Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

Please msinibanie huo uzi nami nijue mambo yaliyojiri mbona mnakuwa hivyo.
 
Please msinibanie huo uzi nami nijue mambo yaliyojiri mbona mnakuwa hivyo.


Na wewe unalalamika utafikiri umenyimwa kweli hivi heeee !

Mpaka unyimwe kwani ni hela hizi?
Angalia PM !
 
Na wewe unalalamika utafikiri umenyimwa kweli hivi heeee !

Mpaka unyimwe kwani ni hela hizi?
Angalia PM !

Msaada wa huo ubuyu kiongozi maana waonekana mtamu na una kitu cha pilipili kwa mbali.
 
Senkyuuu nimeuona jamani bora Yesu arudi.

Sasa ivi inabid nibadilishe heading , ntakuwa naweka heading nyepes ukiingia ndan mambo mazito, mpaka wautoe Uzi ubuyu ushachacha
 
Sasa ivi inabid nibadilishe heading , ntakuwa naweka heading nyepes ukiingia ndan mambo mazito, mpaka wautoe Uzi ubuyu ushachacha


Uwe una nishtua basi lini unauachia ! Nami nifanye yangu !
Kimtindo !

Teh teh mungu inusuru Tanzania !

:msela:
 
Uwe una nishtua basi lini unauachia ! Nami nifanye yangu !
Kimtindo !

Teh teh mungu inusuru Tanzania !

:msela:


Ukishtuliwa unanishtua na mie maana nnakosakosa mambo humu.

Hujambo snipa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom