TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,690
- 2,433
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Treat me like a queen lusungo mambo ya kupekuliwa pekuliwa airport no noooo.... VIP tu....
Magari sio utajiri. Aonyeshe income statements pamoja na mali zake sizizohamishika tujue net worth. Pesa haijifichi na hakuna pesa isiyo na chanzo.
Hayo mambo ya akina waheshimiwa first class
cc : Heaven on Earth
mwenzenu anaendelea kumake money nyie mnaendelea kupiga domo tu
anavaa nepi siku hizi kama OD, je wajua hilo?
Ivi OD ndo nani
Taratibu usinchimbe..
Kesho nina hot news mida ya hasubuhi so msicheze mbali ntaunganisha kidogo na ile ishu ya shigongo though ctamtaj jina umo ila mtaelewa, maana watu waliulizia sana ubuyu wa shigongo ila heading aitakuwa yake Dinazarde , Heaven on Earth, lusungo, snipa, TATIANA, mama kibunju, Evelyn Salt, Mrembo by Nature, Money Stunna
Nikisema utajir yaan ki bongo movie ndo anawakimbiza na sio kwa Tz mkuu, jaribu kuelewa maana Irene hata kwa jide aingii ndan achilia mbali mwanvita makamba
Don't treat these things so serious utaumia , just take it easy as its
Punguza jazba,ni mpuuzi tuu anaeweza chukulia mambo ya jf serious. Mantiki yangu ni kwamba kutumia kigezo cha magari wanayoyasema au kuonekana nayo bongo star wa kike sio kigezo sahihi cha kupima utajiri wao. Sasa kuumia kwangu na seriousness vipo wapi hapo.
Tulia kwanza , nadhan nimeshakujibu na umenielwa mkuu , siasa Mimi siziwez naona ndio fani yako
Hayaa binamuu ninaombaa uutoee mida yaa saa 4 hivi asubuhi akili itakua imekaa sawaaaa
Kesho nina hot news mida ya hasubuhi so msicheze mbali ntaunganisha kidogo na ile ishu ya shigongo though ctamtaj jina umo ila mtaelewa, maana watu waliulizia sana ubuyu wa shigongo ila heading aitakuwa yake Dinazarde , Heaven on Earth, lusungo, snipa, TATIANA, mama kibunju, Evelyn Salt, Mrembo by Nature, Money Stunna
Ukiyeyusha tu nina wewe mie nasubiri