Kuanzia sasa hii naiweka yangu sokoni rasmi...haijawahi tumika..
Dalali anahitajika kwa ajili ya ya hii...Changamka Kama we ni dalali..
Binamu wewe c nilisikia mpo kwenye mchakato wa kuwanasa waheshimiwa first class wewe na Heaven on Earth na hata hamjatupa feedback uko bungeni
Tigo mtandao wenye bei nafuu........(Inalipa)
Ni Muhimu Sana Aisee Nami Ni Dalali Na Pia Mimi Mwenyewe Nazihitaji Sana !
Itabidi tuongevizuri
manaiki.sanga@gmail.com ====> nicheki
Warumi alivyo hana adabuy atakuambia akupe Gadnaa, je yule wa Lulu utamuwezaaa!!!!!
wa kwanza niliompata kumbe alikuwa UKAWA keshasepa bungeni...
nimepata mwingine si haba wallah niseme nini mie
Kuanzia sasa hii naiweka yangu sokoni rasmi...haijawahi tumika..
Dalali anahitajika kwa ajili ya ya hii...Changamka Kama we ni dalali..
Binamu si unaona hali ya bunge maalumu haileweki... ngoja patulie
Tutafutie wa huku uraiani kwanza
wa kwanza niliompata kumbe alikuwa UKAWA keshasepa bungeni...
nimepata mwingine si haba wallah niseme nini mie
Ni Muhimu Sana Aisee Nami Ni Dalali Na Pia Mimi Mwenyewe Nazihitaji Sana !
Itabidi tuongevizuri
manaiki.sanga@gmail.com ====> nicheki
manaiki kama kikojoleo chake kingekuwa pensel amgekuwa kabakia na ufutio tu
Hahhhahhhahhhahhhahha mi hoiii hapaaa
Ni Muhimu Sana Aisee Nami Ni Dalali Na Pia Mimi Mwenyewe Nazihitaji Sana !
Itabidi tuongevizuri
manaiki.sanga@gmail.com ====> nicheki
Ni Muhimu Sana Aisee Nami Ni Dalali Na Pia Mimi Mwenyewe Nazihitaji Sana !
Itabidi tuongevizuri
manaiki.sanga@gmail.com ====> nicheki
Hebu niunganishe na mie shosti nimechoka kupauka Kama dagaa
damwani we hutaki.............
manaiki kama kikojoleo chake kingekuwa pensel amgekuwa kabakia na ufutio tu
Hihiiiii , kijana u are so witty