Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaonekana mgeni kwenye game bro. All the bestBado sijakusoma.unaendeshaje gari yakampuni usiwe dereva..
gemu ipiUnaonekana mgeni kwenye game bro. All the best
Factor zote ziweke constantutajiri upi, halali wa bidii, ukabaji, uporaji, rushwa, wizi, ushirikina au utajiri wa kichawi? ustaarabu wao unatofautiana sana hususani kwenye zebra...
Acha uiinga. Findings zipo based on constants....yaani Tajiri mwenye v8 maskini mwenye IST. Names kuwa na V8 nikaendesha boda na IST. Jifunze kanuni za principles na conclusions za Tafiti vita a viz assumptions za conclusionswe ni fala kweli tena hapo ulikua ukitazama ukiwa kwenye bodaboda, alokuambia mwenye v8 ni tajiri na mwenye ist ni masikini nani!? kuna watu wana hela mpaka basi ila wanatembelea vitz, na kuna watu wanapanga ila wanavimba mjini na v8....acha ushamba we kenge....utajiri haupimwi kwa magari
Kiukweli sina neno hapoJe utajiri unaweza kuchangia ustaarabu wako?
Nimekuwa nikitazama kwenye zebra kwa utafiti wangu. Ni rahisi V8 awape chance ya kuvuka watembea kwa miguu kuliko ist na bodaboda.
NB. Assumption ya utafiti ni kuwa mwenye v8 ana kipato kuliko bodaboda.
Mueleze mkuu jinsi unavyoweza kuendesha bila kuwa derevaUnaonekana mgeni kwenye game bro. All the best
tajiri wa kishirikina anapita na wewe kwenye zebra na v8 yake kama kafara kuimarisha utajiri wake wa kishirikina na damu ya waendao kwa miguu kwenye zebraFactor zote ziweke constant
Reason well. Utafiti umesume mwendeshaji ndo owner gari ni owner. Pili hata kama ni ya dingi, self esteem oukiwa unaendesha v8 ni kubwa. Likelywood ya wewe kujiamini na kuheshimu wengine inakuwa kubwa.Kumbe leo hii nikionekana zebra na gari la dingi wa rafiki yangu nikiwasubiria wapita njia wavuke mimi ni tajiri??? Haloo!
Logically incorrect, ustaarabu wa tajiri au maskini hauna any relation na usafiri anaoutumia.Reason well. Utafiti umesume mwendeshaji ndo owner gari ni owner. Pili hata kama ni ya dingi, self esteem oukiwa unaendesha v8 ni kubwa. Likelywood ya wewe kujiamini na kuheshimu wengine inakuwa kubwa.
Okay.Logically incorrect, ustaarabu wa tajiri au maskini hauna any relation na usafiri anaoutumia.
wewe ni kichaa hata hujui unaongea nini ...utakuta we ni kula kulala unatoka kwa shemejiAcha uiinga. Findings zipo based on constants....yaani Tajiri mwenye v8 maskini mwenye IST. Names kuwa na V8 nikaendesha boda na IST. Jifunze kanuni za principles na conclusions za Tafiti vita a viz assumptions za conclusions
Kule kuna camera za kiusalama ktk kila eneo lenye makutano ya barabara pamoja na njia za wavuka kwa miguu. Ukifanya ujinga habari yako utaikuta ktk mail box nyumbani kwako ndani ya masaa 24.Kwa nchi zinazojielewa road sign kila mtu anajua kuzifuata, na mtembea kwamiguu na mwendesha baiskeli au pikipiki ni watu wanaopewa heshima kubwa sana.
Hizo nchi kwenye stop sign police akifika lazima asimame, bongo polisi kwenye stop sign yeye ndio mtunga hizo sign kwaiyo hauna chakumwambia
Ni mawazo yako... ila ustaarab ni mtu tu mwenyewe, imani yako, malezi na kujitambua au maisha uliyochagua (POSITIVITY!)Mleta mada naungana na wewe, hili jambo hata mimi nimejionea. Wenye magari ya gharama / wanaojiweza zaidi kiuchumi huwa na ustaarabu sana barabarani tofauti na sisi Hohehahe mtumainiye mungu