Utajiri wa Magofu ya Rapta

Utajiri wa Magofu ya Rapta

Mwandishi usibadilishe svipengele vya story yako kwa sababu ya coment utaondoa uhalisia itaonekaa ni ua kutunga wkend imeisha hujashusha mzigo.
 
Unajua masawe hapo kuna story mbili tofauti japo zinaendana kupata story moja. Hebu jikite kwenye story ya magafu halafu baadae uje na story ya mahusiano yako ww na merry namna yalivyoanza mpaka mwisho,maana kwenye story ya merry kuna mambo muhimu umeyaacha na hivyo kuathiri mtiririko mzima wa story ya merry na kuzua maswali mengi.tafadhali tuandalie story ya merry inayojitegemea. Twende moja kwa moja kwenye magofu hapo ndipo tunapangoja
 
Kwenye story ya kweli hapo hapana..... Kuna sehemu anasema Merry kafariki 2012..... Mara huko kaenda 2016....

2012.... Anaizungumzia Alteza na Alphard bongo hapana zilikuwa bado.....

Na kingine uwezo wa kukariri miji na majina ya mito kote alikopita siyo kweli.... Unless Kama Kama alitembea na notebook awe ana note down kila anachokiona..... Which siyo kweli kwa jinsi scenarios zilivyo.....

Ni story nzuri ya kutunga ila siyo uhalisia.... Kajitahidi kufanya vizuri homework yake tumpe maua yake kwa hilo

Sent from my SH-01K using JamiiForums mobile app
Hii story nliwaambia watu si ya kweli. Ni story ya kubuni. Jamaa analazimisha ionekane kweli wakati katika masimulizi yake tu anaonekana ni ya uongo. Na uongo wa kitoto. Yaani hayupo smart enough kuifanya ionekane ya kweli. Na si mzuri katika kusimulia pia. Angetafuta waandishi wazuri wamsaidie.
 
Dogo anaangalia sana movies mpaka anaanza kuhisi naye ni mshiriki katika hizo movies. Hii story ni ya kutunga asilimia 100 ila anakomaa kutaka ionekane ni ya kweli. Ni ya uongo sana mpaka inashangaza anawezaje kuwaambia watu wazima kuwa ni ya ukweli na akategemea wamuamini.
 
Hii ndio shida ya story kukaa muda mrefu pasipo kukamilika jf, watu wataanza kufatilia in deep ukweli wake na watakudaka tu
 
Yani hata kama ni ya kutunga (si uongo) hanwezi kuthamini kazi yake? Mnaisoma bure na mnakashifu. Nyie mnaokashifu mnaweza kuandika hata kurasa mbili? Mwandishi apewe maua yake ✨🌻🌼🥀🌹💐🏵️🏵️💮🌸🌸🌿🌿
 
Back
Top Bottom