Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Kuniweka kwenye kundi la waandishi ni kuwakosea heshima waandishBasi kama umeandika nadhani unaujua uchungu ma tabu za kuandaa kazi zilivyo. Hukupaswa kuandika comment kama hiyo hapo juu, waandishi huwa hatusemani namna hiyo
Basi sikyweki kundi la waandishi, ila kama ulishawahi kuandika hadithi na ikakamilika yote hukupaswa kusema hilo. Waandishi wote huwa hawatamki hayo maana wanajua wanayopitia, siyo mmoja wao ndiyo maana ukasema hayo sikulaumu. Ila napenda nikwambie mimi ni mmoja wa waandishi na hizi zina changamoto kubwa sana kwenye kuziandaa, watu wanapata shida mno mpaka unakiona kisa kikiwa kamili hapo. Kama anataka kutoa kitabu, bado atapitia maudhi ya wahariri ambao anaweza kukurudisha zaidi ya mara tano ukaandike upya hadithi moja hiyohiyo.Kuniweka kwenye kundi la waandishi ni kuwakosea heshima waandish
Km inawezekana nipe link ya story zako nitiririke nazoBasi sikyweki kundi la waandishi, ila kama ulishawahi kuandika hadithi na ikakamilika yote hukupaswa kusema hilo. Waandishi wote huwa hawatamki hayo maana wanajua wanayopitia, siyo mmoja wao ndiyo maana ukasema hayo sikulaumu. Ila napenda nikwambie mimi ni mmoja wa waandishi na hizi zina changamoto kubwa sana kwenye kuziandaa, watu wanapata shida mno mpaka unakiona kisa kikiwa kamili hapo. Kama anataka kutoa kitabu, bado atapitia maudhi ya wahariri ambao anaweza kukurudisha zaidi ya mara tano ukaandike upya hadithi moja hiyohiyo.
Sasa hivi siweki full story sababu ya maharamia wa telegram ila huwa napatikana www.facebook.com/riwayamaridhawaKm inawezekana nipe link ya story zako nitiririke nazo
Nimekuona banduguSasa hivi siweki full story sababu ya maharamia wa telegram ila huwa napatikana www.facebook.com/riwayamaridhawa
Sawa kijibwaHii story ikifika mwisho niiten mbwa nimekaa pale[emoji23]
Loading...Itaendelea
Kaka usitufanyie kama wanavofanyaga wengineSawa kijibwa View attachment 2639814
Wengine huwa wanafanyajeKaka usitufanyie kama wanavofanyaga wengine