ChawaWaMama
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,765
- 3,277
Marahaba mwanangu Bujibuji Simba NyamaumeShikamoò
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marahaba mwanangu Bujibuji Simba NyamaumeShikamoò
Jadili wazo lililotolewa na muanzisha uziSteve ni msanii na mtanzania mweny kujishughulisha na sanaa ya uigizaji huenda mama kaenda kuwapa motisha hebu acheni kuhoji ujinga.
Uneuwa, umepiga sururu ya kichwa, sidhani kama ChawaWaMama atainuka kukujibuUna faida gani sasa wewe?
Nyie ndio wapika majungu ili mle tu
Hapana kazi yetu chawa ni kuhakikisha kwenye majukwaa yote na sehemu ambazo Mama hawezi kufika tunamsemea, na hata hapa JF chawa tupo kibao wengine wapo na majina ya kawaida. Mkileta vihoja vyenu huwa tunavipangua mpaka mnaishiwa nguvu na hoja zinakufa. La bandari lipo wapi??Una faida gani sasa wewe?
Nyie ndio wapika majungu ili mle tu
Suluhu ni KATIBA MPYAWazo Zurich sana, ila unataka rais mstaafu mwenye mafuta ya ziwa, anafungua vituo vya mafuta hadi vichochoroni akale wapi?
TAJIRI MKUU WA MATAJIRI, wazo lako ni Zurich ila wamiliki wa vituo vya mafuta wanaweza kuchanga hata billion Mia tano, wahonge wazo lako lisifike kokote.
Nchi hii hamna kitu kinaitwa maslahi ya umma, kuna maslahi ya chama na maslahi binafsi tu
UVCCMTISS haina meno mbele ya wanasiasa wa CCM. Wanafanya watakalo
Mnanipotezea muda ngoja niendelee kuangalia maazimisho ya vijana hapa Manyara na uzimaji wa mwenge. Baadaye tutapashana. Ila hakika sherehe zimependeza mno mno kuanzia kanisani, hakika Dkt Samia tunampenda sana watanzania, ni yeye tu mpaka 2040Uneuwa, umepiga sururu ya kichwa, sidhani kama ChawaWaMama atainuka kukujibu
Lete uzi wanye hoja za kuishauri serikali kiuchumiHapana kazi yetu chawa ni kuhakikisha kwenye majukwaa yote na sehemu ambazo Mama hawezi kufika tunamsemea, na hata hapa JF chawa tupo kibao wengine wapo na majina ya kawaida. Mkileta vihoja vyenu huwa tunavipangua mpaka mnaishiwa nguvu na hoja zinakufa. La bandari lipo wapi??
Hapana kazi yetu chawa ni kuhakikisha kwenye majukwaa yote na sehemu ambazo Mama hawezi kufika tunamsemea, na hata hapa JF chawa tupo kibao wengine wapo na majina ya kawaida. Mkileta vihoja vyenu huwa tunavipangua mpaka mnaishiwa nguvu na hoja zinakufa. La bandari lipo wapi??
Nilitaka kumjibu hivo mleta mada umeniwahi.Viongozi wengi wanafanya biashara za kuuza mafuta na vituo vingi ni vyao, kamwe hawawezi kukusikia
Wewe ni great thinker.I wish ungekuwa rafiki yanguNchi nyingine vitengo vya intelligence vinajaza watu wenye akili kubwa, na maono mapana. Idara yetu inajaza makada tu wa CCM ambao hawana tija wala uwezo wa kuishauri serikali ifanye nini ili ijikwamue na huu umasikini unaolimaliza taifa, ndio maana utaona machawa wa mama wanazunguka ndani na nje ya nchi kwa kodi zetu na hawana mchango chanya wowote kwa taifa letu. Mfano, Steve Nyerere alienda India kwa gharama zetu kufanya nini? Hii ni kashfa kwa idara ya usalama wa Taifa, ilitosha kabisa kumtoa Mkurugenzi wa Idara Ofisini.
Mimi sio mwanasiasa wala mtu wa lawama, ni mtu wa solutions. Kama mimi nilikuwa fukara na leo nimekuwa TAJIRI MKUU WA MATAJIRI basi naamini kwamba naweza kuishauri serikali iyatumie mawazo na fikra zangu ili iweze kujinasua na ufukara na kutunisha akiba yake ya fedha za kigeni.
Leo nitaongelea eneo moja tu, ambalo serikali inaweza kuokoa mamilioni ya dola kwa mtaji kidogo tu na ika stabilise uchumi na kupunguza sana utegemezi.
Tanzania tumekuwa watumwa wa kiuchumi. Hatuna uwezo wa kudhibiti mfumuko wa bei unaosababishwa na soko la mafuta ulimwenguni, kwa kuwa tunahitaji mafuta kwenye shughuli zetu za kila siku, lakini hatuzalishi mafuta. Hivyo tunatumia mamilionibya fedha za kigeni kuagiza mafuta.
Nini tufanye?
Serikali isambaze vituo vya kujazia gesi asilia nchi nzima. Badala ya JWTZ kufungua ma bar, kumbi za harusi na ma fremu, wasaidiane na TPDC kuweka vituo vya kujaza gesi asilia nchi nzima.
Itungwe sheria kali kwamba Magari yote ya serikali, ya binafsi, ya abiria na mizigo yafungwe mfumo wa kutumia gesi asilia.
Gesi asilia ni shilingi 1,500/ kwa kilo na inakupeleka zaidi ya mara mbilì ya umbali ambao mafuta yangefika. Bei ya mafuta ni zaidi ya 3,000 na bei inazidi kupanda na hatuna namna ya kudhibiti mfumuko huo.
Kwa kufanya hivi, serikali itaokoa mamilioni ya dola zinazopotea kwenye uagizaji wa mafuta.
Pia serikali itaweza kudhibiti upandaji holela wa nauli, hii itapelekea mwananchi kupata huduma kwa bei nafuu kwani gharama za usafiridhaji zitakuwa chini.
JamiiForums under Maxence Melo wazo hili wapeni wizara ya fedha na wizara ya nishati. Wakiona lina tija walifanyie kazi, kama wanapenda kubaki na umasikini wa wananchi, basi tuendelee na mfumo uleule wa miaka yoye.
Bado unaamini mwenge unaleta amani? Upelekeni Israel huko tuone mtakavyochekeshaMnanipotezea muda ngoja niendelee kuangalia maazimisho ya vijana hapa Manyara na uzimaji wa mwenge. Baadaye tutapashana. Ila hakika sherehe zimependeza mno mno kuanzia kanisani, hakika Dkt Samia tunampenda sana watanzania, ni yeye tu mpaka 2040
Asante sana ndugu, hakika sisi ni marafikiWewe ni great thinker.I wish ungekuwa rafiki yangu
AsanteNilitaka kumjibu hivo mleta mada umeniwahi.
Unafikiri watakuelewa! Wamiliki wenyewe wa hiyo biashara ya mafuta utakuta ndiyo hao hao unawapa huu ushauri.Nchi nyingine vitengo vya intelligence vinajaza watu wenye akili kubwa, na maono mapana. Idara yetu inajaza makada tu wa CCM ambao hawana tija wala uwezo wa kuishauri serikali ifanye nini ili ijikwamue na huu umasikini unaolimaliza taifa, ndio maana utaona machawa wa mama wanazunguka ndani na nje ya nchi kwa kodi zetu na hawana mchango chanya wowote kwa taifa letu. Mfano, Steve Nyerere alienda India kwa gharama zetu kufanya nini? Hii ni kashfa kwa idara ya usalama wa Taifa, ilitosha kabisa kumtoa Mkurugenzi wa Idara Ofisini.
Mimi sio mwanasiasa wala mtu wa lawama, ni mtu wa solutions. Kama mimi nilikuwa fukara na leo nimekuwa TAJIRI MKUU WA MATAJIRI basi naamini kwamba naweza kuishauri serikali iyatumie mawazo na fikra zangu ili iweze kujinasua na ufukara na kutunisha akiba yake ya fedha za kigeni.
Leo nitaongelea eneo moja tu, ambalo serikali inaweza kuokoa mamilioni ya dola kwa mtaji kidogo tu na ika stabilise uchumi na kupunguza sana utegemezi.
Tanzania tumekuwa watumwa wa kiuchumi. Hatuna uwezo wa kudhibiti mfumuko wa bei unaosababishwa na soko la mafuta ulimwenguni, kwa kuwa tunahitaji mafuta kwenye shughuli zetu za kila siku, lakini hatuzalishi mafuta. Hivyo tunatumia mamilionibya fedha za kigeni kuagiza mafuta.
Nini tufanye?
Serikali isambaze vituo vya kujazia gesi asilia nchi nzima. Badala ya JWTZ kufungua ma bar, kumbi za harusi na ma fremu, wasaidiane na TPDC kuweka vituo vya kujaza gesi asilia nchi nzima.
Itungwe sheria kali kwamba Magari yote ya serikali, ya binafsi, ya abiria na mizigo yafungwe mfumo wa kutumia gesi asilia.
Gesi asilia ni shilingi 1,500/ kwa kilo na inakupeleka zaidi ya mara mbilì ya umbali ambao mafuta yangefika. Bei ya mafuta ni zaidi ya 3,000 na bei inazidi kupanda na hatuna namna ya kudhibiti mfumuko huo.
Kwa kufanya hivi, serikali itaokoa mamilioni ya dola zinazopotea kwenye uagizaji wa mafuta.
Pia serikali itaweza kudhibiti upandaji holela wa nauli, hii itapelekea mwananchi kupata huduma kwa bei nafuu kwani gharama za usafiridhaji zitakuwa chini.
JamiiForums under Maxence Melo wazo hili wapeni wizara ya fedha na wizara ya nishati. Wakiona lina tija walifanyie kazi, kama wanapenda kubaki na umasikini wa wananchi, basi tuendelee na mfumo uleule wa miaka yoye.
Azimio la Arusha tusingelitupilia mbali leo hii tusongekua na Viongozi wanaofanya biashara.Unafikiri watakuelewa! Wamiliki wenyewe wa hiyo biashara ya mafuta utakuta ndiyo hao hao unawapa huu ushauri.
Hii nchi ni ngumu kuliko unavyofikiri. Uzalendo hakuna! Badala yake ubinafsi na maslahi binafsi, ndiyo vimepewa kipaumbele.
Nchi nyingine vitengo vya intelligence vinajaza watu wenye akili kubwa, na maono mapana. Idara yetu inajaza makada tu wa CCM ambao hawana tija wala uwezo wa kuishauri serikali ifanye nini ili ijikwamue na huu umasikini unaolimaliza taifa, ndio maana utaona machawa wa mama wanazunguka ndani na nje ya nchi kwa kodi zetu na hawana mchango chanya wowote kwa taifa letu. Mfano, Steve Nyerere alienda India kwa gharama zetu kufanya nini? Hii ni kashfa kwa idara ya usalama wa Taifa, ilitosha kabisa kumtoa Mkurugenzi wa Idara Ofisini.
Mimi sio mwanasiasa wala mtu wa lawama, ni mtu wa solutions. Kama mimi nilikuwa fukara na leo nimekuwa TAJIRI MKUU WA MATAJIRI basi naamini kwamba naweza kuishauri serikali iyatumie mawazo na fikra zangu ili iweze kujinasua na ufukara na kutunisha akiba yake ya fedha za kigeni.
Leo nitaongelea eneo moja tu, ambalo serikali inaweza kuokoa mamilioni ya dola kwa mtaji kidogo tu na ika stabilise uchumi na kupunguza sana utegemezi.
Tanzania tumekuwa watumwa wa kiuchumi. Hatuna uwezo wa kudhibiti mfumuko wa bei unaosababishwa na soko la mafuta ulimwenguni, kwa kuwa tunahitaji mafuta kwenye shughuli zetu za kila siku, lakini hatuzalishi mafuta. Hivyo tunatumia mamilionibya fedha za kigeni kuagiza mafuta.
Nini tufanye?
Serikali isambaze vituo vya kujazia gesi asilia nchi nzima. Badala ya JWTZ kufungua ma bar, kumbi za harusi na ma fremu, wasaidiane na TPDC kuweka vituo vya kujaza gesi asilia nchi nzima.
Itungwe sheria kali kwamba Magari yote ya serikali, ya binafsi, ya abiria na mizigo yafungwe mfumo wa kutumia gesi asilia.
Gesi asilia ni shilingi 1,500/ kwa kilo na inakupeleka zaidi ya mara mbilì ya umbali ambao mafuta yangefika. Bei ya mafuta ni zaidi ya 3,000 na bei inazidi kupanda na hatuna namna ya kudhibiti mfumuko huo.
Kwa kufanya hivi, serikali itaokoa mamilioni ya dola zinazopotea kwenye uagizaji wa mafuta.
Pia serikali itaweza kudhibiti upandaji holela wa nauli, hii itapelekea mwananchi kupata huduma kwa bei nafuu kwani gharama za usafiridhaji zitakuwa chini.
JamiiForums under Maxence Melo wazo hili wapeni wizara ya fedha na wizara ya nishati. Wakiona lina tija walifanyie kazi, kama wanapenda kubaki na umasikini wa wananchi, basi tuendelee na mfumo uleule wa miaka yoye.