Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Jamani nitumieni basi na mie lol.....
Kumbe hili tatizo ni kubwa kuliko tunavyodhani eeeh....uuuwii nasikia kuharisha mimi
Tayari nime ku PM !
Sorry nilikuwa Tech & Gadgets kulee ! Juu !
Snipa hebu ntupie nami mana toka jana nimeisubiria
Yaan mnaniuaa kila mmoja akija anataka kurushiwaaaa jaman umbeaa mtamuu aisee
Shurti umpe n mwenzio
Snipa hebu ntupie nami mana toka jana nimeisubiria
Hahhhhahha kakurushiaaa sasaaa
Shosti nimechelewa kuja sijajua ni nini chaendelea ila na mimi nataka
Cc Heaven on Earth
Hahhhahahhhahha jamaniii