Utaifa kwanza, Simba baadae: Kesho naishabikia Yanga!

Utaifa kwanza, Simba baadae: Kesho naishabikia Yanga!

NIA YA KUISHABIKIA NINAYO.
SABABU YA KUISHABIKIA NINAYO.
NA UWEZO WA KUISHABIKIA NINAO.

Sasa tufikie wakati tubadirike wakuu.
Maana sipungukiwi na kitu kuishabikia Yanga kimataifa wakati anaiwakirisha nchi na ukanda mzima wa E.AFRICA.
Ili kuanza kuwashinda waarabu sasa ni kua united kimataifa!!!

Naomba kuwasilisha!!!

We utaishia mataa ya Veta
 
Ni sawa na kummwambia yule "m'mama" machachari wa jukwaa la jf siasa anayeitwa F.fox aokoke! Haiwezekani, hasa inapokuja yanga yenyewe inacheza na timu yenye rangi nyeupe au nyekundu. Sitaki UNAFIKI. Siipendi yanga na nataka ifungwe TENA Uwanja wa taifa kweupeeeee.
Yanga 1 - Etoile 2.
Simba, Stars na timu yoyote inayocheza dhidi ya yanga OYEEEEEEEEEEEEEEE!
 
Mzalendo wa ukweli, ubarikiwe sana achana na mashabiki uchwara wanaopenda kuona Yanga ikifungwa, eti ikishinda itafikia rekodi ya Simba kuitoa Zamalek na hivyo Simba itakosa cha kujivunia; mawazo ambayo ni 'bull shit'! Simba itabaki kuwa Simba na Yanga itabaki kuwa Yanga.

CC. ANTIBIOTIQUE

SIMBA ndo kidume, Tuliwatoa mabingwa watetezi wa champions league, sio kombe hili mmalojipapatua sasa. Kombe hili tulifika fainali. Usilinganishe usingizi na kifo.
Yanga lazima akae na safari yao imefika, Tunis ndo ukomo utaishia.
Kama hutaki, usisome komment hii.
YANGA WAPIGWE TUUUU.
 
Natamani nikushukuru na kukupongeza kwa kuonesha uzalendo....

Lakini moyo wangu wajawa na simanzi maana nahisi utatulete lile gundu la Msimbazi...
Hawa ndugu zetu wanajifanya "uzalendo uzalendo" ila wakishinda wataanza yale maneno yao. Maana kila timu wanayoifunga wao huona wameifunga simba. Wakishinda watarudi na kashfa.
Kila mtu abebe mzigo wake, nitashabikia Etoile na nawatakia kila la kheri Etoile. Yanga wapigwe tuu.
 
Kila nikikumbuka mechi ya Simba vs TP Mazembe walichofanya mashabiki WA Yanga uzalendo unapotea kabisa!
 
Ni sawa na kummwambia yule "m'mama" machachari wa jukwaa la jf siasa anayeitwa F.fox aokoke! Haiwezekani, hasa inapokuja yanga yenyewe inacheza na timu yenye rangi nyeupe au nyekundu. Sitaki UNAFIKI. Siipendi yanga na nataka ifungwe TENA Uwanja wa taifa kweupeeeee.
Yanga 1 - Etoile 2.
Simba, Stars na timu yoyote inayocheza dhidi ya yanga OYEEEEEEEEEEEEEEE!
Uzalendo kwanza please!!!
 
I can support simba and any team play against yanga .... Hakuna namna zaid ya yanga kupigwa
 
NIA YA KUISHABIKIA NINAYO.
SABABU YA KUISHABIKIA NINAYO.
NA UWEZO WA KUISHABIKIA NINAO.

Sasa tufikie wakati tubadirike wakuu.
Maana sipungukiwi na kitu kuishabikia Yanga kimataifa wakati anaiwakirisha nchi na ukanda mzima wa E.AFRICA.
Ili kuanza kuwashinda waarabu sasa ni kua united kimataifa!!!

Naomba kuwasilisha!!!

Tuko pamoja mkuu
 
Back
Top Bottom