
Mwanamke bhana huwezi kumkomoa, Just Imagine mmeweza kumuumiza moyo hadi shetani 😆😆Hii dawa yangu ina limit mwisho round 10 ukizidisha wewe na mkeo wote mnashuka chini ya futi sita 😹😹😹
Nimechoka Bhna natafuta mtalaamu Saizi nitusue nikuajili MwananguEwe mwanachama wa jobless pro max, mambo gani haya🤣😂
No human likes painAnimal
👹👹👹👺 Tayari nishakuconnect uko live..!!Kwamba hapa tayari naongea na Mizimu😎