bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Nyie ni wachawi?Nani amekuambia tunataka kuwa tajiri
Aibu kwa CCMSafi kabisa mkuu wazi jema hili..lakini washauri wa Raisi ni akina KITENGE. Sina uhakika kama watafanyia kazi.
Idara ua usalama wa Taifa imelala usingizi wa pono
Matendo ya watawala hayaonyeshiNyie ni wachawi?
Tuwakatae, tukatae katiba ya zamani, tukatae sheria ya hovyo ya uchaguziMatendo ya watawala hayaonyeshi
Mama naye ni chawa wa Kikwete, Rostam Aziz na KinanaNa Magufuli kwa jinsi alivyokuwa sharp thinker ungeshangaa namna ambavyo angepambania vituo vya gesi viwe vingi kwa mda mfupi sana ku combat hio shida ya mafuta. Japo yasingefika elfu 3 akiwapo madarakani.
Tukipata rais bora, nashauri chawa wa awamu ya 5 na 6 wanyongwe.Wivu tu.
Naunga mkono hojaTukipata rais bora, nashauri chawa wa awamu ya 5 na 6 wanyongwe.
Hasa chawa wanaoshinda JF kusifia na kutetea upumbavu wa viongoziTukipata rais bora, nashauri chawa wa awamu ya 5 na 6 wanyongwe.
Ikiwezekana wakafungiwe lile shamna lenye ma snake😅Naunga mkono hoja
Nimecheka sana aiseeee, vile viumbe ni hatariIkiwezekana wakafungiwe lile shamna lenye ma snake😅
Wazo ni nzuri ila Katika makosa makubwa serikali itayofanya ni kufanya hilo zoezi chini ya jeshi sijui nani...Nchi nyingine vitengo vya intelligence vinajaza watu wenye akili kubwa, na maono mapana. Idara yetu inajaza makada tu wa CCM ambao hawana tija wala uwezo wa kuishauri serikali ifanye nini ili ijikwamue na huu umasikini unaolimaliza taifa, ndio maana utaona machawa wa mama wanazunguka ndani na nje ya nchi kwa kodi zetu na hawana mchango chanya wowote kwa taifa letu. Mfano, Steve Nyerere alienda India kwa gharama zetu kufanya nini? Hii ni kashfa kwa idara ya usalama wa Taifa, ilitosha kabisa kumtoa Mkurugenzi wa Idara Ofisini.
Mimi sio mwanasiasa wala mtu wa lawama, ni mtu wa solutions. Kama mimi nilikuwa fukara na leo nimekuwa TAJIRI MKUU WA MATAJIRI basi naamini kwamba naweza kuishauri serikali iyatumie mawazo na fikra zangu ili iweze kujinasua na ufukara na kutunisha akiba yake ya fedha za kigeni.
Leo nitaongelea eneo moja tu, ambalo serikali inaweza kuokoa mamilioni ya dola kwa mtaji kidogo tu na ika stabilise uchumi na kupunguza sana utegemezi.
Tanzania tumekuwa watumwa wa kiuchumi. Hatuna uwezo wa kudhibiti mfumuko wa bei unaosababishwa na soko la mafuta ulimwenguni, kwa kuwa tunahitaji mafuta kwenye shughuli zetu za kila siku, lakini hatuzalishi mafuta. Hivyo tunatumia mamilionibya fedha za kigeni kuagiza mafuta.
Nini tufanye?
Serikali isambaze vituo vya kujazia gesi asilia nchi nzima. Badala ya JWTZ kufungua ma bar, kumbi za harusi na ma fremu, wasaidiane na TPDC kuweka vituo vya kujaza gesi asilia nchi nzima.
Itungwe sheria kali kwamba Magari yote ya serikali, ya binafsi, ya abiria na mizigo yafungwe mfumo wa kutumia gesi asilia.
Gesi asilia ni shilingi 1,500/ kwa kilo na inakupeleka zaidi ya mara mbilì ya umbali ambao mafuta yangefika. Bei ya mafuta ni zaidi ya 3,000 na bei inazidi kupanda na hatuna namna ya kudhibiti mfumuko huo.
Kwa kufanya hivi, serikali itaokoa mamilioni ya dola zinazopotea kwenye uagizaji wa mafuta.
Pia serikali itaweza kudhibiti upandaji holela wa nauli, hii itapelekea mwananchi kupata huduma kwa bei nafuu kwani gharama za usafiridhaji zitakuwa chini.
JamiiForums under Maxence Melo wazo hili wapeni wizara ya fedha na wizara ya nishati. Wakiona lina tija walifanyie kazi, kama wanapenda kubaki na umasikini wa wananchi, basi tuendelee na mfumo uleule wa miaka yoye.
Bio gas na alternative energy ni muhimu kwa taifa letu. Kuna ethanol inatoka kwenye miwa, itumike kama petrol ⛽ na mafuta ya nyonyo/ mbarika/ mbono kaburi yatumike kama mbadala wa dieselZipo njia mbadala za kuzalisha mafuta kama veta wakifunza watu wazalishe wauze zitaokoa uchumi dhidi ya uhaba wa dollar.
Brazil 80% ya mafuta wayatumiayo ni mbadala wa mafuta yatokayo ardhini wanazalisha wenyewe kupitia malighafi tele tulizo nazo nchini
Well said Kirusi covid 19Wazo ni nzuri ila Katika makosa makubwa serikali itayofanya ni kufanya hilo zoezi chini ya jeshi sijui nani...
Hapo mm ninachoon serikali irahisishe sheria, kodi na vifaa vya gas ili wawekezaji na watu binafsi wafanye hio kazi ni mwaka tu tz zima itakuwa na vituo hizo na vitakuwa vizuri tu.
Mfano usambazaji wa gas za majumbani umekuwa rahisi sana sababu ni wafanyabiashara wenye mitaji yao ndio suppliers.
Tofauti na hapo tunatengeneza bomu ambalo kulizima ni ngumu.
Tajiri mkuu wa matajiri wanyonge na mtetezi wa masuala muhimu, umeongea points muhimu sana, kijuba zaidi.....Nchi nyingine vitengo vya intelligence vinajaza watu wenye akili kubwa, na maono mapana. Idara yetu inajaza makada tu wa CCM ambao hawana tija wala uwezo wa kuishauri serikali ifanye nini ili ijikwamue na huu umasikini unaolimaliza taifa, ndio maana utaona machawa wa mama wanazunguka ndani na nje ya nchi kwa kodi zetu na hawana mchango chanya wowote kwa taifa letu. Mfano, Steve Nyerere alienda India kwa gharama zetu kufanya nini? Hii ni kashfa kwa idara ya usalama wa Taifa, ilitosha kabisa kumtoa Mkurugenzi wa Idara Ofisini.
Mimi sio mwanasiasa wala mtu wa lawama, ni mtu wa solutions. Kama mimi nilikuwa fukara na leo nimekuwa TAJIRI MKUU WA MATAJIRI basi naamini kwamba naweza kuishauri serikali iyatumie mawazo na fikra zangu ili iweze kujinasua na ufukara na kutunisha akiba yake ya fedha za kigeni.
Leo nitaongelea eneo moja tu, ambalo serikali inaweza kuokoa mamilioni ya dola kwa mtaji kidogo tu na ika stabilise uchumi na kupunguza sana utegemezi.
Tanzania tumekuwa watumwa wa kiuchumi. Hatuna uwezo wa kudhibiti mfumuko wa bei unaosababishwa na soko la mafuta ulimwenguni, kwa kuwa tunahitaji mafuta kwenye shughuli zetu za kila siku, lakini hatuzalishi mafuta. Hivyo tunatumia mamilionibya fedha za kigeni kuagiza mafuta.
Nini tufanye?
Serikali isambaze vituo vya kujazia gesi asilia nchi nzima. Badala ya JWTZ kufungua ma bar, kumbi za harusi na ma fremu, wasaidiane na TPDC kuweka vituo vya kujaza gesi asilia nchi nzima.
Itungwe sheria kali kwamba Magari yote ya serikali, ya binafsi, ya abiria na mizigo yafungwe mfumo wa kutumia gesi asilia.
Gesi asilia ni shilingi 1,500/ kwa kilo na inakupeleka zaidi ya mara mbilì ya umbali ambao mafuta yangefika. Bei ya mafuta ni zaidi ya 3,000 na bei inazidi kupanda na hatuna namna ya kudhibiti mfumuko huo.
Kwa kufanya hivi, serikali itaokoa mamilioni ya dola zinazopotea kwenye uagizaji wa mafuta.
Pia serikali itaweza kudhibiti upandaji holela wa nauli, hii itapelekea mwananchi kupata huduma kwa bei nafuu kwani gharama za usafiridhaji zitakuwa chini.
JamiiForums under Maxence Melo wazo hili wapeni wizara ya fedha na wizara ya nishati. Wakiona lina tija walifanyie kazi, kama wanapenda kubaki na umasikini wa wananchi, basi tuendelee na mfumo uleule wa miaka yoye.
Ukweli huu hawataki kuusikia ila ndio uhalisia.
Anazingua mno. Hopeless ni yule mtu ambaye hata kufuatilia vitu vya msingi vya kitaifa anashindwa. Yeye anataka atafuniwe kila kitu ame delegate system iko corruptMama naye ni chawa wa Kikwete, Rostam Aziz na Kinana