Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

We nae kwa umbea umezidi we hujui mke wangu huyo ona sasa umenizushia vuzu sijui kama sitachanwa viwembe leo


Umbeaa faniii utakomaa leo na hiv usiku huaga ni mrefuu ooi mi simooo
 
Msanii Gani tena hyo binamu?? Ndo kazi wanaoifanya wasanii nje ya nchi hakuna cha zaidi , ebu muanike apa tumpange


Afu we Jamaa JoTi nadhani kaishapewa na LuLu kama nilivyosemaga !

Mana niliwaona Mbeya full kuongozana ! Kama mutu na Dada yake !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…