utajiri wa diamond kuanikwa forbes...

We matola kilaza baba yako,utasemaje mtu tajiri kwa pesa za kurithi??,nenda shule kwanza ---- wewe, kama wao wamezikuta basi diamond kazitengeneza mwenyewe,huwezi ku compare mali za urithi na kutafuta mwenyewe ,kitobo chako cha nyuma kinamwaga oil chafu,ignorant mkubwa
 
Unajichosha mwenyewe mkuu,mi nikuchoshe kwa kipi?
 

Nakushangaa sana, mziki hapa bongo utajirike mpaka uingie kwenye list ya matajiri wa Forbes? Mtakata kiuno mpaka mpaka umri wa babu! Wekezeni kama mnataka utajiri, acheni ushamba wa kupigia hesabu HeLa ya mtu, pigia mahesabu HeLa yako, mtu akifanya vizuri msifie na wewe uchanganye upate hamasa uwe kama yeye, acheni ushamba na HeLa ndogo.

Body without head
 
Sasa ivi ndo naanza kuamini kweli TZ kuna umasikini wa kutupwa ivi mtu kama huyo kweli tunaweza ata kumweka kwenye list ya matajiri laki 1 wa Tanzania kwa ela ipi aliyonayo yani kutumika kama billboards za bidhaa za Coca-Cola na Vodacom ndo amekuwa tajiri zaidi ya waliompa hiyo tender.
 

Acha ujinga wewe wa kufikiria utajiri wa watu...kwa nini usijifikirie wewe kuwa kwenye jarida la Forbes......?
 
Poa freeland, ila punguza jazba aiseeh
 

Bado sana, tatizo ni mfumo wa usanii tunaofanya, mfumo ungekuwa mzuri wasanii wengi wangenufaika. . .let me ask you something,
Wewe ni shabiki wa diamond lets say. . .je kuna wimbo wowote wa diamönd umewahi kununua? Tanzania mbinu za ku commercialize sanaa ni ndogo sana bado. . .hivyo tusitegemee wasanii wetu kunufaika wakati hatuwanufaishi chochote zaidi ya kudownload nyimbo bure kwenye blogs.
 
bora hata ungesema kibongobongo hasheem tha beet,diamond forbes?Labda iwepo category ya wasanii wa music weusi wenye midomo mikubwa matajiri,vinginevyo mbona adebayor anaweza kumuajil amuoshee magari yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…