Povu la Shetani utalijua. Sijui ni kamasi gani uliloandika hapo. Shame on you!!! Bora ukae kimya kuliko kuandika mineno miiingi kumbe pumba tupu!!
Kwahiyo anatupiga changa la macho kwa kigezo cha uchungaji..ama nini..?
Basi sheha yahaya angekuwa tajiri no 1 Tanzania
Ukimtumikia Mungu wa kweli hauwezi kufa njaa. Na hayo ndio matunda ya utumishi.. Hongera Gwajima
Kuna uozo mkubwa sana kwenye haya makanisa uchwara ndugu yangu we acha tu natamani niongee mengi lkn ban itanikuta hapa au uzi utafungwa ni noma sana haya mambo dunia imekuwa ya ajabu sana kwa kutaka utajiri tu na tunasahau maisha baada ya kifo.
Wacha wafu wazike wafu wao.....Kanisa langu tunakaribia kuzindua Shule ya Sekondari na Hospitali kwa sadaka za waumini.....Wengine sadaka za Wsumini wanashindania magari ya kifahari..
Vingozi wa madhehebu kama catholic wao ndo hivyo tena,wanawaona wenzao wa kilokole haoo wanapaa juu.punde tutasikia jamaa anamiliki private jet.
na mie nataka kuwa mchungaji jamani.......
Ukimtumikia Mungu wa kweli hauwezi kufa njaa. Na hayo ndio matunda ya utumishi.. Hongera Gwajima
Unnawazimu wewe...Tafadhali sana naomba usilihusishe kanisa Takatifu na hao matapeli....Huwezi shindana na Kanisa Katoliki kamwe ni level ingine.....Kanisa siyo mali ya mtu binafsi ni taasisi na waumini wanaliongoza kanisa....Padre hana mamlaka na mapato na matumizi ya sadaka bali ni weaumini...
WAumini ndo wanamchagulia gari la kutolea huduma ya kiroho, pia waumini ndo wanao mjengea kanisa Padre.....Hao hao waumini wa Makanisa kanja njaa kucha kutwa wanaomba ili watoto wao wapate angalao nafasi kwenye shule za Kanisa Katoliki....Hili nimelishuhudia mm mwenyewe...
Kanisa lina amini muumini lazima akue kiroho na kimwili...Kukua kimwili ni pamoja na kupata elimu bora katika shule bora na walimu wa viwango vya juu...Ndo maana kanisa linashule nyingi sana...Je wajua thamani ya shule kama Marian au St Francis ya Mbeya...? ni zaidi ya huo utumbo wa huyo Tapeli Gwajima Period...