Utajiri wa Magofu ya Rapta

Hii stori Ina mvuto was aina yake, Chamecha mbe..
 
Napenda sana uandishi wako bro, yani natamani uendelee kuandika
 
"Mkataba wangu na ule wa amobi na Obi ulikua na tofauti kubwa kwani wao walijaza mikataba kama mercenaries yaani wanajeshi wakulipwa. Kwa Colombia waliita PRIVATE MILITARY CONTRACTOR (PMC) na hapa CV yao hawa jamaa ndio iliwabeba.

Hapo baadae tutaelezana ni kwa namna gani hawa jamaa wa PMC wanaendaga kushiriki vita za huko mashariki ya kati na malipo yao kiujumla."

Kuna vipolo kama hivi ambavyo hua naacha kwa kuahidi nitavitolea maelezo baadae, navikumbuka sana nasubiri tufike sehemu flan flan hivi ndio nianze ku clear vitu kama hivi.
 
Tupo pamoja
 
Mzeevip
 
Unaweza kuwa sahih kuataja majina na maeneo ila kukaa na IRGs agent tena mwanamke hilo nakataa iran kuna sheria kali sana mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…