Utajiri wa Irene Uwoya ni balaa


Mi ntaacha kutumiaa Smartfon wallah
 
Masharti umemuwekeaa mengii hadi nawe uonje mzigoo lol

Hilo ndo sharti la muhimu , na hairuhusiwi kuchukua namba ya mtu atakayeenda kulala nae , Mimi ndo ntamuelekeza had sehemu ya Tukio kama boss akikolea na wewe, apo ndo utapewa mawasiliano ya boss, maana mnasumbuaga sana mkishhongwa dola mia nne mnapiga simu kila wakat mkitak tena, wee muulize wema kilichompata kwa mwami kule kenya
 

Alifanyajeeee huko Kenyaaaa
 
warumi unamkumbuka yule baba wa BOT alokuwa akihonga zile gari nyekundu
 
Last edited by a moderator:
Dear wacha na mie niuweke mtandao wangu sokoni


Ukianza kazi huo mtandao niarifu nianze kuutumia....

moyo wangu umewaka kama nini kuisikia habari hiyo nipo tayari kuuza shama ili kununua vocha yake

usinikose nusuuzepo roho mie....
 

Hahahahaaa...nitahakikisha nampagawisha ipasavyo ili anipe macontakt
 
Ukianza kazi huo mtandao niarifu nianze kuutumia....

moyo wangu umewaka kama nini kuisikia habari hiyo nipo tayari kuuza shama ili kununua vocha yake

usinikose nusuuzepo roho mie....

Tigo habar nyingine binamu , mi nilionjaga siku moja aiseeh nkajisemea moyon Clement alikuwa ana haki ya kumwagia madame mpunga wa maana aiseeh , japokuwa sasa ivi nimestaafu
 
Ndo utuambie kilichompata Warumi
 
Nimeshampa Dinazarde go ahead

Hakuna Shida Ila nimesema kesho nna Gem !
Baada ya hapo itabidi nikuvutie pumzi ya maana !
Kama siku moja hivi au unataka niunganishie bila kupumzika hata one day !
 
Last edited by a moderator:
Ndo utuambie kilichompata Warumi
Alitombw@ mara moja akaanza kusumbua anataka tena ma dolali, unaambiwa ukishapewa dozi moja tu bhaas unarud kwenu kwa mtogoli , ila bata za kufa mtu unazipata na raha zote za dunia ndani ya siku zisizozid mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…