Utajiri wa Dangote waporomoka; Sasa yuko nafasi ya 105 kutoka nafasi ya 51

WaTZ wengi hii ni habari njema sana kwao. Tuna kazi sana. But again, don't believe this though. Huenda Dangote nae kaanza ka mchezo ka "kutodiklea" vyote alivyonavyo msijempa invoice kama ya ACACIA three years later.
 
Kudrop kwa huyu bwana kumetokana na sera mbovu za kusimamia uchumi za Rais wa Nigeria. Hata uchumi wa Nigeria umeporomoka ikiwa pamoja na sarafu ya inchi yao.


Hapa Maguf ajifunze kitu.
Moja ya sera mbovu iloanzishwa na Rais wa Nigeria ni kuondoa hela za serikali kwenye mzunguko
 
Sio kwamba watu wanafurahia kwa roho mbaya....isipokuwa huo ndio uhalisia wa mwanadamu na hali hiyo ndio inayoleta ushindani kwenye nyanja mbali mbali.....

Matajiri wengi pia wanafurahia sana kuporomoka kwa mitaji ya wafanyabiasha wenzao maana....mfanyabiashara kama Bakhresa anapoporomoka kimtaji maana yake production yake haita meet demand ya customer wake hivyo inakuwa fursa kwa wafanyabiasha wengine kufanya biashara........

Ni kama vile Mangi anavyofurahia kufirisika kwa duka la jirani yake ili mauzo yaongezeke ingawa hataonyesha hadharani...kwani wanadamu ni wanafiki kwa asili.......

Na wakati mwingne watu wanafurahia anguko la matajiri kutokana na njia zao kandamizi pindi wanapotafuta mali na wengi mpaka wanadhurumu wananchi wanyonge..........

Kiufupi asili ya utajiri ni unyonyaji.....maana yake kuchukua cha wengi na kukifanya kuwa chako peke yako.....

Na huo ndio ubepari wenyewe na madhara yake yamesha anza kuonekana huko ulaya na wananchi wnaaandamana kuupinga....
 
Ningeshangaa, uwekeze Tanzania harafu utajiri wako uzidi kupanda, lazima usipojiongeza utaisha

hapa ni kazi tu.
Wala hiyo siyo sababu, kushuka kwa sababu Naira hela ya Nigeria imeporomoka thamani.
 
Ningeshangaa, uwekeze Tanzania harafu utajiri wako uzidi kupanda, lazima usipojiongeza utaisha

hapa ni kazi tu.
Portion aliyowekeza Tanzania haifiki hata asilimia kumi ya utajiri wake. Acheni kuongea pumbaa muda mwingine
 
Jamaa kalianzisha kakimbia na ka thread chake kisichokuwa na afya yaani mistari miwili tu kaandika kamaliza.

Wakati jambo lenyewe linahitaji data za kutosha. Kwa thread za kimajungu tuna safari ndefu sana watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
conclusion za kijinga kabisaa
 
Ndio nature ya mwanadam hyo. Hata ww ukiniona nina demu mzur lazma ummezee mate na utamani tuachane ili umchukue ww.
Hahahahaaa! Hata mpunga sina sasa nikipora mpenzi wako si itakuwa balaa. Mimi ninaye shemeji yako nilimuoa kabla ya uhuru wa Tanganyika.Tunamung'unya tu sukari-guru ya babu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…