Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipo kinachonichoma sio sred muone....
Mkuu mbona wanifanyia kijicho? Teh teh teh
Mkuu mbona wanifanyia kijicho? Teh teh teh
Mkianza kudundana mniitee jamani nicheki movie la buree mie siku nyingi sijaona watu wanapiganaa
Mie nitakuwa mshika filimbi
Mmhhhhh nyumbaa wapiii hayo magarii yenyewe ya kupewaa tu mbona hawahongwii nyumbaaa!!!!!!!!halaf utajiri wa hawa ni wa msimu tu ikiwa kiangazi wanafuliaa kwenye masikaa wanakua matajirii duuuu
Tufanye we anza nae ! Ila Akija kwangu tunaweza kumzika mana sielewi hasira ntakazo kuwa nazo !
===Kwenye gem !
Tufanye we anza nae ! Ila Akija kwangu tunaweza kumzika mana sielewi hasira ntakazo kuwa nazo !
===Kwenye gem !
Binamu umeongea ya moyon kweli tena kwa hisia, usijal mi ntakutafutia Mwarabu wa Dubai yeye anakupa pesa ukanunue gari sio akupe gari kad achukue yeye
miss chagga njoo umuone lusungoo hukuuu
Dinazarde usiniwekee kitumbua changu mchanga.Na miss chagga jeee
Binamu umeongea ya moyon kweli tena kwa hisia, usijal mi ntakutafutia Mwarabu wa Dubai yeye anakupa pesa ukanunue gari sio akupe gari kad achukue yeye