Utajiri wa Bwana Elon kuzidi kuporomoka, zipi sababu? Sisi kama watu wenye maono tunayapi ya kujifunza?

Utajiri wa Bwana Elon kuzidi kuporomoka, zipi sababu? Sisi kama watu wenye maono tunayapi ya kujifunza?

Hoja ipi mkuu kiranga, I'll be more than glad kuijibu
Huelewi unachoandika.

Utajiri wa stocks kwa hawa ma CEO kwanza wanaangaliwa sana na Security and Exchange Commission, hawaamui tu kuuza stocks ovyo. Halafu, ukianza tu kuuza stocks ovyo, watu wanajulishwa Elon Musk anauza stocks ovyo, inatengeneza panic, kuna nini kinakuja? Watu wanaanza kuuza stocks ovyo, stock inashuka bei haraka sana katika muda mfupi sana.

Ndiyo maana hawa watu wanaweza kuwa na pesa nyingi sana za stock market, lakini hawapo liquid.

Sam Bankman-Fried alimwambia Elon Musk kwamba anataka kumpa dola bilioni 3 ili awe kati ya investors wanaowekeza Twitter, Elon Musk akauliza, does Sam Bankman-Fried even have 3 billion dollars in liquid money?

Wanajua kwamba utajiri wao umefungwa kwenye stocks, ndiyo maana hata Elon Musk alivyonunua Twitter, ilibidi auze stocks na atangaze kabisa anauza stock za Tesla ili kununua Twitter.

Siku Elon Musk alivyotangaza kuwa anauza stocks za Tesla ili kununua Twitter, stocks za Tesla zilishuka thamani kwa 7%, kwa siku moja tu.

Soma hapa.

www.cnbc.com

Tesla sinks to almost two-year low on Elon Musk stock sales, Twitter distraction

Shares of Tesla have been plummeting since Elon Musk said he would buy Twitter, and the retreat gained steam after Musk reported sales of Tesla stock.
www.cnbc.com
www.cnbc.com
 
Huelewi unachoandika.

Utajiri wa stocks kwa hawa ma CEO kwanza wanaangaliwa sana na Security and Exchange Commission, hawaamui tu kuuza stocks ovyo. Halafu, ukianza tu kuuza stocks ovyo, watu wanajulishwa Elon Musk anauza stocks ovyo, inatengeneza panic, kuna nini kinakuja? Watu wanaanza kuuza stocks ovyo, stock inashuka bei haraka sana katika muda mfupi sana.

Ndiyo maana hawa watu wanaweza kuwa na pesa nyingi sana za stock market, lakini hawapo liquid.

Sam Bankman-Fried alimwambia Elon Musk kwamba anataka kumpa dola bilioni 3 ili awe kati ya investors wanaowekeza Twitter, Elon Musk akauliza, does Sam Bankman-Fried even have 3 billion dollars in liquid money?

Wanajua kwamba utajiri wao umefungwa kwenye stocks, ndiyo maana hata Elon Musk alivyonunua Twitter, ilibidi auze stocks na atangaze kabisa anauza stock za Tesla ili kununua Twitter.

Siku Elon Musk alivyotangaza kuwa anauza stocks za Tesla ili kununua Twitter, stocks za Tesla zilishuka thamani kwa 7%, kwa siku moja tu.

Soma hapa.

www.cnbc.com

Tesla sinks to almost two-year low on Elon Musk stock sales, Twitter distraction

Shares of Tesla have been plummeting since Elon Musk said he would buy Twitter, and the retreat gained steam after Musk reported sales of Tesla stock.
www.cnbc.com
www.cnbc.com
Ok just a moment, let me take my time to explain something to you,
 
Kwa ufupi Tamaa ndo inayomfikisha apo alipo, kwani jamaa alijiona kwamba yeye ndo yeye apa Duniani, baada ya majigambo mengi sana kila kitu kinachopendwa na chenye thamani Duniani aliamini kwamba yeye ndo anayeweza kuimiliki...kumbe it was wrong move.....nakumbuka alijaribu kuomba proposal kwa WFP wamshawishi awape pesa ya kuweza kuimaliza njaa Duniani,lkn Watu walibaki kumcheki tu.
Mwisho wa Siku majigambo ndo yanamporomosha chini.
Amepoteza maono yake, mpaka aje ayakumbuke ndo atakuwa sawa.
 
Sioni kama Elon kadrop.. $6.6 ni kiwango kidogo where he can regain in few weeks.
In a capitalist world, only the risk takers survive. Kushuka kwake nadhani ni kuporomoka kwa shares za tesla where the tweeter project can soon shoot and compensate the gAp.
 
Mr Kiranga ,
You are so skeptical person and i am fundermentalist that's the difference between you and me

You go on net making enemies, i always look to make friends it's my twilight life.

You think you know more than everyone trust me you are just dumb idiot who think his feable mind can comprehend everything,

I have seen market crashing, people loosing millions, trading station freezing ,investors mass selling their stocks to avoid major market stoms,

The fact that you said billioners money are in papers just prove that 1000000% you know nothing about stocks markets you are one dump person I've came across today!

Don't know if you even know what is OTC markets, i don't think if you even know how centralized markets works,

You don't even understand the simple terms stock ,
I have wrote Simple English so that you can take a grimpse of your foolishness,

Don't pick up on people and tell them they don't know what they wrote

Do you even know what the peg is ?
You are so dumb buddy 🤣🙌
Where did I say you can't?

Do you know how to read with comprehension?
 
You know why I'll respect you?
It's not because of your skeptical ideas!
It's because you are a platinum member! Meaning you are much older than me
Let us both not being mean to each other, we may some days grab a cup of coffee together!
Mr Kiranga i wish you very happy moments with your family and healthy Life , take a good Care
Sorry if I was being mean
Let's this one slide, it was just a little misunderstanding btn us.
Happy moments sir.
Acha uoga man,mbona una surrender kibwege hivi?
 
Huelewi unachoandika.

Utajiri wa strocks kwa hawa ma CEO kwanza wanaangaliwa sana na Security and Exchange Commission, hawaamui tu kuuza stocks ovyo. Halafu, ukianza tu kuuza stocks ovyo, watu wanajulishwa Elon Musk anauza stocks ovyo, inatengeneza panic, kuna nini kinakuja? Watu wanaanza kuuza stocks ovyo, stock inashuka bei haraka sana katika muda mfupi sana.

Ndiyo maana hawa watu wanaweza kuwa na pesa nyingi sana za stock market, lakini hawapo liquid.

Sam Bankman-Fried alimwambia Elon Musk kwamba anataka kumpa dola bilioni 3 ili awe kati ya investors wanaowekeza Twitter, Elon Musk akauliza, does Sam Bankman-Fried even have 3 billion dollars in liquid money?

Wanajua kwamba utajiri wao umefungwa kwenye stocks, ndiyo maana hata Elon Musk alivyonunua Twitter, ilibidi auze stocks na atangaze kabisa anauza stock za Tesla ili kununua Twitter.

Siku Elon Musk alivyotangaza kuwa anauza stocks za Tesla ili kununua Twitter, stocks za Tesla zilishuka thamani kwa 7%, kwa siku moja tu.

Soma hapa.

Ulichokieleza hapo ndo hicho ambacho huwa nawaambia watu.

Kwamba utajiri wa hawa watu [mabilionea] siyo utajiri wa pesa taslimu zilizopo benki kwenye akaunti zao.

In a way, ni kama utajiri wa kufikirika unaotegemea kupanda na kushuka kwa masoko ya fedha.

Ndo maana hata Elon Musk alipoinunua Twitter, baadhi ya kiasi cha hela ilibidi akope benki.

I know Morgan Stanley coughed up about $3.5 billion. Bank of America pia walimpa mkopo pamoja na benki zingine za Japan, Ufaransa, na kwingineko.

Majuzi hapa Kanye West katoka kuwa bilionea wa bilioni takriban 4 za Kimarekani na kuwa milionea.

Kanye hakuwa na hayo mabilioni kwenye benki.

Balenciaga na wengine walipoamua kuacha kufanya naye kazi, ubilionea wake nao ukayeyuka.

Mabilionea wa kweli huwa ni akina Big Meech na akina El Chapo tu maana wao biashara zao hazihusiani na masoko ya fedha na hisa.
 
Ulichokieleza hapo ndo hicho ambacho huwa nawaambia watu.

Kwamba utajiri wa hawa watu [mabilionea] siyo utajiri wa pesa taslimu zilizopo benki kwenye akaunti zao.

In a way, ni kama utajiri wa kufikirika unaotegemea kupanda na kushuka kwa masoko ya fedha.

Ndo maana hata Elon Musk alipoinunua Twitter, baadhi ya kiasi cha hela ilibidi akope benki.

I know Morgan Stanley coughed up about $3.5 billion. Bank of America pia walimpa mkopo pamoja na benki zingine za Japan, Ufaransa, na kwingineko.

Majuzi hapa Kanye West katoka kuwa bilionea wa bilioni takriban 4 za Kimarekani na kuwa milionea.

Kanye hakuwa na hayo mabilioni kwenye benki.

Balenciaga na wengine walipoamua kuacha kufanya naye kazi, ubilionea wake nao ukayeyuka.

Mabilionea wa kweli huwa ni akina Big Meech na akina El Chapo tu maana wao biashara zao hazihusiani na masoko ya fedha na hisa.
Asante Kwa uchambizi wako , inshort ulichokiandika ndo ilivo, lkn ukipitia comments zote hutaona contributors yyte amesema pesa za hao mabillionears zipo Banks! Nadhani kaka mkubwaaa alikosea at first site kuwambia contributors kua hawajui wanachokiandika ndo mzozo ulipoanzia! Hayo yote mbona jarida la Forbes limeeleza vzuri jinsi statistics za hao billionaire znavokua monitored
 
You know why I'll respect you?
It's not because of your skeptical ideas!
It's because you are a platinum member! Meaning you are much older than me
Let us both not being mean to each other, we may some days grab a cup of coffee together!
Mr Kiranga i wish you very happy moments with your family and healthy Life , take a good Care
Sorry if I was being mean
Let's this one slide, it was just a little misunderstanding btn us.
Happy moments sir.
How do you know I want your respect?

How do you know that respecting people who are older than you is always right?

Where have I been mean to you? Is questioning your ability to read with comprehension being mean?
 
Asante Kwa uchambizi wako , inshort ulichokiandika ndo ilivo, lkn ukipitia comments zote hutaona contributors yyte amesema pesa za hao mabillionears zipo Banks! Nadhani kaka mkubwaaa alikosea at first site kuwambia contributors kua hawajui wanachokiandika ndo mzozo ulipoanzia! Hayo yote mbona jarida la Forbes limeeleza vzuri jinsi statistics za hao billionaire znavokua monitored
Wewe umeshindwa kusoma kwa ufahamu.

Sina hakika kwamba unaweza kujadiliana kwa viwango vinavyotakiwa.
 
Apana it's not surrendering, this is platinum member since 2009 dah lets not argue with him even if he attacked first, he is much way way older to argue with.
Let make peace brother.
This is a logical fallacy. Kwani watu wakubwa zaidi yako hawawezi kukosea?
 
That was indeed a wrong shot!
And mbaya Zaid alingilia personal space za activists wengi wa Twitter,
Kuna App mbadala yenye ufanano na Twitter ishatengezwa unaambiwa thouthands of users washa sign up y
Aliwafukuza wafanyakazi wote wa Twitter, pia Kuna Jambo aliongea la kuhusiana na Uhuru wa kuongea ama mawazo.akamgusa Biden kuwa Hakuna aliye juu ya Katiba ya marekani
 
Wakaanza kutaka kumchunguza ,pia nadhani anachati mno mtandaoni so nadhani na ego inamu attack. Yaani ego ni mbaya unajisikia kuwa wewe ndiye wewe wengine wote wajinga na hawajui kitu
 
Back
Top Bottom