Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #221
Nikupa like kwanza kabla sijasoma
๐๐พ๐๐พ๐๐พ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikupa like kwanza kabla sijasoma
Kweli mkuuAmesema tajiri hawezi kukwambia kama yeye ni tajiri, akikwambia basi hua yeye ni maskini
Samson alipotoa siri kwa Delilah aliharibu mnooo! Utajiri ni siri na siri ndiyo utajiri.Hakuna utajiri bila ya Siri
Hakuna Mungu bila ya Siri
Siri ndio Mungu, na Mungu ndio Siri.
Nguvu ni siri
Uwezo ni siri
Mamlaka ni siri
Utajiri ni siri
Ubunifu ni Siri
Uumbaji ni Siri
Nadhani unapaswa ufikiri vyema Mkuu
Samson alipotoa siri kwa Delilah aliharibu mnooo! Utajiri ni siri na siri ndiyo utajiri.
Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa kuwa utajiri ni siri. Ndio maana wengine wakifa wanaondoka na utajiri wao. Ina maana wanaondoka na Siri ya utajiri.
Nimejifunza....
Ameshajibiwa huko na amekuwa mfano mzuri wa umaskiniYeye ni MHAMASISHAJI tu....hataki utajiri๐
Kama wana nia mbaya na wewe na kama hauna ulinzi wa Mungu ni kazi bure. Watakuroga ufie kwenye ndinga au jumba lako.acha mara moja..anza na mambo ha kawaida kabisa..kwafano..mtu hajakuuliza..wewe unaanza..kesho naenda town kuna mishe yangu naenda kuisikilizia...unaemwambia anavuta umakini na anauliza issue gani budaa..weww sasa unatiririka...hahahha...mambo kama hayo hutakiwi kuyasema..we panga kichwan ratib na mipango yako..then anza kuexecute....yaan waone tu umevuta ndinga mpya..umenunua kiwanja na umejenga..umetangaza ndoa..umeenda nje kusoma Masters au PhD..nk nk...
Sawa tumejifunza kwahiyo na wewe nitajiri siyo
[emoji23] robert bhana[emoji23] kunyamba hovyo au sioHahahha!
Ikiwa kijana akipata tuu milioni 10
anaona amepata pesa anaanza kudharau waru, kulewa hovyo, kunya na kukojoa hovyoo, kunyamba na kutema mate hovyo, unafikiri hiyo milioni 10 zitakubali hayo?
[emoji23] robert bhana[emoji23] kunyamba hovyo au sio