Na miss chagga jeee
Unafikiri nikianza nae atakuja huko kwako? Swaga zangu na PESA lazima akae
Ha ha ha nipo Nairobi nimesalimikaaa
We nae kwa umbea umezidi we hujui mke wangu huyo ona sasa umenizushia vuzu sijui kama sitachanwa viwembe leo
Nisamehe my wife alinitaka mwenyewe
Uuwwiii... tindikali naiona hiyooooo
Ulimuuliza yeye kama amenusurika na mafuriko na sio nyumba.
Umbeaa faniii utakomaa leo na hiv usiku huaga ni mrefuu ooi mi simooo
Umemtaka weweee usimsingiziee we mwambie unataka kuongeza bimdogoo
Ahsante binamu halafu hapa hotel nilipofikia kuna msanii nimemwona na njemba sijui ndo kujiuzaaaa
Msanii Gani tena hyo binamu?? Ndo kazi wanaoifanya wasanii nje ya nchi hakuna cha zaidi , ebu muanike apa tumpange
Ulimuuliza yeye kama amenusurika na mafuriko na sio nyumba.