Utajiri ni Siri, na Siri ndio Utajiri wenyewe

Utajiri ni Siri, na Siri ndio Utajiri wenyewe

Utajiri ni hazina ya Maulana --- kitu kinachodumu na kusavaiv beyond the grave ndio utajiri wenyewe. Mengine yooooooooooooote ni GHERESHA. Soma hiyooooo!
 
Utajiri ni hazina ya Maulana --- kitu kinachodumu na kusavaiv beyond the grave ndio utajiri wenyewe. Mengine yooooooooooooote ni GHERESHA. Soma hiyooooo!

Kumbukumbu 8: 18
"Bali utamkumbuka BWANA, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo"

Utajiri unaozungumziwa hapa ni utajiri wa majumba, mapesa, mifugo, chakula, watoto n.k

Geresha unadanganywa, wanaokuambia Geresha ndio hao hao wenye utajiri
 
Mpaka nimeandika ujue ninaushahidi.

Ila sio kila ushahidi unapaswa udhihirishwe, cha msingi shika nilichokuambia, wapo watu(wachache) wajuao kesho ya watu wengine.Unaweza kushika au kuliacha.
Hili nakubalina nalo asilimia kadhaa.

Kule kijijin kwetu kuna watu wanaitwa (wasololi)jina la kilugha Hilo hawa watu inasemekana wanakuwa wanafaham kuwa kesho fulan anasepa na inatokea kweli.

Kuna mmama mmoja namfaham naye anadaiwa Ni wa hivyo lakin hajawah ongea popote sema jamii had mabab wanamwongea namna hiyo .
Wanadai akijua fulan anasepa kabla ya siku mbil au tatu mbele huwa hatoki ndan na hata watoto wake wanaongea ,asipotoka ndan jua Kuna mtu anasepa hapo kijijin na kwel inatokea ,maana wanadai hapaswi kumwangalia uson au kukutana na mtarajiwa .

Kwa kias fulan naanza kuamin kuwa dunia Ni Zaid ya tuijuavyo yaan tumefumbwa kwa mengi sana
 
Hili nakubalina nalo asilimia kadhaa.

Kule kijijin kwetu kuna watu wanaitwa (wasololi)jina la kilugha Hilo hawa watu inasemekana wanakuwa wanafaham kuwa kesho fulan anasepa na inatokea kweli.

Kuna mmama mmoja namfaham naye anadaiwa Ni wa hivyo lakin hajawah ongea popote sema jamii had mabab wanamwongea namna hiyo .
Wanadai akijua fulan anasepa kabla ya siku mbil au tatu mbele huwa hatoki ndan na hata watoto wake wanaongea ,asipotoka ndan jua Kuna mtu anasepa hapo kijijin na kwel inatokea ,maana wanadai hapaswi kumwangalia uson au kukutana na mtarajiwa .

Kwa kias fulan naanza kuamin kuwa dunia Ni Zaid ya tuijuavyo yaan tumefumbwa kwa mengi sana
Mika 3:7
Na hao waonaji watatahayarika, na wenye kubashiri watafadhaika; naam, hao wote watajifunika midomo yao; kwa maana; hapana jawabu la Mungu.
 
Daaahh noma Sanaa hili darasa....ila hiyo paragraph ya nne unless uwe umemaanisha Mungu, lakini Kama umemaanisha Kuna binadamu wanajua mpaka kesho yetu Basi naomba ufafanue vizuri tena kwa umakini mkubwa mnoo

Mika 3:7
Na hao waonaji watatahayarika, na wenye kubashiri watafadhaika; naam, hao wote watajifunika midomo yao; kwa maana; hapana jawabu la Mungu.
 
Nakubaliana na wewe! Utajiri una principle zake..na wengi wanashindwa hapo.tukija upande wa pili umasikini ni oya oya bora liende ni mwendo wa kubahatisha maisha.

Na kwa kulijua hilo hakuna tajiri anayependa masikini ajue hii siri..masikini hawaaminiki..ni wanafiki sna..na hata wale wachache waliojua siri ya mchezo walishindwa kusonga mbele coz nature iliwaumbua.
 
Nakubaliana na wewe! Utajiri una principle zake..na wengi wanashindwa hapo.tukija upande wa pili umasikini ni oya oya bora liende ni mwendo wa kubahatisha maisha.

Na kwa kulijua hilo hakuna tajiri anayependa masikini ajue hii siri..masikini hawaaminiki..ni wanafiki sna..na hata wale wachache waliojua siri ya mchezo walishindwa kusonga mbele coz nature iliwaumbua.

Umesema kweli yote
 
Back
Top Bottom