Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

Ukitaka kuona jinsi wanaume wanavyogombana kisa Dem we Mpe aanze lusungo uone !

Mkianza kudundana mniitee jamani nicheki movie la buree mie siku nyingi sijaona watu wanapiganaa
 
Last edited by a moderator:
Mmhhhhh nyumbaa wapiii hayo magarii yenyewe ya kupewaa tu mbona hawahongwii nyumbaaa!!!!!!!!halaf utajiri wa hawa ni wa msimu tu ikiwa kiangazi wanafuliaa kwenye masikaa wanakua matajirii duuuu

Binamu umeongea ya moyon kweli tena kwa hisia, usijal mi ntakutafutia Mwarabu wa Dubai yeye anakupa pesa ukanunue gari sio akupe gari kad achukue yeye
 
Tufanye we anza nae ! Ila Akija kwangu tunaweza kumzika mana sielewi hasira ntakazo kuwa nazo !
===Kwenye gem !

Unafikiri nikianza nae atakuja huko kwako? Swaga zangu na PESA lazima akae
 
Binamu umeongea ya moyon kweli tena kwa hisia, usijal mi ntakutafutia Mwarabu wa Dubai yeye anakupa pesa ukanunue gari sio akupe gari kad achukue yeye

Hahahaaa...
Nimependa hii
 
Binamu umeongea ya moyon kweli tena kwa hisia, usijal mi ntakutafutia Mwarabu wa Dubai yeye anakupa pesa ukanunue gari sio akupe gari kad achukue yeye

Mi binamu hapanaa nna pedejee langu nalipenda kwelii limeninunulia baiskeli ya injini nimeridhikaa kwelii miee
 
Back
Top Bottom