Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

Mkuu snipa asante kwa PM mhhh mazito aisee nimeshindwa kukujibu kule nimeambiwa hujaruhusu pm barikiwa

Hata Mimi nimeambiwa hivyo hvyo snipa ebu itoe bhna tupeana ma raha ya jiji, maana tunashangaaa tu hatujui kinachoendelea nyuma ya pazia kuhus hawa mastaa wetu
 
Last edited by a moderator:
Hata Mimi nimeambiwa hivyo hvyo snipa ebu itoe bhna tupeana ma raha ya jiji, maana tunashangaaa tu hatujui kinachoendelea nyuma ya pazia kuhus hawa mastaa wetu

Hahahaha itabidi tuchezee PM sasa huku wanga wengi
 
Last edited by a moderator:
Dear si nimeona umetumiwa na sharobaro!!!
Hebu jitahidi unione fasta maana am dying to hug you...

Yeleuwiiii Mimi umbea wangu nitautoa humu humu jukwann , maana PM nakuwa bado kitu kimenikaba rohon, akina snipa mtanisaidia Ku kamat thread ili wengine waipate PM kama zikichukuliwa, yaan Nina mahabari mazito hatari, wadau mbali mbali wana ni PM kuhusu scandal za watu mbali mbali duh had kizungu zungu hadi najuta kwa nini nimezisikia, duh kweli Dunia ina mambo
 
Last edited by a moderator:
Hata Mimi nimeambiwa hivyo hvyo snipa ebu itoe bhna tupeana ma raha ya jiji, maana tunashangaaa tu hatujui kinachoendelea nyuma ya pazia kuhus hawa mastaa wetu

Na vi...ongo....zi pia
 
Last edited by a moderator:
Yeleuwiiii Mimi umbea wangu nitautoa humu humu jukwann , maana PM nakuwa bado kitu kimenikaba rohon, akina snipa mtanisaidia Ku kamat thread ili wengine waipate PM kama zikichukuliwa, yaan Nina mahabari mazito hatari, wadau mbali mbali wana ni PM kuhusu scandal za watu mbali mbali duh had kizungu zungu hadi najuta kwa nini nimezisikia, duh kweli Dunia ina mambo

Tumwagie mpya bhana angalau wajue tunajua lambda watabadilika
 
Last edited by a moderator:
Naona siku izi Team ukweli na uwazi Sijui kastaafu umbea au kafulia maana sijaona ubuyu wake kitambo

Hizi team za insta zimefulia kweli.. Kama huyu usipojipantakunga kila siku kumnanga kajala tu....aaagh boring
 
Yeleuwiiii Mimi umbea wangu nitautoa humu humu jukwann , maana PM nakuwa bado kitu kimenikaba rohon, akina snipa mtanisaidia Ku kamat thread ili wengine waipate PM kama zikichukuliwa, yaan Nina mahabari mazito hatari, wadau mbali mbali wana ni PM kuhusu scandal za watu mbali mbali duh had kizungu zungu hadi najuta kwa nini nimezisikia, duh kweli Dunia ina mambo


Poa !
Ukitoa tu naikwapua !
!

Afu tunafanya hivi :msela:

Maisha Mtelezo
 
Last edited by a moderator:
Hata Mimi nimeambiwa hivyo hvyo snipa ebu itoe bhna tupeana ma raha ya jiji, maana tunashangaaa tu hatujui kinachoendelea nyuma ya pazia kuhus hawa mastaa wetu


Ngoja ntaitoa kaka ! Hahaaaaaa

:msela:

Maisha Mtelezo
 
Last edited by a moderator:
haaaa nitumie wewe basi ni accept !

Hata mie nashangaa nikajua sababu ya maubuyu tunayotembezeana wakakublock pms.
Nlitaka kukushukuru kwa kunikumbuka.
Ahsanteee ubarikiwe uwe unanikumbuka hivyohivyo
 
Back
Top Bottom