Njo PM kaka !
Thanks nimepata ubuyu mtamu ila mchungu, mabwaku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njo PM kaka !
OK dear naona kama ubuyu upo mwingii labda wa kwako ladha tofauti
una swali ?
Njo PM sahizi !
Accept kwanza request hivi hiv hutaweza !
Dear si nimeona umetumiwa na sharobaro!!!
Hebu jitahidi unione fasta maana am dying to hug you...
Tayari ! Nimeishatuma !
Cc : warumi , lusungo, Heaven on Earth, Evelyn Salt, Dinazarde, amu, ladykims, Kim nana, Mrembo by Nature
afu baada ya kuandika Earth nikaandika Desert ! Duuuuu noma sana ! Haikuwa yako ile PM heaven on desert ! Sorry sana ! Mheshimiwa !
:msela:
Hahahaha itabidi tuchezee PM sasa huku wanga wengi
Yeleuwiiii Mimi umbea wangu nitautoa humu humu jukwann , maana PM nakuwa bado kitu kimenikaba rohon, akina snipa mtanisaidia Ku kamat thread ili wengine waipate PM kama zikichukuliwa, yaan Nina mahabari mazito hatari, wadau mbali mbali wana ni PM kuhusu scandal za watu mbali mbali duh had kizungu zungu hadi najuta kwa nini nimezisikia, duh kweli Dunia ina mambo
Naona siku izi Team ukweli na uwazi Sijui kastaafu umbea au kafulia maana sijaona ubuyu wake kitambo
We umeblock bwanaa
Yeleuwiiii Mimi umbea wangu nitautoa humu humu jukwann , maana PM nakuwa bado kitu kimenikaba rohon, akina snipa mtanisaidia Ku kamat thread ili wengine waipate PM kama zikichukuliwa, yaan Nina mahabari mazito hatari, wadau mbali mbali wana ni PM kuhusu scandal za watu mbali mbali duh had kizungu zungu hadi najuta kwa nini nimezisikia, duh kweli Dunia ina mambo
Accept Request kwanza !
Ambae hayupo kwenye contacts zangu hawezi kuni PM zaid ya Mods !
haaaa nitumie wewe basi ni accept !
haaaa nitumie wewe basi ni accept !