Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Acha basii kumuambia Heaven on Earth kuhusu hao first class
nishampata mmoja mie kwa raha zangu..........
uchumi tumeukalia halafu unalalmika maisha magumu sitaki mie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha basii kumuambia Heaven on Earth kuhusu hao first class
Wazima humu ndani...miss u mingimingi.. umbea nautaka ila nimetingwa balaa halafu
Bibie watu wanaitwa mama mwenye nyumba sio mama mwenye magari hayo makopo hata watoto wanachezea tuinyeshe mijengo yako mbezi masaki magorofa kariakoo ndio tutakuita mawanamke hodari magari fyuuu
Mapedesheee first class
Wazima humu ndani...miss u mingimingi.. umbea nautaka ila nimetingwa balaa halafu
We warumi bado tu hujanitafutia pedeshee first class
Bibie watu wanaitwa mama mwenye nyumba sio mama mwenye magari hayo makopo hata watoto wanachezea tuinyeshe mijengo yako mbezi masaki magorofa kariakoo ndio tutakuita mawanamke hodari magari fyuuu
hao ndio nnaowataka hata nikiwa na0 7
Tigo yake inalipa !
Binamu wewe c nilisikia mpo kwenye mchakato wa kuwanasa waheshimiwa first class wewe na Heaven on Earth na hata hamjatupa feedback uko bungeni
Naonaa umeamuaa hutakii njaaa aisee
nishampata mmoja mie kwa raha zangu..........
uchumi tumeukalia halafu unalalmika maisha magumu sitaki mie
Tigo yake inalipa !
hao ndio nnaowataka hata nikiwa na0 7
Mmmmmhhhhh hupatikaniii yakheeee