Utajiri wa Bwana Elon kuzidi kuporomoka, zipi sababu? Sisi kama watu wenye maono tunayapi ya kujifunza?

Utajiri wa Bwana Elon kuzidi kuporomoka, zipi sababu? Sisi kama watu wenye maono tunayapi ya kujifunza?

FlyingDutchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2022
Posts
399
Reaction score
794
Screenshot_20221227-210301.jpg
Screenshot_20221227-210332.jpg


Takwimu za Forbes zinaonyesha khali ya bwana Musk kuzidi kuwa tata ? Je, tuna yapi ya kujifunza regarding that this man is a legend who revolutionized rocket science?
 
Huyu mhindi huyu inadaiwa ni rafiki yake waziri mkuu wa India na anaunua kila chombo cha habari kinachoipinga serikali.
Musk hisa za tesla zinashuka kwasababu watu wanahisi amepunguza focus kwenye tesla maana ana mambo mengi
Dah nafiikilia this man failed a lot of times! His comeback are always on point, this time around mambo yanaoneka kuwa tofauti
 
Kuna siku Elon na Jeff walikuwa wanamcheka na kumdhihaki Mark Zuckerberg alipoporomoka toka 140 billion hadi 40. Hicho kitu kilimuuma sana Mark. Sasa nashangaa jamaa Kwanini aumie wakati bado kabakki na 40 billion. Kina mpwayungu village take home 240k madaf na wameridhika hawana presha na stress na furaha
 
Dah nafiikilia this man failed a lot of times! His comeback are always on point, this time around mambo yanaoneka kuwa tofauti
Halafu nadhani hayuko kwenye terms nzuri na serikali ya biden. Halafu nahisi kununua Twitter haikuwa move nzuri maana hata makampuni unaona yanajiondoa kwenye matangazo na pia hata kura alizoanzisha mwenyewe zimeonyesha watu wanataka ajiondoe kuwa CEO.
 
Kuna siku Elon na Jeff walikuwa wanamcheka na kumdhihaki Mark Zuckerberg alipoporomoka toka 140 billion hadi 40. Hicho kitu kilimuuma sana Mark. Sasa nashangaa jamaa Kwanini aumie wakati bado kabakki na 40 billion. Kina mpwayungu village take home 240k madaf na wameridhika hawana presha na stress na furaha
Sema nilichojifunza mkuu ukitoboa kwa risk kubwa kufilisika ni muda wwte ule, Elon musk alianza kujisahau sana
 
Kuna siku Elon na Jeff walikuwa wanamcheka na kumdhihaki Mark Zuckerberg alipoporomoka toka 140 billion hadi 40. Hicho kitu kilimuuma sana Mark. Sasa nashangaa jamaa Kwanini aumie wakati bado kabakki na 40 billion. Kina mpwayungu village take home 240k madaf na wameridhika hawana presha na stress na furaha
Zuckberg inadaiwa hata wafanyakazi wa meta wenyewe wana mashaka na vision yake ya metaverse.
Hisa za meta zinashuka kwa kasi kwasababu ya hii project, wamechoma mabilion ya dollar kwenye metaverse lakini ripoti yao wenyewe inaonyesha kuwa wati wanaoingia hawarudi
 
Sema nilichojifunza mkuu ukitoboa kwa risk kubwa kufilisika ni muda wwte ule, Elon musk alianza kujisahau sana
Elon kiherehere chake tu kujifanya kujua mengi. Pia alilewa na sifa. Alibadilika hakutaka kununua Twitter ila Twitter nao wa kakomaa kumpeleka Mahakamani ananunue. Akakomaa dakika za mwisho ikabidi tu anunue. Kwa hasira zake za kulazimishwa kununua Twitter akaanza na hasira mbwembwe vitisho.
 
Zuckberg inadaiwa hata wafanyakazi wa meta wenyewe wana mashaka na vision yake ya metaverse.
Hisa za meta zinashuka kwa kasi kwasababu ya hii project, wamechoma mabilion ya dollar kwenye metaverse lakini ripoti yao wenyewe inaonyesha kuwa wati wanaoingia hawarudi
That was indeed a wrong shot!
And mbaya Zaid alingilia personal space za activists wengi wa Twitter,
Kuna App mbadala yenye ufanano na Twitter ishatengezwa unaambiwa thouthands of users washa sign up y
 
Zuckberg inadaiwa hata wafanyakazi wa meta wenyewe wana mashaka na vision yake ya metaverse.
Hisa za meta zinashuka kwa kasi kwasababu ya hii project, wamechoma mabilion ya dollar kwenye metaverse lakini ripoti yao wenyewe inaonyesha kuwa wati wanaoingia hawarudi
Wanadai anahasira na stress kutoka billionaire club top ten. Akiingia ofisini ni kushout tu. Kuna wakati aliingia na samurai sword na kuwatishia wafanyakaz. Anapunguzaga stress kwa kusurf kwenye himaya yake Hawaii. Kina johnthebaptist hawana presha kabisa na buku 7 za Lumumba kila siku kumtukana Mbowe chadema na kuwadhihaki wachaga.
 
Yah nimesikia about that app.
Sijui kama ataweza irudisha kwenye zama zake
Inshort,he did a wrong move
Tbh sidhani itakua ngumu mana tayar kashatengeneza competition na haters ni wengi
 
Wanadai anahasira na stress kuroka billionaire club top ten. Akiingia ofisini ni kushout tu. Kuna wakati aliingia na samurai sword na kuwatishia wafanyakaz. Anapunguzaga stress kwa kusurf kwenye himaya yake Hawaii. Kina johnthebaptist hawana presha kabisa na buku 7 za Lumumba kila siku kumtukana Mbowe chadema na kuwadhihaki wachaga.

Mkuu Mark nae uzembe aliufanya mwenyewe, kua top 10 pale forbes tyr ni brand
 
Back
Top Bottom