Utajiri uliojificha kwenye viatu vya mtumba

Mimi nafanya kazi mwanza mjini lumumba

Mlango mmoja wanafungua jumatatu na alihamisi
Naomba kura yako boss

 
kuna mtu nlimuuliza akanambia mlango mmoja wanafungua malobota saa tisa uck je hii ni kweli au ukweli ni upi

Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
Uongo marobota uwa wanafungua kwazia saa 12 asubuhi

Naomba kura yako
 
Nakubali sana hii kazi
Pamoja boss

Naomba kura yako

 
Mkuu ivi nikitaka kuuza viatu ivi kwa kuzungusha kwenye minada(hasa minada ya vijijini),natakiwa nichukue viatu kwa kupoibt au kwenye kiroba?
Innocent Kirumbuyo
 
Kupoint ndio vizuri ila tafuta vile vimekatwa bei
Naomba nipigie kura

 
Mazee mbona hutupi muendelezo nataka kujoin mzee unipe mwongozo
 
Mkuu viatu unachukulia wapi? Mimi nina mtaji wa elfu themanini kianzio vipi kiasi hicho kitatosha kama kianzio na sina kibanda
 
Safi sana,halafu mtu anakaa,anasema haoni cha kufanya
Huyo inafaa apigwe bakoraa mpaka asemee mamaaa kuda dekii vijana wa siku hizi ni wavivu sana kazi ujinga n starehe life is not easy life ni kujitumaaaa.
 
Ndugu zangu napitia kipindi kigumu kiuchumi,kama kuna mdau anaweza niwezesha baloo mojaa na skulli begi,au ladies shoes,au mikoba tuingie mkata niwe nalipaa kwa awamu,nina frame,ninijinaa,nina mzigoo ila nataka wa ku busti,napatikana mwanza.
 

Hongera Inno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…