kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,746
- 2,924
hapa hapa dar au mikoani,je mkoa gani unapointNa point boss kwa watu mbalimbali wanaokata balo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapa hapa dar au mikoani,je mkoa gani unapointNa point boss kwa watu mbalimbali wanaokata balo
Mimi nipo mwanzahapa hapa dar au mikoani,je mkoa gani unapoint
Asante Sana bossKazi nzuri rahisi tu hongera broo.
Kuazia matengenezo ya eneo na kila kitu 180000Ulianza na mtaji kiasi gan?
Viatu vikali nitavipata wapi nimuweke mtu afanye hii kituKuazia matengenezo ya eneo na kila kitu 180000
ikiwezekana naomba hata namba yakoKuazia matengenezo ya eneo na kila kitu 180000
hongera sana brother kwa ku-share pamoja nasi sas Mzigo mzur nawza pata sehem gani kwa mwanza?Hello
Natumaini ni wazima wa afya mwaka jana mwezi kama huu niliandika uzi kwenye jukwaa ili kuhusu biashara ya viatu
Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha
Hello Natumaini mnaendelea vyema na harakati za kutafuta maisha nimeona leo niwaibie siri jinsi hii biashara ya sandals na viatu inaweza kukutajirisha kwa haraka. Historia Mimi kwa majina ya kuzaliwa naitwa Innocent kirumbuyo nimezaliwa Kilimanjaro katika hospital marubeneti miaka mingi...www.jamiiforums.com
Kwa kweli nawashukuru sana mlipokea ile biashara kwa mikono miwili na watu walinipongeza sana wengine kupitia ule uzi waliijua biashara ya viatu na kufungua maduka magoli nadhani paka sasa maisha yao yamebadilika.
Kwa upande wangu nikiri nimepokea simu nyingi sana na kuonana na watu wengi sana waliokuwa wanataka kuifanya biashara ya viatu .
Kwa kweli kila aliyekuja kwangu nilimpa ushirikiano mzuri na kumsaidia kwa ushauri na kuwatia moyo
Kwenye ule uzi mimi nilikuwa naelezea biashara ya viatu vya special tu
Ila katika watu kutoa maoni kuna mdau mmoja Kyawanjubu alitoa maoni yake kuhusu biashara ya viatu vya mtumba nadhani ile comment yake ni best kabisa kwenye ule uzi .
Kupitia ile comment nilipata wazo la kufungua biashara ya viatu vya mtumba
Kwa kweli niseme wazi biashara ya viatu vya mtumba ukiwa seriously kabisa inabadili maisha yako
Baada ya kusoma yale maoni niliamua nitumie hiyo fursa kufungua biashara ya viatu vya mtumba mara moja
Nilifikiri ni wapi eneo zuri la kufungua hiyo biashara ndio nikakumbuka nje ya mjini kidogo nina eneo langu niliweka hapo kakibanda nauza juis maji nk
Niliona ni sehemu nzuri itayonifaa ikabidi niachane na biashara ya kuuza vinywaji nifunguwe viatu vya mtumba
Kwa haraka sana nikatafuta kijana nikamlipa anirekebishie ilo eneo akapanga vizuri mfuko nikapata level nzuri
Nikamuita fundi akaja kunitengenezea banda
Baada ya matengenezo kukamilika nilichukuwa laki moja nikaenda mlango mmoja kuperemba viatu vya hiyo bei
Kwasababu nilikuwa na mtaji mdogo nilikuwa natafuta viatu vya elfu 6000 elfu 8000 nilipata peaa zangu kadhaa nikaenda nyumbani nikavisafisha vizuri kisha nikaenda golini kwangu kutega nashukuru Mungu siku ya kwanza tu niliuza pea mbili moja niliuza 22000 hiki kiatu nilichukuwa kwa 8000 na kingine 15000 nilikinunua 6000
Kesho yake tena mapema nilienda lango kutafuta viatu vingine kuendelea na biashara ikawa nauza pea moja mbili kwa siku ata tano
Hii biashara ni nzuri sana ina faida kubwa sana kwasababu kwa mwezi lazima niwe na faida 200000 au laki na nusu .
Ndani ya huu mwaka nimeongeza goli lingine la viatu na mambo yangu yapo vizuri kabisa .
nimshukuru Kyawanjubu kwa maoni yake mazuri niwashukuru wote walioshiriki kwenye ule uzi wangu wa kwanza Mungu awabariki sana
Mwisho
Nakaribisha maoni maswali na ushauri
Asante Sana
View attachment 1944305View attachment 1944306View attachment 1944336View attachment 1944337View attachment 1944338View attachment 1944339View attachment 1944340View attachment 1944341View attachment 1944342View attachment 1944345View attachment 1944346View attachment 1944347View attachment 1944348View attachment 1944349View attachment 1944350View attachment 1944351View attachment 1944352View attachment 1944353
Mzigo mzuri kwa mwanza utapata langohongera sana brother kwa ku-share pamoja nasi sas Mzigo mzur nawza pata sehem gani kwa mwanza?
0768480963 namba yanguikiwezekana naomba hata namba yako
Unisaidie kijana wangu umfundishe machinbo ya viatu vikali mwanza hapo
nimpatie mtaji
Asante sana bossHongera
Pamoja sanaBig up boss
[emoji106][emoji106][emoji106]Ahsante kwa taarifa...
Nipo na kiasi flan cha ela nilikuwa nawaza nipige Mishe gani kwa hii hela Nillonayo, lkin kupitia huu Uzi nimepta wazo la nn nifanye na hhi hela nilyonayo,shukuran sana nambayako nimechukua ntakucheki0768480963 namba yangu