Utajiri ni Siri, na Siri ndio Utajiri wenyewe

Utajiri ni Siri, na Siri ndio Utajiri wenyewe

Mpaka nimeandika ujue ninaushahidi.

Ila sio kila ushahidi unapaswa udhihirishwe, cha msingi shika nilichokuambia, wapo watu(wachache) wajuao kesho ya watu wengine.Unaweza kushika au kuliacha.

Mkuu wewe kama 'mwandishi' ilitakiwa umfafanulie 'msomaji' wako. Ukijiita mwandishi na unaacha wasomaji kwenye mafumbo ya wazi hawatazikubali kazi zako. Unless unashikilia 'usiri' ulioutaja kwenye andiko lako, usiri huu hauna maana
 
Mkuu wewe kama 'mwandishi' ilitakiwa umfafanulie 'msomaji' wako. Ukijiita mwandishi na unaacha wasomaji kwenye mafumbo ya wazi hawatazikubali kazi zako. Unless unashikilia 'usiri' ulioutaja kwenye andiko lako, usiri huu hauna maana

Mkuu umenena vyema,
lengo la somo ni kuwafunza watu wawe na siri
Swali lake lipo nje ya mada, hata hivyo vyovyote utakavyo fikiri na kusema ni sahihi
 
Bandiko hili wakiliona nduguzo wote naamini ukoo wenu watakuwa mark fella wa bongo..good luck!!
 
I gree with you [emoji817] [emoji109][emoji110][emoji106]
 
Ntachangia kwa mfano hai,

Kuna jamaa angu, Tunafanya biashara eneo moja.

alnifata kuniomba nimsaidie chimbo la bidhaa flani maana kwa bei anayonunua (sh.850) na Bei ya kuuzia sokoni (sh1000) hamlipi kabisa.

Nkamuonea huruma nkampa chimbo la kununua sh. Sh.220 ili akauze ile ile sh.1000

Baada ya wiki
Mteja anauliza Bei gan hii, unamwambia Elfu moja.
Anakujibu, Mbona flani pale anauza jero jero.

Mfanyabiashara mwenzang mwingine akaja ananiuliza,
Aisee Jamaa anapata wapi mzigo, Pale kwake anauza jero jero rejareja.

Dah!
Nkajua tayar picha ishaungua.

Baada ya hapo,
Ile FAIDA kubwa nliokua naipata kwenye ile bidhaa ikapotea ivyo kabisa na mauzo yakashuka.

NLIJUTA SANA!

Nowdays,
NIMEKUA BANDIDU KABISA,

Kuna baadhi ya machimbo ya hela Hadi mke wangu wa ndoa au Ndugu wa damu sitaki ajue kabisa.

NAUNGA MKONO HOJA, uko sahii Sana mtoa mada
 
Ntachangia kwa mfano hai,

Kuna jamaa angu, Tunafanya biashara eneo moja.

alnifata kuniomba nimsaidie chimbo la bidhaa flani maana kwa bei anayonunua (sh.850) na Bei ya kuuzia sokoni (sh1000) hamlipi kabisa.

Nkamuonea huruma nkampa chimbo la kununua sh. Sh.220 ili akauze ile ile sh.1000

Baada ya wiki
Mteja anauliza Bei gan hii, unamwambia Elfu moja.
Anakujibu, Mbona flani pale anauza jero jero.

Mfanyabiashara mwenzang mwingine akaja ananiuliza,
Aisee Jamaa anapata wapi mzigo, Pale kwake anauza jero jero rejareja.

Dah!
Nkajua tayar picha ishaungua.

Baada ya hapo,
Ile FAIDA kubwa nliokua naipata kwenye ile bidhaa ikapotea ivyo kabisa na mauzo yakashuka.

NLIJUTA SANA!

Nowdays,
NIMEKUA BANDIDU KABISA,

Kuna baadhi ya machimbo ya hela Hadi mke wangu wa ndoa au Ndugu wa damu sitaki ajue kabisa.

NAUNGA MKONO HOJA, uko sahii Sana mtoa mada
Naanza kuyapata majibu taratibu.


Kupitia comment yako sina cha kuuliza tena.



Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ntachangia kwa mfano hai,

Kuna jamaa angu, Tunafanya biashara eneo moja.

alnifata kuniomba nimsaidie chimbo la bidhaa flani maana kwa bei anayonunua (sh.850) na Bei ya kuuzia sokoni (sh1000) hamlipi kabisa.

Nkamuonea huruma nkampa chimbo la kununua sh. Sh.220 ili akauze ile ile sh.1000

Baada ya wiki
Mteja anauliza Bei gan hii, unamwambia Elfu moja.
Anakujibu, Mbona flani pale anauza jero jero.

Mfanyabiashara mwenzang mwingine akaja ananiuliza,
Aisee Jamaa anapata wapi mzigo, Pale kwake anauza jero jero rejareja.

Dah!
Nkajua tayar picha ishaungua.

Baada ya hapo,
Ile FAIDA kubwa nliokua naipata kwenye ile bidhaa ikapotea ivyo kabisa na mauzo yakashuka.

NLIJUTA SANA!

Nowdays,
NIMEKUA BANDIDU KABISA,

Kuna baadhi ya machimbo ya hela Hadi mke wangu wa ndoa au Ndugu wa damu sitaki ajue kabisa.

NAUNGA MKONO HOJA, uko sahii Sana mtoa mada

Hahahah!

Umejitia kitanzi
 
Naanza kuyapata majibu taratibu.


Kupitia comment yako sina cha kuuliza tena.



Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

Utajiri ndivyo ulivyo
 
Back
Top Bottom