Utajiri uliojificha kwenye viatu vya mtumba

Nipo na kiasi flan cha ela nilikuwa nawaza nipige Mishe gani kwa hii hela Nillonayo, lkin kupitia huu Uzi nimepta wazo la nn nifanye na hhi hela nilyonayo,shukuran sana nambayako nimechukua ntakucheki
Ok karibu sana boss nakutakia mafanikio mema
 
Mkuu naomba ushauri wako maana nataka nifanye hii Kaz mwaka huu mtaji wangu ni 4M...
 

Mkuu sipingi ukisemacho mi pia shuhuda wa hii biashara maana nilikua nmeajiriwa na mpaka muda huu niko namiliki biashara yangu mwenyewe, Kupitia biashara hii nmefungua cosmetics japo kwa udogo wake ila Mungu yu nami mwaka huu 2022
 
Mkuu sipingi ukisemacho mi pia shuhuda wa hii biashara maana nilikua nmeajiriwa na mpaka muda huu niko namiliki biashara yangu mwenyewe, Kupitia biashara hii nmefungua cosmetics japo kwa udogo wake ila Mungu yu nami mwaka huu 2022
Mkuu heb ongezea nyama kdogo kwenye hii biashara maana na Mimi nataka niingie mwaka huu Mungu akipenda...
 
Seriuosness na uthubutu,mafaniko njenje.
 
Hongera, Ubarikiwe kwa kushare nasi hili
ASANTE SANA boss naomba kura yako

 
Seriuosness na uthubutu,mafaniko njenje.
ASANTE SANA naomba kura yako

 
Safi sana ubarikiwe,ume nipa motisha ya kufanya kitu kizuri ,natumain uta tupa madini ya kutosha.
 
Umenikumbusha mbali Mkuu Ni biashara yangu ya muda wote hiyo ,
Nimeijua mikoa mingi nchini kwa ajili ya biashara hiyo ,
 
Viatu unavyouza ni vizuri sana hata mimi km napita na kukutana goli linaviatu km hivi ningenunua tu.
 
 
unafanyia kazi mwanza sehem gan boss mm nije uniongezee maarifa juu ya hii biashara na je lango lango siku nzur wanayofungua malobota ya viatu ni ck gani boss

Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…