Utajiri wa Magofu ya Rapta

Utajiri wa Magofu ya Rapta

Hutchinson ports katika find zangu ilikuwa ina operate bandari ya dar es salaam baadaye TICS waka take over operation za container terminal kuton kwa hutchinson ports

Kwaiyo DP world wanataka ku-take over operation za container terminal kutoka kwa TICS
Kwaiyo ticts na Hutchinson port nani aliyeanza? Na wakati unajibu hili Kumbuka mkataba wa ticts ni tangu mwaka 2002 kama sikosei.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Hutchinson ports katika find zangu ilikuwa ina operate bandari ya dar es salaam baadaye TICS waka take over operation za container terminal kuton kwa hutchinson ports

Kwaiyo DP world wanataka ku-take over operation za container terminal kutoka kwa TICS
Au kwa maana rahisi naomba unipangie hizi kampuni kulingana na muda wake,
THA, TICTS na HUTCHINSON PORT tuanzie hapa kwanza

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Wazanzibari wameshatuingiza chaka tupeleke kwa Fatemeh tuondoe stress
 
Hutchison port ndo ilianza TICS ikwafuta
Ni hivi chief,

TICTS ilisaini mkataba na TPA mwaka 2000, na mkataba huo umemalizika mwaka huu 2023 na kabla ya mkataba huu hakukuwahi kuwepo na kampuni nyingine hapo awali.

Swali ni je!! Hawa Hutchinson port walioperate kitengo cha kontena kuanzia mwaka gani wakati kwenye mkataba wanasomeka TICTS ina maana hizi kampuni mbili zili operate simultaneously?

NB: Hutchinson port hakuwahi kuwa na mkataba nyuma ya mwak 2000, yaani kuanzia miaka ya 1990's.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Turudi kwenye simulizi yetu wakuu hili la bandari tuliache kwani ujanja wa musa ndio ushamba wa falao.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
jamani kwa hiyo wajinga ndo waliwao , ila usiandike sana hayo mambo ya bandari maana kuna mijitu kazi yao ni kucopy humu na kwenda kujibebea sifa huko twitter wakijifanya ma genius. Andaa article yako ifungulie uzi wake kila mtu asome
 
Mashirika haya ya ujasusi Hufanya hivyo endapo wakiona wanahitaji kukutumia kwenye misheni zao, sababu ya kuchimba sana information za mtu huyo ni kuepuka kushirikisha mtu ambae hawamjui kabisa au mtu ambaye sio sahihi.

Hivyo maswali yangu yalijibiwa kwa staili hiyo japo mara nyingi fatemeh alitumia majibu ya mkato mambo mengine mengi nilijiongeza mimi mwenyewe.

Kuhusu swala la wao kupata passport yangu nalo lilijibiwa vilevile ilikua ni kazi ya MOIS, sasa hapo likaja swali hawa MOIS wanashida gani na Javier kwanini wametumia nguvu kubwa sana kupata wanachokitaka kwa Javier.

Kulingana na fatemeh mi kwamba MOIS wanaepusha mgongano wowote baina yao na CIA kwani baadhi au miongoni mwa wale wanaotaka taarifa zao wapo wenye uraia pacha kati ya marekani (USA) na ujerumani.

Hivyo basi ikumbukwe kuliwahi kutokea mambo kadhaa yaliyohusisha CIA na taifa la Iran miaka ya nyuma kwa maslahi ya marekani.

CIA walilazimika kuingilia mambo ya ndani ya nchi ya Iran na kushinikiza kutolewa madarakani kwa aliyekua shah wa kipindi hicho.

Kwa namna ya kutaka kuepusha migogoro baina ya idara hizo mbili basi MOIS wanafanya kazi zao kwa weredi mkubwa mno huku wakichunguza kila wanaemshirikisha kwenye misheni zao ili kuepuka kuchuja kwa taarifa zao.

Kwa mujibu wa MOIS ni kwamba wamiliki wa mashamba yale wengi hutokea North America na ata CIA wanawatambua vizuri sana.


Lakini pia kuna muingiliano mkubwa kati ya idara hiyo na jamaa ambao ni wamiliki wa mashamba hayo. Jambo hili Ndio linawafanya idara ya MOIS kufanya kazi kwa umakini mkubwa sana.

Hivyo basi fatemeh alipewa taarifa zangu zote kabla ya kunishirikisha kwenye misheni na bila mimi kujua kama nashirikishwa. Walijua weakness zangu walijua strength walijua pia kwanini na kwa namna gani nilifika hapo.

Mwanzoni walijua naweza kuwa nimetokea marekani lakini baada ya kupata zile preliminary information walijiridhisha kama ni m'bongo na hapo wakaenda uchagani kuchimba zaidi ili kunijua.

Mpaka muda huo fatemeh hakutaka maswali tena zaidi alisema mpaka hapo amejitahidi sana kwa kile kikubwa alichoniambia.

Aliniambia alishaandaa chumba ambacho nitalala siku hiyo kabla ya safari,

Aliongea huku tukiwa tunaelekea kupanda rift ya hotel hiyo ambayo juu kwenye flow ya mwisho kulikua na swimming pool nzuri kwa ajili ya kuogelea.

FATEMEH: i have already prepared a room for you
( Tayari nimekuandalia chumba utacholala leo)

Nilishangaa sana........

MIMI:I knew we were sleeping together
( Mi nilijua leo tunalala wote)

Fatemeh alijibu akiwa serious sana,

FATEMEH: not that much easy
( Sio rahisi kiivyo)

Alinifikisha kwenye chumba ambacho nitalala siku hiyo, apa roho iliniuma sana yaani sikuamini kama naondoka narudi bongo bila kumuonyesha ufundi wangu mrembo fatemeh.

Tulipoingia ndani alinipa karatasi na peni ili niandike destination au airport ya mwisho ambayo nitaelekea kutokea pale ili kufika nyumbani. Kwa kinyonge sana niliandika dar es salaam na kumkabidhi karatasi yake.


Fatemeh alijua kama nimekua mpole ghafla na alijua sababu ni nini,

Hapa aliniambia kitu kimoja tu, kwamba hakua tayari kumpa mwanaume yoyote mwili wake kabla hajatimiza ahadi aliyo waahidi wazazi wake lakini pia usiku wa ndoa yake ndio usiku utaoenda kutoa zawadi hiyo kwa yoyote atakae kuwa amemuoa tayari.

Hivyo alisisitiza niache upumbavu nijiandae na safari ya kurud kwa baba yangu Moshi.

Alimalizia kwa kusema ata ile blowjob ya siku ile alijikaza sana kwani hakuwahi kufanya kitu kama hicho kwenye maisha yake. Hivyo jambo lile lilikua katika namna ya kuhakikisha ana niteka, lakini pia anasema alijuta sana kwani alitumia nguvu kubwa kumbe kazi ilikua ndogo sana.

Baada ya maneno yale nilikua mdogo kama punje ya haradani.



Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Room ile ndani ya hotel hiyo ya Costa del Sol Wyndham ilikua ni Grand residence, kulikua na huduma nyingi sana ndani ya chumba hicho ukilinganisha na room nilizowahi kukaa kwenye hotels nyingine hapo kabla.

Tukiwa ndani kabla fatemeh hajaondoka kuelekea kwenye room yake, nilimuomba fatemeh jambo moja kama ataweza kunisaidia.

MIMI: can you please do me one big favor
( Kama hutojali naomba unisaidie jambo moja )

FATEMEH: what is that thing?
( Ni jambo gani hilo)

MIMI: i need to meet someone at Tehran (Shahzad)
( Nahitaji kukutana na mtu mmoja huko Tehran anaitwa Shahzad)

Fatemeh aliuliza Shahzad ni nani?? Alionekana kutokumjua kabisa wala kusikia taarifa zake mtu huyo.

Nilijaribu kumueleza kwa ufupi sana kama ni mtu ambaye yeye na ukoo wake wanaijua vizuri historia ya mji wa zamani uliopatikana huko pwani ya Africa mashariki.

Mji huo ulizama baharini na hazina kubwa sana ya mali hususani dhahabu. Habari hizo kwa mara ya kwanza niliziskia kwa bwana Javier ambae naye habari hizo alizipata huko Düsseldorf kwa aliyekua veteran wa ki-NAZI bwana Schulz.

Nilimueleza fatemeh nia ya kukutana na jamaa huyo aliyejulikana kwa jina la Shahzad, nia yangu ilikua kuonana nae kama tunaweza kushirikiana turudi tena bongo kupambana na kuona tunaipataje mali hiyo iliyo ndani ya mji huo.

Fatemeh aliuliza kwanini nisirudi tu bongo alafu hilo zoezi nilifanye mi mwenyewe kwani tayari nimeshajua mji huo ulipo kupitia taarifa ya Javier.

Hapa nilimjibu kuwa taarifa za Javier hazijitoshelezi bado kuna uhitaji wa kuwa na ile original document iliyoandikwa na muasisi mwenyewe ambae ni Claudio Ptolemy.

Lakini ukiacha documents hizo, uwepo wa watu wa familia hiyo ni muhimu kwani wao wana taarifa nyingi za ziada zilizohusu mji huo.

Nilimsisitiza kuwa ndani ya nchi yetu sijawahi kabisa kusikia watu wakiongelea mji huo apa maana yake wengi bado hawajui lolote kuhusu mji huo.

Apa nilimsisitiza kuwa ata mimi mwenyewe nilimaliza shule level ya sekondari bila kusikia taarifa zozote kuhusu mji huo.
Fatemeh aliuliza swali lingine ambalo lilikua ni la msingi sana hapa alitaka kujua kama anatakiwa sasa kubadili destination sio tena dar es salaam hivyo nitafatana nae Tehran.

Kwa kujiamini sana nilijibu hivyo kwamba bado nahitaji kufuatana nae ili nikakutane na mtu huyo aliyejulikana kwa jina la Shahzad.

Kuna muda fatemeh alisita lakini nikaona kabisa amekubaliana na mimi kuhusu kughaili safari ya bongo na kuelekea Iran.

Hapa sasa nilipewa masharti machache sana kuhusu Iran na ni kwa jinsi gani nitakaa huko kabla ya kurudi tena dar es salaam.

Fatemeh alisema nikiwa huko sitafanya chochote wala sita kwenda popote wala sitakutana na yoyote pasipo idhini yake.
Kwangu lile lilikua jambo jepesi sana kwani sikua mwenyeji huko hivyo nisinge kua na mishemishe zozote ndani ya mji huo.

Aliendelea kunisisitiza kuwa tulikua na vita mpya tumeianzisha na Javier, hapa aliendelea kusisitiza kama Javier sio mtu wa kawaida alikua na mtandao mkubwa hivyo amani yetu itatengemaa pale ambapo Javier atakua ametiwa nguvuni.

Shida kubwa iliyokua inawapa hofu idara ya MOIS na wale agents wake wengine akiwemo fatemeh, ni kwamba kikundi kile ambacho alikua anatokea Javier kilikua kinapata support kubwa kutoka kwa USA yani (taifa la marekani) lakini pia Israel intelligence service hawakua nyuma kwenye kuwasapot kikundi hiki cha TONDAR pia.



Fatemeh alisema toka kuanzishwa kwake kikundi hicho miaka ya 1999 chini ya bwana mmoja aliyeitwa Fathollah Manouchehri au maarufu kama Farvand Fooladvand.

Kumekuwepo na shaka kubwa baina ya serikali ya Iran kwamba kikundi hicho kilipata support kubwa kutoka kwa washirika wake hao ambao ni marekani na Israel.

Hivyo basi serikali ya Iran inachukulia jambo hili kwa umakini mkubwa kwani linahusisha mataifa makubwa yenye taaluma kubwa ya kiinteligensia.

Na ushahidi waliokua wakiutafuta utaenda pia kuwathibitishia uwepo au ushirika wa marekani kwenye kikundi hicho ambacho serikali ya Iran ilikiita kikundi cha kigaidi.


Hivyo basi fatemeh aliendelea kunisisitiza kuwa tunatakiwa kuwa makini sana ata mimi mwenyewe mpaka muda huo natakiwa kuwa under intensive care mpaka pale jambo lao litakapo kuwa limefikia muafaka.

Fatemeh aliniomba nipumzike, lakini mpaka wakati huo kuna ka uoga kalikua tayari kameniingia baada ya kujua nipo kwenye hatari kubwa muda wowote.

Lakini fatemeh alinitoa hofu hiyo kisha akaniambia kwa uwepo wake eneo hilo hakuna kitu kitaharibika kwani ata room ambayo naenda kulala ipo safe zaidi ndio maana yeye alitangulia hivyo hakuna baya lolote litanipata.

Sura yangu ya uoga na hofu haikujificha kabisa kwa yoyote ambaye angeniona kwani jasho lilinitoka usoni especially baada ya kusikia kuna mkono ata wa Israel kwenye jambo lile dogo sana.

Kwa story nilizowahi kusikia kuhusu Israel niliamini wanaweza ata kuingia ndani ya room ile bila yoyote kujua na kisha wakaondoka na mimi.

Nilitamani kumuambia fatemeh tukalale wote ila nilijua hatowaza kwamba naogopa ila atawaza ni miongoni mwa mbinu zangu za kutaka kuchakata mbususu.

Hivyo niliamua kujikaza kiume tu kwani mpaka wakati huo nimeshapitia magumu mengi nimesha lala kwenye deck ya meli ( hatch cover) usiku kucha tena ndani ya bahari ya pacific.

Sasa napataje uoga kulala kwenye grand residences room nzuri kama hiyo huo utakua ujinga wa kiwango cha rami.



Fatemeh aliondoka na kuniacha room, kwa staili aliyoondoka fatemeh au manuela ni kama mama anaemlaza mtoto na kisha kufunga mlango na yeye kuelekea chumbani kwake.

Kwani baada ya kuondoka fatemeh ( Manuela) nilijifunika blanket bila kuchelewa kwa namna kama najificha.

Sababu ya kufanya hivyo nilikua nahofia mengi sana wakiwemo CIA na hao wazee wa kazi wana wa israel. Kuna muda niliwaza mawazo ya kitoto sana eti ikitokea wamekuja wazee wa kazi wa Israel ( MOSSAD) nitawaambia kuwa mi ni mchaga.

Wote si mnajua zile story zinasema wachaga asili yetu ni Israel, naogopa kusema nitawapa hii story wakati mwingine maana nimeahidi mambo mengi lakini unachotakiwa kujua ni hivyo sisi wachaga huku bongo tulipotea njia kabisa kwetu ni mashariki ya kati.

Kifupi tu wachaga asili yetu ni kaskazini mwa Ethiopia na maeneo ya Eritrea ambapo kuna kabila dogo lenye asili ya huko Israel kabila hilo lilikua kwenye miliki ya watu wa aksumite na liliitwa Beta.

NONDO ZINAENDELEA KUSHUKA WHATSAPP 0623329512

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Duuuuuh!!! Ntakesha hapa milele mangi
Tunapoelekea ndio balaa meku, huko juu hii simulizi imeanza kawaida sana ndio maana wengi wakisoma lines mbili tatu wana comments shit wanaondoka ila wangejua kinachofuata.

Anyway tuendelee kula mtori nyama zipo chini.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
MANUELA: calm down Ludovic......i know a lot about you"
(Usijali Ludovic, najua mengi kuhusu wewe)

"ila kwa sasa nina majukumu mengi naomba uende tutaongea baadae. Ishi na Javier kwa tahadhari kubwa sana kwani anachuki isiyoelezeka dhidi ya watu weusi"

mpaka muda huo Manuela alikua ameniweza kwenye kila angle nilibaki na maswali mengi sana kiukweli.

Mbaya zaidi akati anaondoka aliniambia nawapa shida wazee wangu kwani siku ya jana walilazimika kusafiri kwenda ngara kwenye mazishi ya aliyekua mwanafunzi mwenzangu ambaye alifariki kwa kuzama chooni.


Sikujua ni mwanafunzi yupi ila kwa maelezo ya haraka sana Manuela alidai kuna mwanafunzi alizama chooni na kufariki kabisa. Mwanafunzi huyo alikua ni mzawa wa ngara na sababu ya wazee wangu kwenda huko ilikua ni utata wa msiba huo. Kwani wazazi wa kijana aliyemtaja kwa jina la yunus walikataa kuupokea mwili wakidai kijana wao yupo hai.

Sababu iliyopelekea mzee massawe kwenda huko ni kuona mwili huo, lakini hakuambulia chochote kwani haukua mwili wa kijana wao.

By the way Yunus nilikua namjua vizuri kama sikosei alikua ni kiongozi wa ukwata shuleni pale. Hivyo taarifa ya kifo chake ilinihuzunisha sana, kuanzia hapo niliamini Manuela anaweza kua msaada kwangu kwanza kwa kuijua lakini pia kuijua asili yangu.


Sikutaka kujua lolote kuhusu amenijuaje na amewajuaje wazee wangu pamoja na taarifa za zaida kama kufukuzwa shule na nyingine.

Mpaka wakati huo nilijua Manuela sio mtu wa kawaida kuna uwezekano akawa agent wa inteligensia kwa jinsi alivyobadilika usiku huo na ukiangalia uwepo wa wahalifu wengi maeneo hayo.

Baada ya kuyafikiria maswali yake nilihisi kuna uwezekano mkubwa akawa anatafuta taarifa zinazomuhusu Javier na washirika wake.

Tuliachana pale huku yeye akiendelea na mambo yake mengine akinisisitiza niwe makini na Javier lakini nisimuambie kuhusu kukutana nae.

Hapo sasa nilikua dilemma kati ya wawili hao yani kati ya Javier na Manuela nani yupo sahihi. Kura za uaminifu zilienda kwa Manuela Kwani aliongea mengi ya kweli kunihusu. Na kuhusu Javier sikumuamini kwa sababu ya usiri na watu aliokua anakutana nao.

Nilifika ndani mapema kabla ya ujio wa Javier hivyo bwana Javier alinikuta nimeingia ndani kama baada ya dakika 10 kupita. Nilikua bado nimekaa kitandani nikitafakari ile scenario mpya ambayo nimeanza kukutana nayo.

Javier aliingia ndani akiwa amechangamka sana tofauti na siku zote, alirudi na package moja ya chakula ambacho kilikua na taste moja matata sana package ile iliitwa Lomo Saltado kwa mujibu wa bwana Javier.

Mwanzoni nilianza kusitasita lakini mwishoni nikasema ngoja tu nile atakama nilishapewa precautions hapo kabla. Nilitamani kujua ni kwanini javier ameludi akiwa na furaha kiasi hicho.


MIMI: you look happy today!!! what the matter?
(Unafuraha sana Javier kuna nini leo)

JAVIER: I'm happy to meet the same version of hearless chimpanzee
( Bilashaka nina furaha ya kukutana toleo lile lile la wale sokwe wasio sikia la kuambiwa)

Alimalizia kwa kusema hana haja ya kuuliza nilikua wapi na nina fanya nini, kwa sababu sio sehemu ya majukumu yake. Majukumu yake yeye ni kususiwa maiti zetu mule ndani na kuzika kwa kutumia mikono yake.

Ile kauli iliniumiza na kunifikirisha kwa namna moja ama nyingine, niliwaza either amejua nilikua na Manuela na amejua tulichoongea.

Lakin pia niliwaza je ni kweli huyu bwana Javier na Manuela ni mahasim ambao wanawindana lakini yote ambayo yalikua yanakuja na kutoka kichwani kwangu sikukubaliana nayo.

Mwisho nilihitimisha kwa kusema ata iweje nitakua upande wa Manuela kwani Javier alionekana kuwa na element fulani za ukatili na unyanyasaji wa rangi. Hivyo kuanzia pale nilianza kuamini maneno ya Manuela kwamba Javier alikua ni white supremacist na alichukia weusi waziwazi.

JAVIER: so.......!!! Did you have sex
( Vipi..... Ulichakata mbususu)

MIMI: no.........! Only blowjob
( Hapana alininyonya tu)

Hahahahahahaha ahahaha hahahahahaha hahahahahahaha ahahaha nilishuhudia kicheko cha ajabu sana kutoka Javier, kicheko kilichopelekea mpaka akapaliwa na mate na kuanza kukohoa mfululizo.

Baada ya kumaliza kunicheka Javier aliongea kwa hasira na huzuni sana.

" Sijakuona ukitoka wala sikujua kama umetoka, nilichofanya ni kucheza na psychology tu kwani kwa kawaida mida hii unakua umelala au kama hujalala basi unakua umeanza kusinzia.

Lakini leo imekua tofauti sana nimekuta umekaa na macho yamechangamka hii unaonekana hujalala kabisa na ni kama ndio umefika.

Javier aliendelea kusema alishanieleza kilakitu kuhusu background ya Gatkuoth ambaye alikua ni muafrika mwenzangu nini kilimkuta na alikufaje.

Sasa ameshangaa kuona narudia makosa yaleyale, hapa alijiuliza waafrika tuna shida gani kwenye ubongo ( alitoa maneno mengi ya kejeli lakini nilikua bize na msosi)
Mpaka wakati huo nilishukuru Javier hakujua niliulizwa nini na Manuela alichojua yeye ni kwamba nilienda kula tunda tu.

MIMI: javier! You told me very little about Schulz, can you proceed from where we ended.

( Lakini bwana Javier alinisimulia kidogo sana kuhusu Schulz unaweza kuendelea ata kidogo pale tulipoishia)

Niliingiza story hiyo ila kuhakikisha tunayaacha yale mazungumzo ya awali kiukweli sikuyapenda na yalikua na kejeli sana kwetu watu weusi.

Japo kwa namna moja au nyingine alikua akiongea ukweli lakini alikosa njia sahihi ya kuwasilisha ukweli huo. Kwani sikuona mantiki ya kutumia maneno mabaya na makali kama vile kuitana sokwe na majina mengine kama hayo.

Maana alifikia hatua akasema ubongo wa watu weusi umejaa tope na kinyesi cheusi tiiiii kama ngozi yetu.

Javier alinipa condition kadhaa kama nitataka kusikia mambo kadhaa yaliyo muhusu veteran wa ki-NAZI bwana Schulz.

Condition ya kwanza ilikua ni kujibu maswali yote ambayo ataniuliza na ninatakiwa kuyajibu kwa ufasaha na pia natakiwa kuwa na uhakika wa kile ninachokisema.

Swali la kwanza lilikua je! Nakubali kama waafrika ni selfish in nature?

Swali la pili lilikua je! Nakubali kama kuna uchawi miongoni mwa waafrika na kama nakubali, vipi najua Chochote kuhusu huo uchawi
( Apa kwenye uchawi alitumia neno traditional African science)
Mpaka hapo sikuwa nimejua nia ya Javier kwani maswali yale yalikua tofauti na kile ambacho niliuliza wakati huo.

Majibu yalikua hivi; nilikubali waafrika ni selfish tena sana kwa kutumia reference zake yeye mwenyewe alizonipa siku chache hapo nyuma tulipokutana.

Majibu ya swali la pili yalikua hivi; nilikubali kuna uchawi miongoni mwa waafrika kwani hata mazingira niliyokuwepo uchawi tuliusikia sana. Lakini sina ushahidi wa moja kwa moja wa kuthibitisha kwamba uchawi upo, mwisho nilikataa kuhusu kujua Chochote kuhusu uchawi kwani sikuwahi kuushuhudia mahala popote.

Kwa majibu haya Javier alitabasamu na kisha akasema majibu yangu ya swali la pili yamejibu swali la kwanza . Nilijaribu kutumia nguvu kumuelewa lakini niwe muwazi nilishindwa kabisa kumuelewa huyu jamaa.

Kwa mujibu wa bwana Javier ni kwamba kilichomkwamisha Schulz kwenye harakati zake ilikua ni huo uchawi au traditional African science, ambayo ina upofu mkubwa linapokuja swala la methodologies na miiko yake.

Kwa maelezo ya bwana Schulz sayansi ya muafrika imepewa jina baya na image mbaya na waafrika wenyewe.

lakini kiuhalisia ndio sayansi ya kwanza ulimwenguni kwani mwanadamu especially waafrika walitumia walitumia maarifa hayo hayo katika kuyatawala mazingira na kutatua changamoto mbalimbali zilizomkabili.

Inasemekana ile traditional African science inazaidi ya miaka billion 2 ulimwenguni kwani imeizidi ata ile ya ujerumani na uingereza, apa alimaanisha wajermani walikua wakiongoza kwa uchawi kwenye hizi nchi za ulaya.

Huu uchawi au sayansi ya muafrika inaonekana kuwa ni miongoni mwa tamaduni kongwe zaidi ulimwenguni kuzidi zile za uajemi ya kale (waajemi) wayunani (ugiriki ya kale) na mesopotamia/ babiloni ya kale au wasumeri.

Mbaya zaidi taaluma hiyo hufundishwa kwa siri sana na wale wanaoijua na wakati mwingine hutumia mbinu ya kurithisha. Na kwa zaidi ya asilimia 98 imemsaidia sana binadamu especially waafrika katika kupambana na mazingira.


Kwa maelezo ya Schulz wakati anamsimulia bwana Javier ni kwamba Schulz alipata kujua kuwa waafrika waliweza kutengeneza ndege kabla ya mzungu kwa zaidi ya karne kadhaa huko nyuma kabla ya ndege hizi tunazozijua.

Hapa alitoa mfano kwamba eti kwa ukanda wetu huu kulikua kuna ndege za kuweza kubeba abiria mpaka 16 enzi hizo kabla ya hizi Boeing bwana.

Ok!.... Huu uchawi au traditional African science ilimkwamisha vipi bwana Schulz na ni kwanini Javier na yeye alitaka kujua kuhusu huu uchawi.

Bwana Schulz alishiriki vita nyingi mpaka kufikia mwaka 1943 September 9 ambapo Iran na ujerumani walipoingia kwenye mgogoro wa kivita na WA Nazi. Kabla ya mgogoro huu nchi ya Iran iliaminika kuwa neutral kabisa enzi zile za WWII ( vita ya pili).

Hiyo coloured part hapo juu kulikua na typing errors kwenye kipande cha episode 6C kilichopita ndio maana nimekirudia tena.

BWANA SCHULZ WA UJERUMANI NDIO ALIYEKUA NA MCHONGO MZIMA WA RAPTA NA ALIUPATA WAKATI WA HIYO VITA.

sasa tunamalizana na peru mda sio mrefu alafu tunaludi bongo very soon.

0623329512 Whatsapp (kwa mwenye uhitaji wa vipande vya mbele zaidi PDF)
Mkuu Mugabonihela nafuatilia kwa umakini sana simulizi hii. Iwe ni kweli au ya kutunga, salute mno kwa simulizi nzito. Kama alivyosema member mmoja Msanii kuwa kuna suala ya kisarufi kufanyia kazi. Pia suala la kingereza kwa kiasi kidogo tu. Mfano katika episode hii mwenyeji wako kakutukana hairless chimpanzee. Umeandika hearless chimpanzee na kutafsiri masokwe wagumu kuelewa. Ukweli ni kuwa alimaanisha sokwe wasio na nywele. Tuendelee mkuu. Tuko pamoja ✌️
 
Tunapoelekea ndio balaa meku, huko juu hii simulizi imeanza kawaida sana ndio maana wengi wakisoma lines mbili tatu wana comments shit wanaondoka ila wangejua kinachofuata.

Anyway tuendelee kula mtori nyama zipo chini.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Mi nipo Sana mkuu, tuombe uzima, miongoni mwa nyuzi Kali Sana kuwahi kutokea hapa jf. Ilikuaje Hadi mwamba Javier akakamatwa na kuhukumiwa kifungo Cha maisha mwaka 2020?? Natamani kujua
 
Back
Top Bottom