Utajiri wa Magofu ya Rapta

Utajiri wa Magofu ya Rapta

Ethical hacker huyu ni mtaalamu ambaye mara nyingi hutumia ujuzi wa IT ( information technology) au taaluma nyingine yoyote inayohusiana na masuala ya cyber security.

Kwenye vigezo vya kumpata ethical hacker ambae ni competent enough mara nyingi uzoefu pia una mata sana.

Jukumu kubwa la ethical hacker ni kuujaribu mfumo au kuchunguza weakness au madhaifu ya mfumo wa taasisi husika kwa vibali maalum toka kwa uongozi wa taasisi.

Kwa mantiki hiyo basi hawa ethical hacker mara nyingine huitwa authorized hacker kwa kuwa tu anafanya kazi zake kwa kuidhinishwa na wamiliki wa mfumo husika.

Kwanini hawa ethical hacker wana tafuta loopholes za mfumo husika, hapa hufanya hivi ili kugundua mianya inayoweza kutumia na wadukuzi haramu kama vile crackers au black-hat hucker. Ethical hacker akigundua mianya hiyo huongezea ulinzi kwenye mfumo husika.

Kwa ufupi sana huyo ndio ethical hacker au authorized hacker na wengine huita white-hat hackers. Kwenye term moja tunaweza kuwaita ni constructive hackers kwani kazi yao ya udukuzi hufanya kwa malengo ya kujenga zaidi na sio kihalifu kama ilivyo kwa black-hat hucker.

Mara nyingi hawa jamaa huajiliwa kabisa na taasisi kwa lengo la kuangalia mapungufu na matobo ya mfumo na sio kwa ajili ya wizi au matendo mengine yaliyokinyume na sheria na ndio maana wakaitwa Ethical hacker ( wanafuata maadili).


Baada ya Ethical hacker tumuone kiumbe mwingine ambaye ni hatari zaidi. Huyu bwana huitwa black-hat hucker au wengine humuita Unauthorized Hacker, yeye anaenda kinyume kabisa na wale jamaa wengine wanaoitwa Ethical hacker kwenye utendaji wao.

Unauthorized Hacker yeye huyu ni mwamba anaetumia utaalamu, ujuzi na uzoefu wake wote kuingia kwenye mfumo wa kompyuta (operating system) bila ruhusa ya mamlaka husika.

Mara nyingi hufanya hivyo kwa dhumuni la kuiba taarifa za muhimu na za msingi msingi zinazohusu taasisi lakini ni kwa manufaa yake binafsi.

Hawa Unauthorized Hacker ndio wadukuzi haramu kwa kuwa kile wanachofanya ni magendo na ni kinyume na sheria.

Hawa jamaa yaani Unauthorized Hacker mara nyingi hudukua mifumo either kwa manufaa yao binafsi au kwa niaba ya vikundi vyao maarufu kama cybercrime organization.

Licha ya hayo yote mara nyingine hawa jamaa utumwa na mataifa hasimu au maadui wa kati ya taifa moja na jingine au mashirika ya kijasusi na baada ya shughuli hiyo mara nyingi hulipwa pesa au aina nyingine zozote za malupulupu.

Basi sasa aina hii ya wadukuaji hawa wawili ndio tutaenda kuingalia hapo baadae kwenye simulizi yetu. Lakini pia kuna script kiddie ambae nae kutokana na muda tutamuangalia baadae hususani baada ya kukutana nae hapo Mbele.

Turudi kwenye simulizi yetu,


Niliutumia muda ule mfupi kujifunza mambo makubwa mawili ambayo niliachiwa na fatemeh kama assignment uku akiahidi kuja kunipa test ya kunipima kujua nimeweza ku Master mafunzo yale kwa kiasi gani.

Kikubwa nilichojifunza wakati huo ilikua ni njia za namna gani natakiwa kufanya ablution ( kujisafisha viungo) Lakini pia nilijifunza ni namna gani natakiwa kusali kwa vitendo.

Kwa mujibu wa fatemeh ni kwamba kwenye hizi hatua za awali kabisa mtu anapojifunza namna gani anapaswa kusali. basi kikubwa anatakiwa akalili vitendo tu kuhusu maneno gani unatakiwa kutamka kila stage ilo utaelewa baadae taratibu taratibu.

Baada ya kumaliza kupiga msuli wa kumeza zile hatua zote za kusali na ablution nilijiona tayari nimeshakua shekhe ata ile kanzu niliyoivaa niliona naitendea haki kabisa.
Baada ya hapo chap nilikimbilia kwa fatemeh aliyekua jikoni na alipo niona tu akanipa jagi la maji na kisha akanisogeza eneo lililotazama na bafu. Hapo ilikua ni test ya kwanza kuona ni namna gani nimekalili zile steps zote kuanzia kunawa mikono na mwisho kabisa miguu.

Baada ya kuonyesha hatua zile zote tena kwa ufasaha wa hali ya juu tulielekea kwenye meza ya chakula na hapo alianza kunipa ABC za namna gani siku ya kesho natakiwa ku behave ninapoenda kukutana na shahzad.

Fatemeh hakutaka kunipa simu kabisa, alichosema yeye nitapelekwa mpaka kwa shahzad ila wakati wa kurudi ni yeye mwenyewe ndie atanipitia ili kurudi nyumbani.

Sikujua kwanini hakutaka nitumie simu kabisa, nilihisi inawezekana ni baada ya mimi kuwasiliana na malugu ndio ilileta shida au kuna sababu nyingine ambayo mimi siijui.

Story zilikua nyingi usiku ule kuna muda nilitamani nisirudi tena bongo yana niendelee kukaa pale pale na fatemeh. Ata fatemeh nae alionekana kufurahishwa na uwepo wangu japo alishindwa kuliweka wazi swala hilo.

MIMI: When I get home I will miss you so much
( Nikirudi bongo nitakukumbuka sana)

FATEMEH:me too
( Ata mimi pia)

Fatemeh alijibu kwa upole sana as if ndio nimemwambia sasa naondoka na hapo nilithibitisha kuwa ikitokea nikaondoka basi nitamuachia simanzi sana.

FATEMEH: We've all been living for a very short time but I don't want you to leave
( Tumeishi wote muda mfupi sana ila sitamani undoke kabisa)

Wakati fatemeh ananiambia maneno haya sura yake ilikua ikionekana vyema kwa upole uliotawala sura yake.

Sikumbuki ilikuaje lakini tulijikuta tu mikono yetu imeshikana tukiwa pale mezani, n' you know what!!!!! We made a lot of deep kisses

Na mara nyingi tukiwa kwenye scenario kama hizi ni kama fatemeh anapoteza network kabisa, na ikitokea amerudi kwenye Normal situation ni kama anastuka na kujitoa kwangu kwa haraka mno as if kuna kitu anakizuia kwenye mwili wake.


Nikiligundua hilo mara kadhaa tunapokua kwenye hali kama hiyo.

Nikiwa bado nimemshikiria mikono ilibidi nimuulize swali moja ambalo hakulijibu kwa haraka kabisa.

MIMI: Why are you so shocked when we make kisses?
( Kwanini huwa unashtuka sana tunapokua kwenye kisses hususani deep kisses)

FATEMEH: I feel something stranger on my body
( Kuna hali ya ajabu hua nahisi kwenye mwili wangu)
Aliendelea fatemeh,
I have never felt this way in my life,
( Sijawahi kuhisi hivi kwenye Maisha yangu hapo kabla)

Mara hii alinisogelea tena yeye mwenyewe na akanikiss tena passionately na kwa utulivu wa hali ya juu ni kama kuna kitu alikua anakitafuta kwenye mwili wake au alikua anakitarajia kwenye mwili wake.

This time na mimi nili feel kitu cha tofauti kidogo kutoka kwenye midomo yake malaini, sijui ni kwakua alinikiss kwa utulivu mno na bila shuruti kama ambavyo mimi nafanya.

Maana mara nyingi mimi namkiss kwa timing yaani sio kwamba anakua amejiandaa kabisa. Hili kiss la safari hii tulitumia mda kidogo na kimoyomoyo Nikasema leo hatoki!!!!!!

Kama kawaida alishtuka, tena safari hii mshtuko ulikua mkubwa zaidi nahisi ni kutokana na namna alivyotulia na tulivyokiss mda mrefu kuliko siku zote hapo kabla.

Fatemeh alishindwa tena kuendelea kukaa pale kwenye meza ile ya dinning na hatimae alikimbia kuelekea kwenye chumba chake. Na bila kuchelewa nilimfuata maana nilijua akiingia ndani kinachofata ni kufunga mlango.

Wakati anaingia chumbani na mimi sikua mbali alikuta na mimi nipo ndani kitambo sana. Ila kiukweli alizidi kunichanganya kwani alifikia kulia tena kilio kile cha uchungu kilichoambatana na kwikwi.

Mpaka hapo nikaona mipango yangu kama imegonga mwamba kwani kwa hali yake nisinge weza kufanya chochote. Kilichofuata hapo ilikua ni kubembelezana japo sikua najua ata ni nini kina mliza mrembo huyo.

Nilimbembeleza akiwa kitandani mpaka alipopitiwa na usingizi mzito kifuani kwangu, lakini wakati amelala nilitamani sana kujua fatemeh anashida gani na kwanini hua analia sana kwenye hali kama ile. Na sio mara moja ni karibia mara zote, je ni kitu gani huwa anakihisi kwenye mwili wake cha tofauti. Je kitu hicho humuumiza au humpa furaha kwakweli nilikosa majibu kabisa.

Tukiwa bedroom ya fatemeh wote tulipitiwa na usingizi and for sure tulipiga usingizi mrefu kuwahi kutokea toka tumefika mji huo. Fatemeh ndio alikua wa kwanza kuamka na akajikuta nimemkumbatia katika namna ambayo asingeweza kutoka bila kuniamsha kwanza.

Na haikupita muda mrefu na mimi niliamka na nikakuta yeye akiwa macho lakini ilionekana hukataka kuniamsha na ni kama kuna jambo alikua akiliwaza sana wakati huo.

MIMI: good morning fet, why we slept a lot today
( Za asubuhi fet, mbona tumelala sana leo)

Fatemeh hakujibu chochote zaidi ya kuonyesha ishara ya kutaka nitoe mikono yangu kiunoni kwake ili anyanyuke.

FATEMEH: I have never slept like this before!!!! Anyway, get ready Shahzad will be waiting for you
( Kwakweli sijawahi kulala kama hivi, ila sawa tu jiandae shahzad atakua anakusubiri)

Unajua kipindi kile nilikua bado kijana mbichi kabisa wa miaka 24 hivyo bado nilikua na kale katabia ka kuamka asubuhi unakuta pipe imesimama iko high as f**** hahahah haha

Na hii hali mara nyingi ukianza majukumu ya kidunia hupotea kabisa, yaani ni mara chache sana kukuta baba wa watoto watatu tena Manager wa kampuni fulani huku unasomesha na wadogo zako eti umeamka asubuhi pipe imesimama we utakuwa na shida.
Hivyo basi nikiwa sina hili wala lile niliamka kutoka kitandani ndani ya shuka ila wakati nasimama fatemeh aligeuza shingo haraka sana kugeukia upande wa dirisha like kuna kitu hataki kukiona kabisa.

Baada ya kujiangalia ndio nikastuka aliona kitu gani ambacho kulimuongezea aibu mpaka akashindwa kuniangalia.

Kilichofuata baada ya pale nilieelekea kwenye room yangu kujiandaa huku fatemeh na yeye akijiandaa. Kabla haijaisha ata dakika moja nilirudi tena kwenye room ya fatemeh nikiwa na furushi la nguo zangu.

Haikuhitaji akili nyingi kuelewa ni nini kilikua kinaendelea pale, fatemeh alijua kabisa nimehamia rasmi sasa kwenye chumba chake.


Mdada wa watu hakuongea lolote zaidi ya kuelekea jikoni kutengeneza breakfast wakati huo mimi nilikua bize kujiandaa.

Baada ya muda alirudi tena chumbani na kunikuta, yeye mwenyewe ndie aliniandalia nguo za kuvaa siku hiyo na alifanya hivyo baada ya kujua nilikua na kanzu moja tu ambayo alinunua kama kutest kama nitapendelea kjivaa.

FATEMEH: I will buy you another one but today wear these
( Nitakununulia nyingine ila leo vaa hizi)

Sikuhiyo meku nilipiga Cadette nyeusi na t-shirt la form six ya kijivu, tena kwa kuongezea mbwembwe bidada fatemeh alifungua kabati na kutoa saa yenye brand ya Rolex ambayo anadai aliitoa India na hakuwahi kuivaa.

Asubuhi ilianza vizuri siku hiyo licha ya kwamba tulichelewa sana kuamka. Fatemeh yeye hakua tayari kutoka hivyo aliniambia niende ground usafiri wetu ni ule ule wa sikuzote nisipande gari nyingine.

Alinisindikiza mpaka mlangoni nikapigwa good-bye kiss na yeye akarudi ndani kuendelea na mishe nyingine zinazomuhusu. Pale ground bwana ile Toyota yetu nyeusi ambayo hatumjui dereva ilishafika muda tu na niliingia.

Sikuhiyo nikasema sifungi mlango mpaka dereva atoke aje kufunga mlango ili nimuone siunajua tena m'bongo ni m'bongo tu. Baada ya dakika 1 mbele mlango ulijifunga wenyewe hapo nikaona trial yangu imefeli next time nitafanya jambo jingine.

Tulifika nyumban kwa shahzad kama kawaida niikaribishwa kwa furaha sana na wanafamilia wale. Mbaya zaidi wengi hawakufahamu kingereza zaidi ya mjukuu wa shahzad na shahzad mwenyewe.
Shahzad alinikaribisha kwenye chumba ambacho kwa haraka nilijua kilikua ni maktaba ya nyumbani ambayo ilitumiwa na familia ile.

Kwenye kile chumba au maktaba ile kulikua na meza kubwa na pana, na kwenye meza ile kulikua na machapisho mbali mbali yamesambazwa..............

Ngoja nijitahidi kukatisha romantic scene za mimi na fatemeh ilitufike mapema kwenye lengo letu. Naona kama zinatupotezea muda mwingi.
 
Ethical hacker huyu ni mtaalamu ambaye mara nyingi hutumia ujuzi wa IT ( information technology) au taaluma nyingine yoyote inayohusiana na masuala ya cyber security.

Kwenye vigezo vya kumpata ethical hacker ambae ni competent enough mara nyingi uzoefu pia una mata sana.

Jukumu kubwa la ethical hacker ni kuujaribu mfumo au kuchunguza weakness au madhaifu ya mfumo wa taasisi husika kwa vibali maalum toka kwa uongozi wa taasisi.

Kwa mantiki hiyo basi hawa ethical hacker mara nyingine huitwa authorized hacker kwa kuwa tu anafanya kazi zake kwa kuidhinishwa na wamiliki wa mfumo husika.

Kwanini hawa ethical hacker wana tafuta loopholes za mfumo husika, hapa hufanya hivi ili kugundua mianya inayoweza kutumia na wadukuzi haramu kama vile crackers au black-hat hucker. Ethical hacker akigundua mianya hiyo huongezea ulinzi kwenye mfumo husika.

Kwa ufupi sana huyo ndio ethical hacker au authorized hacker na wengine huita white-hat hackers. Kwenye term moja tunaweza kuwaita ni constructive hackers kwani kazi yao ya udukuzi hufanya kwa malengo ya kujenga zaidi na sio kihalifu kama ilivyo kwa black-hat hucker.

Mara nyingi hawa jamaa huajiliwa kabisa na taasisi kwa lengo la kuangalia mapungufu na matobo ya mfumo na sio kwa ajili ya wizi au matendo mengine yaliyokinyume na sheria na ndio maana wakaitwa Ethical hacker ( wanafuata maadili).


Baada ya Ethical hacker tumuone kiumbe mwingine ambaye ni hatari zaidi. Huyu bwana huitwa black-hat hucker au wengine humuita Unauthorized Hacker, yeye anaenda kinyume kabisa na wale jamaa wengine wanaoitwa Ethical hacker kwenye utendaji wao.

Unauthorized Hacker yeye huyu ni mwamba anaetumia utaalamu, ujuzi na uzoefu wake wote kuingia kwenye mfumo wa kompyuta (operating system) bila ruhusa ya mamlaka husika.

Mara nyingi hufanya hivyo kwa dhumuni la kuiba taarifa za muhimu na za msingi msingi zinazohusu taasisi lakini ni kwa manufaa yake binafsi.

Hawa Unauthorized Hacker ndio wadukuzi haramu kwa kuwa kile wanachofanya ni magendo na ni kinyume na sheria.

Hawa jamaa yaani Unauthorized Hacker mara nyingi hudukua mifumo either kwa manufaa yao binafsi au kwa niaba ya vikundi vyao maarufu kama cybercrime organization.

Licha ya hayo yote mara nyingine hawa jamaa utumwa na mataifa hasimu au maadui wa kati ya taifa moja na jingine au mashirika ya kijasusi na baada ya shughuli hiyo mara nyingi hulipwa pesa au aina nyingine zozote za malupulupu.

Basi sasa aina hii ya wadukuaji hawa wawili ndio tutaenda kuingalia hapo baadae kwenye simulizi yetu. Lakini pia kuna script kiddie ambae nae kutokana na muda tutamuangalia baadae hususani baada ya kukutana nae hapo Mbele.

Turudi kwenye simulizi yetu,


Niliutumia muda ule mfupi kujifunza mambo makubwa mawili ambayo niliachiwa na fatemeh kama assignment uku akiahidi kuja kunipa test ya kunipima kujua nimeweza ku Master mafunzo yale kwa kiasi gani.

Kikubwa nilichojifunza wakati huo ilikua ni njia za namna gani natakiwa kufanya ablution ( kujisafisha viungo) Lakini pia nilijifunza ni namna gani natakiwa kusali kwa vitendo.

Kwa mujibu wa fatemeh ni kwamba kwenye hizi hatua za awali kabisa mtu anapojifunza namna gani anapaswa kusali. basi kikubwa anatakiwa akalili vitendo tu kuhusu maneno gani unatakiwa kutamka kila stage ilo utaelewa baadae taratibu taratibu.

Baada ya kumaliza kupiga msuli wa kumeza zile hatua zote za kusali na ablution nilijiona tayari nimeshakua shekhe ata ile kanzu niliyoivaa niliona naitendea haki kabisa.
Baada ya hapo chap nilikimbilia kwa fatemeh aliyekua jikoni na alipo niona tu akanipa jagi la maji na kisha akanisogeza eneo lililotazama na bafu. Hapo ilikua ni test ya kwanza kuona ni namna gani nimekalili zile steps zote kuanzia kunawa mikono na mwisho kabisa miguu.

Baada ya kuonyesha hatua zile zote tena kwa ufasaha wa hali ya juu tulielekea kwenye meza ya chakula na hapo alianza kunipa ABC za namna gani siku ya kesho natakiwa ku behave ninapoenda kukutana na shahzad.

Fatemeh hakutaka kunipa simu kabisa, alichosema yeye nitapelekwa mpaka kwa shahzad ila wakati wa kurudi ni yeye mwenyewe ndie atanipitia ili kurudi nyumbani.

Sikujua kwanini hakutaka nitumie simu kabisa, nilihisi inawezekana ni baada ya mimi kuwasiliana na malugu ndio ilileta shida au kuna sababu nyingine ambayo mimi siijui.

Story zilikua nyingi usiku ule kuna muda nilitamani nisirudi tena bongo yana niendelee kukaa pale pale na fatemeh. Ata fatemeh nae alionekana kufurahishwa na uwepo wangu japo alishindwa kuliweka wazi swala hilo.

MIMI: When I get home I will miss you so much
( Nikirudi bongo nitakukumbuka sana)

FATEMEH:me too
( Ata mimi pia)

Fatemeh alijibu kwa upole sana as if ndio nimemwambia sasa naondoka na hapo nilithibitisha kuwa ikitokea nikaondoka basi nitamuachia simanzi sana.

FATEMEH: We've all been living for a very short time but I don't want you to leave
( Tumeishi wote muda mfupi sana ila sitamani undoke kabisa)

Wakati fatemeh ananiambia maneno haya sura yake ilikua ikionekana vyema kwa upole uliotawala sura yake.

Sikumbuki ilikuaje lakini tulijikuta tu mikono yetu imeshikana tukiwa pale mezani, n' you know what!!!!! We made a lot of deep kisses

Na mara nyingi tukiwa kwenye scenario kama hizi ni kama fatemeh anapoteza network kabisa, na ikitokea amerudi kwenye Normal situation ni kama anastuka na kujitoa kwangu kwa haraka mno as if kuna kitu anakizuia kwenye mwili wake.


Nikiligundua hilo mara kadhaa tunapokua kwenye hali kama hiyo.

Nikiwa bado nimemshikiria mikono ilibidi nimuulize swali moja ambalo hakulijibu kwa haraka kabisa.

MIMI: Why are you so shocked when we make kisses?
( Kwanini huwa unashtuka sana tunapokua kwenye kisses hususani deep kisses)

FATEMEH: I feel something stranger on my body
( Kuna hali ya ajabu hua nahisi kwenye mwili wangu)
Aliendelea fatemeh,
I have never felt this way in my life,
( Sijawahi kuhisi hivi kwenye Maisha yangu hapo kabla)

Mara hii alinisogelea tena yeye mwenyewe na akanikiss tena passionately na kwa utulivu wa hali ya juu ni kama kuna kitu alikua anakitafuta kwenye mwili wake au alikua anakitarajia kwenye mwili wake.

This time na mimi nili feel kitu cha tofauti kidogo kutoka kwenye midomo yake malaini, sijui ni kwakua alinikiss kwa utulivu mno na bila shuruti kama ambavyo mimi nafanya.

Maana mara nyingi mimi namkiss kwa timing yaani sio kwamba anakua amejiandaa kabisa. Hili kiss la safari hii tulitumia mda kidogo na kimoyomoyo Nikasema leo hatoki!!!!!!

Kama kawaida alishtuka, tena safari hii mshtuko ulikua mkubwa zaidi nahisi ni kutokana na namna alivyotulia na tulivyokiss mda mrefu kuliko siku zote hapo kabla.

Fatemeh alishindwa tena kuendelea kukaa pale kwenye meza ile ya dinning na hatimae alikimbia kuelekea kwenye chumba chake. Na bila kuchelewa nilimfuata maana nilijua akiingia ndani kinachofata ni kufunga mlango.

Wakati anaingia chumbani na mimi sikua mbali alikuta na mimi nipo ndani kitambo sana. Ila kiukweli alizidi kunichanganya kwani alifikia kulia tena kilio kile cha uchungu kilichoambatana na kwikwi.

Mpaka hapo nikaona mipango yangu kama imegonga mwamba kwani kwa hali yake nisinge weza kufanya chochote. Kilichofuata hapo ilikua ni kubembelezana japo sikua najua ata ni nini kina mliza mrembo huyo.

Nilimbembeleza akiwa kitandani mpaka alipopitiwa na usingizi mzito kifuani kwangu, lakini wakati amelala nilitamani sana kujua fatemeh anashida gani na kwanini hua analia sana kwenye hali kama ile. Na sio mara moja ni karibia mara zote, je ni kitu gani huwa anakihisi kwenye mwili wake cha tofauti. Je kitu hicho humuumiza au humpa furaha kwakweli nilikosa majibu kabisa.

Tukiwa bedroom ya fatemeh wote tulipitiwa na usingizi and for sure tulipiga usingizi mrefu kuwahi kutokea toka tumefika mji huo. Fatemeh ndio alikua wa kwanza kuamka na akajikuta nimemkumbatia katika namna ambayo asingeweza kutoka bila kuniamsha kwanza.

Na haikupita muda mrefu na mimi niliamka na nikakuta yeye akiwa macho lakini ilionekana hukataka kuniamsha na ni kama kuna jambo alikua akiliwaza sana wakati huo.

MIMI: good morning fet, why we slept a lot today
( Za asubuhi fet, mbona tumelala sana leo)

Fatemeh hakujibu chochote zaidi ya kuonyesha ishara ya kutaka nitoe mikono yangu kiunoni kwake ili anyanyuke.

FATEMEH: I have never slept like this before!!!! Anyway, get ready Shahzad will be waiting for you
( Kwakweli sijawahi kulala kama hivi, ila sawa tu jiandae shahzad atakua anakusubiri)

Unajua kipindi kile nilikua bado kijana mbichi kabisa wa miaka 24 hivyo bado nilikua na kale katabia ka kuamka asubuhi unakuta pipe imesimama iko high as f**** hahahah haha

Na hii hali mara nyingi ukianza majukumu ya kidunia hupotea kabisa, yaani ni mara chache sana kukuta baba wa watoto watatu tena Manager wa kampuni fulani huku unasomesha na wadogo zako eti umeamka asubuhi pipe imesimama we utakuwa na shida.
Hivyo basi nikiwa sina hili wala lile niliamka kutoka kitandani ndani ya shuka ila wakati nasimama fatemeh aligeuza shingo haraka sana kugeukia upande wa dirisha like kuna kitu hataki kukiona kabisa.

Baada ya kujiangalia ndio nikastuka aliona kitu gani ambacho kulimuongezea aibu mpaka akashindwa kuniangalia.

Kilichofuata baada ya pale nilieelekea kwenye room yangu kujiandaa huku fatemeh na yeye akijiandaa. Kabla haijaisha ata dakika moja nilirudi tena kwenye room ya fatemeh nikiwa na furushi la nguo zangu.

Haikuhitaji akili nyingi kuelewa ni nini kilikua kinaendelea pale, fatemeh alijua kabisa nimehamia rasmi sasa kwenye chumba chake.


Mdada wa watu hakuongea lolote zaidi ya kuelekea jikoni kutengeneza breakfast wakati huo mimi nilikua bize kujiandaa.

Baada ya muda alirudi tena chumbani na kunikuta, yeye mwenyewe ndie aliniandalia nguo za kuvaa siku hiyo na alifanya hivyo baada ya kujua nilikua na kanzu moja tu ambayo alinunua kama kutest kama nitapendelea kjivaa.

FATEMEH: I will buy you another one but today wear these
( Nitakununulia nyingine ila leo vaa hizi)

Sikuhiyo meku nilipiga Cadette nyeusi na t-shirt la form six ya kijivu, tena kwa kuongezea mbwembwe bidada fatemeh alifungua kabati na kutoa saa yenye brand ya Rolex ambayo anadai aliitoa India na hakuwahi kuivaa.

Asubuhi ilianza vizuri siku hiyo licha ya kwamba tulichelewa sana kuamka. Fatemeh yeye hakua tayari kutoka hivyo aliniambia niende ground usafiri wetu ni ule ule wa sikuzote nisipande gari nyingine.

Alinisindikiza mpaka mlangoni nikapigwa good-bye kiss na yeye akarudi ndani kuendelea na mishe nyingine zinazomuhusu. Pale ground bwana ile Toyota yetu nyeusi ambayo hatumjui dereva ilishafika muda tu na niliingia.

Sikuhiyo nikasema sifungi mlango mpaka dereva atoke aje kufunga mlango ili nimuone siunajua tena m'bongo ni m'bongo tu. Baada ya dakika 1 mbele mlango ulijifunga wenyewe hapo nikaona trial yangu imefeli next time nitafanya jambo jingine.

Tulifika nyumban kwa shahzad kama kawaida niikaribishwa kwa furaha sana na wanafamilia wale. Mbaya zaidi wengi hawakufahamu kingereza zaidi ya mjukuu wa shahzad na shahzad mwenyewe.
Shahzad alinikaribisha kwenye chumba ambacho kwa haraka nilijua kilikua ni maktaba ya nyumbani ambayo ilitumiwa na familia ile.

Kwenye kile chumba au maktaba ile kulikua na meza kubwa na pana, na kwenye meza ile kulikua na machapisho mbali mbali yamesambazwa..............

Ngoja nijitahidi kukatisha romantic scene za mimi na fatemeh ilitufike mapema kwenye lengo letu. Naona kama zinatupotezea muda mwingi.
Upo sahih


Lavu story yako na Fetty umeidizain imekua km mapenz ktk picha za kihind binafs inaniboa


Itakua poa km ukiturusha ktk hicho kipande hata km haujakula mzigo hatuwez kukuona boya kwa sabab si kila mishen huwa inatiki nyingine zinafeligi
 
Ethical hacker huyu ni mtaalamu ambaye mara nyingi hutumia ujuzi wa IT ( information technology) au taaluma nyingine yoyote inayohusiana na masuala ya cyber security.

Kwenye vigezo vya kumpata ethical hacker ambae ni competent enough mara nyingi uzoefu pia una mata sana.

Jukumu kubwa la ethical hacker ni kuujaribu mfumo au kuchunguza weakness au madhaifu ya mfumo wa taasisi husika kwa vibali maalum toka kwa uongozi wa taasisi.

Kwa mantiki hiyo basi hawa ethical hacker mara nyingine huitwa authorized hacker kwa kuwa tu anafanya kazi zake kwa kuidhinishwa na wamiliki wa mfumo husika.

Kwanini hawa ethical hacker wana tafuta loopholes za mfumo husika, hapa hufanya hivi ili kugundua mianya inayoweza kutumia na wadukuzi haramu kama vile crackers au black-hat hucker. Ethical hacker akigundua mianya hiyo huongezea ulinzi kwenye mfumo husika.

Kwa ufupi sana huyo ndio ethical hacker au authorized hacker na wengine huita white-hat hackers. Kwenye term moja tunaweza kuwaita ni constructive hackers kwani kazi yao ya udukuzi hufanya kwa malengo ya kujenga zaidi na sio kihalifu kama ilivyo kwa black-hat hucker.

Mara nyingi hawa jamaa huajiliwa kabisa na taasisi kwa lengo la kuangalia mapungufu na matobo ya mfumo na sio kwa ajili ya wizi au matendo mengine yaliyokinyume na sheria na ndio maana wakaitwa Ethical hacker ( wanafuata maadili).


Baada ya Ethical hacker tumuone kiumbe mwingine ambaye ni hatari zaidi. Huyu bwana huitwa black-hat hucker au wengine humuita Unauthorized Hacker, yeye anaenda kinyume kabisa na wale jamaa wengine wanaoitwa Ethical hacker kwenye utendaji wao.

Unauthorized Hacker yeye huyu ni mwamba anaetumia utaalamu, ujuzi na uzoefu wake wote kuingia kwenye mfumo wa kompyuta (operating system) bila ruhusa ya mamlaka husika.

Mara nyingi hufanya hivyo kwa dhumuni la kuiba taarifa za muhimu na za msingi msingi zinazohusu taasisi lakini ni kwa manufaa yake binafsi.

Hawa Unauthorized Hacker ndio wadukuzi haramu kwa kuwa kile wanachofanya ni magendo na ni kinyume na sheria.

Hawa jamaa yaani Unauthorized Hacker mara nyingi hudukua mifumo either kwa manufaa yao binafsi au kwa niaba ya vikundi vyao maarufu kama cybercrime organization.

Licha ya hayo yote mara nyingine hawa jamaa utumwa na mataifa hasimu au maadui wa kati ya taifa moja na jingine au mashirika ya kijasusi na baada ya shughuli hiyo mara nyingi hulipwa pesa au aina nyingine zozote za malupulupu.

Basi sasa aina hii ya wadukuaji hawa wawili ndio tutaenda kuingalia hapo baadae kwenye simulizi yetu. Lakini pia kuna script kiddie ambae nae kutokana na muda tutamuangalia baadae hususani baada ya kukutana nae hapo Mbele.

Turudi kwenye simulizi yetu,


Niliutumia muda ule mfupi kujifunza mambo makubwa mawili ambayo niliachiwa na fatemeh kama assignment uku akiahidi kuja kunipa test ya kunipima kujua nimeweza ku Master mafunzo yale kwa kiasi gani.

Kikubwa nilichojifunza wakati huo ilikua ni njia za namna gani natakiwa kufanya ablution ( kujisafisha viungo) Lakini pia nilijifunza ni namna gani natakiwa kusali kwa vitendo.

Kwa mujibu wa fatemeh ni kwamba kwenye hizi hatua za awali kabisa mtu anapojifunza namna gani anapaswa kusali. basi kikubwa anatakiwa akalili vitendo tu kuhusu maneno gani unatakiwa kutamka kila stage ilo utaelewa baadae taratibu taratibu.

Baada ya kumaliza kupiga msuli wa kumeza zile hatua zote za kusali na ablution nilijiona tayari nimeshakua shekhe ata ile kanzu niliyoivaa niliona naitendea haki kabisa.
Baada ya hapo chap nilikimbilia kwa fatemeh aliyekua jikoni na alipo niona tu akanipa jagi la maji na kisha akanisogeza eneo lililotazama na bafu. Hapo ilikua ni test ya kwanza kuona ni namna gani nimekalili zile steps zote kuanzia kunawa mikono na mwisho kabisa miguu.

Baada ya kuonyesha hatua zile zote tena kwa ufasaha wa hali ya juu tulielekea kwenye meza ya chakula na hapo alianza kunipa ABC za namna gani siku ya kesho natakiwa ku behave ninapoenda kukutana na shahzad.

Fatemeh hakutaka kunipa simu kabisa, alichosema yeye nitapelekwa mpaka kwa shahzad ila wakati wa kurudi ni yeye mwenyewe ndie atanipitia ili kurudi nyumbani.

Sikujua kwanini hakutaka nitumie simu kabisa, nilihisi inawezekana ni baada ya mimi kuwasiliana na malugu ndio ilileta shida au kuna sababu nyingine ambayo mimi siijui.

Story zilikua nyingi usiku ule kuna muda nilitamani nisirudi tena bongo yana niendelee kukaa pale pale na fatemeh. Ata fatemeh nae alionekana kufurahishwa na uwepo wangu japo alishindwa kuliweka wazi swala hilo.

MIMI: When I get home I will miss you so much
( Nikirudi bongo nitakukumbuka sana)

FATEMEH:me too
( Ata mimi pia)

Fatemeh alijibu kwa upole sana as if ndio nimemwambia sasa naondoka na hapo nilithibitisha kuwa ikitokea nikaondoka basi nitamuachia simanzi sana.

FATEMEH: We've all been living for a very short time but I don't want you to leave
( Tumeishi wote muda mfupi sana ila sitamani undoke kabisa)

Wakati fatemeh ananiambia maneno haya sura yake ilikua ikionekana vyema kwa upole uliotawala sura yake.

Sikumbuki ilikuaje lakini tulijikuta tu mikono yetu imeshikana tukiwa pale mezani, n' you know what!!!!! We made a lot of deep kisses

Na mara nyingi tukiwa kwenye scenario kama hizi ni kama fatemeh anapoteza network kabisa, na ikitokea amerudi kwenye Normal situation ni kama anastuka na kujitoa kwangu kwa haraka mno as if kuna kitu anakizuia kwenye mwili wake.


Nikiligundua hilo mara kadhaa tunapokua kwenye hali kama hiyo.

Nikiwa bado nimemshikiria mikono ilibidi nimuulize swali moja ambalo hakulijibu kwa haraka kabisa.

MIMI: Why are you so shocked when we make kisses?
( Kwanini huwa unashtuka sana tunapokua kwenye kisses hususani deep kisses)

FATEMEH: I feel something stranger on my body
( Kuna hali ya ajabu hua nahisi kwenye mwili wangu)
Aliendelea fatemeh,
I have never felt this way in my life,
( Sijawahi kuhisi hivi kwenye Maisha yangu hapo kabla)

Mara hii alinisogelea tena yeye mwenyewe na akanikiss tena passionately na kwa utulivu wa hali ya juu ni kama kuna kitu alikua anakitafuta kwenye mwili wake au alikua anakitarajia kwenye mwili wake.

This time na mimi nili feel kitu cha tofauti kidogo kutoka kwenye midomo yake malaini, sijui ni kwakua alinikiss kwa utulivu mno na bila shuruti kama ambavyo mimi nafanya.

Maana mara nyingi mimi namkiss kwa timing yaani sio kwamba anakua amejiandaa kabisa. Hili kiss la safari hii tulitumia mda kidogo na kimoyomoyo Nikasema leo hatoki!!!!!!

Kama kawaida alishtuka, tena safari hii mshtuko ulikua mkubwa zaidi nahisi ni kutokana na namna alivyotulia na tulivyokiss mda mrefu kuliko siku zote hapo kabla.

Fatemeh alishindwa tena kuendelea kukaa pale kwenye meza ile ya dinning na hatimae alikimbia kuelekea kwenye chumba chake. Na bila kuchelewa nilimfuata maana nilijua akiingia ndani kinachofata ni kufunga mlango.

Wakati anaingia chumbani na mimi sikua mbali alikuta na mimi nipo ndani kitambo sana. Ila kiukweli alizidi kunichanganya kwani alifikia kulia tena kilio kile cha uchungu kilichoambatana na kwikwi.

Mpaka hapo nikaona mipango yangu kama imegonga mwamba kwani kwa hali yake nisinge weza kufanya chochote. Kilichofuata hapo ilikua ni kubembelezana japo sikua najua ata ni nini kina mliza mrembo huyo.

Nilimbembeleza akiwa kitandani mpaka alipopitiwa na usingizi mzito kifuani kwangu, lakini wakati amelala nilitamani sana kujua fatemeh anashida gani na kwanini hua analia sana kwenye hali kama ile. Na sio mara moja ni karibia mara zote, je ni kitu gani huwa anakihisi kwenye mwili wake cha tofauti. Je kitu hicho humuumiza au humpa furaha kwakweli nilikosa majibu kabisa.

Tukiwa bedroom ya fatemeh wote tulipitiwa na usingizi and for sure tulipiga usingizi mrefu kuwahi kutokea toka tumefika mji huo. Fatemeh ndio alikua wa kwanza kuamka na akajikuta nimemkumbatia katika namna ambayo asingeweza kutoka bila kuniamsha kwanza.

Na haikupita muda mrefu na mimi niliamka na nikakuta yeye akiwa macho lakini ilionekana hukataka kuniamsha na ni kama kuna jambo alikua akiliwaza sana wakati huo.

MIMI: good morning fet, why we slept a lot today
( Za asubuhi fet, mbona tumelala sana leo)

Fatemeh hakujibu chochote zaidi ya kuonyesha ishara ya kutaka nitoe mikono yangu kiunoni kwake ili anyanyuke.

FATEMEH: I have never slept like this before!!!! Anyway, get ready Shahzad will be waiting for you
( Kwakweli sijawahi kulala kama hivi, ila sawa tu jiandae shahzad atakua anakusubiri)

Unajua kipindi kile nilikua bado kijana mbichi kabisa wa miaka 24 hivyo bado nilikua na kale katabia ka kuamka asubuhi unakuta pipe imesimama iko high as f**** hahahah haha

Na hii hali mara nyingi ukianza majukumu ya kidunia hupotea kabisa, yaani ni mara chache sana kukuta baba wa watoto watatu tena Manager wa kampuni fulani huku unasomesha na wadogo zako eti umeamka asubuhi pipe imesimama we utakuwa na shida.
Hivyo basi nikiwa sina hili wala lile niliamka kutoka kitandani ndani ya shuka ila wakati nasimama fatemeh aligeuza shingo haraka sana kugeukia upande wa dirisha like kuna kitu hataki kukiona kabisa.

Baada ya kujiangalia ndio nikastuka aliona kitu gani ambacho kulimuongezea aibu mpaka akashindwa kuniangalia.

Kilichofuata baada ya pale nilieelekea kwenye room yangu kujiandaa huku fatemeh na yeye akijiandaa. Kabla haijaisha ata dakika moja nilirudi tena kwenye room ya fatemeh nikiwa na furushi la nguo zangu.

Haikuhitaji akili nyingi kuelewa ni nini kilikua kinaendelea pale, fatemeh alijua kabisa nimehamia rasmi sasa kwenye chumba chake.


Mdada wa watu hakuongea lolote zaidi ya kuelekea jikoni kutengeneza breakfast wakati huo mimi nilikua bize kujiandaa.

Baada ya muda alirudi tena chumbani na kunikuta, yeye mwenyewe ndie aliniandalia nguo za kuvaa siku hiyo na alifanya hivyo baada ya kujua nilikua na kanzu moja tu ambayo alinunua kama kutest kama nitapendelea kjivaa.

FATEMEH: I will buy you another one but today wear these
( Nitakununulia nyingine ila leo vaa hizi)

Sikuhiyo meku nilipiga Cadette nyeusi na t-shirt la form six ya kijivu, tena kwa kuongezea mbwembwe bidada fatemeh alifungua kabati na kutoa saa yenye brand ya Rolex ambayo anadai aliitoa India na hakuwahi kuivaa.

Asubuhi ilianza vizuri siku hiyo licha ya kwamba tulichelewa sana kuamka. Fatemeh yeye hakua tayari kutoka hivyo aliniambia niende ground usafiri wetu ni ule ule wa sikuzote nisipande gari nyingine.

Alinisindikiza mpaka mlangoni nikapigwa good-bye kiss na yeye akarudi ndani kuendelea na mishe nyingine zinazomuhusu. Pale ground bwana ile Toyota yetu nyeusi ambayo hatumjui dereva ilishafika muda tu na niliingia.

Sikuhiyo nikasema sifungi mlango mpaka dereva atoke aje kufunga mlango ili nimuone siunajua tena m'bongo ni m'bongo tu. Baada ya dakika 1 mbele mlango ulijifunga wenyewe hapo nikaona trial yangu imefeli next time nitafanya jambo jingine.

Tulifika nyumban kwa shahzad kama kawaida niikaribishwa kwa furaha sana na wanafamilia wale. Mbaya zaidi wengi hawakufahamu kingereza zaidi ya mjukuu wa shahzad na shahzad mwenyewe.
Shahzad alinikaribisha kwenye chumba ambacho kwa haraka nilijua kilikua ni maktaba ya nyumbani ambayo ilitumiwa na familia ile.

Kwenye kile chumba au maktaba ile kulikua na meza kubwa na pana, na kwenye meza ile kulikua na machapisho mbali mbali yamesambazwa..............

Ngoja nijitahidi kukatisha romantic scene za mimi na fatemeh ilitufike mapema kwenye lengo letu. Naona kama zinatupotezea muda mwingi.
Mzee wa misheni asee pesa imekufanya hadi UMESALI MZEE
 
Ethical hacker huyu ni mtaalamu ambaye mara nyingi hutumia ujuzi wa IT ( information technology) au taaluma nyingine yoyote inayohusiana na masuala ya cyber security.

Kwenye vigezo vya kumpata ethical hacker ambae ni competent enough mara nyingi uzoefu pia una mata sana.

Jukumu kubwa la ethical hacker ni kuujaribu mfumo au kuchunguza weakness au madhaifu ya mfumo wa taasisi husika kwa vibali maalum toka kwa uongozi wa taasisi.

Kwa mantiki hiyo basi hawa ethical hacker mara nyingine huitwa authorized hacker kwa kuwa tu anafanya kazi zake kwa kuidhinishwa na wamiliki wa mfumo husika.

Kwanini hawa ethical hacker wana tafuta loopholes za mfumo husika, hapa hufanya hivi ili kugundua mianya inayoweza kutumia na wadukuzi haramu kama vile crackers au black-hat hucker. Ethical hacker akigundua mianya hiyo huongezea ulinzi kwenye mfumo husika.

Kwa ufupi sana huyo ndio ethical hacker au authorized hacker na wengine huita white-hat hackers. Kwenye term moja tunaweza kuwaita ni constructive hackers kwani kazi yao ya udukuzi hufanya kwa malengo ya kujenga zaidi na sio kihalifu kama ilivyo kwa black-hat hucker.

Mara nyingi hawa jamaa huajiliwa kabisa na taasisi kwa lengo la kuangalia mapungufu na matobo ya mfumo na sio kwa ajili ya wizi au matendo mengine yaliyokinyume na sheria na ndio maana wakaitwa Ethical hacker ( wanafuata maadili).


Baada ya Ethical hacker tumuone kiumbe mwingine ambaye ni hatari zaidi. Huyu bwana huitwa black-hat hucker au wengine humuita Unauthorized Hacker, yeye anaenda kinyume kabisa na wale jamaa wengine wanaoitwa Ethical hacker kwenye utendaji wao.

Unauthorized Hacker yeye huyu ni mwamba anaetumia utaalamu, ujuzi na uzoefu wake wote kuingia kwenye mfumo wa kompyuta (operating system) bila ruhusa ya mamlaka husika.

Mara nyingi hufanya hivyo kwa dhumuni la kuiba taarifa za muhimu na za msingi msingi zinazohusu taasisi lakini ni kwa manufaa yake binafsi.

Hawa Unauthorized Hacker ndio wadukuzi haramu kwa kuwa kile wanachofanya ni magendo na ni kinyume na sheria.

Hawa jamaa yaani Unauthorized Hacker mara nyingi hudukua mifumo either kwa manufaa yao binafsi au kwa niaba ya vikundi vyao maarufu kama cybercrime organization.

Licha ya hayo yote mara nyingine hawa jamaa utumwa na mataifa hasimu au maadui wa kati ya taifa moja na jingine au mashirika ya kijasusi na baada ya shughuli hiyo mara nyingi hulipwa pesa au aina nyingine zozote za malupulupu.

Basi sasa aina hii ya wadukuaji hawa wawili ndio tutaenda kuingalia hapo baadae kwenye simulizi yetu. Lakini pia kuna script kiddie ambae nae kutokana na muda tutamuangalia baadae hususani baada ya kukutana nae hapo Mbele.

Turudi kwenye simulizi yetu,


Niliutumia muda ule mfupi kujifunza mambo makubwa mawili ambayo niliachiwa na fatemeh kama assignment uku akiahidi kuja kunipa test ya kunipima kujua nimeweza ku Master mafunzo yale kwa kiasi gani.

Kikubwa nilichojifunza wakati huo ilikua ni njia za namna gani natakiwa kufanya ablution ( kujisafisha viungo) Lakini pia nilijifunza ni namna gani natakiwa kusali kwa vitendo.

Kwa mujibu wa fatemeh ni kwamba kwenye hizi hatua za awali kabisa mtu anapojifunza namna gani anapaswa kusali. basi kikubwa anatakiwa akalili vitendo tu kuhusu maneno gani unatakiwa kutamka kila stage ilo utaelewa baadae taratibu taratibu.

Baada ya kumaliza kupiga msuli wa kumeza zile hatua zote za kusali na ablution nilijiona tayari nimeshakua shekhe ata ile kanzu niliyoivaa niliona naitendea haki kabisa.
Baada ya hapo chap nilikimbilia kwa fatemeh aliyekua jikoni na alipo niona tu akanipa jagi la maji na kisha akanisogeza eneo lililotazama na bafu. Hapo ilikua ni test ya kwanza kuona ni namna gani nimekalili zile steps zote kuanzia kunawa mikono na mwisho kabisa miguu.

Baada ya kuonyesha hatua zile zote tena kwa ufasaha wa hali ya juu tulielekea kwenye meza ya chakula na hapo alianza kunipa ABC za namna gani siku ya kesho natakiwa ku behave ninapoenda kukutana na shahzad.

Fatemeh hakutaka kunipa simu kabisa, alichosema yeye nitapelekwa mpaka kwa shahzad ila wakati wa kurudi ni yeye mwenyewe ndie atanipitia ili kurudi nyumbani.

Sikujua kwanini hakutaka nitumie simu kabisa, nilihisi inawezekana ni baada ya mimi kuwasiliana na malugu ndio ilileta shida au kuna sababu nyingine ambayo mimi siijui.

Story zilikua nyingi usiku ule kuna muda nilitamani nisirudi tena bongo yana niendelee kukaa pale pale na fatemeh. Ata fatemeh nae alionekana kufurahishwa na uwepo wangu japo alishindwa kuliweka wazi swala hilo.

MIMI: When I get home I will miss you so much
( Nikirudi bongo nitakukumbuka sana)

FATEMEH:me too
( Ata mimi pia)

Fatemeh alijibu kwa upole sana as if ndio nimemwambia sasa naondoka na hapo nilithibitisha kuwa ikitokea nikaondoka basi nitamuachia simanzi sana.

FATEMEH: We've all been living for a very short time but I don't want you to leave
( Tumeishi wote muda mfupi sana ila sitamani undoke kabisa)

Wakati fatemeh ananiambia maneno haya sura yake ilikua ikionekana vyema kwa upole uliotawala sura yake.

Sikumbuki ilikuaje lakini tulijikuta tu mikono yetu imeshikana tukiwa pale mezani, n' you know what!!!!! We made a lot of deep kisses

Na mara nyingi tukiwa kwenye scenario kama hizi ni kama fatemeh anapoteza network kabisa, na ikitokea amerudi kwenye Normal situation ni kama anastuka na kujitoa kwangu kwa haraka mno as if kuna kitu anakizuia kwenye mwili wake.


Nikiligundua hilo mara kadhaa tunapokua kwenye hali kama hiyo.

Nikiwa bado nimemshikiria mikono ilibidi nimuulize swali moja ambalo hakulijibu kwa haraka kabisa.

MIMI: Why are you so shocked when we make kisses?
( Kwanini huwa unashtuka sana tunapokua kwenye kisses hususani deep kisses)

FATEMEH: I feel something stranger on my body
( Kuna hali ya ajabu hua nahisi kwenye mwili wangu)
Aliendelea fatemeh,
I have never felt this way in my life,
( Sijawahi kuhisi hivi kwenye Maisha yangu hapo kabla)

Mara hii alinisogelea tena yeye mwenyewe na akanikiss tena passionately na kwa utulivu wa hali ya juu ni kama kuna kitu alikua anakitafuta kwenye mwili wake au alikua anakitarajia kwenye mwili wake.

This time na mimi nili feel kitu cha tofauti kidogo kutoka kwenye midomo yake malaini, sijui ni kwakua alinikiss kwa utulivu mno na bila shuruti kama ambavyo mimi nafanya.

Maana mara nyingi mimi namkiss kwa timing yaani sio kwamba anakua amejiandaa kabisa. Hili kiss la safari hii tulitumia mda kidogo na kimoyomoyo Nikasema leo hatoki!!!!!!

Kama kawaida alishtuka, tena safari hii mshtuko ulikua mkubwa zaidi nahisi ni kutokana na namna alivyotulia na tulivyokiss mda mrefu kuliko siku zote hapo kabla.

Fatemeh alishindwa tena kuendelea kukaa pale kwenye meza ile ya dinning na hatimae alikimbia kuelekea kwenye chumba chake. Na bila kuchelewa nilimfuata maana nilijua akiingia ndani kinachofata ni kufunga mlango.

Wakati anaingia chumbani na mimi sikua mbali alikuta na mimi nipo ndani kitambo sana. Ila kiukweli alizidi kunichanganya kwani alifikia kulia tena kilio kile cha uchungu kilichoambatana na kwikwi.

Mpaka hapo nikaona mipango yangu kama imegonga mwamba kwani kwa hali yake nisinge weza kufanya chochote. Kilichofuata hapo ilikua ni kubembelezana japo sikua najua ata ni nini kina mliza mrembo huyo.

Nilimbembeleza akiwa kitandani mpaka alipopitiwa na usingizi mzito kifuani kwangu, lakini wakati amelala nilitamani sana kujua fatemeh anashida gani na kwanini hua analia sana kwenye hali kama ile. Na sio mara moja ni karibia mara zote, je ni kitu gani huwa anakihisi kwenye mwili wake cha tofauti. Je kitu hicho humuumiza au humpa furaha kwakweli nilikosa majibu kabisa.

Tukiwa bedroom ya fatemeh wote tulipitiwa na usingizi and for sure tulipiga usingizi mrefu kuwahi kutokea toka tumefika mji huo. Fatemeh ndio alikua wa kwanza kuamka na akajikuta nimemkumbatia katika namna ambayo asingeweza kutoka bila kuniamsha kwanza.

Na haikupita muda mrefu na mimi niliamka na nikakuta yeye akiwa macho lakini ilionekana hukataka kuniamsha na ni kama kuna jambo alikua akiliwaza sana wakati huo.

MIMI: good morning fet, why we slept a lot today
( Za asubuhi fet, mbona tumelala sana leo)

Fatemeh hakujibu chochote zaidi ya kuonyesha ishara ya kutaka nitoe mikono yangu kiunoni kwake ili anyanyuke.

FATEMEH: I have never slept like this before!!!! Anyway, get ready Shahzad will be waiting for you
( Kwakweli sijawahi kulala kama hivi, ila sawa tu jiandae shahzad atakua anakusubiri)

Unajua kipindi kile nilikua bado kijana mbichi kabisa wa miaka 24 hivyo bado nilikua na kale katabia ka kuamka asubuhi unakuta pipe imesimama iko high as f**** hahahah haha

Na hii hali mara nyingi ukianza majukumu ya kidunia hupotea kabisa, yaani ni mara chache sana kukuta baba wa watoto watatu tena Manager wa kampuni fulani huku unasomesha na wadogo zako eti umeamka asubuhi pipe imesimama we utakuwa na shida.
Hivyo basi nikiwa sina hili wala lile niliamka kutoka kitandani ndani ya shuka ila wakati nasimama fatemeh aligeuza shingo haraka sana kugeukia upande wa dirisha like kuna kitu hataki kukiona kabisa.

Baada ya kujiangalia ndio nikastuka aliona kitu gani ambacho kulimuongezea aibu mpaka akashindwa kuniangalia.

Kilichofuata baada ya pale nilieelekea kwenye room yangu kujiandaa huku fatemeh na yeye akijiandaa. Kabla haijaisha ata dakika moja nilirudi tena kwenye room ya fatemeh nikiwa na furushi la nguo zangu.

Haikuhitaji akili nyingi kuelewa ni nini kilikua kinaendelea pale, fatemeh alijua kabisa nimehamia rasmi sasa kwenye chumba chake.


Mdada wa watu hakuongea lolote zaidi ya kuelekea jikoni kutengeneza breakfast wakati huo mimi nilikua bize kujiandaa.

Baada ya muda alirudi tena chumbani na kunikuta, yeye mwenyewe ndie aliniandalia nguo za kuvaa siku hiyo na alifanya hivyo baada ya kujua nilikua na kanzu moja tu ambayo alinunua kama kutest kama nitapendelea kjivaa.

FATEMEH: I will buy you another one but today wear these
( Nitakununulia nyingine ila leo vaa hizi)

Sikuhiyo meku nilipiga Cadette nyeusi na t-shirt la form six ya kijivu, tena kwa kuongezea mbwembwe bidada fatemeh alifungua kabati na kutoa saa yenye brand ya Rolex ambayo anadai aliitoa India na hakuwahi kuivaa.

Asubuhi ilianza vizuri siku hiyo licha ya kwamba tulichelewa sana kuamka. Fatemeh yeye hakua tayari kutoka hivyo aliniambia niende ground usafiri wetu ni ule ule wa sikuzote nisipande gari nyingine.

Alinisindikiza mpaka mlangoni nikapigwa good-bye kiss na yeye akarudi ndani kuendelea na mishe nyingine zinazomuhusu. Pale ground bwana ile Toyota yetu nyeusi ambayo hatumjui dereva ilishafika muda tu na niliingia.

Sikuhiyo nikasema sifungi mlango mpaka dereva atoke aje kufunga mlango ili nimuone siunajua tena m'bongo ni m'bongo tu. Baada ya dakika 1 mbele mlango ulijifunga wenyewe hapo nikaona trial yangu imefeli next time nitafanya jambo jingine.

Tulifika nyumban kwa shahzad kama kawaida niikaribishwa kwa furaha sana na wanafamilia wale. Mbaya zaidi wengi hawakufahamu kingereza zaidi ya mjukuu wa shahzad na shahzad mwenyewe.
Shahzad alinikaribisha kwenye chumba ambacho kwa haraka nilijua kilikua ni maktaba ya nyumbani ambayo ilitumiwa na familia ile.

Kwenye kile chumba au maktaba ile kulikua na meza kubwa na pana, na kwenye meza ile kulikua na machapisho mbali mbali yamesambazwa..............

Ngoja nijitahidi kukatisha romantic scene za mimi na fatemeh ilitufike mapema kwenye lengo letu. Naona kama zinatupotezea muda mwingi.
Mkuu kuliko uache mambo ya Fatemeh bora uache hayo ya rapta. Unajua mm napenda sana na navuta picha unakula mate ya mtoto wa kiajemi dah asee, mkuu wew utakuwa na bahati sana
 
Ethical hacker huyu ni mtaalamu ambaye mara nyingi hutumia ujuzi wa IT ( information technology) au taaluma nyingine yoyote inayohusiana na masuala ya cyber security.

Kwenye vigezo vya kumpata ethical hacker ambae ni competent enough mara nyingi uzoefu pia una mata sana.

Jukumu kubwa la ethical hacker ni kuujaribu mfumo au kuchunguza weakness au madhaifu ya mfumo wa taasisi husika kwa vibali maalum toka kwa uongozi wa taasisi.

Kwa mantiki hiyo basi hawa ethical hacker mara nyingine huitwa authorized hacker kwa kuwa tu anafanya kazi zake kwa kuidhinishwa na wamiliki wa mfumo husika.

Kwanini hawa ethical hacker wana tafuta loopholes za mfumo husika, hapa hufanya hivi ili kugundua mianya inayoweza kutumia na wadukuzi haramu kama vile crackers au black-hat hucker. Ethical hacker akigundua mianya hiyo huongezea ulinzi kwenye mfumo husika.

Kwa ufupi sana huyo ndio ethical hacker au authorized hacker na wengine huita white-hat hackers. Kwenye term moja tunaweza kuwaita ni constructive hackers kwani kazi yao ya udukuzi hufanya kwa malengo ya kujenga zaidi na sio kihalifu kama ilivyo kwa black-hat hucker.

Mara nyingi hawa jamaa huajiliwa kabisa na taasisi kwa lengo la kuangalia mapungufu na matobo ya mfumo na sio kwa ajili ya wizi au matendo mengine yaliyokinyume na sheria na ndio maana wakaitwa Ethical hacker ( wanafuata maadili).


Baada ya Ethical hacker tumuone kiumbe mwingine ambaye ni hatari zaidi. Huyu bwana huitwa black-hat hucker au wengine humuita Unauthorized Hacker, yeye anaenda kinyume kabisa na wale jamaa wengine wanaoitwa Ethical hacker kwenye utendaji wao.

Unauthorized Hacker yeye huyu ni mwamba anaetumia utaalamu, ujuzi na uzoefu wake wote kuingia kwenye mfumo wa kompyuta (operating system) bila ruhusa ya mamlaka husika.

Mara nyingi hufanya hivyo kwa dhumuni la kuiba taarifa za muhimu na za msingi msingi zinazohusu taasisi lakini ni kwa manufaa yake binafsi.

Hawa Unauthorized Hacker ndio wadukuzi haramu kwa kuwa kile wanachofanya ni magendo na ni kinyume na sheria.

Hawa jamaa yaani Unauthorized Hacker mara nyingi hudukua mifumo either kwa manufaa yao binafsi au kwa niaba ya vikundi vyao maarufu kama cybercrime organization.

Licha ya hayo yote mara nyingine hawa jamaa utumwa na mataifa hasimu au maadui wa kati ya taifa moja na jingine au mashirika ya kijasusi na baada ya shughuli hiyo mara nyingi hulipwa pesa au aina nyingine zozote za malupulupu.

Basi sasa aina hii ya wadukuaji hawa wawili ndio tutaenda kuingalia hapo baadae kwenye simulizi yetu. Lakini pia kuna script kiddie ambae nae kutokana na muda tutamuangalia baadae hususani baada ya kukutana nae hapo Mbele.

Turudi kwenye simulizi yetu,


Niliutumia muda ule mfupi kujifunza mambo makubwa mawili ambayo niliachiwa na fatemeh kama assignment uku akiahidi kuja kunipa test ya kunipima kujua nimeweza ku Master mafunzo yale kwa kiasi gani.

Kikubwa nilichojifunza wakati huo ilikua ni njia za namna gani natakiwa kufanya ablution ( kujisafisha viungo) Lakini pia nilijifunza ni namna gani natakiwa kusali kwa vitendo.

Kwa mujibu wa fatemeh ni kwamba kwenye hizi hatua za awali kabisa mtu anapojifunza namna gani anapaswa kusali. basi kikubwa anatakiwa akalili vitendo tu kuhusu maneno gani unatakiwa kutamka kila stage ilo utaelewa baadae taratibu taratibu.

Baada ya kumaliza kupiga msuli wa kumeza zile hatua zote za kusali na ablution nilijiona tayari nimeshakua shekhe ata ile kanzu niliyoivaa niliona naitendea haki kabisa.
Baada ya hapo chap nilikimbilia kwa fatemeh aliyekua jikoni na alipo niona tu akanipa jagi la maji na kisha akanisogeza eneo lililotazama na bafu. Hapo ilikua ni test ya kwanza kuona ni namna gani nimekalili zile steps zote kuanzia kunawa mikono na mwisho kabisa miguu.

Baada ya kuonyesha hatua zile zote tena kwa ufasaha wa hali ya juu tulielekea kwenye meza ya chakula na hapo alianza kunipa ABC za namna gani siku ya kesho natakiwa ku behave ninapoenda kukutana na shahzad.

Fatemeh hakutaka kunipa simu kabisa, alichosema yeye nitapelekwa mpaka kwa shahzad ila wakati wa kurudi ni yeye mwenyewe ndie atanipitia ili kurudi nyumbani.

Sikujua kwanini hakutaka nitumie simu kabisa, nilihisi inawezekana ni baada ya mimi kuwasiliana na malugu ndio ilileta shida au kuna sababu nyingine ambayo mimi siijui.

Story zilikua nyingi usiku ule kuna muda nilitamani nisirudi tena bongo yana niendelee kukaa pale pale na fatemeh. Ata fatemeh nae alionekana kufurahishwa na uwepo wangu japo alishindwa kuliweka wazi swala hilo.

MIMI: When I get home I will miss you so much
( Nikirudi bongo nitakukumbuka sana)

FATEMEH:me too
( Ata mimi pia)

Fatemeh alijibu kwa upole sana as if ndio nimemwambia sasa naondoka na hapo nilithibitisha kuwa ikitokea nikaondoka basi nitamuachia simanzi sana.

FATEMEH: We've all been living for a very short time but I don't want you to leave
( Tumeishi wote muda mfupi sana ila sitamani undoke kabisa)

Wakati fatemeh ananiambia maneno haya sura yake ilikua ikionekana vyema kwa upole uliotawala sura yake.

Sikumbuki ilikuaje lakini tulijikuta tu mikono yetu imeshikana tukiwa pale mezani, n' you know what!!!!! We made a lot of deep kisses

Na mara nyingi tukiwa kwenye scenario kama hizi ni kama fatemeh anapoteza network kabisa, na ikitokea amerudi kwenye Normal situation ni kama anastuka na kujitoa kwangu kwa haraka mno as if kuna kitu anakizuia kwenye mwili wake.


Nikiligundua hilo mara kadhaa tunapokua kwenye hali kama hiyo.

Nikiwa bado nimemshikiria mikono ilibidi nimuulize swali moja ambalo hakulijibu kwa haraka kabisa.

MIMI: Why are you so shocked when we make kisses?
( Kwanini huwa unashtuka sana tunapokua kwenye kisses hususani deep kisses)

FATEMEH: I feel something stranger on my body
( Kuna hali ya ajabu hua nahisi kwenye mwili wangu)
Aliendelea fatemeh,
I have never felt this way in my life,
( Sijawahi kuhisi hivi kwenye Maisha yangu hapo kabla)

Mara hii alinisogelea tena yeye mwenyewe na akanikiss tena passionately na kwa utulivu wa hali ya juu ni kama kuna kitu alikua anakitafuta kwenye mwili wake au alikua anakitarajia kwenye mwili wake.

This time na mimi nili feel kitu cha tofauti kidogo kutoka kwenye midomo yake malaini, sijui ni kwakua alinikiss kwa utulivu mno na bila shuruti kama ambavyo mimi nafanya.

Maana mara nyingi mimi namkiss kwa timing yaani sio kwamba anakua amejiandaa kabisa. Hili kiss la safari hii tulitumia mda kidogo na kimoyomoyo Nikasema leo hatoki!!!!!!

Kama kawaida alishtuka, tena safari hii mshtuko ulikua mkubwa zaidi nahisi ni kutokana na namna alivyotulia na tulivyokiss mda mrefu kuliko siku zote hapo kabla.

Fatemeh alishindwa tena kuendelea kukaa pale kwenye meza ile ya dinning na hatimae alikimbia kuelekea kwenye chumba chake. Na bila kuchelewa nilimfuata maana nilijua akiingia ndani kinachofata ni kufunga mlango.

Wakati anaingia chumbani na mimi sikua mbali alikuta na mimi nipo ndani kitambo sana. Ila kiukweli alizidi kunichanganya kwani alifikia kulia tena kilio kile cha uchungu kilichoambatana na kwikwi.

Mpaka hapo nikaona mipango yangu kama imegonga mwamba kwani kwa hali yake nisinge weza kufanya chochote. Kilichofuata hapo ilikua ni kubembelezana japo sikua najua ata ni nini kina mliza mrembo huyo.

Nilimbembeleza akiwa kitandani mpaka alipopitiwa na usingizi mzito kifuani kwangu, lakini wakati amelala nilitamani sana kujua fatemeh anashida gani na kwanini hua analia sana kwenye hali kama ile. Na sio mara moja ni karibia mara zote, je ni kitu gani huwa anakihisi kwenye mwili wake cha tofauti. Je kitu hicho humuumiza au humpa furaha kwakweli nilikosa majibu kabisa.

Tukiwa bedroom ya fatemeh wote tulipitiwa na usingizi and for sure tulipiga usingizi mrefu kuwahi kutokea toka tumefika mji huo. Fatemeh ndio alikua wa kwanza kuamka na akajikuta nimemkumbatia katika namna ambayo asingeweza kutoka bila kuniamsha kwanza.

Na haikupita muda mrefu na mimi niliamka na nikakuta yeye akiwa macho lakini ilionekana hukataka kuniamsha na ni kama kuna jambo alikua akiliwaza sana wakati huo.

MIMI: good morning fet, why we slept a lot today
( Za asubuhi fet, mbona tumelala sana leo)

Fatemeh hakujibu chochote zaidi ya kuonyesha ishara ya kutaka nitoe mikono yangu kiunoni kwake ili anyanyuke.

FATEMEH: I have never slept like this before!!!! Anyway, get ready Shahzad will be waiting for you
( Kwakweli sijawahi kulala kama hivi, ila sawa tu jiandae shahzad atakua anakusubiri)

Unajua kipindi kile nilikua bado kijana mbichi kabisa wa miaka 24 hivyo bado nilikua na kale katabia ka kuamka asubuhi unakuta pipe imesimama iko high as f**** hahahah haha

Na hii hali mara nyingi ukianza majukumu ya kidunia hupotea kabisa, yaani ni mara chache sana kukuta baba wa watoto watatu tena Manager wa kampuni fulani huku unasomesha na wadogo zako eti umeamka asubuhi pipe imesimama we utakuwa na shida.
Hivyo basi nikiwa sina hili wala lile niliamka kutoka kitandani ndani ya shuka ila wakati nasimama fatemeh aligeuza shingo haraka sana kugeukia upande wa dirisha like kuna kitu hataki kukiona kabisa.

Baada ya kujiangalia ndio nikastuka aliona kitu gani ambacho kulimuongezea aibu mpaka akashindwa kuniangalia.

Kilichofuata baada ya pale nilieelekea kwenye room yangu kujiandaa huku fatemeh na yeye akijiandaa. Kabla haijaisha ata dakika moja nilirudi tena kwenye room ya fatemeh nikiwa na furushi la nguo zangu.

Haikuhitaji akili nyingi kuelewa ni nini kilikua kinaendelea pale, fatemeh alijua kabisa nimehamia rasmi sasa kwenye chumba chake.


Mdada wa watu hakuongea lolote zaidi ya kuelekea jikoni kutengeneza breakfast wakati huo mimi nilikua bize kujiandaa.

Baada ya muda alirudi tena chumbani na kunikuta, yeye mwenyewe ndie aliniandalia nguo za kuvaa siku hiyo na alifanya hivyo baada ya kujua nilikua na kanzu moja tu ambayo alinunua kama kutest kama nitapendelea kjivaa.

FATEMEH: I will buy you another one but today wear these
( Nitakununulia nyingine ila leo vaa hizi)

Sikuhiyo meku nilipiga Cadette nyeusi na t-shirt la form six ya kijivu, tena kwa kuongezea mbwembwe bidada fatemeh alifungua kabati na kutoa saa yenye brand ya Rolex ambayo anadai aliitoa India na hakuwahi kuivaa.

Asubuhi ilianza vizuri siku hiyo licha ya kwamba tulichelewa sana kuamka. Fatemeh yeye hakua tayari kutoka hivyo aliniambia niende ground usafiri wetu ni ule ule wa sikuzote nisipande gari nyingine.

Alinisindikiza mpaka mlangoni nikapigwa good-bye kiss na yeye akarudi ndani kuendelea na mishe nyingine zinazomuhusu. Pale ground bwana ile Toyota yetu nyeusi ambayo hatumjui dereva ilishafika muda tu na niliingia.

Sikuhiyo nikasema sifungi mlango mpaka dereva atoke aje kufunga mlango ili nimuone siunajua tena m'bongo ni m'bongo tu. Baada ya dakika 1 mbele mlango ulijifunga wenyewe hapo nikaona trial yangu imefeli next time nitafanya jambo jingine.

Tulifika nyumban kwa shahzad kama kawaida niikaribishwa kwa furaha sana na wanafamilia wale. Mbaya zaidi wengi hawakufahamu kingereza zaidi ya mjukuu wa shahzad na shahzad mwenyewe.
Shahzad alinikaribisha kwenye chumba ambacho kwa haraka nilijua kilikua ni maktaba ya nyumbani ambayo ilitumiwa na familia ile.

Kwenye kile chumba au maktaba ile kulikua na meza kubwa na pana, na kwenye meza ile kulikua na machapisho mbali mbali yamesambazwa..............

Ngoja nijitahidi kukatisha romantic scene za mimi na fatemeh ilitufike mapema kwenye lengo letu. Naona kama zinatupotezea muda mwingi.
Si busara kabisa kuacha scene za mahaba, hapo udambwidambwi wa uzi utakua umepotea meku
 
Inabore. Anajaribu kuweka vipengele vya sex akijua wabongo wengi akili hawana wanapenda hayo mambo au stories hizo ili kunogesha. So mtunzi analazimisha ingawa hamna la maana. Story ya kubumba sana. Ni bora mapema tu angekubali kuwa ni ya kutunga.
 
Kwenye meza ile kulikua na machapisho mengi sana ambayo ni dhahiri yaliyoonekana kuwa na miaka mingi sana. Idadi kubwa ya machapisho yale yalionekana kuwa ni yale yaliyoitwa papyrus scrolls na mengine yaliandikwa kwenye kitu nkilichoitwa parchment.

Kwa wasio fahamu papyrus scrolls, ni aina ya writing surface au kifaa cha kuandikia mfano wa karatasi za kisasa kilichotakana au kilichotengenezwa kutoka kwenye mmea ulioitwa papyrus plant huko misri ya kale.



Sehemu nyingine ya machapisho yale yaliandikwa kwenye kitu kilichoitwa parchment ( yenyewe hii pia ni mfano wa karatasi lakini materials yake yalitengenezwa kutoka kwenye ngozi za wanyama).

Hakika kwa muonekano tu, machapisho yale yalionekana kuthaminiwa sana na waasisi wake kwa namna yalivyoandikwa kwa ustadi lakini pia kwa namna yalivyofungwa.

Lugha rasmi iliyoandikwa kwenye machapisho yale ilikua ni kilatini, lakini licha ya hivyo yapo mengine baadhi yalitumia lugha ya kigiriki japo kwa uchache sana ukilinganisha na yale yaliyoandikwa kwa lugha ya kilatini.


Wakati naendelea kushangaa machapisho yale ya kale yaliyotandazwa kwenye meza ile, shahzad yeye alikua bize kukusanya baadhi ya vitu na kuvileta kwenye meza ile.

Kwa mujibu wa shahzad ni kwamba taarifa za kwenye machapisho yale zilitofautiana sana kwenye kuonyesha location au mahali halisi ambapo mji ule ulikuwepo.

Machapisho mengi yanayotumiwa na nchi za ulaya hayapo sahihi na alisema atakuja kunipa sababu apo baadae kwanini hayapo sahihi. Mfano alisema watu wengi waliyotumia taarifa za Ptolemy zilizotokea kwa watu wa ulaya ya mashiriki walipotea na hawakuweza kuuona mji huo.

Kwanini walipotea au hawakuweza kuuona mji huo, sababu ni kwamba kwa kufuata taarifa hizo mji wa rapta utaenda kuutafuta rufiji aidha pembezoni mwa mto au ata pwani ya rufiji kabisa.
Shahzad alikuja na vitu vingi kwenye meza ile alivyovipanga kwenye makundi makubwa mawili. Kwa mujibu wake alisema pale kuna vitu vilivyoitwa ecofacts na vipo vilivyoitwa artifacts.

Kwa maelezo ya shahzad alisema artifacts ni terminology inayotumiwa sana na watu wa underwater archeology wakimaanisha zana au vitu vya kale vilivyotengenezwa na binadamu. Apa alitoa mfano wa coins na zana nyingine za chuma zilizotumiwa na watu wa kale.

Kundi lingine la vitu vilivyokuwepo pale viliitwa ecofacts au biofacts, hizi zenyewe sasa ni organic material ambazo hazikutengenezwa na binadamu nyingi zilikua ni mfano wa mifupa na ata pembe za wanyama.

Kuna kitu hakikuniingia akilini kabisa baada ya kuona mifupa ambayo kabla hata sijaambiwa chochote niligundua mifupa ile ni sehemu ya mwili wa binadamu.

MIMI: hhhhhmmm mzee shahzad hii mifupa ni ya binadamu lakini?

SHAHZAD: tulia kijana umeshaanza kuogopa mapema hivi. Hii kazi utaiweza kweli wewe,

Wakati anaongea maneno hayo alikua bize kuvuta sanduka kubwa la shaba lililokua limehifadhiwa chini ya shelf za vitabu. Baada ya kuona kama litamshinda nguvu niliamua kwenda kumsaidia mzee ili kurahisisha zoezi lile.

Kwa Wakati ule nilihisi kuwa sanduku lile ndilo lililotumika kuhifadhia baadhi ya vitu vilivyotoka kwenye site ya rapta baada ya safari yake ya kwanza ambayo atanieleza vizuri baada ya zoezi lile.


Baada ya shughuli ile alikuja kukaa kwenye moja ya viti vilivyokua vinazunguka meza ile kubwa ya maktaba ile bubu ya nyumbani.

Jambo la kwanza alisema mezani pale kuna zana zilizotolewa kwenye maeneo mawili tofauti na anaenda kunielezea kila moja ya zana kwenye kundi lile la zana. Ataeleza nini maana ya zana hiyo na ni wapi zilitoka zana hizo.

Sasa kumbuka makundi haya yalikua mawili yaani kuna kundi la ecofacts au biofacts na pia kuna kundi la artifacts. Na kwenye makundi haya mawili pia kuna makundi ndani yake yanayotofautisha location ya zana hizo.

Yaani kwa mfano kwenye kundi la artifacts kuna zana za aina mbili kulingana na maeneo au location zilizpotoka zana hizo.

Tukianza na kundi la kwanza Shahzad alisema zana zile ziliiitwa artifacts kama alivyotangulia kusema hapo awali. Na zana hizo ni miongoni mwa zana za mwanzo kabisa kutolewa kwenye mabaki ya mji wa kale wa rapta.

Alidai baada tu ya kumalizika kwa vita ya roman-persian na waajemi kufanikiwa kupata treasure box ambayo ndani yake ndipo yalipatikana machapisho, shahzad wa kwanza kwenda rapta alirudi na zana hizo huku akiwa amefeli kitechnolojia kuendeleza uchunguzi wake.
ndani ya artifacts hizo kuna zana kama zifuatazo:-

SHEKEL hii ilikua ni mfano wa sarafu iliyotengenezwa kwa dhahabu na uzito wake ulizidi gram kumi (10). Kwa mujibu wa shahzad ni kwamba shekel hiyo ilitumika kama medium of exchange huko misri ya kale kipindi ambacho kinafahamika kama BC yaani kabla ya kuja kristo.

Kwa mujibu wa shahzad aliendelea kusema kwamba unapotaka kuizungumzia historia ya dunia hii kabla na baada ya kristo basi hakuna mahali utaacha taja misri. na kama hautoigusia misri ya kale kwenye maelezo yako basi ni fika kuna walakini kwenye chanzo chako. Shahzad alidai kuwa misri ndio kitovu cha kila aina ya ustaarabu unaouona kwenye dunia ya leo.

Nilimuuliza swali apa bwana shahzad, je! Kwanini misri imeshindwa kuendelea kwenye mambo kadha wa kadha ukilinganisha na huko awali hususani kipindi ambacho wanahistoria wanakiita BC ( before Christ era).

Apa bwana shahzad alisema wa misri wa kale sio hawa wa sasa tunaowajua wakina MO SALAH ( jokes), apa alidai waafrika tumepigwa na kitu kizito hawa wa misri tunaowajua sio wa misri wale wenyewe konki. ( Taarifa ya misri ina mambo mengi tutaitafutia siku rasmi) tuendelee na zana nyingine.

Baada ya kunipa taarifa au maelezo kuhusu shekel aliiweka pemben na kuendelea na zana nyingine, lakini akiwa anapekua kutafuta zana nyingine alidai kuwa hajawahi kumwambia au kumuonyesha mtu yoyote mbali na familia kuhusu zana zile.

Kwa maelezo hayo ata Schulz hakubahatika kuziona alidai Schulz alikua mwingi wa tamaa kwani lau kama angelijua uwepo wa zana zile angefanya kila aina ya fitna aweze kuzipata kwani zilikua na thamani sana kwa mujibu wa shahzad.

Ukiachana na shekel ambayo ilikua imetengeneswa huko misri ya kale kwenye maeneo ya Nubia pia shahzad alitoa mfano wa coin nyingine iliyitwa Aureus.

AUREUS hii yenyewe ilikua ni coin iliyotumika na Roman miaka ya 50BC, na jina hilo la Aureus lilitokana na neno la kilatin AURUM likiwa lina maanisha gold au dhahabu.
Na apa shahzad aliniongezea kitu kumbe ile alama au chemical symbol ya AU inayowakilisha gold kwenye periodic table inatokea huku bwana.

Hapo sasa shahzad alimalizana na coins ambazo alikua nazo nyingi sio moja, japo sikuweza kuzitambua thamani zake kwa kipindi kile lakini kwa wingi ule naweza kusema shahzad alikua na utajiri ndani.

Shahzad alidai anaanza kunionyesha hizo artifacts na ecofacts kwa maana moja, kwanza zitatumika kwenye maelezo yanayohusu mji huo lakini pia ni moja ya ushahidi wa kuamini kama ni kweli huo mji upo kwenye bahari ya Indi.

Alisema ameanza na zile coins za aina mbili kwanza kabisa alidai sarafu hizo ndizo zilikua zinatumika kwenye transactions za mji huo wa rapta.

Alidai wageni wa rumi walipofika kwenye mji huo walitumia sarafu hizo kununulia bidhaa kama vile. Pembe za ndovu na faru, tortoise shell na vingine vingi vilivyopatikana Africa.

Kwa maelezo ya shahzad alisema mji wa rapta ulikua na bandari kubwa sana kwa mujibu wa taarifa za wazee wake wa kale.

Licha ya uwepo wa bandari hiyo bado rapta ilikua ndio kitovu cha dhahabu iliyotolewa maeneo ya ndani ya Africa mashariki, sofala na maeneo mengine ya kusini mwa bara la afrika hivyo basi hii inatosha sana kusema rapta ulikua mji mkubwa kiasi gani.

Dhahabu iliyotoka maeneo hayo yote ilihifadhiwa ndani ya mji huu na baadae kupelekwa nchi za ulaya na nchi nyingine za mashiriki ya kati.

Alidai nchi za ulaya zilianza kutumia dhahabu miaka mingi sana kabla ya kristo na matumizi yake yaliegemea sana kwenye mapambo yaani jewelry na dhahabu nyingine ilitumika kutengeneza masanamu kwa ajili ya kuabudu.

Shahzad aliendelea kusema kwenye mji wa rapta kunaaminika kuwepo na workshop iliyotumika kutengeneza masanamu hayo ya dhahabu yaliyotumika kwenye ibada kwenye nchi hizo za ulaya.

Kwa mantiki hiyo basi alidai kuna millions of tonnes za dhahabu kwenye mji huo na zilihifadhiwa kwa ustadi wa hali ya juu.

Mbali na sarafu hizo niliona pia vyungu vilivyonakshiwa kwa mapambo mazuri japo kwa dunia hii ya sasa yataonekana ni mapambo ya kawaida sana. Kuhusu vyungu vile shahzad alisema ni miongoni mwa bidhaa zilizotoka china ma kufika kwenye mji huo wa rapta na vyenyewe vilifikishwa hapo na shahzad wa kwanza kabla yeye hajaenda huko. Nilitamani kujua shahzad yeye alipofika ilikuaje lakini akasema nisiwe na haraka atanieleza kila kitu.

Hakika meza ile ilikua na vitu vingi sana Wakati anaendelea kuchambua kwa taratibu labda sababu ya uzee wake niliona saa moja hivi maarufu kama pocket watch.

Ni zile saa zisizo na mikanda, ata shahzad mwenyewe alionekana kushtushwa na uwepo wa saa ile na alisema saa hiyo inamkumbusha akiwa Tanganyika miaka ya 50 alipokutana na bwana mmoja maarufu kama john kutokea huko ushelisheli kwenye kisiwa cha mahe.

Shahzad alidai bwana huyo alikua ni baharia lakini pia alikua ni gem hunter aliyejikita kwenye kusaka dhahabu sanasana.
Bwana john alijikita zaidi kuisaka dhahabu alipotelea kwenye visiwa kati ya ushelisheli na La Reunion, hapo inasemekana maharamia waliwahi kuzamisha meli yenye shehena ya dhahabu miaka ya nyuma.

Sasa bwana shida ya mzee wetu shahzad ashiki jambo moja, yaani apo akaanza kunipa story ya bwana john ambae ndie alimpatia pocket watch hiyo baada ya yeye kumpa msaada baharia huyo kutoka ushelisheli.

Nilitamani kumkatiza asiendelee na story ile lakini sasa nisingeweza kulingana na umri wake niliamua kumuacha tu aendelee lakini niliona kabisa dalili ya kukesha hapo au kurudi tena kesho yake.

Alitumia muda mwingi kunisimulia story za gem hunter huyo ambae kwa miaka hiyo ya hamsini aliishi maeneo ya kariakoo kwenye vibanda ambavyo kwa mujibu wa shahzad kulikua na mabanda au nyumba za wageni ambazo zilikua zinakaliwa na wale waliofika kwenye mji huo bila ya kuwa na wenyeji wao.

Shahzad anadai alipokutana na mpambanaji mwenzake bwana john walishea mawazo na wote wakajikuta wapo kwenye vita moja ya kutafuta mali kale.

Ndipo hapo bwana john aliungana na shahzad kwa ajili ya hazina iliyopo rapta Wakati huo bwana john alikua ametoka kwao ushelisheli bila kufanikiwa kupata dhahabu aliyoitafuta huko kwa miaka mingi.

Ili mambo yasiwe mengi nilijaribu kumuingizia swali la baadhi ya mifupa ilikuwepo mezani pale, kwa majibu mepesi sana shahzad alisema walikuta mifupa ile kwenye eneo moja chini ya maji pembeni ya ukuta uliojengwa kwa matumbawe.


Alisema mifupo ile sio kale kabisa kwa kipindi kile alichofika hapo yeye akiwa na bwana john, hivi uwepo wa mifupa ile ulikua ni moja ya ushahidi wa uwezekano wa kuwepo shughuli za kibadamu kwenye ngome ile.

Na alisisitiza shughuli hizo kwa asilimia kubwa hazikua za kawaida bali ni ulozi au uchawi, uchawi huu wa kiafrika ndio ule aliokua anauongelea bwana Schulz na ndio ulimshinda bwana Schulz.

Samahan sana wakuu leo nmechelewa kuandika, hii weekend tulipaswa tusome mapema kabla ya chai.
Bado nipo kwa shahzad tunaendelea na upekuzi na baadae anipe muongozo wa rapta.

HAPO CHINI NI MFANO WA PAPYRUS SCROLLS
images%20(60).jpg
 
Episode inafuata tutamuona bwana john ambae alishirikiana na shahzad huko rapta, Bwana john alikua gem hunter kutoka ushelisheli na mara nyingi aliwinda dhahabu zilizopatikana kwenye shipwrecks.

Hivyo itoshe kusema alikua ni mzamiaji hodari kutoka kwenye ukanda wa visiwa hivyo kwa miaka hiyo na kwenye episode hiyo tutaja misheni zake au shipwreck aliyoichunguza kwa muda mrefu akiwinda dhahabu yake.

Inaaminika meli nyingi za zamani zilizama na kiasi kikubwa sana cha dhahabu huku meli moja iliyozama kati ya La Reunion na ushelisheli ikiaminika kuzama na mzigo wa zaidi ya pauni million 100.

STAY POSITIVE

0623329512 Whatsapp

Hii namba tuicheki kwa Whatsapp pekee ASANTENI KWA USHIRIKIANO
 
Episode inafuata tutamuona bwana john ambae alishirikiana na shahzad huko rapta, Bwana john alikua gem hunter kutoka ushelisheli na mara nyingi aliwinda dhahabu zilizopatikana kwenye shipwrecks.

Hivyo itoshe kusema alikua ni mzamiaji hodari kutoka kwenye ukanda wa visiwa hivyo kwa miaka hiyo na kwenye episode hiyo tutaja misheni zake au shipwreck aliyoichunguza kwa muda mrefu akiwinda dhahabu yake.

Inaaminika meli nyingi za zamani zilizama na kiasi kikubwa sana cha dhahabu huku meli moja iliyozama kati ya La Reunion na ushelisheli ikiaminika kuzama na mzigo wa zaidi ya pauni million 100.

STAY POSITIVE

0623329512 Whatsapp

Hii namba tuicheki kwa Whatsapp pekee ASANTENI KWA USHIRIKIANO
Ya mwisho mkuu
 
Episode inafuata tutamuona bwana john ambae alishirikiana na shahzad huko rapta, Bwana john alikua gem hunter kutoka ushelisheli na mara nyingi aliwinda dhahabu zilizopatikana kwenye shipwrecks.

Hivyo itoshe kusema alikua ni mzamiaji hodari kutoka kwenye ukanda wa visiwa hivyo kwa miaka hiyo na kwenye episode hiyo tutaja misheni zake au shipwreck aliyoichunguza kwa muda mrefu akiwinda dhahabu yake.

Inaaminika meli nyingi za zamani zilizama na kiasi kikubwa sana cha dhahabu huku meli moja iliyozama kati ya La Reunion na ushelisheli ikiaminika kuzama na mzigo wa zaidi ya pauni million 100.

STAY POSITIVE

0623329512 Whatsapp

Hii namba tuicheki kwa Whatsapp pekee ASANTENI KWA USHIRIKIANO
Mchawi aftat Wallah
 
Back
Top Bottom