Usinisahau wakati unatembeza ubuyuHahaaaa wanajitoaga ufahamu ! Nakujifanya hawaelewi !
Ngoja nikirudi home ! Ntatembeza PM !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinisahau wakati unatembeza ubuyuHahaaaa wanajitoaga ufahamu ! Nakujifanya hawaelewi !
Ngoja nikirudi home ! Ntatembeza PM !
Huo ubuyu nautamani hatari,me n mpenda ubuyu mwenzenu ila busy nashndwa hata kua active...msaada wa ubuyu maana umbea umenikamata
Umeuona ubuyu?
Rusha rusha tena zote.... ya Joan ninayo kwikwikiiii...
Tayari ! Nimeishatuma !
Cc : warumi , lusungo, Heaven on Earth, Evelyn Salt, Dinazarde, amu, ladykims, Kim nana, Mrembo by Nature
afu baada ya kuandika Earth nikaandika Desert ! Duuuuu noma sana ! Haikuwa yako ile PM heaven on desert ! Sorry sana ! Mheshimiwa !
:msela:
![]()
BaBa Haji ! Huyo apo
Mi nimeishia hapo !
First class tembezeaneni PM na warumi ! Pamoja na lusungo
Waaambie kina amu , Heaven on Earth, Evelyn Salt,
my wife TATIANA ! Na wengineeeeee !
Tayari ! Nimeishatuma !
Cc : warumi , lusungo, Heaven on Earth, Evelyn Salt, Dinazarde, amu, ladykims, Kim nana, Mrembo by Nature
afu baada ya kuandika Earth nikaandika Desert ! Duuuuu noma sana ! Haikuwa yako ile PM heaven on desert ! Sorry sana ! Mheshimiwa !
:msela:
Poa kaka !
Umeuona ubuyu?
Mkuu why ume disable pm? Nirushie madude yoteeee
Ni add as a Friend !
Niki accept utaweza kunitumia !
Dear nimerejea mchana huu ngoja niweke mambo sawa ntakutafutaa..
Halafu ubuyu mbona mumeo hunipi? Haya nakuhitaji PM fastaaaa
Njo PM kaka !
Aisee usitusahau na sie...
Dear si nimeona umetumiwa na sharobaro!!!
Hebu jitahidi unione fasta maana am dying to hug you...
Njo PM kaka !