Utajiri wa Magofu ya Rapta

Habari ya uongo ya kutunga, sema mji waweza kuwa kweli. Ulipoenda kwa Merry hapo ndiyo umeharibu, yaani uwakute wawili na mizinga ya pombe na vipisi halafu ujitupe kulala na Merry arudi eti asubuhi na pikipiki, idiot hujui kutunga story, rudi shule.
 
MANUELA: calm down Ludovic......i know a lot about you"
(Usijali Ludovic, najua mengi kuhusu wewe)

"ila kwa sasa nina majukumu mengi naomba uende tutaongea baadae. Ishi na Javier kwa tahadhari kubwa sana kwani anachuki isiyoelezeka dhidi ya watu weusi"

mpaka muda huo Manuela alikua ameniweza kwenye kila angle nilibaki na maswali mengi sana kiukweli.

Mbaya zaidi akati anaondoka aliniambia nawapa shida wazee wangu kwani siku ya jana walilazimika kusafiri kwenda ngara kwenye mazishi ya aliyekua mwanafunzi mwenzangu ambaye alifariki kwa kuzama chooni.


Sikujua ni mwanafunzi yupi ila kwa maelezo ya haraka sana Manuela alidai kuna mwanafunzi alizama chooni na kufariki kabisa. Mwanafunzi huyo alikua ni mzawa wa ngara na sababu ya wazee wangu kwenda huko ilikua ni utata wa msiba huo. Kwani wazazi wa kijana aliyemtaja kwa jina la yunus walikataa kuupokea mwili wakidai kijana wao yupo hai.

Sababu iliyopelekea mzee massawe kwenda huko ni kuona mwili huo, lakini hakuambulia chochote kwani haukua mwili wa kijana wao.

By the way Yunus nilikua namjua vizuri kama sikosei alikua ni kiongozi wa ukwata shuleni pale. Hivyo taarifa ya kifo chake ilinihuzunisha sana, kuanzia hapo niliamini Manuela anaweza kua msaada kwangu kwanza kwa kuijua lakini pia kuijua asili yangu.


Sikutaka kujua lolote kuhusu amenijuaje na amewajuaje wazee wangu pamoja na taarifa za zaida kama kufukuzwa shule na nyingine.

Mpaka wakati huo nilijua Manuela sio mtu wa kawaida kuna uwezekano akawa agent wa inteligensia kwa jinsi alivyobadilika usiku huo na ukiangalia uwepo wa wahalifu wengi maeneo hayo.

Baada ya kuyafikiria maswali yake nilihisi kuna uwezekano mkubwa akawa anatafuta taarifa zinazomuhusu Javier na washirika wake.

Tuliachana pale huku yeye akiendelea na mambo yake mengine akinisisitiza niwe makini na Javier lakini nisimuambie kuhusu kukutana nae.

Hapo sasa nilikua dilemma kati ya wawili hao yani kati ya Javier na Manuela nani yupo sahihi. Kura za uaminifu zilienda kwa Manuela Kwani aliongea mengi ya kweli kunihusu. Na kuhusu Javier sikumuamini kwa sababu ya usiri na watu aliokua anakutana nao.

Nilifika ndani mapema kabla ya ujio wa Javier hivyo bwana Javier alinikuta nimeingia ndani kama baada ya dakika 10 kupita. Nilikua bado nimekaa kitandani nikitafakari ile scenario mpya ambayo nimeanza kukutana nayo.

Javier aliingia ndani akiwa amechangamka sana tofauti na siku zote, alirudi na package moja ya chakula ambacho kilikua na taste moja matata sana package ile iliitwa Lomo Saltado kwa mujibu wa bwana Javier.

Mwanzoni nilianza kusitasita lakini mwishoni nikasema ngoja tu nile atakama nilishapewa precautions hapo kabla. Nilitamani kujua ni kwanini javier ameludi akiwa na furaha kiasi hicho.


MIMI: you look happy today!!! what the matter?
(Unafuraha sana Javier kuna nini leo)

JAVIER: I'm happy to meet the same version of hearless chimpanzee
( Bilashaka nina furaha ya kukutana toleo lile lile la wale sokwe wasio sikia la kuambiwa)

Alimalizia kwa kusema hana haja ya kuuliza nilikua wapi na nina fanya nini, kwa sababu sio sehemu ya majukumu yake. Majukumu yake yeye ni kususiwa maiti zetu mule ndani na kuzika kwa kutumia mikono yake.

Ile kauli iliniumiza na kunifikirisha kwa namna moja ama nyingine, niliwaza either amejua nilikua na Manuela na amejua tulichoongea.

Lakin pia niliwaza je ni kweli huyu bwana Javier na Manuela ni mahasim ambao wanawindana lakini yote ambayo yalikua yanakuja na kutoka kichwani kwangu sikukubaliana nayo.

Mwisho nilihitimisha kwa kusema ata iweje nitakua upande wa Manuela kwani Javier alionekana kuwa na element fulani za ukatili na unyanyasaji wa rangi. Hivyo kuanzia pale nilianza kuamini maneno ya Manuela kwamba Javier alikua ni white supremacist na alichukia weusi waziwazi.

JAVIER: so.......!!! Did you have sex
( Vipi..... Ulichakata mbususu)

MIMI: no.........! Only blowjob
( Hapana alininyonya tu)

Hahahahahahaha ahahaha hahahahahaha hahahahahahaha ahahaha nilishuhudia kicheko cha ajabu sana kutoka Javier, kicheko kilichopelekea mpaka akapaliwa na mate na kuanza kukohoa mfululizo.

Baada ya kumaliza kunicheka Javier aliongea kwa hasira na huzuni sana.

" Sijakuona ukitoka wala sikujua kama umetoka, nilichofanya ni kucheza na psychology tu kwani kwa kawaida mida hii unakua umelala au kama hujalala basi unakua umeanza kusinzia.

Lakini leo imekua tofauti sana nimekuta umekaa na macho yamechangamka hii unaonekana hujalala kabisa na ni kama ndio umefika.

Javier aliendelea kusema alishanieleza kilakitu kuhusu background ya Gatkuoth ambaye alikua ni muafrika mwenzangu nini kilimkuta na alikufaje.

Sasa ameshangaa kuona narudia makosa yaleyale, hapa alijiuliza waafrika tuna shida gani kwenye ubongo ( alitoa maneno mengi ya kejeli lakini nilikua bize na msosi)
Mpaka wakati huo nilishukuru Javier hakujua niliulizwa nini na Manuela alichojua yeye ni kwamba nilienda kula tunda tu.

MIMI: javier! You told me very little about Schulz, can you proceed from where we ended.

( Lakini bwana Javier alinisimulia kidogo sana kuhusu Schulz unaweza kuendelea ata kidogo pale tulipoishia)

Niliingiza story hiyo ila kuhakikisha tunayaacha yale mazungumzo ya awali kiukweli sikuyapenda na yalikua na kejeli sana kwetu watu weusi.

Japo kwa namna moja au nyingine alikua akiongea ukweli lakini alikosa njia sahihi ya kuwasilisha ukweli huo. Kwani sikuona mantiki ya kutumia maneno mabaya na makali kama vile kuitana sokwe na majina mengine kama hayo.

Maana alifikia hatua akasema ubongo wa watu weusi umejaa tope na kinyesi cheusi tiiiii kama ngozi yetu.

Javier alinipa condition kadhaa kama nitataka kusikia mambo kadhaa yaliyo muhusu veteran wa ki-NAZI bwana Schulz.

Condition ya kwanza ilikua ni kujibu maswali yote ambayo ataniuliza na ninatakiwa kuyajibu kwa ufasaha na pia natakiwa kuwa na uhakika wa kile ninachokisema.

Swali la kwanza lilikua je! Nakubali kama waafrika ni selfish in nature?

Swali la pili lilikua je! Nakubali kama kuna uchawi miongoni mwa waafrika na kama nakubali, vipi najua Chochote kuhusu huo uchawi
( Apa kwenye uchawi alitumia neno traditional African science)
Mpaka hapo sikuwa nimejua nia ya Javier kwani maswali yale yalikua tofauti na kile ambacho niliuliza wakati huo.

Majibu yalikua hivi; nilikubali waafrika ni selfish tena sana kwa kutumia reference zake yeye mwenyewe alizonipa siku chache hapo nyuma tulipokutana.

Majibu ya swali la pili yalikua hivi; nilikubali kuna uchawi miongoni mwa waafrika kwani hata mazingira niliyokuwepo uchawi tuliusikia sana. Lakini sina ushahidi wa moja kwa moja wa kuthibitisha kwamba uchawi upo, mwisho nilikataa kuhusu kujua Chochote kuhusu uchawi kwani sikuwahi kuushuhudia mahala popote.

Kwa majibu haya Javier alitabasamu na kisha akasema majibu yangu ya swali la pili yamejibu swali la kwanza . Nilijaribu kutumia nguvu kumuelewa lakini niwe muwazi nilishindwa kabisa kumuelewa huyu jamaa.

Kwa mujibu wa bwana Javier ni kwamba kilichomkwamisha Schulz kwenye harakati zake ilikua ni huo uchawi au traditional African science, ambayo ina upofu mkubwa linapokuja swala la methodologies na miiko yake.

Kwa maelezo ya bwana Schulz sayansi ya muafrika imepewa jina baya na image mbaya na waafrika wenyewe.

lakini kiuhalisia ndio sayansi ya kwanza ulimwenguni kwani mwanadamu especially waafrika walitumia walitumia maarifa hayo hayo katika kuyatawala mazingira na kutatua changamoto mbalimbali zilizomkabili.

Inasemekana ile traditional African science inazaidi ya miaka billion 2 ulimwenguni kwani imeizidi ata ile ya ujerumani na uingereza, apa alimaanisha wajermani walikua wakiongoza kwa uchawi kwenye hizi nchi za ulaya.

Huu uchawi au sayansi ya muafrika inaonekana kuwa ni miongoni mwa tamaduni kongwe zaidi ulimwenguni kuzidi zile za uajemi ya kale (waajemi) wayunani (ugiriki ya kale) na mesopotamia/ babiloni ya kale au wasumeri.

Mbaya zaidi taaluma hiyo hufundishwa kwa siri sana na wale wanaoijua na wakati mwingine hutumia mbinu ya kurithisha. Na kwa zaidi ya asilimia 98 imemsaidia sana binadamu especially waafrika katika kupambana na mazingira.


Kwa maelezo ya Schulz wakati anamsimulia bwana Javier ni kwamba Schulz alipata kujua kuwa waafrika waliweza kutengeneza ndege kabla ya mzungu kwa zaidi ya karne kadhaa huko nyuma kabla ya ndege hizi tunazozijua.

Hapa alitoa mfano kwamba eti kwa ukanda wetu huu kulikua kuna ndege za kuweza kubeba abiria mpaka 16 enzi hizo kabla ya hizi Boeing bwana.

Ok!.... Huu uchawi au traditional African science ilimkwamisha vipi bwana Schulz na ni kwanini Javier na yeye alitaka kujua kuhusu huu uchawi.

Bwana Schulz alishiriki vita nyingi mpaka kufikia mwaka 1943 September 9 ambapo Iran na ujerumani walipoingia kwenye mgogoro wa kivita na WA Nazi. Kabla ya mgogoro huu nchi ya Iran iliaminika kuwa neutral kabisa enzi zile za WWII ( vita ya pili).

Hiyo coloured part hapo juu kulikua na typing errors kwenye kipande cha episode 6C kilichopita ndio maana nimekirudia tena.

BWANA SCHULZ WA UJERUMANI NDIO ALIYEKUA NA MCHONGO MZIMA WA RAPTA NA ALIUPATA WAKATI WA HIYO VITA.

sasa tunamalizana na peru mda sio mrefu alafu tunaludi bongo very soon.

0623329512 Whatsapp (kwa mwenye uhitaji wa vipande vya mbele zaidi PDF)
 
Habari ya uongo ya kutunga, sema mji waweza kuwa kweli. Ulipoenda kwa Merry hapo ndiyo umeharibu, yaani uwakute wawili na mizinga ya pombe na vipisi halafu ujitupe kulala na Merry arudi eti asubuhi na pikipiki, idiot hujui kutunga story, rudi shule.
Nadhani aliweka wazi kuna vitu ataruka ili twende kwenye main scenes.....pia hapo hapo alisema walitoka na Merry akarudishwa peke yake.
 
Nadhani aliweka wazi kuna vitu ataruka ili twende kwenye main scenes.....pia hapo hapo alisema walitoka na Merry akarudishwa peke yake.
No kasema alifika akajirusha halafu mambo ya kusema Sengerema pawe na mizinga ya wine sijui pombe kali kwa enzi zile ni uongo. Pia mazingira ya mgomo ni uongo yaani kwa ufupi hii story ya kusadikika
 
No kasema alifika akajirusha halafu mambo ya kusema Sengerema pawe na mizinga ya wine sijui pombe kali kwa enzi zile ni uongo. Pia mazingira ya mgomo ni uongo yaani kwa ufupi hii story ya kusadikika
Punguza ujuaji mkuu! Pia rudia tena kusoma pale kwa marry ndo utaelewa mazingira vizuri,kila kitu kiko wazi! Na pia hata kama ni ya kutunga au la,makasiriko ya nini? Mbona kama unateseka mkuu?.
 
Kumbe africa maendeleo yameanza kitambo sana.sema hawa jamaa walitupiga chenga ya mwili kidogo tu.
Tatizo wahenga hawakuweka vitu kwenye maandishi walipokuja wakoloni kutuvuruga sayansi yetu ikapotea
 
Punguza ujuaji mkuu! Pia rudia tena kusoma pale kwa marry ndo utaelewa mazingira vizuri,kila kitu kiko wazi! Na pia hata kama ni ya kutunga au la,makasiriko ya nini? Mbona kama unateseka mkuu?.
Mkuu nilisoma between lines. Nilichoka sana pale uliposema kuwa eti umemkuta merry na bonge la mzinga wa pombe mara anarudi asubuhi. Anyway, nitarudia tena kusoma
 
Uhondo uko mbele na matukio yasiyotarajiwa,kila siku kijana anakutana na mapya[emoji28][emoji28][emoji28].

Sema ndugu yetu uko slow mno 1 kwa siku haitoshi.
 
Jamani ashatoa namba ya whatsup anayetaka full story bila bughuza aende huko
 
Binafsi naona story ikiwa hapa na comments za waja inakaa poa zaidi. Ongeza tu dose, moja kwa siku ni ndogo sana.
 
Duuuh hawa watu ndio ilitakiwa story zao ziwe ktik vitabu maalumu ili kujifunza zaidi bila kujarisha in ya kufikilika au in ya kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…