Utajiri uko hapa. Serikali chukueni ushauri wangu mzuri na muufanyie kazi, mtanishukuru baadaye

Una faida gani sasa wewe?
Nyie ndio wapika majungu ili mle tu
Hapana kazi yetu chawa ni kuhakikisha kwenye majukwaa yote na sehemu ambazo Mama hawezi kufika tunamsemea, na hata hapa JF chawa tupo kibao wengine wapo na majina ya kawaida. Mkileta vihoja vyenu huwa tunavipangua mpaka mnaishiwa nguvu na hoja zinakufa. La bandari lipo wapi??
 
Suluhu ni KATIBA MPYA
 
Uneuwa, umepiga sururu ya kichwa, sidhani kama ChawaWaMama atainuka kukujibu
Mnanipotezea muda ngoja niendelee kuangalia maazimisho ya vijana hapa Manyara na uzimaji wa mwenge. Baadaye tutapashana. Ila hakika sherehe zimependeza mno mno kuanzia kanisani, hakika Dkt Samia tunampenda sana watanzania, ni yeye tu mpaka 2040
 
Lete uzi wanye hoja za kuishauri serikali kiuchumi
 
Matapeli nyie, kitanzi kinawahusu
 
PCCB, MAHAKAMA, na Taasisi zingine kila mwaka wanatangaza wameokoa billions of money.
Haya niambie hizo zilizookolewa na PCCB, MAHAKAMA, na Taasisi zingine zimeleta maendeleo gani?
Solution uliyoweka ni ndogo na impact yake ni ndogo kama hiyo gesi hatuichakati na kuisindika wenyewe.
Huwezi kuwa tajiri kwa kutumia kitu kilichozalishwa, kuchakatwa na kusindikwa na mwenzako
 
Wewe ni great thinker.I wish ungekuwa rafiki yangu
 
Mnanipotezea muda ngoja niendelee kuangalia maazimisho ya vijana hapa Manyara na uzimaji wa mwenge. Baadaye tutapashana. Ila hakika sherehe zimependeza mno mno kuanzia kanisani, hakika Dkt Samia tunampenda sana watanzania, ni yeye tu mpaka 2040
Bado unaamini mwenge unaleta amani? Upelekeni Israel huko tuone mtakavyochekesha
 
Wazo zuri sana.

Shida inakuja, je hiyo Gesi bado ni Mali yetu kama Taifa ama tayari ina wamiliki Binafsi?
 
Unafikiri watakuelewa! Wamiliki wenyewe wa hiyo biashara ya mafuta utakuta ndiyo hao hao unawapa huu ushauri.

Hii nchi ni ngumu kuliko unavyofikiri. Uzalendo hakuna! Badala yake ubinafsi na maslahi binafsi, ndiyo vimepewa kipaumbele.
 
Unafikiri watakuelewa! Wamiliki wenyewe wa hiyo biashara ya mafuta utakuta ndiyo hao hao unawapa huu ushauri.

Hii nchi ni ngumu kuliko unavyofikiri. Uzalendo hakuna! Badala yake ubinafsi na maslahi binafsi, ndiyo vimepewa kipaumbele.
Azimio la Arusha tusingelitupilia mbali leo hii tusongekua na Viongozi wanaofanya biashara.
JK Nyerere tutakukumbuka daima.
 

Well said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…