Utajiri wa maaskofu Tanzania: Gwajima tajiri no.1

Utajiri wa maaskofu Tanzania: Gwajima tajiri no.1

Akiwapa mfano ya jinsi ilivo rahisi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuingia mbinguni"
 
hongera Gwajima! ni mchungaji ambaye amejiweka wazi kwa waandishi wa habari! wengine wanaficha sijui kwa nini!
 
Gwajima ndio bingwa wa kusafirisha sembe kupitia maiti na anavijana ambao kazi yao ni kumdanganya mtu kwa kinywaji na kinakuwa tayari na sumu tayari kwa kuuwa na dr wake yupo tayari kuchana na kushona izo maiti, na huyo dr anatoa mpaka death certificate kitu ambacho huwezi kupata kienyeji, nitamtafuta jamaa alieponea chupuchupu kwenye mkasa huu, angalizo wale wote wanaopotelewa na ndugu gafla bila kuona maiti au tahatifa yoyote mpaka wamekata tamaa wajue kuna hili, mungu atuepushe na balaa hili kweli tajiri kuona ufalme wa mbinga ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano. , NB:nawasihi wale wote wapenda ofa na bia za bure ndio wanapatwa kirahisi sana na huyu jamaa.

Kwahiyo anatupiga changa la macho kwa kigezo cha uchungaji..ama nini..?
 
Sembe haihusiki hapo??!! Just curious...............................
 
Mabasi spesho oda ni hayo pichani au????!!!!!

Kwa hiyo 192M ndio chanzo kikuu cha mapato???!!!!!! Angefilisika siku nyingiiiiiii

Hebu tuchukue 192m tugawanye kwa siku za mwaka 365!!!!

Halafu hiyo pesa tuweke mafuta hayo mabasi 20,road licence,bima na routine service!!!!!!

Achilia umeme na mengineyo,ujenge na ghorofa nne ya makazi,gari ya kutembelea 250m, uwanunulie na wachungaji magari 30!!!!!!

Kweli mungu anamtendea miujiza!!!!

Hebu afunguke zaid kama kaamua kuanika ili wachungaji wadogo wadogo na masikini nao wafuate nyayo.

Chanzo KIKUU cha mapato ni Yesu Kristo wa Nazareth... Hiyo safari ya ulaya si chanzo kikuu Mkuu. Hiyo ni moja ya safari anazofanya kwa mwaka. Mambo ya ngoswe yabakie kuwa ya ngoswe na ya Mungu yabakie hivyo hivyo.
 
Kazi nzuri sana hii inalipa aisee ngoja ntajaribu
 
Gwajima ndio bingwa wa kusafirisha sembe kupitia maiti na anavijana ambao kazi yao ni kumdanganya mtu kwa kinywaji na kinakuwa tayari na sumu tayari kwa kuuwa na dr wake yupo tayari kuchana na kushona izo maiti, na huyo dr anatoa mpaka death certificate kitu ambacho huwezi kupata kienyeji, nitamtafuta jamaa alieponea chupuchupu kwenye mkasa huu, angalizo wale wote wanaopotelewa na ndugu gafla bila kuona maiti au tahatifa yoyote mpaka wamekata tamaa wajue kuna hili, mungu atuepushe na balaa hili kweli tajiri kuona ufalme wa mbinga ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano. , NB:nawasihi wale wote wapenda ofa na bia za bure ndio wanapatwa kirahisi sana na huyu jamaa.

Povu la Shetani utalijua. Sijui ni kamasi gani uliloandika hapo. Shame on you!!! Bora ukae kimya kuliko kuandika mineno miiingi kumbe pumba tupu!!
 
Chanzo KIKUU cha mapato ni Yesu Kristo wa Nazareth... Hiyo safari ya ulaya si chanzo kikuu Mkuu. Hiyo ni moja ya safari anazofanya kwa mwaka. Mambo ya ngoswe yabakie kuwa ya ngoswe na ya Mungu yabakie hivyo hivyo.

Katoa ushirikiano wa haki ya juu na hayo kayasema yeye!!!!!
Na hakusema juu ya safari nyingine sababu sio significant au muongo!!!!!!
Unapoongelea utajiri halafu husemi chanzo kikuuu unakuwa unamaanisha nini!!!!!

By the way wewe na yeye nani reliable zaid????!!!

Save your energy son of God
 
Katoa ushirikiano wa haki ya juu na hayo kayasema yeye!!!!!
Na hakusema juu ya safari nyingine sababu sio significant au muongo!!!!!!
Unapoongelea utajiri halafu husemi chanzo kikuuu unakuwa unamaanisha nini!!!!!

By the way wewe na yeye nani reliable zaid????!!!

Save your energy son of God

Save yours too!!! Amen!
 
Vingozi wa madhehebu kama catholic wao ndo hivyo tena,wanawaona wenzao wa kilokole haoo wanapaa juu.punde tutasikia jamaa anamiliki private jet.
 
Back
Top Bottom