mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
mleta mada kawa supa staa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka kuliweka lkn migabo anazinguaWe jamaa huwa hufiki tu na hilo benchi lako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tutafika Moshi tukiwa tumechoka mnoooTulinyanyuka na kuanza safari, lakini sio siri nilinyanyuka kinyonge sana Kwani mpaka wakati huo sikuona tena dalili ya kula tunda. Hakuonyesha kabisa zile mbwembwe alizokua nazo hapo awali alibadilika kiasi kwamba nilianza ata kuogopa kuleta hizo stories.
Safari yetu ilikua ni ya kukatisha kwenye mapori ambayo yalikua pembezoni mwa mto ambao sikuweza kuufahamu kwa jina mto huo.
Kuna muda tulipita kwenye mito ambayo haikua na maji mengi lakini mito hiyo ilifunikwa na miti kwa juu, huu ukanda una mito mingi na ya ajabu sana Kwani kwa upande wangu niliishia kushangaa.
Yaani tulikua tunapita chini ya mto lakini hatukuweza kuona chochote juu yetu kwakua tulifunikwa na miti juu yetu.
Zilikua ni njia za hatari kiasi kwamba akitokea mnyama yoyote sidhani kama tungeweza kupona kabisa.
Nilishangazwa na ujasiri wa Manuela kwani alikua ni Zaid ya askari wa kawaida kwenye pori lile. Hakua na silaha yoyote lakini alijiamini kwa zaidi ya asilimia 100.
Njaa ilinikamata mno muda huu lakini niliona noma sana kuanza kulia lia njaa mtoto wa kiume alafu binti anapiga mguu hivyo nilijikaza.
Nilikumbuka maneno ya Manuela kwamba tunaenda Lima, ila distance ya kutoka haunnaco mpaka kufika Lima ni zaidi kilometers 250's sasa niliwaza ina maana tutatembea hizo kilometers zote.
Na kwa jinsi nilivyomuona Manuela hakuonyesha dalili ya kuwa na usafiri au kutafuta usafiri kabisa.
Baada ya kutembea umbali wa takribani masaa mawili kulikua kumeanza kukucha na mazingira yale tuliyokuwepo nilianza kuyaona vizuri.
Niliona mashamba mengi ya koka hivyo hapo niliamini tunakaribia mji ambao kama tutafika niliwaza cha kwanza tupate msosi.
Lakini nilishangazwa kwa mara nyingine na Manuela kwani tulionekana kukikwepa kile kijiji na kufuata muelekeo mwingine kabisa.
Kwa maelezo ya Manuela ni kwamba kile kijiji mara nyingi wakulima wa hapo huuza koka zao kwa baadhi ya drug Lords ambao wanafahamiana na drug Lords wa kule tulipotoka.
Hivyo kuna uwezekano mkubwa maeneo hayo kukawa na infoma ambaye anaweza kutoa taarifa baada ya kutuona.
Manuela aliniambia mpaka muda huo nijue tu kama Javier ameshajua kama kuna kitu amepoteza na mshtakiwa namba moja ni mustapha.
Kwani alidai hakuna yeyote kati ya wale wawili yaan Catarina na javier ambae atahisi Manuela alikua hapo kwa misheni maalum.
Hivyo tulipita pembeni kabisa ya kijiji hicho na tulikutana na baadhi ya wanakijiji wakiwa mashambani. Wanakijij hao hawakuweza kutuona kabisa ila sisi tuliweza kuwaona tena vizuri tu.
Muonekano wangu haukunitofautisha kabisa na baadhi ya watu wa kijiji kile kwani wengi walikua ni weusi kabisa na wachache half-caste fulani hivi wa mchongo.
Baada ya kukiacha kijiji kile tulifikia mto mwingine mkubwa ambao ulizungukwa miti ya matunda flani hivi madogo madogo machachu sana. Kwa maelezo ya Manuela matunda yale yaliitwa camu camu au wataalamu huyaita myrciaria dubia.
Ilionekana wazi kama Manuela alikua mpenzi wa matunda haya na alianza kuyashambulia kwa kasi ya ajabu. Apa niligundua kumbe ata yeye alikua na njaa pia ila hakutaka kuweka wazi kwangu.
Ila niliipenda trick yake ya kutokuonyesha kama alikua na njaa kwani angeweka kama ana njaa tungepatwa na uvivu hivyo tusingefika ata hapo kwa muda huo.
Wakati tunaendelea kuyashambulia matunda yale ambayo niliyaona matamu sana japo sijui kama yalikua matamu kweli au ni njaa zangu tu. Manuela alianza kunipa mawili matatu kuhusu yale matunda.
Kwanza kabisa aliniambia mpaka kufika pale tulipokua tulikua tumeshapita makutano ya mto haullaga na mto Maranon.
Hivyo eneo hilo apo tulikua kwenye mto mwingine mkubwa zaidi yaani mto Maranon, Maranon ulikua mkubwa zaidi ya haullaga na hivyo haullaga ilikua ikipeleka maji yake Maranon.
Kwa wale wasiojua ni kwamba huu mto Maranon ndio primary source ya mto Amazon ambao ni mto mkubwa sana.
Haya matunda ya camu camu au kama yanavyoitwa na wataalamu myrciaria dubia yanapatikana sana kwenye msitu wa Amazon na pembezoni mwa mto huo.
Hivyo kuyaona matunda hayo ni dalili tosha kama tumeingia au tumekaribia Amazon. Apa Manuela alisisitiza tuongeze umakini kwani msitu huo unakawaida ya kuwa na viumbe wakali sana especially nyoka wakubwa.
MIMI: Where have you seen these fruits before?
( Uliwahi kuyaona wapi matunda haya)
MANUELA: I saw it on Amazon
(Niliyaona ndani ya msitu wa Amazon)
Alinijibu huku akiwa bize akiendelea kuyashambulia matunda hayo tena alikua ameyakisanya mengi amekaa nayo chini.
Wakati anaendelea kuyachakata matunda hayo aliamua kunipa story au fact chache kuhusu matunda hayo.
Kwanza aliniambia matunda yale yana acid nyingi sana na nilithibisha hilo ata kupitia taste yake wakati nataka.
Lakini mbali na acid hiyo matunda hayo ya Camu camu yana nutrients nyingi sana zenye msaada kwa mwili wa binadamu. Nutrients hizo zilikua ni vitamin C, beta-carotene, fatty acids, protein, potassium, na nyingine nyingi.
Kuna kitu nilikiona cha tofauti kidogo kwa Manuela, alikua free sana tunapokua porini haijalishi ni pori la aina gani.
Lakini alikua anaijua miti mingi ya pori hilo, aliijua kwa majina miti mingi lakini sio majina tu mpaka matumizi ya kila mti uliokua maeneo hayo.
Alinyanyuka tulipokaa akarudi na majani ya mti mmoja uliokua mita chache na pale tulipo. Majani yale yalikua mapana japo sio sana na yalikua na ile green iliyokolea sana.
Alifika pale na majani yale na vipande viwili vya magome ambavyo alivitoa kwa kutumia tawi la mti. Lililo kuwa pembeni ya mti ule,
Alifika na kunipa majani hayo akiniambia nitafune kwa kwani ni dawa ya maradhi mengi pia husafisha na damu. Lakini pia kama nitashindwa majani hayo ata magome naweza jaribu kuyafyonza tu kama naipenda afya yangu.
Huacapurana au (Campsiandra Angustifolia) ndio lilikua jina la mmea uliotoa majina yale na magome yale ambayo Manuela alidai ni tiba nzuri sana kwani inakinga mwili na mambo mengi sana.
Wakati nayatafuna majani yale nilimuona kama kuna tabasamu limeongezeka usoni mwake, na sio siri tangu nianze kuwa nae karibu niliona Manuela anazidi kuwa mrembo kila kunapokucha.
Nikiwa bize na majani alionyesha majani mengine kwa mbali akasema yanaitwa Runa Nushi na mengine yaliitwa Pitsuru Pãni. Alidai ikitokea mmoja wetu ameng'atwa na nyoka au wote tumeng'atwa na nyoka basi nitumie majani hayo hutibu haraka na mapema zaidi.
Makabila mengi yanayoishi ndani ya msitu huo yamekua yakitumia majani hayo kama tiba ya kujitibu na nyoka wakali na wenye sumu waliopo msituni umo.
Alimalizia kusema kama sio elimu ya kutumia miti ya tiba iliyokuwepo ndani ya msitu huo hayo makabila yasingeweza kuishi humo kabisa kwani welangeisha kwisha kumalizwa na nyoka.
0623329512 (Whatsapp) kwa wale wenye uhitaji wa PDF ni af tatu
Kule kwenye PDF tupo Tehran tayari tunauona unyama wa Manuela kwa shirika la ujasusi la mossad.
Mbaya. Hadithi kama asili na ndugyze vipi usiielewe. Kwa hio huna kipaji .Nyingi tu
Kwa bakhti mbaya
wadau huwa hawazielew
InawezekanaMbaya. Hadithi kama asili na ndugyze vipi usiielewe. Kwa hio huna kipaji .
Hadi hapo hujatimiza lengo lako la kula tunda la manuela kimasiharaTulinyanyuka na kuanza safari, lakini sio siri nilinyanyuka kinyonge sana Kwani mpaka wakati huo sikuona tena dalili ya kula tunda. Hakuonyesha kabisa zile mbwembwe alizokua nazo hapo awali alibadilika kiasi kwamba nilianza ata kuogopa kuleta hizo stories.
Safari yetu ilikua ni ya kukatisha kwenye mapori ambayo yalikua pembezoni mwa mto ambao sikuweza kuufahamu kwa jina mto huo.
Kuna muda tulipita kwenye mito ambayo haikua na maji mengi lakini mito hiyo ilifunikwa na miti kwa juu, huu ukanda una mito mingi na ya ajabu sana Kwani kwa upande wangu niliishia kushangaa.
Yaani tulikua tunapita chini ya mto lakini hatukuweza kuona chochote juu yetu kwakua tulifunikwa na miti juu yetu.
Zilikua ni njia za hatari kiasi kwamba akitokea mnyama yoyote sidhani kama tungeweza kupona kabisa.
Nilishangazwa na ujasiri wa Manuela kwani alikua ni Zaid ya askari wa kawaida kwenye pori lile. Hakua na silaha yoyote lakini alijiamini kwa zaidi ya asilimia 100.
Njaa ilinikamata mno muda huu lakini niliona noma sana kuanza kulia lia njaa mtoto wa kiume alafu binti anapiga mguu hivyo nilijikaza.
Nilikumbuka maneno ya Manuela kwamba tunaenda Lima, ila distance ya kutoka haunnaco mpaka kufika Lima ni zaidi kilometers 250's sasa niliwaza ina maana tutatembea hizo kilometers zote.
Na kwa jinsi nilivyomuona Manuela hakuonyesha dalili ya kuwa na usafiri au kutafuta usafiri kabisa.
Baada ya kutembea umbali wa takribani masaa mawili kulikua kumeanza kukucha na mazingira yale tuliyokuwepo nilianza kuyaona vizuri.
Niliona mashamba mengi ya koka hivyo hapo niliamini tunakaribia mji ambao kama tutafika niliwaza cha kwanza tupate msosi.
Lakini nilishangazwa kwa mara nyingine na Manuela kwani tulionekana kukikwepa kile kijiji na kufuata muelekeo mwingine kabisa.
Kwa maelezo ya Manuela ni kwamba kile kijiji mara nyingi wakulima wa hapo huuza koka zao kwa baadhi ya drug Lords ambao wanafahamiana na drug Lords wa kule tulipotoka.
Hivyo kuna uwezekano mkubwa maeneo hayo kukawa na infoma ambaye anaweza kutoa taarifa baada ya kutuona.
Manuela aliniambia mpaka muda huo nijue tu kama Javier ameshajua kama kuna kitu amepoteza na mshtakiwa namba moja ni mustapha.
Kwani alidai hakuna yeyote kati ya wale wawili yaan Catarina na javier ambae atahisi Manuela alikua hapo kwa misheni maalum.
Hivyo tulipita pembeni kabisa ya kijiji hicho na tulikutana na baadhi ya wanakijiji wakiwa mashambani. Wanakijij hao hawakuweza kutuona kabisa ila sisi tuliweza kuwaona tena vizuri tu.
Muonekano wangu haukunitofautisha kabisa na baadhi ya watu wa kijiji kile kwani wengi walikua ni weusi kabisa na wachache half-caste fulani hivi wa mchongo.
Baada ya kukiacha kijiji kile tulifikia mto mwingine mkubwa ambao ulizungukwa miti ya matunda flani hivi madogo madogo machachu sana. Kwa maelezo ya Manuela matunda yale yaliitwa camu camu au wataalamu huyaita myrciaria dubia.
Ilionekana wazi kama Manuela alikua mpenzi wa matunda haya na alianza kuyashambulia kwa kasi ya ajabu. Apa niligundua kumbe ata yeye alikua na njaa pia ila hakutaka kuweka wazi kwangu.
Ila niliipenda trick yake ya kutokuonyesha kama alikua na njaa kwani angeweka kama ana njaa tungepatwa na uvivu hivyo tusingefika ata hapo kwa muda huo.
Wakati tunaendelea kuyashambulia matunda yale ambayo niliyaona matamu sana japo sijui kama yalikua matamu kweli au ni njaa zangu tu. Manuela alianza kunipa mawili matatu kuhusu yale matunda.
Kwanza kabisa aliniambia mpaka kufika pale tulipokua tulikua tumeshapita makutano ya mto haullaga na mto Maranon.
Hivyo eneo hilo apo tulikua kwenye mto mwingine mkubwa zaidi yaani mto Maranon, Maranon ulikua mkubwa zaidi ya haullaga na hivyo haullaga ilikua ikipeleka maji yake Maranon.
Kwa wale wasiojua ni kwamba huu mto Maranon ndio primary source ya mto Amazon ambao ni mto mkubwa sana.
Haya matunda ya camu camu au kama yanavyoitwa na wataalamu myrciaria dubia yanapatikana sana kwenye msitu wa Amazon na pembezoni mwa mto huo.
Hivyo kuyaona matunda hayo ni dalili tosha kama tumeingia au tumekaribia Amazon. Apa Manuela alisisitiza tuongeze umakini kwani msitu huo unakawaida ya kuwa na viumbe wakali sana especially nyoka wakubwa.
MIMI: Where have you seen these fruits before?
( Uliwahi kuyaona wapi matunda haya)
MANUELA: I saw it on Amazon
(Niliyaona ndani ya msitu wa Amazon)
Alinijibu huku akiwa bize akiendelea kuyashambulia matunda hayo tena alikua ameyakisanya mengi amekaa nayo chini.
Wakati anaendelea kuyachakata matunda hayo aliamua kunipa story au fact chache kuhusu matunda hayo.
Kwanza aliniambia matunda yale yana acid nyingi sana na nilithibisha hilo ata kupitia taste yake wakati nataka.
Lakini mbali na acid hiyo matunda hayo ya Camu camu yana nutrients nyingi sana zenye msaada kwa mwili wa binadamu. Nutrients hizo zilikua ni vitamin C, beta-carotene, fatty acids, protein, potassium, na nyingine nyingi.
Kuna kitu nilikiona cha tofauti kidogo kwa Manuela, alikua free sana tunapokua porini haijalishi ni pori la aina gani.
Lakini alikua anaijua miti mingi ya pori hilo, aliijua kwa majina miti mingi lakini sio majina tu mpaka matumizi ya kila mti uliokua maeneo hayo.
Alinyanyuka tulipokaa akarudi na majani ya mti mmoja uliokua mita chache na pale tulipo. Majani yale yalikua mapana japo sio sana na yalikua na ile green iliyokolea sana.
Alifika pale na majani yale na vipande viwili vya magome ambavyo alivitoa kwa kutumia tawi la mti. Lililo kuwa pembeni ya mti ule,
Alifika na kunipa majani hayo akiniambia nitafune kwa kwani ni dawa ya maradhi mengi pia husafisha na damu. Lakini pia kama nitashindwa majani hayo ata magome naweza jaribu kuyafyonza tu kama naipenda afya yangu.
Huacapurana au (Campsiandra Angustifolia) ndio lilikua jina la mmea uliotoa majina yale na magome yale ambayo Manuela alidai ni tiba nzuri sana kwani inakinga mwili na mambo mengi sana.
Wakati nayatafuna majani yale nilimuona kama kuna tabasamu limeongezeka usoni mwake, na sio siri tangu nianze kuwa nae karibu niliona Manuela anazidi kuwa mrembo kila kunapokucha.
Nikiwa bize na majani alionyesha majani mengine kwa mbali akasema yanaitwa Runa Nushi na mengine yaliitwa Pitsuru Pãni. Alidai ikitokea mmoja wetu ameng'atwa na nyoka au wote tumeng'atwa na nyoka basi nitumie majani hayo hutibu haraka na mapema zaidi.
Makabila mengi yanayoishi ndani ya msitu huo yamekua yakitumia majani hayo kama tiba ya kujitibu na nyoka wakali na wenye sumu waliopo msituni umo.
Alimalizia kusema kama sio elimu ya kutumia miti ya tiba iliyokuwepo ndani ya msitu huo hayo makabila yasingeweza kuishi humo kabisa kwani welangeisha kwisha kumalizwa na nyoka.
0623329512 (Whatsapp) kwa wale wenye uhitaji wa PDF ni af tatu
Kule kwenye PDF tupo Tehran tayari tunauona unyama wa Manuela kwa shirika la ujasusi la mossad.
Kwa mbongo tunda litaliwa tuHadi hapo hujatimiza lengo lako la kula tunda la manuela kimasihara
Jamaaa ukovizuri tunasubiri muendelezoTulinyanyuka na kuanza safari, lakini sio siri nilinyanyuka kinyonge sana Kwani mpaka wakati huo sikuona tena dalili ya kula tunda. Hakuonyesha kabisa zile mbwembwe alizokua nazo hapo awali alibadilika kiasi kwamba nilianza ata kuogopa kuleta hizo stories.
Safari yetu ilikua ni ya kukatisha kwenye mapori ambayo yalikua pembezoni mwa mto ambao sikuweza kuufahamu kwa jina mto huo.
Kuna muda tulipita kwenye mito ambayo haikua na maji mengi lakini mito hiyo ilifunikwa na miti kwa juu, huu ukanda una mito mingi na ya ajabu sana Kwani kwa upande wangu niliishia kushangaa.
Yaani tulikua tunapita chini ya mto lakini hatukuweza kuona chochote juu yetu kwakua tulifunikwa na miti juu yetu.
Zilikua ni njia za hatari kiasi kwamba akitokea mnyama yoyote sidhani kama tungeweza kupona kabisa.
Nilishangazwa na ujasiri wa Manuela kwani alikua ni Zaid ya askari wa kawaida kwenye pori lile. Hakua na silaha yoyote lakini alijiamini kwa zaidi ya asilimia 100.
Njaa ilinikamata mno muda huu lakini niliona noma sana kuanza kulia lia njaa mtoto wa kiume alafu binti anapiga mguu hivyo nilijikaza.
Nilikumbuka maneno ya Manuela kwamba tunaenda Lima, ila distance ya kutoka haunnaco mpaka kufika Lima ni zaidi kilometers 250's sasa niliwaza ina maana tutatembea hizo kilometers zote.
Na kwa jinsi nilivyomuona Manuela hakuonyesha dalili ya kuwa na usafiri au kutafuta usafiri kabisa.
Baada ya kutembea umbali wa takribani masaa mawili kulikua kumeanza kukucha na mazingira yale tuliyokuwepo nilianza kuyaona vizuri.
Niliona mashamba mengi ya koka hivyo hapo niliamini tunakaribia mji ambao kama tutafika niliwaza cha kwanza tupate msosi.
Lakini nilishangazwa kwa mara nyingine na Manuela kwani tulionekana kukikwepa kile kijiji na kufuata muelekeo mwingine kabisa.
Kwa maelezo ya Manuela ni kwamba kile kijiji mara nyingi wakulima wa hapo huuza koka zao kwa baadhi ya drug Lords ambao wanafahamiana na drug Lords wa kule tulipotoka.
Hivyo kuna uwezekano mkubwa maeneo hayo kukawa na infoma ambaye anaweza kutoa taarifa baada ya kutuona.
Manuela aliniambia mpaka muda huo nijue tu kama Javier ameshajua kama kuna kitu amepoteza na mshtakiwa namba moja ni mustapha.
Kwani alidai hakuna yeyote kati ya wale wawili yaan Catarina na javier ambae atahisi Manuela alikua hapo kwa misheni maalum.
Hivyo tulipita pembeni kabisa ya kijiji hicho na tulikutana na baadhi ya wanakijiji wakiwa mashambani. Wanakijij hao hawakuweza kutuona kabisa ila sisi tuliweza kuwaona tena vizuri tu.
Muonekano wangu haukunitofautisha kabisa na baadhi ya watu wa kijiji kile kwani wengi walikua ni weusi kabisa na wachache half-caste fulani hivi wa mchongo.
Baada ya kukiacha kijiji kile tulifikia mto mwingine mkubwa ambao ulizungukwa miti ya matunda flani hivi madogo madogo machachu sana. Kwa maelezo ya Manuela matunda yale yaliitwa camu camu au wataalamu huyaita myrciaria dubia.
Ilionekana wazi kama Manuela alikua mpenzi wa matunda haya na alianza kuyashambulia kwa kasi ya ajabu. Apa niligundua kumbe ata yeye alikua na njaa pia ila hakutaka kuweka wazi kwangu.
Ila niliipenda trick yake ya kutokuonyesha kama alikua na njaa kwani angeweka kama ana njaa tungepatwa na uvivu hivyo tusingefika ata hapo kwa muda huo.
Wakati tunaendelea kuyashambulia matunda yale ambayo niliyaona matamu sana japo sijui kama yalikua matamu kweli au ni njaa zangu tu. Manuela alianza kunipa mawili matatu kuhusu yale matunda.
Kwanza kabisa aliniambia mpaka kufika pale tulipokua tulikua tumeshapita makutano ya mto haullaga na mto Maranon.
Hivyo eneo hilo apo tulikua kwenye mto mwingine mkubwa zaidi yaani mto Maranon, Maranon ulikua mkubwa zaidi ya haullaga na hivyo haullaga ilikua ikipeleka maji yake Maranon.
Kwa wale wasiojua ni kwamba huu mto Maranon ndio primary source ya mto Amazon ambao ni mto mkubwa sana.
Haya matunda ya camu camu au kama yanavyoitwa na wataalamu myrciaria dubia yanapatikana sana kwenye msitu wa Amazon na pembezoni mwa mto huo.
Hivyo kuyaona matunda hayo ni dalili tosha kama tumeingia au tumekaribia Amazon. Apa Manuela alisisitiza tuongeze umakini kwani msitu huo unakawaida ya kuwa na viumbe wakali sana especially nyoka wakubwa.
MIMI: Where have you seen these fruits before?
( Uliwahi kuyaona wapi matunda haya)
MANUELA: I saw it on Amazon
(Niliyaona ndani ya msitu wa Amazon)
Alinijibu huku akiwa bize akiendelea kuyashambulia matunda hayo tena alikua ameyakisanya mengi amekaa nayo chini.
Wakati anaendelea kuyachakata matunda hayo aliamua kunipa story au fact chache kuhusu matunda hayo.
Kwanza aliniambia matunda yale yana acid nyingi sana na nilithibisha hilo ata kupitia taste yake wakati nataka.
Lakini mbali na acid hiyo matunda hayo ya Camu camu yana nutrients nyingi sana zenye msaada kwa mwili wa binadamu. Nutrients hizo zilikua ni vitamin C, beta-carotene, fatty acids, protein, potassium, na nyingine nyingi.
Kuna kitu nilikiona cha tofauti kidogo kwa Manuela, alikua free sana tunapokua porini haijalishi ni pori la aina gani.
Lakini alikua anaijua miti mingi ya pori hilo, aliijua kwa majina miti mingi lakini sio majina tu mpaka matumizi ya kila mti uliokua maeneo hayo.
Alinyanyuka tulipokaa akarudi na majani ya mti mmoja uliokua mita chache na pale tulipo. Majani yale yalikua mapana japo sio sana na yalikua na ile green iliyokolea sana.
Alifika pale na majani yale na vipande viwili vya magome ambavyo alivitoa kwa kutumia tawi la mti. Lililo kuwa pembeni ya mti ule,
Alifika na kunipa majani hayo akiniambia nitafune kwa kwani ni dawa ya maradhi mengi pia husafisha na damu. Lakini pia kama nitashindwa majani hayo ata magome naweza jaribu kuyafyonza tu kama naipenda afya yangu.
Huacapurana au (Campsiandra Angustifolia) ndio lilikua jina la mmea uliotoa majina yale na magome yale ambayo Manuela alidai ni tiba nzuri sana kwani inakinga mwili na mambo mengi sana.
Wakati nayatafuna majani yale nilimuona kama kuna tabasamu limeongezeka usoni mwake, na sio siri tangu nianze kuwa nae karibu niliona Manuela anazidi kuwa mrembo kila kunapokucha.
Nikiwa bize na majani alionyesha majani mengine kwa mbali akasema yanaitwa Runa Nushi na mengine yaliitwa Pitsuru Pãni. Alidai ikitokea mmoja wetu ameng'atwa na nyoka au wote tumeng'atwa na nyoka basi nitumie majani hayo hutibu haraka na mapema zaidi.
Makabila mengi yanayoishi ndani ya msitu huo yamekua yakitumia majani hayo kama tiba ya kujitibu na nyoka wakali na wenye sumu waliopo msituni umo.
Alimalizia kusema kama sio elimu ya kutumia miti ya tiba iliyokuwepo ndani ya msitu huo hayo makabila yasingeweza kuishi humo kabisa kwani welangeisha kwisha kumalizwa na nyoka.
0623329512 (Whatsapp) kwa wale wenye uhitaji wa PDF ni af tatu
Kule kwenye PDF tupo Tehran tayari tunauona unyama wa Manuela kwa shirika la ujasusi la mossad.