Utajiri wa Magofu ya Rapta

Utajiri wa Magofu ya Rapta

Huyo anatupa arosto bana
Aloooooo
JamiiForums-1914086528.jpg
 
TUNAENDELEA

Bila huruma Manuela alijibu hilo sio jukumu lake kikubwa nipambanie maisha yangu kwani kina mzee massawe na mke wake wamesha umaliza mwendo.

Hapo niligundua hataki story zile lakini pia bado tulikua na nafasi ya kuendelea kuongea kutokana na kutokuwepo kwa yoyote karibu yetu.

Hivyo niliamua kujichetua tu!!!!!!


MIMI: tonight !!!!.......let us continue from where we left off yesterday.
( Leo tuendelee tulipoishia jana)

Nilimsisitiza kama aliniacha na hali mbaya sana, at least angesubiri ata dakika 15 lakini sio kwa haraka aliyokuwa nayo.

Hapa sasa sura ya Manuela ilichangamka na kuonekana ata yeye alikuwa akisubiri jua lizame tena ili tuendelee.

Manuela alidai ata yeye alivutiwa mno na kitu alichokiona hivyo alijua nimemfuta alipokaa ili kupanga ni namna gani tunaumaliza usiku huo.



Alidai kuwa watu weusi au ma nigga kama alivyotumia jina hilo kwamba tuko strong sana na anapendelea ku have sex na watu weusi.

Wakati huu alinisisitiza nisiwaze kurudi nyumbani kabla sijatimiza kile kilichokua kwenye akili yangu.

Tukiendelea na story mlango wa maabara ulifunguliwa akaingia Catarina, lakini niliiskia sauti ya Daniel akichungulia mlangoni na kunipa Salam.

DANIEL: hey kunta kinte!! How is everything??
Keep it up bro! And Don't give up
( Niaje kunta? Endelea kukaza mwanangu usikate tamaa)

Javier aliangua kicheko sana kusikia naitwa kunta kinte Kwani hakutarajia jina hilo kulisikia kwangu.

Catarina pia alishangaa kwanini sikujitambulisha na jina hilo badala yake nikawaambia mimi ni mustapha. Na mimi niliwaambia ni jina la utani walinipa wakati tupo kwenye meli ya panama tukiwa tunakuja mahali apo.

Ila niligundua hakuna aliyenisikiliza na wote walivutiwa na jina lile la kunta kinte. Ila kwa upande wa Manuela pekee sikumuona akionyeshwa kufurahishwa na jina lile.

Mara nyingi huyu Manuela hakua muongeaji sana, ukimuangalia kwa macho ya haraka utasema ulevi wa kipundukia wa unga ndio ulimpelekea kuwa hivyo.

Lakini ukitumia jicho la tatu utagundua kichwani kwake kuna mengi anayawaza ambayo anayatafutia majibu. lakini pia utagundua ni mtu makini kuliko wote mule ndani ila ametumia cocaine kama kivuri cha kuficha baadhi ya sifa zake.
Hali ya uteja aliyonayo ilimpelekea kila mtu kutokumjali akiwa eneo hilo hivyo na yeye kupata nafasi ya kufanya majukumu mengine kwa Uhuru bila kusumbuliwa.

Mara nyingi Manuela au Catarina ndio walikua wana test ile quality ya products baada ya kuwa mzigo umekamilika.

Na hapo pia nilimuona catarina kwa mara yangu ya kwanza aki sniff, baada ya kujaribu aliniangalia mara mbili mbili kisha akampa na Manuela na yeye ajaribu.

Catarina aliniuliza maswali mawili akiwa serious sana mpaka mimi mwenyewe nilishangaa.

CATARINA: What lab did you work before here?
( Ulifanya kazi maabara gani kabla ya hapa)

Swali lile lilimshtua ata Javier pia ambaye aligeuza shingo na kuniangalia kwa makini sana.

CATARINA: what moved you there?
( Ni nini kilikuhamisha uko na ukaja hapa haullaga)

Maswali yote sikuwa na majibu nayo kabisa wala sikujua nijibu nini.

Nilitamani Manuela ajibu chochote kwani yeye anaonekana kuwa na background ya hapo nyuma kabla sijafika haullaga.

Lakini ilionekana kabisa Manuela hakua tayari kusema chochote ndio kwanza na yeye aliendelea kuushambulia mzigo ule kupitia sample aliyopewa na Catarina.


Mpaka muda huo niligundua jambo moja ambalo ni; solution yangu au mchanganyo wangu kutokea naanza mpaka nakuja kupata ile fish scale Cocaine ulikua amazing.

Kulikua na quality ambayo ni muda mrefu sana Catarina alikua anaitafuta bila mafanikio na kilichokua kina mshinda ni kukadilia vipimo vya zile chemicals.

Nilikua najitahidi kuwa makini wakati wa kutengeneza michanganyo ile ili kumvutia Catarina na kumfanya aniamini na niendelee kula mema ya nchi.

Lakini matokeo yake yalikua tofauti na matarajio yangu kwani nilimuona amebadilika na kutoka nje kuelekea kwenye lile ghetto lao.


Nilijawa na hofu ndani ya muda mfupi sana, na Manuela alilijua hilo hivyo alichofanya hapo ni kunikonyesha katika namna ya kunishtua nisiwe na wasi wasi.

Javier nae aliniambia nisiwe na wasi wasi kwani mpaka wakati huo Catarina alikua anahofia naweza kua mamluki. Yaani kuna uwezekano mkubwa nilitumwa na wapinzani kwa ajili ya kuchunguza uzalishaji wao.

Kwani kwa mtu ambaye hajawahi kutumia cocaine wala hajawahi kuitengeneza kabisa, ni wazi kwa mara ya kwanza asingeweza kufanya kitu bora kama kile.

Hivyo basi Catarina ndio aliyekua na mawasiliano na watu wa nje ya mashamba. Muda huo ni kwamba alienda kuthibitisha taarifa zangu kuhusu nilipotoka mpaka kufika pale.
Hapo nilishangaa kwanini Manuela ajue kila kitu kuhusu mimi alafu Catarina asijue chochote!!! Probably inawezekana Manuela akawa na mtandao mkubwa na wa siri kuliko Catarina.

Ndani ya dakika chache alikuja tena Catarina akiwa na watu wawili wenye miili mikubwa iliyojengeka kwa mazoezi.

Watu wale walifika na kunibeba bila kuniuliza chochote waka nibuluza kuelekea chini ya bonde la mto.

Walinifikisha kwenye banda moja kuukuu ambalo ndani kulikua na mashine inayo fanana na mashine ya kusaga unga lakini mashine ile ilionekana haifanyi kazi kabisa.



Jamaa waliniuliza kama natokea eneo moja linaitwa Yungas de la paz, niliwajibu kwamba silijui hilo eneo wala sijawahi kuliskia.

Kwa haraka niligundua eneo hilo alilolitaja ndio lilikua na wapinzani wao. Eneo hilo lilipatikana huko Bolivia.

Hivyo Catarina na hao jamaa walijua mimi ninatokea sehemu hiyo lakini kwa bahati mbaya haikua hivyo.

Waliendelea kuniweka pale mpaka jioni jua lilipo zama, mbaya zaidi hawakunipa chakula zaidi tu walinifungia mlango kwa nje.

Baadae sana mlango ulifunguliwa na akaingia mzee mmoja wa makamo, baada ya kumuangalia usoni nilimjua alikua ni baba yake na Miguel.

Hata yeye alipofika alistuka baada ya kuniona hakuamini mimi ndio yule msaliti aliyeambiwa.

Palepale aliwaamuru zile njemba zinifungulie mlango nitoke. Na akasema ataongea na Catarina kuhusu CV yangu kwani hakumuambia kama mimi nilikua na bachelor ya chemical processing engineering.

Mzee aliondoka muda ule ule ikidai waniachie yeye ataongea na Catarina. Mzee alipoondoka jamaa hawakuniachia kwa wakati kwani walisubiri mpaka mzee atokomee kabisa.

Nilitamani kuwaaambia waniachie niondoke lakini lugha ilikua mtihani nahisi wao waliongea ki Spanish hivyo tusinge elewana.



Mmoja alinipiga mtama nikaenda chini, na mwingine alianza kunitoa suruali yangu kwa nguvu kiasi kwamba hakujali kama itachanika au vipi.

Mazingira yale hayakuhitaji utashi wowote kujua nini kinafuata, na wazi jamaa walikua ni washenzi!!!!

Ilikua kidogo tu niliwe ndogo siku ile, ila ila pongezi za dhati ziende kwa Javier kwenye gereza lolote alipo mana yeye alifungwa maisha mwaka 2019 baada ya ushahidi wa kesi yake kupatikana na yeye kutiwa mbaloni na serikali ya Iran.


Wale wa PDF za Whatsapp bei imefikia buku 3000 mzigo unaelekea mwishoni, 0623329512
 
Jamaa walinipa kichapo sana na hii ni baada ya kugundua nia yao, kiukweli nilikaza sana huku nikiwaza kuwa bora kufa kuliko kutolewa uvulana wangu. Hahahaha hahaha hah

Lakini pamoja na kutumia nguvu kubwa mwisho wa siku nilishindwa kufulukuta na jamaa wakafanikiwa kutoa ile suruali yangu na kuitupa mbali.

Kuna mmoja ambae ndio alikua mbavu sana ye ndie alinibana ile style ambayo wamarekani wanaita I CAN'T BREATH ambayo alibanwa George Floyd na yule askari mzungu bwana Derek Chauvi.

Kuna mawazo yalipita kichwani ghafla kwamba naenda kuishi bila Malinda sikudhania tena kama kutakua na taste ya maisha.


Ghafla jamaa aliyenibana alinyanyuka na kusimama hapo ilikua kama bahati yangu lakini wakati na mimi nanyanyuka nilimuona Javier akiwa ameshika suruali yangu ambayo ilikua haitamaniki kwa kuchanwa.

Hapo nilimuona Javier kama mungu, na nilimuona amekuja Wakati muafaka kama ule msemo wa wakulima kwamba jembe limekuja wakati wa palizi.

Jamaa wale wanaonekana kumjua javier vizuri au ata zaidi ya ninavyo mjua mimi kwani walionekana kuwa waoga na kutokutarajia uwepo wake eneo hilo.

Wakati huu nilimuona Javier katika muonekano mwingine kabisa, sio muonekano wa sura!!!! Hapana ni mavazi yake. Alionekana kama ametoka buchani kwani alikua anakoti jeupe na chini ana gumboots mbaya zaidi alikua maelowa damu kama alikua machinjioni.
Javier alinirushia suruali yangu, nikaivaa chapu sana huku nikitaka kukimbia eneo lile nisiendelee kuwepo.

Wakati nataka kukimbia baada ya kuvaa suruali nilimsikia javier akiongea kwa sauti ya kibabe ambayo sikuwahi kuiskia.

JAVIER: don't go nowhere
(Usiende popote)
Hapo nilirudi kwa ndani ya kujibana pembezoni mwa ile mashine kuukuu.

JAVIER: no te voy a volver a perdonar ( Spanish )
( Leo siwezi kuwasamehe tena)

Javier aliongea lugha ya wale jamaa ambayo ilikua ni Spanish, na alimaanisha kutokuwasemehe jamaa wale kwani ilionekana ni kawaida yao kuwafanyia vile baadhi ya watu wageni wafikapo hapo.

Mara kadhaa pia huwafanyia hivyo wale mateja ambao wanakua wamefikia level ya juu ya uraibu wa dawa hizo. Hivyo huwafanyia vitendo hivyo kwa kuwapa kiasi kidogo cha crack wanapokua na alosto.

Hili tunaweza kuliona ata hapo bongo asilimia kubwa ya wale mateja ambao wamefikia level za juu za uraibu kiasi cha kushindwa kufanya chochote hufikia hatua ya kutoa ata miili yao.

Hivyo takwimu zinasema idadi kubwa ya mateja ni mashoga pia ( yaani tatizo juu ya tatizo).

Huu ushoga unasababishwa na hiyo sababu niliyoitaja apo awali lakini pia husababishwa na baadhi yao kutumia mishipa ya uume ili kufanya injection.



Baadae nitaeleza kwanini baadhi ya mateja wanatumia mishipa ya uume kujidunga madawa hayo ya kulevya. Na matumizi haya ya uume ili kujidunga yanachangia pia kuua tissue za uume mwisho wa siku mashine inafeli na ugeuka chakula.
 
Jamaa walinipa kichapo sana na hii ni baada ya kugundua nia yao, kiukweli nilikaza sana huku nikiwaza kuwa bora kufa kuliko kutolewa uvulana wangu. Hahahaha hahaha hah

Lakini pamoja na kutumia nguvu kubwa mwisho wa siku nilishindwa kufulukuta na jamaa wakafanikiwa kutoa ile suruali yangu na kuitupa mbali.

Kuna mmoja ambae ndio alikua mbavu sana ye ndie alinibana ile style ambayo wamarekani wanaita I CAN'T BREATH ambayo alibanwa George Floyd na yule askari mzungu bwana Derek Chauvi.

Kuna mawazo yalipita kichwani ghafla kwamba naenda kuishi bila Malinda sikudhania tena kama kutakua na taste ya maisha.


Ghafla jamaa aliyenibana alinyanyuka na kusimama hapo ilikua kama bahati yangu lakini wakati na mimi nanyanyuka nilimuona Javier akiwa ameshika suruali yangu ambayo ilikua haitamaniki kwa kuchanwa.

Hapo nilimuona Javier kama mungu, na nilimuona amekuja Wakati muafaka kama ule msemo wa wakulima kwamba jembe limekuja wakati wa palizi.

Jamaa wale wanaonekana kumjua javier vizuri au ata zaidi ya ninavyo mjua mimi kwani walionekana kuwa waoga na kutokutarajia uwepo wake eneo hilo.

Wakati huu nilimuona Javier katika muonekano mwingine kabisa, sio muonekano wa sura!!!! Hapana ni mavazi yake. Alionekana kama ametoka buchani kwani alikua anakoti jeupe na chini ana gumboots mbaya zaidi alikua maelowa damu kama alikua machinjioni.
Javier alinirushia suruali yangu, nikaivaa chapu sana huku nikitaka kukimbia eneo lile nisiendelee kuwepo.

Wakati nataka kukimbia baada ya kuvaa suruali nilimsikia javier akiongea kwa sauti ya kibabe ambayo sikuwahi kuiskia.

JAVIER: don't go nowhere
(Usiende popote)
Hapo nilirudi kwa ndani ya kujibana pembezoni mwa ile mashine kuukuu.

JAVIER: no te voy a volver a perdonar ( Spanish )
( Leo siwezi kuwasamehe tena)

Javier aliongea lugha ya wale jamaa ambayo ilikua ni Spanish, na alimaanisha kutokuwasemehe jamaa wale kwani ilionekana ni kawaida yao kuwafanyia vile baadhi ya watu wageni wafikapo hapo.

Mara kadhaa pia huwafanyia hivyo wale mateja ambao wanakua wamefikia level ya juu ya uraibu wa dawa hizo. Hivyo huwafanyia vitendo hivyo kwa kuwapa kiasi kidogo cha crack wanapokua na alosto.

Hili tunaweza kuliona ata hapo bongo asilimia kubwa ya wale mateja ambao wamefikia level za juu za uraibu kiasi cha kushindwa kufanya chochote hufikia hatua ya kutoa ata miili yao.

Hivyo takwimu zinasema idadi kubwa ya mateja ni mashoga pia ( yaani tatizo juu ya tatizo).

Huu ushoga unasababishwa na hiyo sababu niliyoitaja apo awali lakini pia husababishwa na baadhi yao kutumia mishipa ya uume ili kufanya injection.



Baadae nitaeleza kwanini baadhi ya mateja wanatumia mishipa ya uume kujidunga madawa hayo ya kulevya. Na matumizi haya ya uume ili kujidunga yanachangia pia kuua tissue za uume mwisho wa siku mashine inafeli na ugeuka chakula.
Dah!!!


Sidhan km pahala pake palisalimika
JamiiForums121665422.jpg
 
TUNAENDELEA

Bila huruma Manuela alijibu hilo sio jukumu lake kikubwa nipambanie maisha yangu kwani kina mzee massawe na mke wake wamesha umaliza mwendo.

Hapo niligundua hataki story zile lakini pia bado tulikua na nafasi ya kuendelea kuongea kutokana na kutokuwepo kwa yoyote karibu yetu.

Hivyo niliamua kujichetua tu!!!!!!


MIMI: tonight !!!!.......let us continue from where we left off yesterday.
( Leo tuendelee tulipoishia jana)

Nilimsisitiza kama aliniacha na hali mbaya sana, at least angesubiri ata dakika 15 lakini sio kwa haraka aliyokuwa nayo.

Hapa sasa sura ya Manuela ilichangamka na kuonekana ata yeye alikuwa akisubiri jua lizame tena ili tuendelee.

Manuela alidai ata yeye alivutiwa mno na kitu alichokiona hivyo alijua nimemfuta alipokaa ili kupanga ni namna gani tunaumaliza usiku huo.



Alidai kuwa watu weusi au ma nigga kama alivyotumia jina hilo kwamba tuko strong sana na anapendelea ku have sex na watu weusi.

Wakati huu alinisisitiza nisiwaze kurudi nyumbani kabla sijatimiza kile kilichokua kwenye akili yangu.

Tukiendelea na story mlango wa maabara ulifunguliwa akaingia Catarina, lakini niliiskia sauti ya Daniel akichungulia mlangoni na kunipa Salam.

DANIEL: hey kunta kinte!! How is everything??
Keep it up bro! And Don't give up
( Niaje kunta? Endelea kukaza mwanangu usikate tamaa)

Javier aliangua kicheko sana kusikia naitwa kunta kinte Kwani hakutarajia jina hilo kulisikia kwangu.

Catarina pia alishangaa kwanini sikujitambulisha na jina hilo badala yake nikawaambia mimi ni mustapha. Na mimi niliwaambia ni jina la utani walinipa wakati tupo kwenye meli ya panama tukiwa tunakuja mahali apo.

Ila niligundua hakuna aliyenisikiliza na wote walivutiwa na jina lile la kunta kinte. Ila kwa upande wa Manuela pekee sikumuona akionyeshwa kufurahishwa na jina lile.

Mara nyingi huyu Manuela hakua muongeaji sana, ukimuangalia kwa macho ya haraka utasema ulevi wa kipundukia wa unga ndio ulimpelekea kuwa hivyo.

Lakini ukitumia jicho la tatu utagundua kichwani kwake kuna mengi anayawaza ambayo anayatafutia majibu. lakini pia utagundua ni mtu makini kuliko wote mule ndani ila ametumia cocaine kama kivuri cha kuficha baadhi ya sifa zake.
Hali ya uteja aliyonayo ilimpelekea kila mtu kutokumjali akiwa eneo hilo hivyo na yeye kupata nafasi ya kufanya majukumu mengine kwa Uhuru bila kusumbuliwa.

Mara nyingi Manuela au Catarina ndio walikua wana test ile quality ya products baada ya kuwa mzigo umekamilika.

Na hapo pia nilimuona catarina kwa mara yangu ya kwanza aki sniff, baada ya kujaribu aliniangalia mara mbili mbili kisha akampa na Manuela na yeye ajaribu.

Catarina aliniuliza maswali mawili akiwa serious sana mpaka mimi mwenyewe nilishangaa.

CATARINA: What lab did you work before here?
( Ulifanya kazi maabara gani kabla ya hapa)

Swali lile lilimshtua ata Javier pia ambaye aligeuza shingo na kuniangalia kwa makini sana.

CATARINA: what moved you there?
( Ni nini kilikuhamisha uko na ukaja hapa haullaga)

Maswali yote sikuwa na majibu nayo kabisa wala sikujua nijibu nini.

Nilitamani Manuela ajibu chochote kwani yeye anaonekana kuwa na background ya hapo nyuma kabla sijafika haullaga.

Lakini ilionekana kabisa Manuela hakua tayari kusema chochote ndio kwanza na yeye aliendelea kuushambulia mzigo ule kupitia sample aliyopewa na Catarina.


Mpaka muda huo niligundua jambo moja ambalo ni; solution yangu au mchanganyo wangu kutokea naanza mpaka nakuja kupata ile fish scale Cocaine ulikua amazing.

Kulikua na quality ambayo ni muda mrefu sana Catarina alikua anaitafuta bila mafanikio na kilichokua kina mshinda ni kukadilia vipimo vya zile chemicals.

Nilikua najitahidi kuwa makini wakati wa kutengeneza michanganyo ile ili kumvutia Catarina na kumfanya aniamini na niendelee kula mema ya nchi.

Lakini matokeo yake yalikua tofauti na matarajio yangu kwani nilimuona amebadilika na kutoka nje kuelekea kwenye lile ghetto lao.


Nilijawa na hofu ndani ya muda mfupi sana, na Manuela alilijua hilo hivyo alichofanya hapo ni kunikonyesha katika namna ya kunishtua nisiwe na wasi wasi.

Javier nae aliniambia nisiwe na wasi wasi kwani mpaka wakati huo Catarina alikua anahofia naweza kua mamluki. Yaani kuna uwezekano mkubwa nilitumwa na wapinzani kwa ajili ya kuchunguza uzalishaji wao.

Kwani kwa mtu ambaye hajawahi kutumia cocaine wala hajawahi kuitengeneza kabisa, ni wazi kwa mara ya kwanza asingeweza kufanya kitu bora kama kile.

Hivyo basi Catarina ndio aliyekua na mawasiliano na watu wa nje ya mashamba. Muda huo ni kwamba alienda kuthibitisha taarifa zangu kuhusu nilipotoka mpaka kufika pale.
Hapo nilishangaa kwanini Manuela ajue kila kitu kuhusu mimi alafu Catarina asijue chochote!!! Probably inawezekana Manuela akawa na mtandao mkubwa na wa siri kuliko Catarina.

Ndani ya dakika chache alikuja tena Catarina akiwa na watu wawili wenye miili mikubwa iliyojengeka kwa mazoezi.

Watu wale walifika na kunibeba bila kuniuliza chochote waka nibuluza kuelekea chini ya bonde la mto.

Walinifikisha kwenye banda moja kuukuu ambalo ndani kulikua na mashine inayo fanana na mashine ya kusaga unga lakini mashine ile ilionekana haifanyi kazi kabisa.



Jamaa waliniuliza kama natokea eneo moja linaitwa Yungas de la paz, niliwajibu kwamba silijui hilo eneo wala sijawahi kuliskia.

Kwa haraka niligundua eneo hilo alilolitaja ndio lilikua na wapinzani wao. Eneo hilo lilipatikana huko Bolivia.

Hivyo Catarina na hao jamaa walijua mimi ninatokea sehemu hiyo lakini kwa bahati mbaya haikua hivyo.

Waliendelea kuniweka pale mpaka jioni jua lilipo zama, mbaya zaidi hawakunipa chakula zaidi tu walinifungia mlango kwa nje.

Baadae sana mlango ulifunguliwa na akaingia mzee mmoja wa makamo, baada ya kumuangalia usoni nilimjua alikua ni baba yake na Miguel.

Hata yeye alipofika alistuka baada ya kuniona hakuamini mimi ndio yule msaliti aliyeambiwa.

Palepale aliwaamuru zile njemba zinifungulie mlango nitoke. Na akasema ataongea na Catarina kuhusu CV yangu kwani hakumuambia kama mimi nilikua na bachelor ya chemical processing engineering.

Mzee aliondoka muda ule ule ikidai waniachie yeye ataongea na Catarina. Mzee alipoondoka jamaa hawakuniachia kwa wakati kwani walisubiri mpaka mzee atokomee kabisa.

Nilitamani kuwaaambia waniachie niondoke lakini lugha ilikua mtihani nahisi wao waliongea ki Spanish hivyo tusinge elewana.



Mmoja alinipiga mtama nikaenda chini, na mwingine alianza kunitoa suruali yangu kwa nguvu kiasi kwamba hakujali kama itachanika au vipi.

Mazingira yale hayakuhitaji utashi wowote kujua nini kinafuata, na wazi jamaa walikua ni washenzi!!!!

Ilikua kidogo tu niliwe ndogo siku ile, ila ila pongezi za dhati ziende kwa Javier kwenye gereza lolote alipo mana yeye alifungwa maisha mwaka 2019 baada ya ushahidi wa kesi yake kupatikana na yeye kutiwa mbaloni na serikali ya Iran.


Wale wa PDF za Whatsapp bei imefikia buku 3000 mzigo unaelekea mwishoni, 0623329512
Kumbe Javier alitoka na kufungwa maisha!!!
 
Back
Top Bottom