Fanya hivo chief binafsi nipo mwanza na nitakuwa mteja wako mkubwa tuUsijali nitafungua uzi wake au group WhatsApp
Sawa sawaIpo mwanza karibu na nata
Samahan mkuu naomba namba yako pm kama hutojali kakaMkuu si unajua mtumba paka siku unakutana nayo
Na point boss kwa watu mbalimbali wanaokata balomkua hivi viatu unachukua ballo au unapoint
0768480963Samahan mkuu naomba namba yako pm kama hutojali kaka
Asante Sana bossHongera sana
AmenShukrani na hongera pia... Mungu azidi kukufungulia milango katika biashara yako.
Zamani tukipaita lango langoIpo mwanza karibu na nata
pamoja sana shukuraniFaida sio kubwa sana ila nimependa ulivyo mpambanaji na sio mchoyo wa kushare na wenzako,najua ukipata mtaji wa kama milioni utafanya maajabu
KweliZamani tukipaita lango lango
Biashara nzuri sanaKuna jamaa ananiuziaga viatu...very classic....nanunua around 25-45 elfu.....kiukweli anaendesha maisha yake fresh..halii lii shida
Pamoja sana bossNimekuelewa Sana kiongozi