Utajiri wa Magofu ya Rapta

Utajiri wa Magofu ya Rapta

Hapa unawaanda watu kuwatapeli. Hii mbinu nliwahi itumia zamani sana nikafanikiwa. Utawapata mabwege hawaishi dunia hii. Unaleta stories maneno meeeeeengi hayana kichwa wala miguu .... Ndo maana unaona unaaandika ila pages hazijafika hata 70 kama wenzio wanaofikisha hadi 100 plus huko. Unaandika uongo wa kitoto. Na sasa unataka kuwatapeli watu.
Huo unaouleta sio uungwana hata kidogo, kwanini Kila siku unamkandia mleta uzi?? Na bado haumuignore upo tu?? Haya Ni muongo, mbona unaendelea kufuatilia stori yake?? Je, unachuki na mleta uzi?? Tuseme jibu Ni hapana. Tofauti na kumshutumu kuwa Ni muongo, una hoja nyingine ya kumtuhumu nayo?? Kwanini unaendelea kuusoma uongo wake???
 
Huo unaouleta sio uungwana hata kidogo, kwanini Kila siku unamkandia mleta uzi?? Na bado haumuignore upo tu?? Haya Ni muongo, mbona unaendelea kufuatilia stori yake?? Je, unachuki na mleta uzi?? Tuseme jibu Ni hapana. Tofauti na kumshutumu kuwa Ni muongo, una hoja nyingine ya kumtuhumu nayo?? Kwanini unaendelea kuusoma uongo wake???
Kakojoe ukalale. Kila mtu yupo huru JF kutoa maoni yake.
 
Kwenye comments zangu za uko juu siku za nyuma kidogo kwenye uzi huu huu niliwahi kutaja kinywaji kinachoitwa AKAYABAGU,

kinywaji hiki kwa mara ya kwanza niliwahi kukinywa nchini Burundi mwaka 2020 na nilistaajabu sana kwa ubora wake. Na ndio sababu iliyonipelekea kumtafuta muhusika mkuu anatengeneza product hii lengo langu halikua baya bali nilifurahishwa na matokeo yake.

Binafsi kabla ya kunywa kinywaji kipya hua natoa macho kwenye ingredients zake kwanza, na kwa mujibu wa AKAYABAGU Ndani yake kuna turmeric, ginger na maji pekee. Sio siri hivi vyote ukinywa kinywaji iko unavisikia vimo kweli, na balaa lake sio dogo ikitokea umekamata pisi kali ni mwendo wa kuhesabu magoli tu.

Sasa leo nimeshtushwa na habari kwenye ukurasa wa Millard kwamba kimezuiliwa kuingia bongo sababu kina Viagra ndani yake, kwanza sikuwahi kujua kama tayari kinywaji iki kiko bongo lakini sure I'm telling you hiki kinywaji kingewafikia watanzania basi kingekua na soko kubwa.

Waliowahi kutumia kinywaji hiki watatoa ushahidi, kwanza nguvu za tendo ni jambo la Mwisho kina saidia mambo mengi sana. Nisiongee mengi ngoja nikae kizalendo ila Burundi isingekua vita wangetuacha mbali sana kiviwanda wale jamaa ni kama wachina ata akipanga chumba na sebule kesho utasikia anazalisha pombe kwenye chumba kile.

Ngoja niwe msikivu kwa serikali Yangu nikirudi ghetto tabata nikapekue kila sehemu nihakikishe hakuna mabaki ya akayabagu.View attachment 2667369

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Serikali nzima wanasoma story yako.

Serikali inajipanga kwenda Raphta kupekua utajiri huo
 
TUMALIZIE MALIZIE WEEKEND

Tulipoingia ndani ya gari ile ambayo ndio imeonekana kutumiwa na fatemeh mara nyingi. Nilianza kutafsiri kila kitu ambacho nilikua nikiongea na shahzad kwani yeye hakuwa akielewa lugha tuliyoitumia.

Licha ya hivyo nilimwambia kuwa bado hatuja fika kwenye lengo letu kwani hajanipa taarifa zozote zinazohusu mji ule wa rapta.

Kwa maelezo ya shahzad tulitakiwa kwenda tena kesho yake, na yeye atatumia siku ya leo kufanya maandalizi ya kila documents ya msingi iliyohusu mji huo.

Kwa upande wa fatemeh alisema kuanzia hiyo kesho hawezi tena kuungana na sisi kwa sababu zisizopungua tatu,

Sababu ya kwanza kabisa alisema haoni mantiki ya kushiriki mazungumzo hayo ambayo yalitumia lugha ambayo sio rafiki kwa upande wake.

Sababu ya pili alisema tayari ana majukumu mengine ameshapangiwa hivyo kuanzia kesho yake atakua akiwajibika upande mwingine wa shughuli zake za kila siku.

Sababu ya tatu na ya mwisho haoni kama kuna namna yoyote ataenda kunufaika kwenye project hiyo kwani kwa upande wake aliamini hizo ni Hadith za kusadikika.

Nilimuuliza pia kwamba wakati tunataka kuondoka kuna namna walikua wakiteta yeye na shahzad, hivyo nilitaka kujua walikua wakiongea nini yeye na shahzad.


Fatemeh alicheka baada ya kumkumbusha au kumuuliza waliongea nini na shahzad kwani ni kama walikua wakiteta wawili hao.

Kwa maelezo ya fatemeh ni kwamba kama angeamua kuweka sababu nne za kutokufuatana na mimi tena kuja kwa shahzad basi angesema shahzad hana imani na fatemeh.

Fatemeh hakunipa sababu za kwanini shahzad anaonekana kutokua na imani na yeye kabisa.

Lakini baadae fatemeh alinipa tahadhari ya kwamba ata kama nitakuja peke yangu kuonana na shahzad nitatakiwa kuwa kwenye misingi atakayo niwekea kwani sitakiwi kujisahau sana bado kuna maadui wengi wananiwinda.

Kwa mujibu wa fatemeh alidai yeye hakuwa kwenye kichwa cha Javier kwani hawaja mtambua kabisa lakini mimi ndio nilikua rahisi kujulikana na kupatikana. Hivyo usalama wangu utahakikishiwa kwa kutiwa nguvuni Javier na washirika wake.

Haikutuchukua muda mrefu tulifika kwenye jengo la apartment aliyokua akiishi fatemeh, kama kawaida tulipanda lift mpaka floor husika na kuingia ndani kwetu ambako nilipazoea na nilipatumia kama sehemu ambayo nilimuenjoy sana fatemeh.

Tulipofika ndani fatemeh aliongoza moja kwa moja Mpaka chumbani kwake bila shaka alienda kuoga ili kupunguza uchovu wa siku nzima ambayo tuliitumia tukiwa na mzee wetu shahzad.

Kabla sijaingia kwenye chumba changu nilienda kwanza kwenye chumba cha fatemeh, ila kwa bahati mbaya sana au kwa makusudi kabisa kumbe fatemeh alifunga mlango bilashaka alijua nitaingia tu ndani umo.

Hivyo kwa hasira niliingia kugonga mlango au kuupiga mlango kwa mikono na mateke ya kutosha kisha nikatimkia kwenye room yangu.

Baada ya dakika 20 kila mmoja alikua tayari ametoka na tukiwa sitting room story zilikua zikiendelea kama kawaida. Lakini wakati huu fatemeh alikua yupo bize sana kwenye tarakirishi mpakato yake ( laptop).

Niliamua kuvunja ukimya kwa kumuuliza maswali ambayo nilipanga kumuuliza pindi tukiwa tumefika nyumbani.

MIMI: Why did you lie to Shahzad?
( Kwanini uliamua kumuongopea shahzad)


FATEMEH: don't you think I helped you to explain how we met
( Huoni kama nilikusaidia kuelezea ni namna gani tulikutana)

Fatemeh aliniongezea jambo kwenye maongezi yale, aliniambia ili kumu win mtu kwenye maongezi basi hakikisha unakua mbele ya muda na pia hakikisha unaijua next move yake.

Apa alimaanisha kuwa hakikisha unajua maneno yanayofuata ya mtu ambaye mpo kwenye conversation hii itakusaidia pia kuandaa majibu ambayo yapo constructive na yenye logic.

Kwa hakika fatemeh toka namjua alikua ni mtu makini sana kwenye maneno yake, hukua muongeaji sana bali aliongea penye ulazima nahisi jambo hili lilifanya pia shahzad na wengine wanaomzunguka wamuone kama anakibuli.

Moja kati ya nondo nilizowahi kuzichukua kwa fatemeh zilizohusu maongezi au zilizohusu ni namna gani tunapaswa ku baheva wakati wa kuongea ni hizi apa zifuatazo:-

when we talk just to be talking and we have no purpose in mind, we usually say things that really don’t need to be said (fatemeh)

Words have so much power that they can actually create circumstances in our lives ( fatemeh)

person knowing the power of words become very carefully of his conversion. (Fatemeh)

Hivyo falsafa ya fatemeh ya kutokuongea sana ilijengwa kwa misingi ya hizo quotes apo juu alionekana akiamini kwenye hizo quotes.

Tukiwa tunaendelea nilimuulizia pia kwanini asimuweke wazi shahzad kuhusu yeye kutokua na familia.

kwani kwa umri wa shahzad ni wazi angejua chochote cha kumwambia isitoshe shahzad ni miongoni mwa watu wakongwe zaidi kwenye mji huo hivyo asingekosa kujaribu kujua lolote kumuhusu yeye.

FATEMEH: you know privacy is power, so don't overshare.
( Hapa mtapambana wenyewe mi nimekosa kiswahili chake hahahahaha haha)

Hilo ndilo lilikua jibu la fatemeh baada ya kumuuliza kwanini asimshirikishe shahzad kuhusu background yake.

Lakini fatemeh aliongezea kwa kusema mtu kama shahzad au kwa nature ya mtu kama shahzad huwezi kumwambia siri zako au mambo yako ya Ndani ambayo ndio weaknesses zako pia.

Na kwa mara nyingine tena nilimuelewa fatemeh kwa nini hakutaka kumwambia shahzad kuhusu background yake.

Hivyo ata mimi mwenyewe alisema nimebahatika sana kwani ametokea kuniamini na muda si mrefu anaona kabisa nitaenda kuijua siri yake kubwa zaidi kwenye maisha yake.

Fatemeh alifunika laptop yake kuashiria amemaliza jambo alilokua analifanya, na kwa kujiamini kabisa alikuja kukaa kwenye sofa ileile niliyokua nimekaa mimi.


Baada ya kuketi karibu na mimi, alichukua glass ya maji iliyokua kwenye meza akanywa kisha akanitupia swali ambalo nilitarajia aniulize mapema zaidi.

FATEMEH: how was it when you arrived at the mosque?
( Nambie ilikuaje ulipoingia msikitini)

MIMI: that's a very small thing for me
( Hilo ni jambo dogo sana kwangu)

FATEMEH: what's the biggest thing you've ever done or hope to do

( Kama jambo dogo sawa, jambo gani kubwa uliwahi kulifanya au unatarajia kulifanya)


MIMI: I am expected to take off Fatemeh's underwear
( Natarajia kumvua fatemeh)

Fatemeh hakuongea chochote nilimuona amesimama na kurudi palepale alipokua amekaa awali kisha akaendelea na maongezi.

FATEMEH: Were you able to take ablution?

( Uliweza kufanya ablution: ablution ni kitendo cha kujisafisha wanachofanya waislamu kabla ya Sala)
Wanaojua kiswahili chake tunaomba msaada kwenye hili.

MIMI: what is that
( Ni nini hicho)

Haaaah!!!!!!!
Fatemeh alishangaa sana na mwisho aliniomba anifundishe namna ya kuswali kwani kutokana na jinsi ninavyoendelea kukutana na shahzad basi jambo hilo hakuna namna nitaliepuka.

Na mimi nilimkubalia kwani niliona fedheha niliyokutana nayo nilipofika eneo la msikiti na fedheha hiyo ilisababishwa na kutokujua ni jinsi gani nilitakiwa kufanya sala kuendana na wenzangu.

Aisee uzuri wa wenzetu waislamu bwana, kuna uniformity kwenye swala zima linalohusu Sala. Yaani ikitokea umeenda china au india basi utasali vilevile kama jinsi ambavyo ulikua unasali ukiwa msikiti wa kwenu chamazi kwa mapunda.



Kulingana na maelezo ya mwalimu wangu mpya kwenye dini ya kiislamu, yaani mwalimu fet au madam fet kama nilivyomuita.

Alisema ili mtu ushiriki sala ya kiislamu unatakiwa uwe na mambo kadhaa ambayo ni sanity ( yaani uwe na akili timamu), uwe katika muda sahihi lakini pia uwe msafi wa mwili.

Alisema mengi lakini hayo ndio nayakumbuka kwa haraka haraka, apa kwenye usafi wa mwili sasa ndio kipengele kwani kuna mambo mengi mfano kama umetoka ku ejaculate hupaswi kusali kwanza kabla ya kuoga.

Lakini kama upo vizuri basi unachotakiwa kufanya ni kusafisha sehemu za mwili kama walivyokua wanafanya wale jamaa kwenye korido na sehemu hizo ni mikono miguu uso kichwa viganjwa na masikio.
Na kama we ni msafi tayari basi unaruhusiwa kuingia kwenye sala moja kwa moja.

Hivyo basi muda huo tuliutumia kunifundisha ni namna gani nilitakiwa kufanya ablution au kujisafisha kabla ya sala.

Tuliomaliza mafunzo ya ablution alinipa kitabu ambacho kilieleza namna ya kusali hatua kwa hatua, na yeye akaelekea jikoni akinisisitza kuwa akirudi natakiwa kufanya ablution kwa vitendo yaani kurudia alichonifundisha.

Baada ya hapo natakiwa tena kumueleza zile hatua za namna ya kusali kwa jinsi nilivyoelewa mimi. Zoezi lile lilikua dogo sana kwangu kwanza niliwaza jinsi nilivyokua naimeza Chand ya physics nzima nzima hivyo nikaamini kile kitabu cha sala hakimalizi dakika 10.

Na nilimuahidi fatemeh kwamba kesho nikienda msikitini nitakua tayari nimeiva kiasi kwamba naweza ata kusimama mbele kuongoza misa kama wanavyofanya wale wengine.

Mrembo wangu alicheka tu na kupotelea jikoni,

Episode ya nyuma Niliahidi kuelezea maana ya Ethical hacker au White-hat hucker pamoja na Black, Grey hucker bila kumsahau mtu mmoja ambaye yeye huitwa script kiddie.

Haya nitayaelezea japo kwa kifupi sana ili tu mambo yasiwe mengi wakati wa kuelezea majukumu ya fatemeh kwenye idara yake. Kwani apo awali nilisema fatemeh yeye alikua ni Ethical hacker wa idara ya MOIS.








Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Tulio wengi tunapenda jamaa ale tunda kimaskhara na naamin hicho ndicho kinachomtesa mwandishi kwa sabab analazimika kufurahisha hadhira na kulazimika kufanya marekebisho mengi sana ili asitoke nje ya maudhui (mtazamo wa muuza Viat)
Mnaopenda sehemu za kula tunda huwa mnafurahia nini? Binafsi ni sehemu zinazonipa shida za kihisia so sifurahii. Nyinyi mnapigia punyeto?
 
Umbali kutoka duniani mpaka kufikia mwezini kawaida ni 382,500KM japo kuna kipindi mwezi kutokana na mzunguko wake husogea mpaka kufika 360,000km. Lakini kila siku au mara kadhaa tunasikia wanasayansi ya anga wakifanya trials za kwenda mwezini na wapo wanaodai walifika huko.

Swali je! Ni kwanini umbali kutoka mwezini mpaka mpaka dunia ilipo ni mkubwa lakini wanasayansi wanaenda huko kila siku. Lakini hapa hapa kwenye uso wa Dunia kuzama baharini KM 5 au ata 4 tu imekua mtihani mkubwa.

Tena mtihani haswaa kwa yale maeneo ambayo yalikua na shughuli au roho za watu, Shahzad ana majibu kadhaa wa kadhaa na majibu yake mengi yanahusisha uwepo wa roho za aina nyingi zikiwemo na zile roho maarufu kama wandering strangers.

Tutulie jamani kuna mengi kwenye safari ya rapta na tunaelekea huko soon, Shahzad ameshatoa zana zote zinazoenda kuturahisishia safari yetu zikiwemo.

Ila bahari sio sehemu ya kila mtu ndio maana ata wachawi wenyewe hawana ujanja wanapokutana na bahari, tumtafute mzee Schulz aseme aliona nini huko rapta na kwanini hadi leo hajasema Chochote.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Mzee Schulz alifikia mkoani Lindi (nachingwea) kwa rafiki ake au mjerumani mwenzake aliyeitwa seabot lakini kwa bahati mbaya Schulz aliondoka kwa seabot bila kuaga na kusema kilimsibu nini baada ya kwenda kuuona mji huo.

Je! Ni aina gani ya matambiko yanahitajika ili kufika uko [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] hakuna mtu mweusi aliyejaribu kwenda huko je vipi kuhusu mimi na pete niliyopewa na Shahzad.

Tusisahau kunakiumbe wa ajabu miongoni mwa watu nilio interact nao [emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14] - Mambo ni mengi muda mchache sana wapwaa

tule mtori wanangu nyama zipo chini..........!!!!!!

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Mzee Schulz alifikia mkoani Lindi (nachingwea) kwa rafiki ake au mjerumani mwenzake aliyeitwa seabot lakini kwa bahati mbaya Schulz aliondoka kwa seabot bila kuaga na kusema kilimsibu nini baada ya kwenda kuuona mji huo.

Je! Ni aina gani ya matambiko yanahitajika ili kufika uko [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] hakuna mtu mweusi aliyejaribu kwenda huko je vipi kuhusu mimi na pete niliyopewa na Shahzad.

Tusisahau kunakiumbe wa ajabu miongoni mwa watu nilio interact nao [emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14] - Mambo ni mengi muda mchache sana wapwaa

tule mtori wanangu nyama zipo chini..........!!!!!!

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Duuu sijui nije wasap huko
 
Wengi wanajua ni story za kusadikika [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Ninapokeaga sana updates za wanazuoni wa masuala ya kale. Baadhi kutoka pale UDSM faculty ya archeologists.... mambo ya Raphta wameshawahi kuyagusa lakini seems hawakwenda ndani sana. Ila ile njia ya kwenda Nyamisati kijiji fulani hivi wamekuta masalia ya zana za kale hususan vyombo ambavyo vina backdate kabla ya washirazi, seems wagiriki waliwahi kuwepo huku kwetu kabla ya wakina Vasco Da Gama
 
Umbali kutoka duniani mpaka kufikia mwezini kawaida ni 382,500KM japo kuna kipindi mwezi kutokana na mzunguko wake husogea mpaka kufika 360,000km. Lakini kila siku au mara kadhaa tunasikia wanasayansi ya anga wakifanya trials za kwenda mwezini na wapo wanaodai walifika huko.

Swali je! Ni kwanini umbali kutoka mwezini mpaka mpaka dunia ilipo ni mkubwa lakini wanasayansi wanaenda huko kila siku. Lakini hapa hapa kwenye uso wa Dunia kuzama baharini KM 5 au ata 4 tu imekua mtihani mkubwa.

Tena mtihani haswaa kwa yale maeneo ambayo yalikua na shughuli au roho za watu, Shahzad ana majibu kadhaa wa kadhaa na majibu yake mengi yanahusisha uwepo wa roho za aina nyingi zikiwemo na zile roho maarufu kama wandering strangers.

Tutulie jamani kuna mengi kwenye safari ya rapta na tunaelekea huko soon, Shahzad ameshatoa zana zote zinazoenda kuturahisishia safari yetu zikiwemo.

Ila bahari sio sehemu ya kila mtu ndio maana ata wachawi wenyewe hawana ujanja wanapokutana na bahari, tumtafute mzee Schulz aseme aliona nini huko rapta na kwanini hadi leo hajasema Chochote.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Si unajua nyambizi Titans imezama na billionea huko alipotaka kwenda kutalii masalia ya Titanic?

Bahari ni dunia nyingine. Bora ufe unaelea angani kuliko kufa maji
 
Kama n uongo unasoma nn sasa yaani n uwongo alafu unasoma,makalio ya mamako we
 
Kilometa 5 chini ya bahari pressure ni mara 500 ya pressure ya usawa wa bahari, ni nadra sana chombo kilichotengenezwa na mwanadamu kufika huko na kurudi salama.

Kinaminywa kama kopo la soda, implosion
Kwani walioigundua na kuipiga picha Meli ya Titanic walifika vipi huko chini?
 
Exploring space is easier than exploring the ocean bottom…

Pressure difference between a space capsule and the vacuum of space:
Less than 1 atm.

Pressure difference between a submersible at the Titanic and the surrounding water pressure:
Nearly 400 atm. (5,600 lbs per sq inch)
 
Mzee Schulz alifikia mkoani Lindi (nachingwea) kwa rafiki ake au mjerumani mwenzake aliyeitwa seabot lakini kwa bahati mbaya Schulz aliondoka kwa seabot bila kuaga na kusema kilimsibu nini baada ya kwenda kuuona mji huo.

Je! Ni aina gani ya matambiko yanahitajika ili kufika uko [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] hakuna mtu mweusi aliyejaribu kwenda huko je vipi kuhusu mimi na pete niliyopewa na Shahzad.

Tusisahau kunakiumbe wa ajabu miongoni mwa watu nilio interact nao [emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14] - Mambo ni mengi muda mchache sana wapwaa

tule mtori wanangu nyama zipo chini..........!!!!!!

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Screenshot_20230625-212045.png
Screenshot_20230625-212045.png
 
TUMALIZIE MALIZIE WEEKEND

Tulipoingia ndani ya gari ile ambayo ndio imeonekana kutumiwa na fatemeh mara nyingi. Nilianza kutafsiri kila kitu ambacho nilikua nikiongea na shahzad kwani yeye hakuwa akielewa lugha tuliyoitumia.

Licha ya hivyo nilimwambia kuwa bado hatuja fika kwenye lengo letu kwani hajanipa taarifa zozote zinazohusu mji ule wa rapta.

Kwa maelezo ya shahzad tulitakiwa kwenda tena kesho yake, na yeye atatumia siku ya leo kufanya maandalizi ya kila documents ya msingi iliyohusu mji huo.

Kwa upande wa fatemeh alisema kuanzia hiyo kesho hawezi tena kuungana na sisi kwa sababu zisizopungua tatu,

Sababu ya kwanza kabisa alisema haoni mantiki ya kushiriki mazungumzo hayo ambayo yalitumia lugha ambayo sio rafiki kwa upande wake.

Sababu ya pili alisema tayari ana majukumu mengine ameshapangiwa hivyo kuanzia kesho yake atakua akiwajibika upande mwingine wa shughuli zake za kila siku.

Sababu ya tatu na ya mwisho haoni kama kuna namna yoyote ataenda kunufaika kwenye project hiyo kwani kwa upande wake aliamini hizo ni Hadith za kusadikika.

Nilimuuliza pia kwamba wakati tunataka kuondoka kuna namna walikua wakiteta yeye na shahzad, hivyo nilitaka kujua walikua wakiongea nini yeye na shahzad.


Fatemeh alicheka baada ya kumkumbusha au kumuuliza waliongea nini na shahzad kwani ni kama walikua wakiteta wawili hao.

Kwa maelezo ya fatemeh ni kwamba kama angeamua kuweka sababu nne za kutokufuatana na mimi tena kuja kwa shahzad basi angesema shahzad hana imani na fatemeh.

Fatemeh hakunipa sababu za kwanini shahzad anaonekana kutokua na imani na yeye kabisa.

Lakini baadae fatemeh alinipa tahadhari ya kwamba ata kama nitakuja peke yangu kuonana na shahzad nitatakiwa kuwa kwenye misingi atakayo niwekea kwani sitakiwi kujisahau sana bado kuna maadui wengi wananiwinda.

Kwa mujibu wa fatemeh alidai yeye hakuwa kwenye kichwa cha Javier kwani hawaja mtambua kabisa lakini mimi ndio nilikua rahisi kujulikana na kupatikana. Hivyo usalama wangu utahakikishiwa kwa kutiwa nguvuni Javier na washirika wake.

Haikutuchukua muda mrefu tulifika kwenye jengo la apartment aliyokua akiishi fatemeh, kama kawaida tulipanda lift mpaka floor husika na kuingia ndani kwetu ambako nilipazoea na nilipatumia kama sehemu ambayo nilimuenjoy sana fatemeh.

Tulipofika ndani fatemeh aliongoza moja kwa moja Mpaka chumbani kwake bila shaka alienda kuoga ili kupunguza uchovu wa siku nzima ambayo tuliitumia tukiwa na mzee wetu shahzad.

Kabla sijaingia kwenye chumba changu nilienda kwanza kwenye chumba cha fatemeh, ila kwa bahati mbaya sana au kwa makusudi kabisa kumbe fatemeh alifunga mlango bilashaka alijua nitaingia tu ndani umo.

Hivyo kwa hasira niliingia kugonga mlango au kuupiga mlango kwa mikono na mateke ya kutosha kisha nikatimkia kwenye room yangu.

Baada ya dakika 20 kila mmoja alikua tayari ametoka na tukiwa sitting room story zilikua zikiendelea kama kawaida. Lakini wakati huu fatemeh alikua yupo bize sana kwenye tarakirishi mpakato yake ( laptop).

Niliamua kuvunja ukimya kwa kumuuliza maswali ambayo nilipanga kumuuliza pindi tukiwa tumefika nyumbani.

MIMI: Why did you lie to Shahzad?
( Kwanini uliamua kumuongopea shahzad)


FATEMEH: don't you think I helped you to explain how we met
( Huoni kama nilikusaidia kuelezea ni namna gani tulikutana)

Fatemeh aliniongezea jambo kwenye maongezi yale, aliniambia ili kumu win mtu kwenye maongezi basi hakikisha unakua mbele ya muda na pia hakikisha unaijua next move yake.

Apa alimaanisha kuwa hakikisha unajua maneno yanayofuata ya mtu ambaye mpo kwenye conversation hii itakusaidia pia kuandaa majibu ambayo yapo constructive na yenye logic.

Kwa hakika fatemeh toka namjua alikua ni mtu makini sana kwenye maneno yake, hukua muongeaji sana bali aliongea penye ulazima nahisi jambo hili lilifanya pia shahzad na wengine wanaomzunguka wamuone kama anakibuli.

Moja kati ya nondo nilizowahi kuzichukua kwa fatemeh zilizohusu maongezi au zilizohusu ni namna gani tunapaswa ku baheva wakati wa kuongea ni hizi apa zifuatazo:-

when we talk just to be talking and we have no purpose in mind, we usually say things that really don’t need to be said (fatemeh)

Words have so much power that they can actually create circumstances in our lives ( fatemeh)

person knowing the power of words become very carefully of his conversion. (Fatemeh)

Hivyo falsafa ya fatemeh ya kutokuongea sana ilijengwa kwa misingi ya hizo quotes apo juu alionekana akiamini kwenye hizo quotes.

Tukiwa tunaendelea nilimuulizia pia kwanini asimuweke wazi shahzad kuhusu yeye kutokua na familia.

kwani kwa umri wa shahzad ni wazi angejua chochote cha kumwambia isitoshe shahzad ni miongoni mwa watu wakongwe zaidi kwenye mji huo hivyo asingekosa kujaribu kujua lolote kumuhusu yeye.

FATEMEH: you know privacy is power, so don't overshare.
( Hapa mtapambana wenyewe mi nimekosa kiswahili chake hahahahaha haha)

Hilo ndilo lilikua jibu la fatemeh baada ya kumuuliza kwanini asimshirikishe shahzad kuhusu background yake.

Lakini fatemeh aliongezea kwa kusema mtu kama shahzad au kwa nature ya mtu kama shahzad huwezi kumwambia siri zako au mambo yako ya Ndani ambayo ndio weaknesses zako pia.

Na kwa mara nyingine tena nilimuelewa fatemeh kwa nini hakutaka kumwambia shahzad kuhusu background yake.

Hivyo ata mimi mwenyewe alisema nimebahatika sana kwani ametokea kuniamini na muda si mrefu anaona kabisa nitaenda kuijua siri yake kubwa zaidi kwenye maisha yake.

Fatemeh alifunika laptop yake kuashiria amemaliza jambo alilokua analifanya, na kwa kujiamini kabisa alikuja kukaa kwenye sofa ileile niliyokua nimekaa mimi.


Baada ya kuketi karibu na mimi, alichukua glass ya maji iliyokua kwenye meza akanywa kisha akanitupia swali ambalo nilitarajia aniulize mapema zaidi.

FATEMEH: how was it when you arrived at the mosque?
( Nambie ilikuaje ulipoingia msikitini)

MIMI: that's a very small thing for me
( Hilo ni jambo dogo sana kwangu)

FATEMEH: what's the biggest thing you've ever done or hope to do

( Kama jambo dogo sawa, jambo gani kubwa uliwahi kulifanya au unatarajia kulifanya)


MIMI: I am expected to take off Fatemeh's underwear
( Natarajia kumvua fatemeh)

Fatemeh hakuongea chochote nilimuona amesimama na kurudi palepale alipokua amekaa awali kisha akaendelea na maongezi.

FATEMEH: Were you able to take ablution?

( Uliweza kufanya ablution: ablution ni kitendo cha kujisafisha wanachofanya waislamu kabla ya Sala)
Wanaojua kiswahili chake tunaomba msaada kwenye hili.

MIMI: what is that
( Ni nini hicho)

Haaaah!!!!!!!
Fatemeh alishangaa sana na mwisho aliniomba anifundishe namna ya kuswali kwani kutokana na jinsi ninavyoendelea kukutana na shahzad basi jambo hilo hakuna namna nitaliepuka.

Na mimi nilimkubalia kwani niliona fedheha niliyokutana nayo nilipofika eneo la msikiti na fedheha hiyo ilisababishwa na kutokujua ni jinsi gani nilitakiwa kufanya sala kuendana na wenzangu.

Aisee uzuri wa wenzetu waislamu bwana, kuna uniformity kwenye swala zima linalohusu Sala. Yaani ikitokea umeenda china au india basi utasali vilevile kama jinsi ambavyo ulikua unasali ukiwa msikiti wa kwenu chamazi kwa mapunda.



Kulingana na maelezo ya mwalimu wangu mpya kwenye dini ya kiislamu, yaani mwalimu fet au madam fet kama nilivyomuita.

Alisema ili mtu ushiriki sala ya kiislamu unatakiwa uwe na mambo kadhaa ambayo ni sanity ( yaani uwe na akili timamu), uwe katika muda sahihi lakini pia uwe msafi wa mwili.

Alisema mengi lakini hayo ndio nayakumbuka kwa haraka haraka, apa kwenye usafi wa mwili sasa ndio kipengele kwani kuna mambo mengi mfano kama umetoka ku ejaculate hupaswi kusali kwanza kabla ya kuoga.

Lakini kama upo vizuri basi unachotakiwa kufanya ni kusafisha sehemu za mwili kama walivyokua wanafanya wale jamaa kwenye korido na sehemu hizo ni mikono miguu uso kichwa viganjwa na masikio.
Na kama we ni msafi tayari basi unaruhusiwa kuingia kwenye sala moja kwa moja.

Hivyo basi muda huo tuliutumia kunifundisha ni namna gani nilitakiwa kufanya ablution au kujisafisha kabla ya sala.

Tuliomaliza mafunzo ya ablution alinipa kitabu ambacho kilieleza namna ya kusali hatua kwa hatua, na yeye akaelekea jikoni akinisisitza kuwa akirudi natakiwa kufanya ablution kwa vitendo yaani kurudia alichonifundisha.

Baada ya hapo natakiwa tena kumueleza zile hatua za namna ya kusali kwa jinsi nilivyoelewa mimi. Zoezi lile lilikua dogo sana kwangu kwanza niliwaza jinsi nilivyokua naimeza Chand ya physics nzima nzima hivyo nikaamini kile kitabu cha sala hakimalizi dakika 10.

Na nilimuahidi fatemeh kwamba kesho nikienda msikitini nitakua tayari nimeiva kiasi kwamba naweza ata kusimama mbele kuongoza misa kama wanavyofanya wale wengine.

Mrembo wangu alicheka tu na kupotelea jikoni,

Episode ya nyuma Niliahidi kuelezea maana ya Ethical hacker au White-hat hucker pamoja na Black, Grey hucker bila kumsahau mtu mmoja ambaye yeye huitwa script kiddie.

Haya nitayaelezea japo kwa kifupi sana ili tu mambo yasiwe mengi wakati wa kuelezea majukumu ya fatemeh kwenye idara yake. Kwani apo awali nilisema fatemeh yeye alikua ni Ethical hacker wa idara ya MOIS.








Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Dah Mugabonihela kuna sehemu umeboa sana. Wewe ni dhehebu gani katika ukristu? Pia umeudhalilisha ukristu. Kusema uzuri wa wenzetu sala zao ziko uniform kote (inaweza kuwa sawa), kwani ukristu unajisalia tu? Au utakuwa wewe ni muumini wa haya madhehebu ya kikristu ya kipentekosti? Katoliki ndio dhehebu lenye mifumo uniform duniani kote, ikifuatiwa na baadhi ya madhehebu mengine.
Sasa kutaka kummega Fatemeh basi ndio usiasi imani kiasi hicho. Ombi langu kwako kipande hicho katika episode hii ya mwisho kiombee radhi na ukisahihishe mkuu ili uendelee kupata baraka za wasomaji wako
 
Back
Top Bottom