Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa

Jameni gaweni tu maubuyu mmepewa bure toeni bure maana nasikia wengine washaanza kuuziana aiseeh watu wabayaa

Jamani ubuyu wa jioni sijaupata, nimepata wa asubuhi tu.....ntaumwa mwenzenu.
 
Last edited by a moderator:

Asante my dada, nimeanza kuiogopa tanzania, acha nibakie huku huku Sumbawanga vijijini niendelee kushika jembe. Huo mtandao wa sembe naona kama haugusiki, huu mtandao umeniumiza sana moyo wangu ila na sisi vijana tamaa tumeweka mbele na kazi hatutaki kufanya
 
Ukisoma Kitabu cha mafanikio na laana ya makalio utajua manake
 
Asante my dada, nimeanza kuiogopa tanzania, acha nibakie huku huku Sumbawanga vijijini niendelee kushika jembe. Huo mtandao wa sembe naona kama haugusiki, huu mtandao umeniumiza sana moyo wangu ila na sisi vijana tamaa tumeweka mbele na kazi hatutaki kufanya

Vijana tulio wengi tunapenda shortcut,wanasahau magendo siku zote mwisho wake ni mbaya.
 
Asante my dada, nimeanza kuiogopa tanzania, acha nibakie huku huku Sumbawanga vijijini niendelee kushika jembe. Huo mtandao wa sembe naona kama haugusiki, huu mtandao umeniumiza sana moyo wangu ila na sisi vijana tamaa tumeweka mbele na kazi hatutaki kufanya

Usiigope we komaa tu....
 
Tutakomaa mpaka kieleweke binamu noo kurudi kijijini

Halaf nimesahau kukupa dili binamu, vijana waki 10 na wa kiume 4 wanahitajika Dubai kufanya kazi kwenye message parlour. Mkienda uko mnapelekwa china kusomea koz hyo mwez mmoja then mnarud Dubai kupiga mzigo rasmi. Gharam zote ni juu yao wewe tu
 
Halaf nimesahau kukupa dili binamu, vijana waki 10 na wa kiume 4 wanahitajika Dubai kufanya kazi kwenye message parlour. Mkienda uko mnapelekwa china kusomea koz hyo mwez mmoja then mnarud Dubai kupiga mzigo rasmi. Gharam zote ni juu yao wewe tu

Heheheee...siku imeanza vyema Leo...hebu nipe full detail niende zangu Dubai mimi.
 
Halaf nimesahau kukupa dili binamu, vijana waki 10 na wa kiume 4 wanahitajika Dubai kufanya kazi kwenye message parlour. Mkienda uko mnapelekwa china kusomea koz hyo mwez mmoja then mnarud Dubai kupiga mzigo rasmi. Gharam zote ni juu yao wewe tu

Mmmmhhhhhhhhhhhhhh boraa nilee mumeee nawaachia wengine hiii
 
Back
Top Bottom