Utajiri wa Bwana Elon kuzidi kuporomoka, zipi sababu? Sisi kama watu wenye maono tunayapi ya kujifunza?

Utajiri wa Bwana Elon kuzidi kuporomoka, zipi sababu? Sisi kama watu wenye maono tunayapi ya kujifunza?

Ila 2023 Elon Musk atarudi kwa kishindo sana kwenye Tesla hasa prodakshen za Tesla Cybertruck. Yani itakuwa moto wa kuotea mbali. Ilibidi zianze kuzwa 2019 wakahirisha 2022 tena wamehairisha hadi 2023 mwishoni. Elon atafikisha 300 billion
download (5).jpeg
 
Wanadai anahasira na stress kuroka billionaire club top ten. Akiingia ofisini ni kushout tu. Kuna wakati aliingia na samurai sword na kuwatishia wafanyakaz. Anapunguzaga stress kwa kusurf kwenye himaya yake Hawaii. Kina johnthebaptist hawana presha kabisa na buku 7 za Lumumba kila siku kumtukana Mbowe chadema na kuwadhihaki wachaga.
Unajua metaverse ni sawa na wakati internet inaanza, kuna vitu kibao na makampuni kibao yaliibuka halafu yakafa. Kila mtu aliona ni good thing but how to monetize it and exploit it ndipo ikawa try and error.

Huenda move ya meta kwenye metaverse si sahihi.

Ila jamaa kaporomoka balaa.

Google last week wamefanya kikao cha dharura kujadili chatGPT kama ni threat kwa google search engine na kama inaweza kuua biashara yao.

Wakakubaliana wawekeze sana katika kutengene Ai products and services
 
That was indeed a wrong shot!
And mbaya Zaid alingilia personal space za activists wengi wa Twitter,
Kuna App mbadala yenye ufanano na Twitter ishatengezwa unaambiwa thouthands of users washa sign up y
Jina la hio app mbadala Ni lipi?
 
Ila 2023 Elon Musk atarudi kwa kishindo sana kwenye Tesla has prodakshen za Tesla Cybertruck. Yani itakuwa moto wa kuotea mbali. Ilibidi zianze kuzwa 2019 wakahirisha 2022 tena wamehairisha hadi 2023 mwishoni. Elon atafikisha 300 billion
Mkuu itakua battle, 2023 it's a year of Big Gamble, ntanunua hisa za Tesla afu nafanya kama kuzisahau 2023 Nzima, that man is something else
 
Kuna siku Elon na Jeff walikuwa wanamcheka na kumdhihaki Mark Zuckerberg alipoporomoka toka 140 billion hadi 40. Hicho kitu kilimuuma sana Mark. Sasa nashangaa jamaa Kwanini aumie wakati bado kabakki na 40 billion. Kina mpwayungu village take home 240k madaf na wameridhika hawana presha na stress na furaha
🤣🤣🤣🚮
 
Kwanini usinunue kwa wingi gold and silver utatoka mazima. Real gold and silver?

Cc Gushleviv
Mkuu tatizo manipulation imekua sana , kila Dollar ikigain tu strength basi bei ya Gold ni maumivu

Kwa kipindi hiki and 2023 sio msimu mzuri kabisa, Tension ya vita ni kubwa sana , china Vs Taiwan, Urusi na Ukraine ,
 
Huyu mhindi huyu inadaiwa ni rafiki yake waziri mkuu wa India na anaunua kila chombo cha habari kinachoipinga serikali.

Musk hisa za tesla zinashuka kwasababu watu wanahisi amepunguza focus kwenye tesla maana ana mambo mengi
Musk anacheza game of mind to fool investors...
Musk projects zake ni fiction nyingi anauza hisa wakati project anapiwapiga watu calendar na zile pesa ndo izo ananunua business za maana kama mtandao wa twitter ...Huyo jamaa janja sana sio wa kuamini na ni hatar sana .

Amebase kweny future ndo maana alikimbilia kweny cryptos currency akawadanganya then sasa yupo kimya kahamia kweny magari ya umeme.

Kumbuka project ya kuunganisha ubongo na computer ,hata ile ya kuweza kufufua watu waliokufa yupo..

Huku Tesla cars mara kaja na simu za Tesla..
Huyo jamaa ni mtu wa kick kama sadallah hapa bongo.
 
Elon kiherehere chake tu kujifanya kujua mengi. Pia alilewa na sifa. Alibadilika hakutaka kununua Twitter ila Twitter nao wa kakomaa kumpeleka Mahakamani ananunue. Akakomaa dakika za mwisho ikabidi tu anunue. Kwa hasira zake za kulazimishwa kununua Twitter akaanza na hasira mbwembwe vitisho.
Hebu nieleweshe hapa kidogo mkuu, why alishtakiwa kwa kutaka kutoinunua Twitter? kwani ilikua ni lazima ainunu? na kwa nini ilikua lazima ainunue hadi alipokataa kuinunua wakampeleka koltini?

Hii hua naona sana hasa makampuni makubwa, unakuta yanashitakiwa kwa kukataa kununua kitu flani, kwani kununua si hiari? au inakuaje Mkuu, nilikua nqjiuliza sana thanks for reminding me kwa comment yako
 
Elon Musk ni kiumbe mwingine, huyo jamaa risk anazochukua sio kawaida, masaa anayofanya kazi ni hatari kwa afya, jamaa anafanya kazi masaa 16-17 kwa siku, ye mwenyewe anasema hashauri mtu kufanya kazi kiasi hiko, in short Musk anapenda zaidi anachofanya.

Utajitri pia wa hawa jamaa unategemea na stock price za kampuni wanazomiliki,mfano Jeff hisa za Amazon zikishuka bei na net worth yake inashuka, hisa zikipanda net worth inapanda same kwa Musk na Tesla, same kwa Billgate na microsoft n.k

Lakini kwa field ambayo Musk ameigusa, unaweza ukaamka asubuhi ukaona taarifa ni 1st billionare kwa net worth ya 300 Billion Usd, katika watu wanaibadili dunia ni huyu jamaa kwa maana dunia ilipo ndipo yeye alipo the guy is the right person in the right place at the right time.
 
Elon Musk ni kiumbe mwingine, huyo jamaa risk anazochukua sio kawaida, masaa anayofanya kazi ni hatari kwa afya, jamaa anafanya kazi masaa 16-17 kwa siku, ye mwenyewe anasema hashauri mtu kufanya kazi kiasi hiko, in short Musk anapenda zaidi anachofanya...
I approve 🎉
Hi imepita bila kupingwa
 
Hebu nieleweshe hapa kidogo mkuu, why alishtakiwa kwa kutaka kutoinunua Twitter? kwani ilikua ni lazima ainunu? na kwa nini ilikua lazima ainunue hadi alipokataa kuinunua wakampeleka koltini...
Elon kwa kuherehere alishajicommit kununua Twitter. Baadaye akaghairi. Twitter ikabidi wafungue kesi. Elon ajawajibu bring it on.

Baadaye akaona atashindwa tu hii kesi na kulipa hata Zaid ya bei ya kununua Twitter 44 billion. Siku ya mwisho kabla ya kesi kuanza akaamua tu isiwe soo akainunua shingo upande kwa kulazimishwa
 
Sema nilichojifunza mkuu ukitoboa kwa risk kubwa kufilisika ni muda wwte ule, Elon musk alianza kujisahau sana
Hivi watu wanaelewa kwamba huu utajiri mostly ni utajiri wa makaratasi unaotegemea na stock prices?

Ukiambiwa Elon ana dola bilioni 180 si kweli kwamba anazo zote hizo liquid?

Wanaelewa kwamba stocks za tech companies karibu zote zineshuka sana mwaka huu?
 
Back
Top Bottom