Utajiri wa Magofu ya Rapta

Utajiri wa Magofu ya Rapta

Kikongwe huyo bwana Schulz ambae pia ni veteran wa ki-NAZI aliendelea kutoa maelezo machache Kuhusu vita ya roman-persian.

Bwana Schulz alidai:-
Kwa zaidi ya miaka 400 Roma na uajemi zilikua ni dola zenye nguvu sana kwa ukanda wote wa magharibi ya Eurasia. Dola hizi zilitawala kwa muda mrefu ulimwenguni kuanzia Atlantic kuelekea Indus, ukubwa wa Dola hizi ndio ulipelekea uadui baina yao ambao ulizaa mfululizo wa mapigano yaliyoitwa Roman-persian wars.

Roman-persian wars, ilikua sio vita ya kuisha usiku mmoja bali ilikua ni mfululizo wa vita zilizochukua karne na Karne mpaka kumalizika kwake.

Hii ilitokana na uhasama mkubwa uliokuwepo kati ya mataifa haya makubwa ya wakati huo. Kilichonishangaza zaidi ni periodization ya vita hizo, kwani kwa mujibu wa bwana Schulz na Shahzad ni kwamba series ya vita hizo zilianza 52 BC ( MWAKA 50's KABLA YA KRISTO).

Vita ilihusisha mataifa yaliyojulikana kama Greco-Roman na Iran ambayo ilijumuisha falme mbili nazo ni waparthian na wasasania (parthian na sasanian).

Mapigano yalidumu mpaka kufikia mwaka 628 AD.


Persian empire with (sasanid dynasty)
( Picha PDF)

Tuwekane sawa hapa kwenye neno AD na BC tunapokua tunasoma miaka ya matukio ya kihistoria. Neno BC (before christ) linatumika kuelezea matukio ambayo yalitokea kabla hata yesu hajazaliwa.

Kwa maana hiyo vita au uhasama wa Roma na uajemi ulianza kabla hata messiah (yesu) hajazaliwa.

AD linasimama kama kifupi cha (Anno domini) yaani the year of the lord au mwaka wa bwana, apa huyu bwana bila shaka wanamaanisha bwana yesu. Hivyo basi vita ilikuja kuisha miaka 620's tangu azaliwe yesu, unaweza kuona ni namna gani vita hii ilidumu.

Kwa hesabu za haraka vita hii ilidumu kwa zaidi ya miaka 600, yaani watoto na vizazi vinazaliwa vinakuta vita na wanakufa wanaacha vita ikiendelea.


Familia ya Shahzad walikua ni wasasania kutoka uajemi ya kale hawa wasasania waliwafuata waparthian kama watawala wa Iran au uajemi ya kale.

Kwa kutumia TRIREMES meli ya kivita iliyoaminika kwa kuwa na speed zama zile wasasania walikua na jeshi imara na lenye nguvu sana.

Vita za kizamani zilikua na mambo mengi sana mfano wale walioitwa war captives au mateka mara nyingi walitumika kama watumwa kwa ule upande uliowateka.

Wakati wa vita kulikua na matendo mengi yakiwemo ya uporaji na yale ya utekaji kwa kutumia meli na wanajeshi



Ukoo wa Shahzad wakiwa kama ndio ma nahodha wa TRIREMES NA BIREMES mara nyingi walikua ndio wasimamizi wa kila mali au hazina iliyoporwa wakati wa vita hizo.

Kwenye mfululizo wa vita zote hizo baina ya mafahari hawa wawili kulikua na vita moja maarufu sana ilijulikana kama BATTLE OF EDESSA.

Battle of Edessa ilipiganwa kati ya Roma na majeshi ya sasanian au wasasania, kwa wakati huo roma ilikua chini ya emperor valerian na upande wa Persian au wasasania walikua chini ya shahanshah shapur I.

(Picha PDF)
HAPO JUU NI MAGOFU YA WASASANIA UAJEMI YA KALE

Kwenye vita hii Roman walipigika sana kiasi kwamba mpaka emperor wao alikamatwa na kufungwa na wasasania. Wakati wa vita hii falme za Roma zilipoteza vitu vingi ikiwemo na zile hazina sensitive za falme hizo.

0623329512 Whatsapp
Duh binafsi leo sijakuelewa kabisa nmefatilia hii stry mwnzo mwisho lakn leo naona ni stry nyingine tofaut
 
Moja kati ya vitu walivyofanikiwa kuvipata Persian kutoka roma ilikua ni sanduku la hazina. Wakati sanduku hilo likiwa limewekwa Ndani ya TRIREMES (meli ya kivita) walijaribu kulivunja lakini walichokuta wasasania ilikua ni mafurushi ya makaratasi.

Kitendo kile cha kukuta makaratasi yale kwenye sanduku wanajeshi waliolichukua sanduku hilo walijiona wote ni wajinga. Kwani hawakuona cha thamani zaidi ya mafurushi ya makaratasi yalipangiliwa utadhani ni kitu cha maana.

Babu yake na Shahzad ndiye aliyekua nahodha wa chombo hicho na ndiye wa mwisho kuondoka na sanduku hilo la hazina. Sanduku lile liliendelea kumilikiwa na ukoo wa Shahzad mpaka ilipofikia miaka ya 350's kuelekea 400AD.

Baadae bwana mmoja kutoka kwenye bloodline ileile ya Shahzad ambaye nae alitumia jina hilo hilo yaani kwa maneno mepesi ni kwamba nae aliitwa Shahzad.

Shahzad huyu wa pili yeye alikua ni mfanya biashara au mchuuzi aliyekua ana langua pembe za ndovu na ngozi za wanyama kutoka pwani ya Africa mashariki na kuzipeleka Syria, Egypt na nchi nyinginezo kama Greece ( ugiriki ya kale).

Wakati huo kulikua na ushindani na wimbi kubwa la wafanya biashara kutoka bara Arab, India, ugiriki na wengine ureno.

Baadhi ya wafanya biashara hususani wareno walitumia neno Azania kumaanisha ni pwani ya Africa mashariki. Huku warabu walitumia neno zenj kumaanisha ni ardhi au nchi inayokaliwa na weusi.

Mara nyingi Shahzad wa pili alikua akifikia miji kama Mogadishu, kilwa, malindi na sofara kwa wakati huo waajemi na waarabu wengi walitumia majahazi kwenye safari zao.

Wakiwa kwenye majahazi yao walitumia pia upepo kuweza kufika Azania au pwani ya Africa mashariki.

Ambapo sasa wafanya biashara kutoka uajemi ya kale, bara Arab na India waliweza kufika Azania kwa kutumia North East monsoons winds.

Waliweza kutumia muda wa mpaka miezi 3 na 4 kulangua bidhaa zao za biashara na kisha wakarudi kwa kutumia aina nyingine ya upepo ulioitwa South West monsoons winds.

Kipindi hicho cha karne ya tatu (3) kuelekea ya nne bwana Shahzad wa pili alifanikiwa kuijua vizuri miji hii ya Azania. Lakini pia aliwajua vizuri wenyeji wake pamoja na mahasimu wake wa biashara ambao kwa sehemu kubwa walikua ni wareno.


Hakika wareno na watu kutoka ghuba ya uajemi na watu kutoka bara Arab hawakua na mahusiano mazuri kwa Wakati huo. Japo walikutana africa kwa shughuli za utafutaji na wote walikua ni wageni wanyonyaji.

Kama ulikua hujui wageni wa mwanzo mwanzo waliokuja Africa hawakuletwa na serikali zao za kikoloni laa hasha, wageni wengi walikua na wajasiria mali.


Naweza sema ni wajasiria mali ambao waliwahi kuona fursa za afrika zikiwemo upatikanaji wa mali ghafi kama pembe za ndovu na dhahabu hivyo wengi walijitosa makundi kwa makundi kama watafutaji wengine tu.

Nadhani baada ya serikali zao kugundua hilo ndipo nazo zikaanza kuingilia resource hizo na hatimae tukafika huku tulipo sasa.

Kilichotokea hapa ni mfano wa wale jamaa wachimbaji madini wanaitana wakipata taarifa kama kuna sehemu kuna mali.

Wana maneno ya utasikia kuna MUITO CHUNYA hapa wanamaanisha huko chunya mali imeanza kutoka haijalishi ni mali gani.

Sasa hiki ndicho kilitokea kwa nchi za kigeni kwa wakati huo yani ma hustler na watu wengine wapambanaji walipeana taarifa kuhusu Africa na baadae uongozi wa nchi zao uliingilia kati.
( Kuna mengi ya kuelezea kuhusu hili ila muda hauruhusu tuendelee na mengine)

Sasa kulingana na uzoefu alioupata Shahzad wa pili kutoka kwenye aina na biashara alizokua akifanya lakini pia watu wa mataifa mengine aliwahi kukutana nao.

Siku moja aliwahi kuamua kuwa serious na lile furushi la makaratasi yale yaliyopatikana wakati wa vita ya roman-persian ndipo aligundua kitu kwenye michoro ya makaratasi yale.

Furushi lile lilijaa machapisho, na machapisho mengi yalikua wanawahusu baadhi ya watu maarufu wa Roman na ugiriki ya kale. Lilitumika neno Greco-Roman kwenye machapisho yale.


Watu wale walikua ni Marcus Aurelius, Seneca, na Cicero. Lakini kwa kiasi kikubwa alionekana bwana mmoja maarufu kama Claudio Ptolemy ambae kwa wakati huo ndio alikua mwana geografia na mwana hisabati mkubwa kwa ukanda ule.


Mbali na hayo pia alikua ni mwana astronamia mkubwa kwa maeneo yale yote kuanzia misri ya kale mpaka ugiriki na kisha Roman.

Yaliandikwa mengi kwenye machapisho yale lakini kubwa lililomvutia Shahzad wa pili lilikua ni chapisho lililohusu mji ulioitwa rhapta.

Kwani taarifa za mji huo kwake hazikua ngeni kabisa mara kadhaa amekua akikutana na taarifa za mji huo alipokua kwenye safari zake kuelekea Azania. Mji huu uliokwisha kuzama baharini ulisifika kwa kuwa na shehena za akiba ya dhahabu kitu kilichowatamanisha wengi kutamani kufika hapo.

Hapo awali alipata taarifa za rhapta kama mji mkongwe na tajiri barani Africa hivyo basi Shahzad alitamani kufika hapo na kuuona ni namna gani mji huo umebarikiwa utajiri huo.

Kulingana na chapisho la Claudio Ptolemy alionyesha kwenye chapisho hilo ni sehemu gani ndani ya eneo hilo la Azania unaweza kuipata au kufika mji huo wa rhapta.



Ramani hii inaonyesha eneo Ndani ya Azania linalo aminika ndipo mji wa rhapta ulipo.
Picha PDF
 
Tusichanganyikiwe saaana, hayo maelezo ya juu nilikua najaribu kurahisha kile alichokua akikisema Shahzad kwa bwana Schulz kuhusu mji wa rhapta.

Mpaka hapa tumejua kumbe ukoo wa Shahzad ndio ulikuwa na taarifa za rhapta lakini pia mtu wa kwanza kujaribu kufika au kuitafuta rapta alikua ni Shahzad wa pili.

Huyu Shahzad aliyekutana na Schulz yeye ni miongoni mwa vitukuu vya Shahzad wa kwanza aliyejaribu kuitafuta rapta.

Sasa basi huyu jasusi m-Nazi bwana Schulz na Shahzad walifikia wapi harakati zao za kufika rhapta.



Tusijisahau sana haya maelezo yote yametoka kwa Javier, akijaribu kunipa picture juu ya mzungu aliyemuita babu yake kwa mara ya kwanza lakini haikua hivyo.

Babu huyo aliishi mkoa wa Lindi hivyo apa tunaenda kuelewa babu huyo alifikaje lindi kutokea ujerumani.

Babu huyo hakua mwingine ni Schulz ambaye kwa mara ya kwanza alipewa taarifa za rhapta na bwana Shahzad ambaye alikua ni rafiki ake kipindi chote akiwa Iran.

0623329512 Whatsapp

Nimeahidi simulizi nitaiweka mpaka itakapofika mwisho, wanaomtafuta huyo jamaa wa Whatsapp ni wale wenye kuhitaji kusoma kwa haraka na kila siku. Bila shaka wao wameshafika mbali,
 
TUNAENDELEA


Uhalisia wa mambo ulivyo na kulingana na machapisho yale ya Claudio Ptolemy, ni kwamba Ptolemy yeye alionyesha tu ni wapi ulipo mji wa rapta.

Ila Kuhusu ni namna gani rapta ilikua na mali, nguvu pamoja na ushawishi wake kwenye eneo lote kuzunguka azania kiukweli Claudio Ptolemy hakuandika chochote kwenye machapisho yale.

Sasa Shahzad wa pili yeye alipata kusikia habari za mji huu wakati Akiwa kwenye biashara zake huko azania (ukanda wa Africa mashariki).

Mara nyingi wafanya biashara hawa wa bara Arab walipokutana waliongea kuhusu mali iliyopo ndani ya mji huo uliozama baharini kwenye bahari ya Indi.


Baada ya kupita miaka 170's tangu kuzama kwa mji wa rapta, taarifa nyingi zilizohusu rapta zilibaki kwa wageni kwakua wenyeji walionekana kuwa na madhaifu makubwa kwenye utunzaji wa taarifa

Mara nyingi wenyeji wa pwani ya Africa mashariki walitegemea kurithishana taarifa kwa njia ya masimulizi huku wenzao wageni walitunza taarifa kwenye maandishi.

Wale wataalamu wa history wanaweza kusema kwamba waafrika tulitgemea (masimulizi) oral traditional wakati wenzetu walikua wakihifadhi taarifa kwenye maandishi.

Hivyo kwa kutegemea masimulizi ilikua ni rahisi sana kupoteza history ya sehemu yoyote kwani tulitgemea uwepo wa anaejua history husika. Mara tu msimuliaji anapokufa na historia imekufa.

Kuna wenyeji wachache sana mpaka kufikia karne ya tano ndio walijua kuandika na kusoma, lugha waliyojua kuindika na kuisoma Ilikua ni kiarabu hii ilitokana na wageni wao wa mwanzo mwanzo kua ni watu wa bara Arab.

Hivyo tunaweza kusema wenyeji hawakua na taarifa za uhakika zinazohusu rapta isipokua zile za kusadikika. Hii ilitokana na hao wenyeji kukosa utaratibu mzuri wa kutunza au kuandika historia yao.

Ni jambo la kusikitisha sana kuona waafrika tunaisoma historia yetu ya ndani kupitia machapisho ya wageni yaani wazungu na waarabu.

Shahzad wa pili sasa aliamua rasmi kuweka makazi yake ukanda huu wa pwani ya Africa ambao ulifahamika kama Azania.


Sababu ya Shahzad wa pili kuweka makazi yake huku Quiloa (kilwa) maeneo ya kuzunguka Azania ilikua ni kuhakikisha anaipata milki au mji ule wa rapta ambao ulizama baharini.

Kulingana na maelezo ya Shahzad ni kwamba sababu za kuzama kwa mji wa rapta bado ni controversial sana.

Kwani kuna nadharia tofauti tofauti zinazokinzana zikielezea sababu hizo, sababu hizi zipo zinazo shikiliwa na wenyeji lakini pia zipo zinazo shikiliwa na wageni.

Hapo baadae tutazielezea nadharia hizo kwa undani katika namna ambayo wageni na wenyeji wa pwani ya azania wanakinzana.



Sasa basi tukumbuke Wakati huu wa huyu Shahzad wa pili, mji wa kilwa au (Quiloa) kama ulivyotamkwa na wareno wa mwanzo. ulikua bado mchanga sana na haujafikia ule umaarufu uliokua nao ambao tulipata kuusikia.

Shahzad alikuja ku settle kilwa (Quiloa) mnamo karne ya tano kuelekea ya sita ili kuhakikisha anaupata mji huu,
na hizi ndio sababu zilizompelekea ku settle kilwa.

Sababu ya kwanza; mnamo karne ya tano na ya sita kilwa ulikua mji mchanga sana ukiwa na idadi ndogo sana ya wageni.

Hivyo kukosekana kwa wageni hususani wale wageni wa kireno na kiingereza kungempa Shahzad uhuru mkubwa wa shughuli yake hiyo.


Hapa tunaweza kuona kwamba mji wa kilwa ulikua kwa kasi kuanzia miaka ya 950's AD au tunaweza kusema karne ya kumi. Lakini mji huu ulianguka ghafla mnamo karne ya kumi na tano yaani mwaka 1505 AD na hii ili sababishwa na ujio wa wareno na waingereza.


Sababu ya pili; Shahzad alikuja ku settle kilwa (Quiloa) kwa sababu tu kulingana na machapisho yale ya Claudio Ptolemy ni kwamba mji wa rapta ulipatikana kaskazini mwa Quiloa ( kilwa). Hivyo kwa kutumia direction hiyo Shahzad aliamini akija ku settle kilwa kazi haitokua ngumu kabisa.

Sababu ya tatu; miongoni mwa machapisho yale aliyokua akiyaangalia Shahzad. Lipo lililohusu au lililomuhusu nahodha wa kigiriki (Greek captain) aliyejulikana kwa jina la Theophilos.

Kulingana na Theophilos yeye alikua anatumia muda wa mpaka siku 21 hadi 22 kutokea horn of Africa hadi kufikia rapta.

Sasa ni hivi kwa Wakati huo ambao technology ya usafiri wa bahari ilikua bado haijakua ni kweli wafanya biashara wengi walitoka Horn of Africa mpaka Quiloa ( kilwa) kwa idadi ya siku hizo hizo.

Hivyo basi chapisho hilo la Theophilos lilimuaminisha kwamba rapta haitakua mbali na kisiwa hicho cha Quiloa.

Tunaposema horn of Africa inajumuisha nchi kama nne hivi ambazo ni Djibouti Eritrea, Ethiopia, Somalia. Hizi ni zile nchi zinazopatikana kwenye lile pembe la Africa.


NB: taarifa hizi za rapta zinatoka kwa Shahzad, sio zile nilizozipata mimi mwenyewe kutoka Tehran. Episode za mbele tutaona taarifa nilizozipata mimi mwenyewe kutoka Tehran nikiwa fatemeh (Manuela).
 
TUNAENDELEA


Uhalisia wa mambo ulivyo na kulingana na machapisho yale ya Claudio Ptolemy, ni kwamba Ptolemy yeye alionyesha tu ni wapi ulipo mji wa rapta.

Ila Kuhusu ni namna gani rapta ilikua na mali, nguvu pamoja na ushawishi wake kwenye eneo lote kuzunguka azania kiukweli Claudio Ptolemy hakuandika chochote kwenye machapisho yale.

Sasa Shahzad wa pili yeye alipata kusikia habari za mji huu wakati Akiwa kwenye biashara zake huko azania (ukanda wa Africa mashariki).

Mara nyingi wafanya biashara hawa wa bara Arab walipokutana waliongea kuhusu mali iliyopo ndani ya mji huo uliozama baharini kwenye bahari ya Indi.


Baada ya kupita miaka 170's tangu kuzama kwa mji wa rapta, taarifa nyingi zilizohusu rapta zilibaki kwa wageni kwakua wenyeji walionekana kuwa na madhaifu makubwa kwenye utunzaji wa taarifa

Mara nyingi wenyeji wa pwani ya Africa mashariki walitegemea kurithishana taarifa kwa njia ya masimulizi huku wenzao wageni walitunza taarifa kwenye maandishi.

Wale wataalamu wa history wanaweza kusema kwamba waafrika tulitgemea (masimulizi) oral traditional wakati wenzetu walikua wakihifadhi taarifa kwenye maandishi.

Hivyo kwa kutegemea masimulizi ilikua ni rahisi sana kupoteza history ya sehemu yoyote kwani tulitgemea uwepo wa anaejua history husika. Mara tu msimuliaji anapokufa na historia imekufa.

Kuna wenyeji wachache sana mpaka kufikia karne ya tano ndio walijua kuandika na kusoma, lugha waliyojua kuindika na kuisoma Ilikua ni kiarabu hii ilitokana na wageni wao wa mwanzo mwanzo kua ni watu wa bara Arab.

Hivyo tunaweza kusema wenyeji hawakua na taarifa za uhakika zinazohusu rapta isipokua zile za kusadikika. Hii ilitokana na hao wenyeji kukosa utaratibu mzuri wa kutunza au kuandika historia yao.

Ni jambo la kusikitisha sana kuona waafrika tunaisoma historia yetu ya ndani kupitia machapisho ya wageni yaani wazungu na waarabu.

Shahzad wa pili sasa aliamua rasmi kuweka makazi yake ukanda huu wa pwani ya Africa ambao ulifahamika kama Azania.


Sababu ya Shahzad wa pili kuweka makazi yake huku Quiloa (kilwa) maeneo ya kuzunguka Azania ilikua ni kuhakikisha anaipata milki au mji ule wa rapta ambao ulizama baharini.

Kulingana na maelezo ya Shahzad ni kwamba sababu za kuzama kwa mji wa rapta bado ni controversial sana.

Kwani kuna nadharia tofauti tofauti zinazokinzana zikielezea sababu hizo, sababu hizi zipo zinazo shikiliwa na wenyeji lakini pia zipo zinazo shikiliwa na wageni.

Hapo baadae tutazielezea nadharia hizo kwa undani katika namna ambayo wageni na wenyeji wa pwani ya azania wanakinzana.



Sasa basi tukumbuke Wakati huu wa huyu Shahzad wa pili, mji wa kilwa au (Quiloa) kama ulivyotamkwa na wareno wa mwanzo. ulikua bado mchanga sana na haujafikia ule umaarufu uliokua nao ambao tulipata kuusikia.

Shahzad alikuja ku settle kilwa (Quiloa) mnamo karne ya tano kuelekea ya sita ili kuhakikisha anaupata mji huu,
na hizi ndio sababu zilizompelekea ku settle kilwa.

Sababu ya kwanza; mnamo karne ya tano na ya sita kilwa ulikua mji mchanga sana ukiwa na idadi ndogo sana ya wageni.

Hivyo kukosekana kwa wageni hususani wale wageni wa kireno na kiingereza kungempa Shahzad uhuru mkubwa wa shughuli yake hiyo.


Hapa tunaweza kuona kwamba mji wa kilwa ulikua kwa kasi kuanzia miaka ya 950's AD au tunaweza kusema karne ya kumi. Lakini mji huu ulianguka ghafla mnamo karne ya kumi na tano yaani mwaka 1505 AD na hii ili sababishwa na ujio wa wareno na waingereza.


Sababu ya pili; Shahzad alikuja ku settle kilwa (Quiloa) kwa sababu tu kulingana na machapisho yale ya Claudio Ptolemy ni kwamba mji wa rapta ulipatikana kaskazini mwa Quiloa ( kilwa). Hivyo kwa kutumia direction hiyo Shahzad aliamini akija ku settle kilwa kazi haitokua ngumu kabisa.

Sababu ya tatu; miongoni mwa machapisho yale aliyokua akiyaangalia Shahzad. Lipo lililohusu au lililomuhusu nahodha wa kigiriki (Greek captain) aliyejulikana kwa jina la Theophilos.

Kulingana na Theophilos yeye alikua anatumia muda wa mpaka siku 21 hadi 22 kutokea horn of Africa hadi kufikia rapta.

Sasa ni hivi kwa Wakati huo ambao technology ya usafiri wa bahari ilikua bado haijakua ni kweli wafanya biashara wengi walitoka Horn of Africa mpaka Quiloa ( kilwa) kwa idadi ya siku hizo hizo.

Hivyo basi chapisho hilo la Theophilos lilimuaminisha kwamba rapta haitakua mbali na kisiwa hicho cha Quiloa.

Tunaposema horn of Africa inajumuisha nchi kama nne hivi ambazo ni Djibouti Eritrea, Ethiopia, Somalia. Hizi ni zile nchi zinazopatikana kwenye lile pembe la Africa.


NB: taarifa hizi za rapta zinatoka kwa Shahzad, sio zile nilizozipata mimi mwenyewe kutoka Tehran. Episode za mbele tutaona taarifa nilizozipata mimi mwenyewe kutoka Tehran nikiwa fatemeh (Manuela).
Well
 
😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴
 
TUNAENDELEA


Uhalisia wa mambo ulivyo na kulingana na machapisho yale ya Claudio Ptolemy, ni kwamba Ptolemy yeye alionyesha tu ni wapi ulipo mji wa rapta.

Ila Kuhusu ni namna gani rapta ilikua na mali, nguvu pamoja na ushawishi wake kwenye eneo lote kuzunguka azania kiukweli Claudio Ptolemy hakuandika chochote kwenye machapisho yale.

Sasa Shahzad wa pili yeye alipata kusikia habari za mji huu wakati Akiwa kwenye biashara zake huko azania (ukanda wa Africa mashariki).

Mara nyingi wafanya biashara hawa wa bara Arab walipokutana waliongea kuhusu mali iliyopo ndani ya mji huo uliozama baharini kwenye bahari ya Indi.


Baada ya kupita miaka 170's tangu kuzama kwa mji wa rapta, taarifa nyingi zilizohusu rapta zilibaki kwa wageni kwakua wenyeji walionekana kuwa na madhaifu makubwa kwenye utunzaji wa taarifa

Mara nyingi wenyeji wa pwani ya Africa mashariki walitegemea kurithishana taarifa kwa njia ya masimulizi huku wenzao wageni walitunza taarifa kwenye maandishi.

Wale wataalamu wa history wanaweza kusema kwamba waafrika tulitgemea (masimulizi) oral traditional wakati wenzetu walikua wakihifadhi taarifa kwenye maandishi.

Hivyo kwa kutegemea masimulizi ilikua ni rahisi sana kupoteza history ya sehemu yoyote kwani tulitgemea uwepo wa anaejua history husika. Mara tu msimuliaji anapokufa na historia imekufa.

Kuna wenyeji wachache sana mpaka kufikia karne ya tano ndio walijua kuandika na kusoma, lugha waliyojua kuindika na kuisoma Ilikua ni kiarabu hii ilitokana na wageni wao wa mwanzo mwanzo kua ni watu wa bara Arab.

Hivyo tunaweza kusema wenyeji hawakua na taarifa za uhakika zinazohusu rapta isipokua zile za kusadikika. Hii ilitokana na hao wenyeji kukosa utaratibu mzuri wa kutunza au kuandika historia yao.

Ni jambo la kusikitisha sana kuona waafrika tunaisoma historia yetu ya ndani kupitia machapisho ya wageni yaani wazungu na waarabu.

Shahzad wa pili sasa aliamua rasmi kuweka makazi yake ukanda huu wa pwani ya Africa ambao ulifahamika kama Azania.


Sababu ya Shahzad wa pili kuweka makazi yake huku Quiloa (kilwa) maeneo ya kuzunguka Azania ilikua ni kuhakikisha anaipata milki au mji ule wa rapta ambao ulizama baharini.

Kulingana na maelezo ya Shahzad ni kwamba sababu za kuzama kwa mji wa rapta bado ni controversial sana.

Kwani kuna nadharia tofauti tofauti zinazokinzana zikielezea sababu hizo, sababu hizi zipo zinazo shikiliwa na wenyeji lakini pia zipo zinazo shikiliwa na wageni.

Hapo baadae tutazielezea nadharia hizo kwa undani katika namna ambayo wageni na wenyeji wa pwani ya azania wanakinzana.



Sasa basi tukumbuke Wakati huu wa huyu Shahzad wa pili, mji wa kilwa au (Quiloa) kama ulivyotamkwa na wareno wa mwanzo. ulikua bado mchanga sana na haujafikia ule umaarufu uliokua nao ambao tulipata kuusikia.

Shahzad alikuja ku settle kilwa (Quiloa) mnamo karne ya tano kuelekea ya sita ili kuhakikisha anaupata mji huu,
na hizi ndio sababu zilizompelekea ku settle kilwa.

Sababu ya kwanza; mnamo karne ya tano na ya sita kilwa ulikua mji mchanga sana ukiwa na idadi ndogo sana ya wageni.

Hivyo kukosekana kwa wageni hususani wale wageni wa kireno na kiingereza kungempa Shahzad uhuru mkubwa wa shughuli yake hiyo.


Hapa tunaweza kuona kwamba mji wa kilwa ulikua kwa kasi kuanzia miaka ya 950's AD au tunaweza kusema karne ya kumi. Lakini mji huu ulianguka ghafla mnamo karne ya kumi na tano yaani mwaka 1505 AD na hii ili sababishwa na ujio wa wareno na waingereza.


Sababu ya pili; Shahzad alikuja ku settle kilwa (Quiloa) kwa sababu tu kulingana na machapisho yale ya Claudio Ptolemy ni kwamba mji wa rapta ulipatikana kaskazini mwa Quiloa ( kilwa). Hivyo kwa kutumia direction hiyo Shahzad aliamini akija ku settle kilwa kazi haitokua ngumu kabisa.

Sababu ya tatu; miongoni mwa machapisho yale aliyokua akiyaangalia Shahzad. Lipo lililohusu au lililomuhusu nahodha wa kigiriki (Greek captain) aliyejulikana kwa jina la Theophilos.

Kulingana na Theophilos yeye alikua anatumia muda wa mpaka siku 21 hadi 22 kutokea horn of Africa hadi kufikia rapta.

Sasa ni hivi kwa Wakati huo ambao technology ya usafiri wa bahari ilikua bado haijakua ni kweli wafanya biashara wengi walitoka Horn of Africa mpaka Quiloa ( kilwa) kwa idadi ya siku hizo hizo.

Hivyo basi chapisho hilo la Theophilos lilimuaminisha kwamba rapta haitakua mbali na kisiwa hicho cha Quiloa.

Tunaposema horn of Africa inajumuisha nchi kama nne hivi ambazo ni Djibouti Eritrea, Ethiopia, Somalia. Hizi ni zile nchi zinazopatikana kwenye lile pembe la Africa.


NB: taarifa hizi za rapta zinatoka kwa Shahzad, sio zile nilizozipata mimi mwenyewe kutoka Tehran. Episode za mbele tutaona taarifa nilizozipata mimi mwenyewe kutoka Tehran nikiwa fatemeh (Manuela).
Daaah!!!


Sijui lin titarud kwa Manuela
JamiiForums121665422.jpg
 
Niligundua jambo moja kwenye uzungumzaji wa kingereza, yaan kama sio mzoefu wa lugha ile basi ukizungumza mda mrefu namaanisha ukitumia saa nzima, kuna njaa ya ajabu na uchovu vita kupata.
🤣🤣🤣
Aisee.. quite amusing!
 
Back
Top Bottom