Utafutaji utajiri kwa haraka!

Utafutaji utajiri kwa haraka!

kuna mapepo yanatoa utajiri kama mammon na valak

sema kuyaita ni kazi

unatafuta utajiri na huna uchu wa kujua mambo

kuna vitabu vya uchawi(grimoires) na fani ya mapepo kabisa(demonology) kwa nini usisome?

watafute satanists

mimi ambaye siamini haya mambo nakushinda kwa kuyajua!
Ukifanya hayo mambo hutoboi miaka 7 duniani
 
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
Kiufupi kuuza nafsi iko ya namna mingi sana, hata kuoga kwa bwawa iko na mamba mingi pia ni kuuza nafsi, hata kuzagamua kwa kahaba bila kinga pia ni kuuza nafsi.
Hivyo inategemea na unataka kuuza nafsi gani na unataka kumuuzia nani, maana hata nafsi yenyewe iko ya aina mingi. Mfano kuna ile nafsi ya kuonja umauti, pia kuna ile nafsi ya kusita sita. Ziko nyingi tu.
 
Njoo nikupeleke Malawi upate nyoka wako uwe don.!!
Km huna ujasiri usinisumbue 😹😹
Gharama za kuja piem kupata maelezo andaa laki, hiyo ni kwaajili ya kuisalimia mizimu..!!

Na nyie mliokosa nguvu za kiume kuna dawa kutoka Kongo 🤣
Wadada msiohongwa pesa nyie kila siku mnapigwa free P ipo dawa, bwana ako salamu ataomba account ya bank au atume kwenye namba ipi?

Wahi offer ni ya January ikifika February Ita panda…. 😹
Mmmh Hawa Wamalawi nasikia ni Hatari Sanaaa!
 
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
Kiufupi kuuza nafsi iko ya namna mingi sana, hata kuoga kwa bwawa iko na mamba mingi pia ni kuuza nafsi, hata kuzagamua kwa kahaba bila kinga pia ni kuuza nafsi.
Hivyo inategemea na unataka kuuza nafsi gani na unataka kumuuzia nani, maana hata nafsi yenyewe iko ya aina mingi. Mfano kuna ile nafsi ya kuonja umauti, pia kuna ile nafsi ya kusita sita. Ziko nyingi tu.
Zingatia neno UTAJIRI
 
N
Njoo nikupeleke Malawi upate nyoka wako uwe don.!!
Km huna ujasiri usinisumbue 😹😹
Gharama za kuja piem kupata maelezo andaa laki, hiyo ni kwaajili ya kuisalimia mizimu..!!

Na nyie mliokosa nguvu za kiume kuna dawa kutoka Kongo 🤣
Wadada msiohongwa pesa nyie kila siku mnapigwa free P ipo dawa, bwana ako salamu ataomba account ya bank au atume kwenye namba ipi?
 
Nyoka akifa na wewe wafa,Kuna mzee .mmoja alikuwa na nyoka kwenye hice akachoropoka ,kwa bahati mbaya wadau wakamuua yule nyoka ili hali yule mzee alikuwa anasema jamani msimuue nyoka wangu
 
Nyoka akifa na wewe wafa,Kuna mzee .mmoja alikuwa na nyoka kwenye hice akachoropoka ,kwa bahati mbaya wadau wakamuua yule nyoka ili hali yule mzee alikuwa anasema jamani msimuue nyoka wangu
Ebwanaa Wee hiyo Nouma, ko hakuna Njia Nyingine Zaidi ya Nyoka😂
 
Back
Top Bottom