TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,690
- 2,433
dah upo faster kama jwtz commandoz
I am CERTIFIED MMBEA....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah upo faster kama jwtz commandoz
Jameni gaweni tu maubuyu mmepewa bure toeni bure maana nasikia wengine washaanza kuuziana aiseeh watu wabayaa
Jamani ubuyu wa jioni sijaupata, nimepata wa asubuhi tu.....ntaumwa mwenzenu.
Uwe una nishtua basi lini unauachia ! Nami nifanye yangu !
Kimtindo !
Teh teh mungu inusuru Tanzania !
:msela:
Ulinisahau binamu, nifanyie hivyo basi na mimi nimung'unye mautamu ya huo ubuyu.Tayari ! Nimeishatuma !
Cc : warumi , lusungo, Heaven on Earth, Evelyn Salt, Dinazarde, amu, ladykims, Kim nana, Mrembo by Nature
afu baada ya kuandika Earth nikaandika Desert ! Duuuuu noma sana ! Haikuwa yako ile PM heaven on desert ! Sorry sana ! Mheshimiwa !
:msela:
Pole Sana....uwe unatupitiapitia Kama hivi...ulipata ubuyu wa jioni PM?
nisaidie na mimi hayo makitu nijilambe jamani, haya mambo ya kuishi kusipokuwa na net tunakosa mengi.
Ok okey
Asante my dada, nimeanza kuiogopa tanzania, acha nibakie huku huku Sumbawanga vijijini niendelee kushika jembe. Huo mtandao wa sembe naona kama haugusiki, huu mtandao umeniumiza sana moyo wangu ila na sisi vijana tamaa tumeweka mbele na kazi hatutaki kufanya
Asante my dada, nimeanza kuiogopa tanzania, acha nibakie huku huku Sumbawanga vijijini niendelee kushika jembe. Huo mtandao wa sembe naona kama haugusiki, huu mtandao umeniumiza sana moyo wangu ila na sisi vijana tamaa tumeweka mbele na kazi hatutaki kufanya
Akomae tu kama shilole, maana hili jiji ni noumaa utajikuta unarud mpwapwa bila kupenda
Tutakomaa mpaka kieleweke binamu noo kurudi kijijini
Halaf nimesahau kukupa dili binamu, vijana waki 10 na wa kiume 4 wanahitajika Dubai kufanya kazi kwenye message parlour. Mkienda uko mnapelekwa china kusomea koz hyo mwez mmoja then mnarud Dubai kupiga mzigo rasmi. Gharam zote ni juu yao wewe tu
Halaf nimesahau kukupa dili binamu, vijana waki 10 na wa kiume 4 wanahitajika Dubai kufanya kazi kwenye message parlour. Mkienda uko mnapelekwa china kusomea koz hyo mwez mmoja then mnarud Dubai kupiga mzigo rasmi. Gharam zote ni juu yao wewe tu
Mmmmhhhhhhhhhhhhhh boraa nilee mumeee nawaachia wengine hiii