Utajiri wa Magofu ya Rapta

Utajiri wa Magofu ya Rapta

Kila mara nilikuwa namwambia mtunzi asikae muda mrefu bila kutuma naona hakunielewa j[emoji848][emoji848].
Japo unabana huku ili upate watu wengi kwenye group la WhatsApp ambalo watu wanalipia 3000 mwisho wa siku ladha na hamu inapotea kabisa na unaruhusu watu waone weakness kwenye hii simulizi. Na mwisho kabisa itakosa mvuto kama mwanzo
 
Imefikia wakati sasa jamii forum iangalie namna ya kudeal na watu ambao wanatumia lugha za kuumiza hisia(psychological torture) kwa wengine. Sio kwasababu hatujui identity yako basi una uhuru sana wa kucomment chochote unachojisikia. Ifikie mahali lugha zisizo za staha ziwekewe hata button ya ku report ili ziwe deleted.
 
Mnaoona ni ya uongo acheni kusoma.
Kuna vitabu vingi sana vya ujasusi hspa bongo walikopi kwa James Chase, ila watu walivinunua na kuvisoma
Bongo movie ni kopy za Nigeria,China Hollywood Bollywood, na sasa tamthilia maarufu za korea uturuki na Italy.
Hamna Mbongo mwenye uvumbuzi wake labda ngoma za jadi na uganga vingine vyote ni copy.
Hivyo basi mtutolee upuuuuuuzi!!
 
Kwa maelezo ya fatemeh ni kwamba kwa mara ya kwanza kwenye maisha yake alikua ana experience vitu vipya kwenye maungo yake. Ni kwa mara ya kwanza alihisi anahitaji mwanaume, lakini kiukweli mi sikua nimemuelewa kabisa kwanza nilitamani tuendelee na stories zilizohusu maisha yake.

Nilitamani kujua ni kwa namna gani alifanikiwa kujifunza mafunzo ya kininja, lakini pia alisoma chuo gani na course zipi zilizomfanya kuwa mtundu kiasi kile kwenye computer.

Kuna muda nilitamani sana na mimi nijue baadhi ya mambo aliyoyafanya hususani yale yaliyohusu computer. Kwani apa kibongo bongo ukiwa na kaujuzi kidogo tu ka computer basi pesa nje nje sasa ukiwa hacker si ndio balaa kabisa.

Kwa maelezo yale machache tu nilijua kuwa namchanganya sana huyu binti ninapo m hug au kum kiss, na niligundua hilo mapema kwani mara zote nilizomkiss (romance) au ata nilipo m hug alionekana kuwa mwenye hisia nyingi sana.

Yaani kuna muda alikua mpaka ana tetemeka kabisa, tukiwa bado tupo sitting room namlisha lakini na mimi pia nikiendelea kula. Nilimuomba tena aendelee kunisimulia mambo machache yaliyohusu maisha yake.

Lakini ilishindikana kuendelea na masimulizi hayo kwani aliniomba asiendelee kuongelea habari hizo akidai wakati ukifika nitajua mengi tu yanayomuhusu yeye.

Tuliendelea kupata msosi na muda huu mimi ndio niliyekuwa namlisha, asee mwanamke ni mwanamke tu haijalishi ana nguvu kiasi gani cheo au pesa kiasi gani kuna muda ata hitaji kupata treatment kama
mwanamke tu.

Wakati tunaendelea na msosi, fatemeh hakua tena mkaidi kwangu yaani nilikua nafanya chochote nachojisikia kuna muda nilimvuta vuta mashavu na alitulia tulii.

Kuna muda nilimkiss kwenye sehemu zote za usoni kuanzia kwenye paji la uso na kisha kwenye lips ila aliniangalia tu na hakusema Chochote.

Tulipomaliza msosi aliniomba akalale kwani alidai amechoka sana na viongozi wake walimpa muda mwingi wa kupumzika hivyo alitaka aitumie fursa hiyo kupumzika vyema.

Alinyanyuka na kisha Alielekea kwenye chumba chake japo alisimama kinyonge sana, ni kama mtu ambae alikua akijiuliza maswali mengi kichwani mwake.
Na mimi pia nilieelekea kwenye room yangu kwenda kuuchapa usingizi ambao nilitarajia uwe usingizi wa maana kwelikweli kutokana na uchovu wa safari yetu hiyo.

Usingizi wa siku hiyo ulikua mwingi na mzito watoto wa mjini wanasema nilikua na kama kilo tatu ya usingizi yaani usingizi wa siku tatu. Licha ya kuwa usingizini bado niliendelea kushuhudia impacts za magome yale ya mmea na matunda yale ya Camu Camu.

Niligundua impacts hizo kwani wakati nimelala nahisi kutokana na zile situation au moments nilizokua napitia na mrembo fatemeh hivyo hali ilikua mbaya sana.

Baada ya kupitiwa na usingizi nilikuja kustuka asubuhi na nje kukiwa kweupe kabisaaa nadhani kwa haraka haraka ilikua ni kama saa mbili au tatu kasoro asubuhi.

Fatemeh alikua amesha amka na muda huo alishaandaa kifungua kinywa mapema sana. Nilipotoka ndani ya chumba ambacho nililala sikua nimemuona fatemeh maeneo yale ya sitting room.

Nilichokiona ilikua ni breakfast iliyokuwa tayari imewekwa mezani na hapo ndipo niligundua kuwa fatemeh alikua amekwisha amka mapema zaidi.

( Kitu kibaya zaidi nyakati zike sikuwa na ndevu za kutosha yaani ndiyo maotea yalikua yaanaanza ila kama ningekuwa tayari na uchebe ukichanganya na kanzu nilizokua navaa toka nifike kwa fatemeh.

Mtu Yoyote angejua mi ni bonge la shekhe au mufti kabisa kwani muonekano wangu ulimshawishi yoyote kuamini nilikua Muslim.)



MIMI: miss beautiful
( Mrembooooooo)

Niliita kwa mbwembwe zote yani kama kungekua na mtu ambaye angesikia jinsi nilivyomuita ni wazi angejua mule ndani tulikua mtu na mpenzi wake.

FATEMEH: stop the noise
( Acha kelele)

Kwa sauti moja kavu sana fatemeh aliniomba niache kelele kwani hakuzoea na kama angetaka kusikia kelele. hivyo basi angeenda kutafuta apartment karibu na stendi za mabasi, Na kama sio viwanja vya mabasi au ata kwenye viwanja vya michezo.

Baada ya kusikia sauti yake nilijua alikua kwenye chumba chake na kwa upande wangu niliridhika kusikia sauti yake na kujua kama yupo nyumbani.
Nilijisogeza mpaka kwenye room yake na kuingia moja kwa moja mpaka ndani, sikutaka kuomba kuingia ndani au kubisha hodi kwani tayari niliona namudu vyema ni vile tu alikua anachelewesha kunitunuku tunda.

Nilimkuta akiwa bado kwenye night dress ambayo haikua ndefu kiivyo kitu kilichopelekea niweze kuona sehemu kubwa ya mwili wake especially na mapaja. Lakini kichwa pekee ndicho kilikua kimefunikwa kwa ustadi wa hali ya juu kwa kutumia taulo nyeupe.

Alikua ameketi kwenye mezo kubwa iliyokuwa chumbani kwake huku macho akiwa ameyaelekeza kwenye computer kubwa iliyokua kwenye chumba hicho.

Nilipoingia ndani tu cha Kwanza ilikua ni kumkumbati kwa nyuma pale alipokua amekaa na mikono nikaipeleka kifuani jambo lilionekana kumtoa kwenye reli kabisa.
FATEMEH: stop that shit...!!!! don't you see I'm busy
( Acha ujinga basi hauoni kama nipo bize)

Alilalamika kwa sauti nzuri ya kirembo, na mimi bila hiyana nikaacha nilichokua nakifanya nikaenda kukaa karibu yake kwenye kitanda.

Lakini aliniomba nikapate breakfast kwani uwepo wangu pale hawezi kufanya lolote kama nitakua hapo. Niliona ni kweli niende kupata kifungua kinywa kwani alionekana kuwa bize na alichofanya kilionekana cha msingi sana.

Lakini kwa kuwa ameshakuwa kibonde wangu sikuona kama ni sahihi kumuacha hivihivi nilimsogelea na kumdondoshea mvua za kisses. huku mkono ukiwa karibu kabisa na mapaja yake ambayo yalikuwa wazi kutokana na ile night dress kuwa fupi.

Kilichokua kina nifurahisha kwa fatemeh wakati huo yaani ukimfanyia chochote kile kwenye mwili wake alikua anaacha kila kitu na kutulia as if kuna kitu anakisikilizia kwenye mwili wake na mimi nikishakigundua hilo.

Wakati naondoka kwenye screen ya computer yake niliona sura ya mtu kama javier akiwa kwenye vazi moja matata la suti.

MIMI: is this Javier?
( Huyu sio javier kweli)

FATEMEH: yes he is
( Ndio mwenyewe)

MIMI: has he run away from haullaga?
( Ameshatoka haullag?)

Alijibu kwamba alishatoka haullaga, lakini hiyo picha ilipigwa kabla hajaenda haullaga. Kuhusu kukimbia haullaga alisema siku ileile alitoka haullaga usiku uleule ni baada ya kugundua mimi na Manuela ( fatemeh) tumeondoka na vitu vyake.

Hapa fatemeh aliniambia alichokibeba kwenye ile nylon ilikua ni ushahidi ulionyesha kuhusika kwa Javier kwenye shambulio la kigaidi la mwaka 2008. Hivyo basi ushahidi huo ulishapelekwa tayari kwenye vyombo husika tayari kwa ajili ya kuufanyia kazi.

Hapa fatemeh alidai Javier na wenzie ni miongoni mwa watu wanaojaribu ku hujumu jamuhuri hiyo ya kiislamu ya Iran. Wakishinikiza kwa namna tofauti tofauti kuondolewa kwa utawala huo na kurudishwa kwa utawala uliokuwepo enzi hizo kabla ya mpinduzi ya nchi hiyo miongo kadhaa iliyopita.


Sikutaka kusikia story nyingi kuhusu jambo hilo kwani hazikua na faida yoyote kwa upande wangu.

Niliondoka nikamuacha yeye mwenyewe lakini Wakati naondoka nilimsisitiza amtafute yule bwana aliyeitwa Shahzad ili tufanikishe lengo letu la mimi kuwepo pale.

Kwa mujibu wa fatemeh alisema ameshafanya mawasiliano tayari na huyo shahzad na tayari amempata kilichotakiwa ni mimi na yeye kuongozana mpaka eneo alilopanga kukutana na mtu huyo.

Alisisitiza nipate kifungua kinywa mapema kwani miadi ya kukutana na bwana huyo yaani shahzad ilikua ni mapema sana siku hiyo.



Baada ya kusikia taarifa hiyo nilifurahi mno nikiamini naenda kusikia habari za mji ule kutoka kwa mtu ambaye familia yake ndio Ilikua ameshikiria jambo lenyewe.

Wakati natoka ndani ya chumba kile nilitoka kwa shingo upande sana yaani nilitoka kinyonge na fatemeh alishalijua hilo. Sababu ya kutoka kinyonge ni namna ambavyo fatemeh alikuaa amekaa ndani pale.

Hakuna mwanaume angekubali kumuacha kirahisi hivyo nilikua na roho ngumu sana kuamua kuondoka ndani pale.

Wakati naondoka ata yeye alijistukia na kwenda kutafuta mavazi ambayo at least yangefunika maungo yake vizuri kama ilivyokua akifanya siku zote na hapo kabla.

Appointment yetu na Shahzad ilikua ni ndani ya maktaba ya taifa, na kwa Wakati huo huyu bwana Shahzad alikua ni miongoni au mmoja kati yaa watumishi ndani ya maktaba ile.

Hivyo basi mimi na fatemeh tulitakiwa kuelekea kwenye maktaba hiyo ili kukutana na bwana huyo aliyejulikana kwa jina la Shahzad.

MPAKA SASA TAYARI NIMESHAJIBU MASWALI KADHAA AMBAYO TULIJIULIZA HAPO AWALI KWENYE PROLOGUE.

Maswali yaliyojibiwa ni pamoja na:-

Niliwezaje kufika Colombia Peru kisha Iran na miji mingine mikubwa duniani mfano Dubai?



Swali lingine la msingi, wageni wa kwanza wa pwani ya Africa mashariki walikua ni warumi na wachina kabla ya waarabu na waajemi,

sasa imekuaje details za rapta zilizoandaliwa na warumi zikafika Iran(Persiangulf)zilifikaje huko?

Je wanafahamu kua details hizo zinazohusu rapta kabla ya kuwafikia wengi tunajua kama zilishatumiwa na waajemi wa kale Na kuna uwezekano taarifa hizo zilichakachuliwa!?

Simulizi yetu inaenda kwa namna ya kujibu maswali yale yote yaliyopo mwanzoni kabisa kwenye dibaji ya simulizi.


NILIAHIDI SIMULIZI ITAISHA HAPA, HUU UKIMYA UNATOKANA NA SAFARI NILIKUA NJIANI NAELEKEA BUJUMBURA NIMEFIKA LEO.







Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
TUNAENDELEA JAMANI TUSIWAKATISHE TAMAA WENYE MOYO WA KUSOMA

Nilichangamkia ile breakfast sikutaka kupoteza muda tena baada ya kujua kwamba nikitoka hapo natakiwa kwenda kuonana na Shahzad. Wakati naendelea alikuja pia fatemeh akajiunga na mimi kwenye ile breakfast.

Baada ya story za hapa na pale Nilikua wa kwanza kunyanyuka kwenye ile dinning table na kiukweli nilimshukuru pamoja na kumsifia sana mpishi kwa kile alichokifanya. Kuna vitu nilikula na sikujua ni vitu gani ila kikubwa nilichokijua kwenye ule mchanganyo ni unga wa ngano pekee.

Nilipo nyanyuka kwenye ile meza ya chakula nilikimbilia kwenye room yangu kwenda kubadili nguo. lakini kabla sijabadili niliona ngoja nimzingue kibonde wangu fatemeh kwakua mpaka wakati huo nilisha amini ya kuwa nammudu tena sana.


MIMI: fet
( Nilimuita jina lake lakini kwa kifupi, na ilionekana kwake sio jina geni au haikua mara ya kwanza kuitwa kwa ufupisho kama hivyo)

Nilimuita kwa saut ya wastani sana lakini ilisikika vyema sana kutokea chumbani mpaka pale dinning alipokuwepo.

FATEMEH: what the matter?
( Kuna nini?)

Kiuhalisia ni kweli nilikua na makelele sana toka nifike kwenye nyumba hiyo, lakini kelele zangu zilikua ni sehemu ya faraja kwa fatemeh kwani alijiona kabisa kama tayari ana familia.

MIMI: may you please come this way
( Unaweza kuja huku mara moja)

FATEMEH: what the hell you want me to do there ?
( Unataka nije kufanya nini huko)

MIMI: I want you to choose clothes for me
( Nataka unichagulie nguo za kuvaa)

FATEMEH: worry out, you will come out naked since no one knows you.
( Usijali utatoka ata uchi kwanza anakujua nani huku)

Baada ya kauli ile ya fatemeh nilijua tu hakua tayari hivyo nilijipigilia t-shirt na jeans kama ilivyokua wakati natokea cero de Pasco kuelekea Lima.

Nilipotokeza tena mbele ya fatemeh ambaye yeye alikua tayari ameshajiandaa kwa safari aliuliza swali moja tu.

FATEMEH: why don't you wear a............

( Kwanini usivae .......)
Kabla hajamalizia sentensi yake nilimuwahi kwa kumziba mdogo asimalizie alichotaka kuongea kwani nilijua alitaka kuuliza kwanini nisivae kanzu.

Pale pale nilirudisha tena swali kwake,
MIMI: i told you to ..........
( Nilikwambia u......)

Na yeye aliniziba mdomo kwa haraka kwani alijua nataka kumwambia nini, na ni kweli nilichotaka kumwambia ni kuwa nilimuita aje kunichagulia nguo lakini aka leta pozi.


Unajua unapotaka kutoka na mwanamke kwa mara ya kwanza yaani apa na maanisha kama mnahitaji kuongozana, mpe yeye uhuru wa kukuchagulia nguo

Hii itamfanya awe huru na Amani sana kwenye matembezi yenu kwani hawa wenzetu wanajali sana muonekano especially wa mavazi pindi wanapokua wametoka na wenzao.

Mwingine anaweza asikwambie Lakini kama hajafurahishwa na code zako za siku hiyo unaweza kushangaa mwenzio kanuna barabara nzima na hamna sababu ya msingi.

Hiyo yote ni kwakua wanaume tunajali kuvaa lakini hatujali tumevaa nini, ndio maana asilimia karibia 85 % ya wanaume huwa hatabadili boxa bila kuinusa kwanza hahahahaha haha jokes.

Once you find that the shit is smell nice hiyo niaje itavaliwa week nzima.

Turudi zetu kwenye simulizi hao walikua ni wadhamini lakini natumaini tumejifunza kitu hapo.

Yaan mkiwa mnatoka na mwanamke lazima atakuwa serious kuangalia unavaaje kabla hata yeye hajavaa hii ikimaanisha wao hawakosei kwenye mavazi ila sisi ndio huwa hatuchelewi kuchana mikeka.

Kile kitendo cha kuzibana midomo kilitufanya wote kwa pamoja tucheke kwani kila mtu alikua ana jaribu kujilinda au kujitetea kutokana na alipokua amekosea.

Leo kwa mara ya kwanza nilishuhudia tabasamu zuri la bidada fatemeh, hakika alikua mrembo sana kwani sikuwahi kumuona akicheka kicheko cha kutoa sauti na kilichotokea moyoni.

Siku hiyo ndio ilikua mara ya kwanza kumuona akiwa kwenye tabasamu zito namna hiyo na alipendeza kiukweli.

MIMI: fet
( Nilimuita kwa upole sana)

FATEMEH: what's up boy
( Niambie mshkaji wangu)

Tena this time aliitikia kirafiki sana uku uso ukiwa umejaa tabasamu la nguvu

MIMI: you are gifted with beauty
( Umejaaliwa uzuri)

Kama ilivyoada mwanamke akisifiwa hufurahi zaidi, hivyo basi alishukuru kwa kumsifia lakini pia alitanguliza shukran zake kwangu. Alishukuru kwa kampani ambayo nimekua nikimpa kwa siku hizo mbili tatu kwani amejihisi wa tofauti na amekua na amani sana alitumia neno peace of mind.

Baada ya maneno mawili matatu nilimsogelea na yeye alijua kinachofuata, na akanipiga chenga ya mwili kwani alijua tu kinachofata ni romances na fujo nyingine hivyo alinikimbia kwa staili hiyo.

Yaani mpaka hapo mimi na yeye hatukuelewa tulikua wapenzi au vipi, lakini pia fatemeh bado alikua ana nikwepa sana na ilionekana wazi hakua tayari mimi nimu undress.

Ila alichonifurahisha hakua mkali hivyo ikitokea nimemuotea alikua hana ujanja alikua anatulia anasikilizia radha ya romance au touches zangu.


Kwenye akili yangu niliamini ipo siku nitamtaiti na atatoa tunda kimasihala tu wala sitatumia nguvu kwani hatua tuliyofikia ilikua inaleta matumaini.

Jambo la kuchekesha ambalo lilinifurahisha, ni kwamba fatemeh baada ya kunipiga chenga ya mwili na kunikimbia alienda kusimama mlangoni kwa mbaali na kunisisitiza kuwa tunatakiwa tuwahi Kwani Shahzad alikua anatusubiri sisi.

Binafsi nilifurahi pia kumuona binti huyo yupo kwenye nyakati za furaha kama ambavyo nilimuona Wakati huo. Kwani alionekana hapo awali hauwahi kuwa mwenye furaha na amani kama anayoipata wakati huo baada ya kukutana na chalii ya kaskazini.

Nilimuomba anipe dakika moja tu kuna jambo nikalifanye lakini hakukua na lolote zaidi nilienda kula kanzu tena nilitupia na kilemba juu kama mujahideen ( mujahidina).

Zote hizo zilikua ni mbinu na namna za kuhakikisha mrembo anakua na amani lakini pia na confidence zaidi kwenye matembezi yetu.

Kwani niligundua ndani ya jiji hilo karibia asilimia 98 ya wanaume wanakua wamevaa kanzu au mavazi yale ya tamaduni za kiarabu. Kukuta mjuba aliyevaa tshirts na jeans ni nadra sana ndani ya mji huo, na ni kweli baada ya kutokelezea na zile pigo za kijahidina nilimuona fatemeh kama furaha iliongezeka.

Tukiwa ndani ya lifti tunaelekea floor ya chini, huyu mwana mama alianza kunipanga sasa namna ya kuishi tunapotoka ndani ya apartment ile.

" Najua umenizoea sana, na mimi pia sitaki kuwa muongo nimekuzoea ila nakuomba huku nje tunapoenda jaribu kuweka umbali na mimi"
Watu wanavyo ni treat mimi nikiwa huku nje ni tofauti sana na wewe unavyo ni treat.

Hivyo basi naomba uniheshimu sana tena sana", na wakati anaongea maneno haya alikua serious sana

Alimalizia kwa kusema:-
FATEMEH: we are in Islamic state where shari'a rules applied in each and every corner of the state.
( Tupo kwenye nchi ya kiislamu ambapo shari'a zinafanya kazi kila sehemu)

FATEMEH: We don't have to show if we are lovers
( Hatutakiwi kuonyesha kama sisi ni wapenzi)

MIMI: i didn't know if we were lovers, and I'm not going to sleep alone tonight
( Sikua najua kama sisi mi wapenzi sasa kwa taarifa yako leo silali peke yangu)

Kabla hajajibu chochote lift ilisimama tukiwa floor ya chini yaani ground floor ile tunatoka tu tulikutana na mashekhe wawili, ambao Salam yao ya kwanza ilikua ni asalaam aleykum.

Nilijibu lakini jamaa hawakuridhika na namna nilivyojibu waliniangalia tu nadhani kimoyomoyo walisema hapa hamna shekhe au ndio wale mashekhe ubwabwa au mashekhe wa mchongo.

Tulipotoka nje tulikuta gari ile ile ambayo ilikuja kutuchukua airport, ilikua Toyota hiace nyeusi hivyo ata kabla sijaambiwa ndiyo gari tunayoenda kupanda mimi mwenyewe niliongoza kuelekea ilipo kuwa imepark gari ile.


Tukiwa ndani nilijaribu kuwa mpole na kufuata taratibu zote kama nilivyoelekezwa na fatemeh kuhusu ni namna gani natakiwa ku behave.
MIMI: do you know the driver of this car?
( Unamjua dereva wa hili gari)

Niliuliza hivyo kwakua toka siku ya kwanza Tunapanda gari hiyo sikubahatika kumuona wala kusikia sauti yake sasa nilitamani kujua ni utaratibu gani huo wanautumiaga.

Lakini kutokana na ukimya wa fatemeh nilijua tu kuwa hayupo tayari kujibu swali lile either lilikua la kijinga kwake au liligusa maadili ya kazi yake.

Kwani mpaka hapo niligundua hakua tayari kujibu maswali yote yaliyohusu taaluma au maadili ya kazi yake hiyo.

Kwa speed ya kuridhisha sana tulikamata highway moja ambayo niliambiwa iliitwa Haghani Expressway na kwa umbali uliotuchukua dakika chache tu tukisimama mbele ya jengo lililojulikana kama, National Library And archives of Iran (NLAI) na pembeni pia kulikua na jengo lingine kubwa lililosomeka kama Central Bank of Iran.

Kwa waliosoma history wakisikia neno ARCHIVES linaweza lisiwe geni kwao kabisa, kwani wamekutana nalo mara kadhaa kwenye scenario tofauti tofauti.

lakini niseme tu archive kwa wasiojua ni jengo au sehemu ambapo zinahifadhiwa documents zote za kihistoria inaweza kuwa history ya sehemu, watu au jamii nzima kwa ujumla.

Sasa basi kwa mujibu fatemeh ni kwamba tulikua tunaenda kukutana na shahzad ndani ya jengo hilo ambalo lilikua ni maktaba kuu ya nchi hiyo lakini pia archive ilikua ndani yake.


Tulishuka ndani ya ile gari yetu ambayo sijawahi kumuona dereva wetu kabisa toka nianze kuipanda ile siku ya kwanza na leo ni siku ya pili.

Tukiwa tunaingia ndani ya jengo hilo ambalo lilikua ndio maktaba yenyewe fatemeh aliniambia amemiss sana shule na aliongea hivyo baada ya kukatisha eneo moja na kuona watu waliokuwa na utulivu mkubwa na ni wazi walikua wanafunzi wale.

Lakini Wakati anaongea vile aliamini na mimi nitajibu kama nimemiss shule lakini haikua hivyo nilipiga kimya yaani kwa dalili zile alijua kabisa kama nachukia shule.


Kwa maelezo ya fatemeh ni kwamba shule au college ya mwisho kuhudhuria ilikua inapatikana nchini Russia. Na alitamani kuendelea kujifunza mambo mengi lakini serikali ya nchi yake yaani Iran chini ya idara yao nyeti ya MOIS walimuhitaji ili kuendelea na majukumu.

Hakutaka kusema jina la college iliyo attend akiwa nchini humo lakini alienda huko akiwa tayari ni graduate wa mambo ya information technology yaani IT.

Kwa haraka haraka kwenye maelezo yale machache ni kwamba fatemeh alihudumu pia kama Ethical hacker au jina lingine wanaitwa white-hat hackers.

Baadae tutaelezana nani ni white- hat hacker nani ni black-hat hucker na nani ni grey- hat hucker kwa mujibu wa fatemeh ambae alionekana kuwa tegemeo kwenye nyanja hiyo ya udukuaji wa mifumo ya kikompyuta.

Bila kusahau kuna hawa wengine ambao wapo sana kwenye nchi zetu especially Nigeria na South Africa ambao jina lao maarufu huitwa script kiddie na wenyewe tutawachambua kidogo.

KULE WHATSAPP HIZI SIKU MBILI TATU PIA NIMETUMA VIPANDE VIFUPI NA KWA KUCHELEWA SANA MTANISAMEHE SANA.

(0623329512 Whatsapp only) kwa kupata muendelezo,je!! Ni kweli leo inaenda kuwa siku ya mwisho kukutana na shahzad kisha nitimkie rapta? Tukutane baadae

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Imefikia wakati sasa jamii forum iangalie namna ya kudeal na watu ambao wanatumia lugha za kuumiza hisia(psychological torture) kwa wengine. Sio kwasababu hatujui identity yako basi una uhuru sana wa kucomment chochote unachojisikia. Ifikie mahali lugha zisizo za staha ziwekewe hata button ya ku report ili ziwe deleted.
Mkuu hawa watu hawakosekani,

mi kawaida nazisoma tu alafu naachana nazo, Cha ajabu mtu ameikataa simulizi toka siku ya kwanza lakini kila siku yupo nikiweka kipande anasoma anaendelea na comments za kuipinga.

Apo awali nilishasema sababu ya kuchukua ef 3 ni kujiweka committed na kuandika maana nitakuwa kama nina deni la uandishi. Bila hivyo ningekua natuma kwa week ata mara moja tu lakini kwa sasa nalazimika kuandika kila siku kwa maana nimechukua pesa ya watu zaidi 300's.

Tuendelee kusoma simulizi inamengi sana ya kuyajua, lakini ukiona ina utoto mwingi nashauri Usipoteze muda wako achana nayo tu.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hawa watu hawakosekani,

mi kawaida nazisoma tu alafu naachana nazo, Cha ajabu mtu ameikataa simulizi toka siku ya kwanza lakini kila siku yupo nikiweka kipande anasoma anaendelea na comments za kuipinga.

Apo awali nilishasema sababu ya kuchukua ef 3 ni kujiweka committed na kuandika maana nitakuwa kama nina deni la uandishi. Bila hivyo ningekua natuma kwa week ata mara moja tu lakini kwa sasa nalazimika kuandika kila siku kwa maana nimechukua pesa ya watu zaidi 300's.

Tuendelee kusoma simulizi inamengi sana ya kuyajua, lakini ukiona ina utoto mwingi nashauri Usipoteze muda wako achana nayo tu.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Jf kuna watu wana mpunga wa maana mzew wacha kabsa. Ingekuta hizi Ids zinaongea watu wangeogopana sana hapa.
 
Jf kuna watu wana mpunga wa maana mzew wacha kabsa. Ingekuta hizi Ids zinaongea watu wangeogopana sana hapa.
Alaf kuna akina sie ambao ugonjwa wa 50k tu inabid ukoo mzima ukae kikao ili kujadili namna ya kusaidia


Kiukwel upo sahih hiz id's zingekuwa zinaongea ingekua balaaaa
 
THE WEALTH OF RAPTA RUINS
(Get Rich or Die Tryin)

Msimuliaji: LUDOVIC MASSAWE

NB: SIMULIZI HII IMEAMBATANISHWA NA BAADHI YA PICHA ZINAZOTUMIKA KUELEZEA MATUKIO, HURUSIWI KUTUMIA PICHA HIZO MAHALI POPOTE.

PROLOGUE/DIBAJI

Mji wa rapta ni mji uliozama baharini kisiwani mafia kwa zaidi ya miaka 2000. Unaweza kua mji mgeni Kwa baadhi ya watu, lakini wengi mnaweza kua mmepata kuusikia uwepo wa mji huu wa kale pembezoni mwa pwani ya Africa mashariki. Wapo wanaodai mji huu unapatikana maeneo ya rufiji kwa sasa na wapo wanaodai mji huu unapatikana pembezoni mwa kisiwa cha mafia. Je! ni nani yupo sahihi?

Mji huu ulipata kuwepo mwanzoni mwa karne ya 1 na imepita zaidi ya miaka 1600 mpaka 2000 tangu kuwepo kwa mji huu. Unaaminika kuwa mji wa kwanza tajiri barani Africa na pia ni miongoni mwa miji kumi na tano inayopatikana chini ya maji. ukiacha miji kama vile Thonis-Heracleion na Alexandria iliyopo Egypt, Yonaguni Jima (Japan), Port Royal (Jamaica) Dwarka (India), Pavlopetri iliyopo south-western Greece, Villa Epecuen (Argentina) nk.

Tofauti na ilivyo kwa watanzania na wakazi wa Africa mashariki wakiwemo wana archeologia. Wengi wamechelewa kuzipata habari za mji huu, mimi nilizipata habari hizi nje kabisa ya ukanda huu. Nilizipata habari hizi nikiwa jiji la Tehran uko inchini Iran (uajemi ya kale) ndani ya maktaba ya taifa (National Library of the Islamic Republic of Iran) iliyoanzishwa mwaka 1937 ikiwa na zaidi ya items milion 15 ndani yake.

Wakati nafika Iran nilikua nikitokea nchini Colombia na Peru kwenye mashamba ya koka (coca plantations). kwa wasiojua koka leaf ndio mmea unaotumika kutengeneza madawa ya kulevya aina ya Cocaine kupitia mchakato mrefu. Na ugumu wa ku control uzalishaji wa cocaine unasababishwa au unatokana na kushindwa kuthibiti chemicals zinazotumitumika kwenye mchakato huo kwani ni chemicals za kawaida zinazotumiwa kila siku kwenye matumizi ya binadamu.

Mfano; ku process coca leaf kuwa coca paste mpaka kupata cocaine base na HCI zinatumika chemicals kama, Sulfuric Acid, Sodium Bicarbonate, Sodium Hydroxide, benzene, Potassium Permanganate, Dichromate, Ammonia Hydroxide, Sodium Hydroxide, Methyl Ethyl Ketone na kerosene. Tutajuzana mengi kuhusu cocaine hapo mbele tukiendelea na simulizi.

Sasa basi Niliwezaje kufika Colombia, Peru kisha Iran na miji mingine mikubwa duniani? Niliwezaje kuzisikia habari za mji wa rapta? nani alinipa habari hizi? na mji huu wa rapta una utajiri kiasi gan ndani yake? Nilifikaje rapta na kwa msaada wa technologia gan nilifanikisha zoezi langu? Kipi kilisababisha mji huu kuzama baharini?

Swali lingine la msingi, wageni wa kwanza wa pwani ya Africa mashariki walikua ni warumi na wachina kabla ya waarabu na waajemi, sasa imekuaje details za rapta zilizoandaliwa na warumi zikafika Iran (Persian gulf) zilifikaje huko?

Najua baada ya kutaja wachina wengi mtajiuliza maswali lakini msijali tutaona ushahidi wa uwepo wa wachina ndani ya mji wa rapta. 90% ya wachunguzi wa mji huu wanatumia taarifa za warumi zilizoandaliwa na Claudius Ptolemaeus (Claudio Ptolemy). Je wana fahamu kua details hizo kabla ya kuwafikia zilishatumiwa na waajemi wa kale Na kuna uwezekano taarifa hizo zilichakachuliwa!?

Je! Mzungu bwana Alan Sutton (mzamiaji) aliyegundua kuta za rapta akiwa kwenye helicopter hivi karibuni, ilikua ni bahati mbaya tu au na yeye ni moja ya wale treasure hunters ila hajaliweka hili wazi?
Ungana nami kwenye simulizi hii ya kuvutia ili kupata majibu ya maswali yote na kwa hakika utajifunza mambo mengi ndani yake.

SEHEMU YA 01

Mgomo sengerema secondary

Wakati unajiuliza Niliwezaje kufika Colombia, Peru na kisha Iran unatakiwa kujua safari yangu ya jasho na damu pamoja na misukosuko mingi ilianzia shule ya sekondari ya sengerema nikiwa kidato cha sita. Kwa waliopata kupita shule hii wanaweza kua mashihidi kwa namna shule hii ilivyokua ya kikomando yaan wenyewe tulikua tunaita late-summer boot camp.

Kwa haraka haraka tu ni shule aliyowahi kufundisha hayati magufuli kabla hajawa waziri na kisha raisi. Nadhani umeanza kupata picha ilikua shule ya aina gani, Ni shule ambayo kila mtu alikua jeuri kuanzia headmaster mpaka mpishi wa jikoni. Wakati nikiwa hapo tuliwahi kushuhudia kesi nyingi ngumu na za ajabu kama wanafunzi kukutwa na kombati za jeshi full set. Kuna mengi kuhusu sengerema ambayo hatuyajui nitawaeleza machache tu na ni kwa namna gani safari yangu ilianzia hapo.

Nilifika hapo kwa mbinde huku o'level nikitokea Ngerengere kizuka sekondari baada ya kufukuzwa MAKOKO SEMINARY, kiukweli nilikua mtoto mtukutu na jeuri ilifika hatua mzee wangu mzee MASSAWE alisema hizi tabia nimeridhi kutoka kwa babu yangu. Ambae alikimbia nchi baada ya kuhusika kwenye matukio mawili, lile la utekaji wa ndege ya ATC mwaka 1982 February kwa makusudi ya kushinikiza mwalimu ajiuzulu na lile jaribio la kuangusha serikali ya mwalimu Nyerere la mwaka 1980's. Babu Yangu alikua ni miongoni mwa wale maafisa wakuu waliosuka ule mpango, Tuachane na babu na tuludi zetu sengerema.

Tukio la mgomo ndio lililoanzisha safari yangu Na lilipangwa usiku baada ya mlo wa jioni, vidume baada ya kushiba dona maharage pamoja na nchima boyo akili zikatutuma tufanye mgomo usiku wa siku hiyo. Sababu za mgomo zilikuwepo japokua hazikua na mashiko sana naweza sema ni ujana tu ndio ulikua unatusumbua ukiongeza na zile bangi zakuvutia maporini (chaka).
Kama kawaida mzee baba siku hiyo ya mgomo niliwekwa kitengo cha TANESCO, yani niliambiwa ikifika saa 2 kamili usiku ni hakikishe shule nzima umeme umezima. Hii ilitokana na ujuzi wangu wa mambo ya electronics na wiring za ujanja ujanja za mabwenini especially bweni la kimweri na sokoine.

Basi ilipotimu saa 2 kamili nilihakikisha Giza limetanda shule nzima kasoro nyumba za walimu tu, na kazi yangu iliishia hapo na Majukumu mengine yaliyobaki yalikua kwa wenzangu wahamisishaji kuhakikisha kila mmoja anashiriki. Lakini pia kuna jamaa mmoja wa mwananyamala yeye alikua na dumu la petrol lita 5 sijui alilitolea wapi usiku ule huyu bwana kazi yake ilikua kuhakikisha moto unawaka maeneo yote yaliyopangwa kuchomwa.

Mpaka kufika saa nne usiku stationary ya mwalimu wetu siwezi kumtaja jina ilikua haitamaniki na baadhi ya walimu walikimbiza familia zao mjini. 90% ya wanafunzi tulikua michepuo ya sayansi yani PCM, PCB na combination nyingine hivyo tulikubaliana kutokugusa maabara wala library wala darasa, wachache sana walikua arts na cha ajabu kwenye hii shule watu wa arts walikua wamestaarabika ukilinganisha na sayansi.

Shule imejengwa mlimani kabisa kiasi kwamba ilipofika saa 4 na nusu usiku defender ilionekana ikipandisha na wote tukapotelea maporini. Jambo la kufurahisha ni kwamba askari hawakufanikiwa kukamata ata mwanafunzi mmoja kati ya wanafunzi 800. Wengi waliishia kulala kwenye miembe na majaruba ya mpunga kwa usiku huo kwani shule ilizungukwa na makachero wakutosha. Lakini massawe nikasema siwezi lala juu ya mti Kama tumbili, usiku ule ule nikaanza safari ya kuelekea mjini mitaa ya soko mjinga.

Pale mjini kuna binti alikua anasoma shule ya jilani inaitwa NTUNDURU alikua amepanga ghetto. Can you imagine!!! Shule ya boarding na bado amepanga mtaani! asee!!... Merry alikua ni hatari sana mnyaturu yule wa singida.

Mishale ya saa tano usiku nilikua mlangoni kwa merry nabisha hodi, baada ya dikaka 3 alifungua mlango nikaingia. Walikua wawili yeye na mwenzie anaitwa jane. Ndani kulikua na chupa za safari na mzinga mkubwa wa konyagi, nilipoingia nilihisi uwepo wa mwanaume mule ndani na baadae niliona funguo za sun LG na vipisi vya sigara. Ila sikujali sana nilijitupa kitandani nikapitiwa na usingizi mzito uliotokana na uchovu wa mgomo na mbio za kuwakimbia field Force.

Nilikuja kustuka saa kumi alfajiri na mlio wa pikipiki uliokua unamrudisha merry ambae alikuja yupo hoi na kwa haraka niligundua jane amebaki na yule kidume wa jana.

Merry akilewa bia hua zinashuka chini, waliosoma cuba wamenielewa hapa. Hivyo baada ya kuingia ndani hakutaka story zaidi ya kutupa nguo kwenye kila kona ya chumba hicho kama mwehu. Na mimi kutokana na nilikua namjua vizuri haikusumbua kujua anataka nini zaidi ya kuanza mtanange wa kukata na shoka uliochukua zaidi dakika 90 kama finally ya Argentina vs France kule Qatar.

Tulikuja kuamshwa na mwanga mkali wa jua la saa 4 asubuh uliokua unapita dirishani Huku merry akiwaza supu. Ilituchukua muda mfupi kujiandaa kwenda maeneo ya stendi kupata supu, nilishangaa baada ya kufika stendi nilikutana na wanafunzi wenzangu wakiwa na mabegi wengine ma tranka. Nilipowauliza walijibu shule imefungwa kwa muda wa week 3 na tutapewa utaratibu wa jinsi ya kurud tukiwa nyumbani. Hapo nilianza kuwaza namna ya kurud nyumbani huku mizigo yangu yote imebaki shule na hakuna mwanafunzi anaeruhusiwa kwenda tena shule kwa muda huo.

Basi bwana tulipata supu na mrembo merry kisha tukarud zetu ghetto kupumzika, nakumbuka ilikua siku ya alhamisi hivyo merry hakuenda shule kutokana na hangover na tulishinda ndani siku nzima mpaka kesho yake asubuhi.

Siku ya pili akili ilivurugika zaidi baada ya kupata habari kwenye vituo vya habari viwili tofauti kuhusu mgomo wa sengerema, kituo cha kwanza ni redio sengerema ilitangaza wanafunzi kumi na tisa (19) wamefukuzwa na wengine kusimamishwa masomo kwa muda usiojulikana. Hivyo hivyo kwa redio free Africa na gazeti la mwananchi, gazeti hili lilitoa majina ya waliofukuzwa na mimi nilikua jina la kwanza kwenye ile list.

Niliwaza namwambia nini mzee massawe ambae alichoshwa na tabia zangu.

Akili ikanituma kuangalia upande wa pili wa maisha na sio kukomaa na shule, niliamini siku Moja nikiludi home na pesa nyingi mzee massawe atanikubali sana jembe lake.

Baada ya kupata wazo la kutoendelea na shule nikaanza kuwaza natakiwa nianzie wapi kutafuta pesa. Apo apo akili ikaniambia dar ndio sehemu pekee naweza tengeneza pesa nyingi, lakin kwa bahati mbaya sikua mzoefu wa mji huo na wala sikutakiwa kufikia kwa ndugu yoyote na bado sina nauli ya kufika huko. Niliamini nikifika Mwanza kwenda dar itakua rahisi hivyo nikaanza mchakato wa kufika mwanza (nyegezi).

Nilimshirikisha merry kwa makusudi ili anisaidie nauli ya kufika nyegezi kwani kutoka sengerema hadi nyegezi ni kiasi cha shilingi 4000 tu. Na kwa maelezo ya merry aliniomba tufike stendi kuna mtu atampatia tukifika hapo.tukiwa stendi Merry alimfuata jamaa mmoja bonge hivi anadeal na tickets pale stendi, Kwa haraka niligundua huyo ndio sponsor waliekua nae jana. Sikujua waliongea nini na merry ila merry aliniambia tusubiri kuna coaster inatokea katolo ndio tutaenda nayo mwanza.

Haikuchukua muda mrefu ile coaster ilifika na walipanda abiria kadhaa kisha bonge akamwambia konda hawa ndio wadogo zangu wanaoenda nyegezi. na sisi tulipanda tukaanza safari, nilishangazwa na uwepo wa Merry kwenye safari sikujua na yeye anaelekea wapi kwani hakua na sababu ya kutoka sengerema siku hiyo kwani masomo kwa upande wake yalikua yanaendelea. Merry alikua mwanafunzi wa kidato cha nne NTUNDURU sekondari na ile siku tumeshinda ote ndani nilitumia fursa kumfundisha almost topics tatu za msingi.

Sasa tukiwa ndani ya coaster kuelekea nyegezi nilimuuliza kwanini na yeye ameamua kusafiri, majibu yake yalikua ni kwamba ana muda mrefu hajafika mjini mwanza hivyo alitaka kwenda kuosha macho kwa muda kisha baadae ataludi sengerema.

Nilipata nafasi ya kupiga stories na konda ndipo niligundua wametokea geita walipeleka msiba na hapo wanarudi dar es salaam. Niliamini safari yangu kufika Dar es Salaam imerahisishwa nachotakiwa ni kuwaza namna gani naweza kushawishi jamaa ili aniruhusu nisafiri nae.

Majadiliano na konda yalikua hivi.

Konda:"dogo! we ni mwanafunzi Nini? Jana tukiwa na msiba tulibeba madogo kama watatu hivi wakiwa na suruali nyeusi na tishet za bluu kama ulivyovaa wewe"

Merry alijibu fasta kama ameulizwa yeye,

Merry: ndio sisi ni wanafunzi, ila tumerudishwa nyumbani ghafla sababu ya mgomo wa juzi usiku.
(konda hakujua kama sengerema ni shule ya wavulana pekee)

Konda: kama wanafunzi wenyewe ndio nyinyi hiyo shule kazi ipo. Kwaiyo nyumbani ni wapi??
Nilitumia swali hilo kama fursa ya kufanikisha misheni yangu.

Mimi: home dar na hatujatumiwa nauli sijui tunafikaje?

Konda: we mtoto wa kiume jitahidi upambane.

Jibu lile lilinikatisha tamaa ya kuendelea na maongezi yale.
Haikuchukua muda tulikua tumefika kivukoni busisi. Abiria wote tulishuka na kupanda kivuko, lakini nilifurahi baada ya kumuona konda anajisogeza kwa merry na kujiongeresha. nilijua kwa ujanja wa merry anaweza kufanikisha safari yangu kirahisi sana.

Baada ya kufika upande wa pili tulirudi ndani ya coaster na kuendelea na safari na wakati huu merry aliniambia ameshampanga konda hivyo tutafika wote dar es salaam.

Merry alikua binti mjanja sana na anamacho Fulani akikuangalia tu unajua atakua fundi, hahahahahaha kwa wale tuliopita sengerema miaka ile najua mtakua mnamkumbuka kwani alikua maarufu sana. Especially tukienda shuleni kwao kwa ajili ya michezo wengi walimtolea macho, nitakuja kueleza nilimpataje hapo baadae.

Baada ya kufika nyegezi tukijiandaa na safari ya kuanza kuitafuta dar es salaam nilishangaa konda aliniita na kunipa buku tano nikatafute msosi. Na kisha konda na merry walipotelea kusiko Julikana, Nilijua merry ameshafanya yake tayar niliishia kuitunza ile buku tano nikiamini itanisaidia mbele ya safari kwani sikua na chochote mfukoni.

Baada ya nusu saa merry na konda walirudi huku nikimuona merry na vifurushi vya kutosha bila shaka ilikua ni misosi na kimoyomoyo nikasema merry hajawahi kuniangusha ata siku moja. Tulikaa kwenye siti na kuendelea na safari Huku tukipiga msosi mzito nakumbuka ilikua ni Sato na chipsi kavu za kutosha.

Mimi: merry ulisema unaishia nyegezi vipi mbona unaendelea na safari???

Merry: sijawahi kufika Dar es Salaam, nadhani hii ni fursa ambayo sitakiwi kuichezea. Najua nipo na wewe hakuna kitachoharibika nitakaa week moja kisha nitarudi shule.

Daaaaah!!!!! Nilihisi mwili unakufa ganzi nilitaman kumwambia Mimi mwenyewe sina pa kufikia ila nikapiga moyo konde. tukaendelea na safari yetu huku stories zikiwa nyingi. Merry pekee ndio alikua na simu Mimi kilichokua mfukoni ni ile buku tano, kibiriti cha gesi na scientific calculator tu.

Baada ya safari ya muda mrefu wote tulipitiwa na usingizi, safari ile ni ya kutwa nzima kwani nakumbuka tuliingia morogoro usiku wa saa tano tena hiyo ilikua ni baada ya abiria kulalamikia speed ya gari ilikua kali mno. Tulipotoka moro baada ya kufika maeneo ya chalinze nilipitiwa tena na usingizi mzito. Nilikuja kushtuliwa na konda akidai alitusahau tumeshaingia mjini mda mrefu.

Konda: nyie mnashukia wapi tumeingia Dar es Salaam tayari.
Lile swali lilikua gumu kwangu kwani sikua ata najua tunapoelekea baada ya kufika dar. Kwa Dar es Salaam nachojua ni ubungo tu hivyo nilimjibu tunashuka ubungo.

Konda: ubungo tumepita tayari sisi tunaelekea mbagara, shukeni hapa mrudi vertinary mkapande gari za ubungo.

Kiukweli sikumuelewa konda ata kidogo kila alichonambia kilikua kipya ila sikutaka kuonyesha kutokujua mbele ya Merry hivyo tulishuka. Tulishushwa eneo moja lina mataa na ilikua saa saba na nusu usiku, nikiwa sijui cha kufanya Merry alianza kulalamika maumivu makali ya tumbo.
Nilijua tu itakua njaa kwani ni muda mrefu hatujapata chakula, baada ya kupepesa macho huku na kule niliona sehemu kwa mbaali kuna watu na mataa mengi yanawakawaka nikajua fika hapo patakua na bar hivyo hatuwez kosa msosi.

"Massawe hapa na kwenu kuna umbali gani?" Lilikua ni swali la Merry na mimi sikuona haja ya kuendelea kumficha ukweli, nilimueleza kila kitu kama nimeenda huko kutafuta maisha na nimeachana rasmi na masomo baada ya kufukuzwa shule na nilimueleza siwezi kurudi moshi kwa mzee massawe hatonielewa kabisa.

Kwa maumivu ya tumbo aliyokua anapitia Merry hakutaka kuendelea na mjadala nilimuona akiongoza kwenye lile eneo tuliloliona likiwa na watu wengi usiku ule.
Baada ya kufika eneo Hilo niliona maandishi makubwa yakiwakawaka yameandikwa SUGAR REY. Ni dhahiri ilikua ni bar, nilishangazwa na mavazi ya wadada wa eneo hilo na sio mimi tu ata merry pia.
"Hhhmmm kweli hii ndio dar es salaam ninayoisikia kila siku" yalikua ni maneno ya Merry. Tukiwa bado tumeduwaa alikuja bodaboda

Bodaboda: vipi mnaenda?

Mimi: hapana tumefika bro.

Bodaboda: punguzeni kushangaa basi.

Tulisogea mpaka eneo lile nikiamini hatuwezi kukosa chakula ukizingatia nilikua bado na lile buku tano la konda.

Tulipofika tu merry alimfuata Binti mmoja aliekua amekaa pembeni akiwa kwenye pozi Kama anamsubiri mtu na waliongea baadae wakafatana sikujua wameenda wapi. Nilijisogeza kwa jamaa wa bodaboda wakiwa na makoti makubwa nikajiunga kupiga nao story huku nikimsubiri Merry.

Mimi: bro samahan hawa wadada mbona wapo wengi na wana mishe gani apa mbona wamevaa kiasala asala?

Bodaboda: hao wanajiuza mjomba. We mgeni nini?

Mimi: ndio mi mgeni.

Bodaboda aliniangalia tu na hakuendelea kuongea chochote Zaidi ya kuwafata abiria wawili waliokua mbele yake.
Baada ya muda kidogo hivi nilimuona merry akiludi eneo nililokuwepo.

Mimi: merry punguza kujifanya unamjua kila mtu apa sio singida hii dar rafiki angu.

Merry: lile tumbo lilikua ni la siku zangu na sio njaa kama ulivyohisi hivyo nilienda kwa yule mdada kuona kama ata nipa msaada wowote si unajua sijatembea na chochote. Lakini pia nimemueleza changamoto niliyonayo kwamba hatuna pa kulala na ndio tumefika mjini.

Mimi: akasemaje?

Merry: kasema atanisaidia kwa leo sehemu ya kulala ila kuanzia kesho nitajua pa kwenda, lakini pia amenieleza kama sina ndugu kabisa atanionyesha kazi ya kufanya na tutakua tunachangia wote kulipa pango la nyumba hivyo mi nimeona niende nae tu.

Kiukweli sikutamani merry aondoke na yule dada lakini sikua na jinsi kwani hata hivyo sikua na sehemu yoyote ya kumpeleka. Merry alinikabidhi simu yake ili iwe rahisi kunipata siku inayofuata kwani alikua anajua sikua na simu. Tuliagana na merry na mimi nikabaki eneo hilo nikiwaza naelekea wapi kwa usiku huo wala sikutaka kujutia maamuzi yangu ata kidogo niliamini nipo sahihi kabisa.

Tunaendelea baadae usikae mbali.View attachment 2583318
Hizi picha kapiga msimuzili hadi aseme zisisambazwe 😆😆😆
 
Hizi pichq kapiga msimuzili hadi aseme zisisambazwe [emoji38][emoji38][emoji38]
Chief apa nilikua namaanisha picha za mashambani na baadhi ya picha za mabaki ya mji ( chini ya bahari). Picha hizo zitawekwa kwenye kitabu baada ya kupitiwa na wataalamu,

Asante kwa kunikumbusha

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
THE WEALTH OF RAPTA RUINS
(Get Rich or Die Tryin)

Msimuliaji: LUDOVIC MASSAWE



PROLOGUE/DIBAJI

Mji wa rapta ni mji uliozama baharini kisiwani mafia kwa zaidi ya miaka 2000. Unaweza kua mji mgeni Kwa baadhi ya watu, lakini wengi mnaweza kua mmepata kuusikia uwepo wa mji huu wa kale pembezoni mwa pwani ya Africa mashariki. Wapo wanaodai mji huu unapatikana maeneo ya rufiji kwa sasa na wapo wanaodai mji huu unapatikana pembezoni mwa kisiwa cha mafia. Je! ni nani yupo sahihi?

Mji huu ulipata kuwepo mwanzoni mwa karne ya 1 na imepita zaidi ya miaka 1600 mpaka 2000 tangu kuwepo kwa mji huu. Unaaminika kuwa mji wa kwanza tajiri barani Africa na pia ni miongoni mwa miji kumi na tano inayopatikana chini ya maji. ukiacha miji kama vile Thonis-Heracleion na Alexandria iliyopo Egypt, Yonaguni Jima (Japan), Port Royal (Jamaica) Dwarka (India), Pavlopetri iliyopo south-western Greece, Villa Epecuen (Argentina) nk.

Tofauti na ilivyo kwa watanzania na wakazi wa Africa mashariki wakiwemo wana archeologia. Wengi wamechelewa kuzipata habari za mji huu, mimi nilizipata habari hizi nje kabisa ya ukanda huu. Nilizipata habari hizi nikiwa jiji la Tehran uko inchini Iran (uajemi ya kale) ndani ya maktaba ya taifa (National Library of the Islamic Republic of Iran) iliyoanzishwa mwaka 1937 ikiwa na zaidi ya items milion 15 ndani yake.

Wakati nafika Iran nilikua nikitokea nchini Colombia na Peru kwenye mashamba ya koka (coca plantations). kwa wasiojua koka leaf ndio mmea unaotumika kutengeneza madawa ya kulevya aina ya Cocaine kupitia mchakato mrefu. Na ugumu wa ku control uzalishaji wa cocaine unasababishwa au unatokana na kushindwa kuthibiti chemicals zinazotumitumika kwenye mchakato huo kwani ni chemicals za kawaida zinazotumiwa kila siku kwenye matumizi ya binadamu.

Mfano; ku process coca leaf kuwa coca paste mpaka kupata cocaine base na HCI zinatumika chemicals kama, Sulfuric Acid, Sodium Bicarbonate, Sodium Hydroxide, benzene, Potassium Permanganate, Dichromate, Ammonia Hydroxide, Sodium Hydroxide, Methyl Ethyl Ketone na kerosene. Tutajuzana mengi kuhusu cocaine hapo mbele tukiendelea na simulizi.

Sasa basi Niliwezaje kufika Colombia, Peru kisha Iran na miji mingine mikubwa duniani? Niliwezaje kuzisikia habari za mji wa rapta? nani alinipa habari hizi? na mji huu wa rapta una utajiri kiasi gan ndani yake? Nilifikaje rapta na kwa msaada wa technologia gan nilifanikisha zoezi langu? Kipi kilisababisha mji huu kuzama baharini?

Swali lingine la msingi, wageni wa kwanza wa pwani ya Africa mashariki walikua ni warumi na wachina kabla ya waarabu na waajemi, sasa imekuaje details za rapta zilizoandaliwa na warumi zikafika Iran (Persian gulf) zilifikaje huko?

Najua baada ya kutaja wachina wengi mtajiuliza maswali lakini msijali tutaona ushahidi wa uwepo wa wachina ndani ya mji wa rapta. 90% ya wachunguzi wa mji huu wanatumia taarifa za warumi zilizoandaliwa na Claudius Ptolemaeus (Claudio Ptolemy). Je wana fahamu kua details hizo kabla ya kuwafikia zilishatumiwa na waajemi wa kale Na kuna uwezekano taarifa hizo zilichakachuliwa!?

Je! Mzungu bwana Alan Sutton (mzamiaji) aliyegundua kuta za rapta akiwa kwenye helicopter hivi karibuni, ilikua ni bahati mbaya tu au na yeye ni moja ya wale treasure hunters ila hajaliweka hili wazi?
Ungana nami kwenye simulizi hii ya kuvutia ili kupata majibu ya maswali yote na kwa hakika utajifunza mambo mengi ndani yake.

SEHEMU YA 01

Mgomo sengerema secondary

Wakati unajiuliza Niliwezaje kufika Colombia, Peru na kisha Iran unatakiwa kujua safari yangu ya jasho na damu pamoja na misukosuko mingi ilianzia shule ya sekondari ya sengerema nikiwa kidato cha sita. Kwa waliopata kupita shule hii wanaweza kua mashihidi kwa namna shule hii ilivyokua ya kikomando yaan wenyewe tulikua tunaita late-summer boot camp.

Kwa haraka haraka tu ni shule aliyowahi kufundisha hayati magufuli kabla hajawa waziri na kisha raisi. Nadhani umeanza kupata picha ilikua shule ya aina gani, Ni shule ambayo kila mtu alikua jeuri kuanzia headmaster mpaka mpishi wa jikoni. Wakati nikiwa hapo tuliwahi kushuhudia kesi nyingi ngumu na za ajabu kama wanafunzi kukutwa na kombati za jeshi full set. Kuna mengi kuhusu sengerema ambayo hatuyajui nitawaeleza machache tu na ni kwa namna gani safari yangu ilianzia hapo.

Nilifika hapo kwa mbinde huku o'level nikitokea Ngerengere kizuka sekondari baada ya kufukuzwa MAKOKO SEMINARY, kiukweli nilikua mtoto mtukutu na jeuri ilifika hatua mzee wangu mzee MASSAWE alisema hizi tabia nimeridhi kutoka kwa babu yangu. Ambae alikimbia nchi baada ya kuhusika kwenye matukio mawili, lile la utekaji wa ndege ya ATC mwaka 1982 February kwa makusudi ya kushinikiza mwalimu ajiuzulu na lile jaribio la kuangusha serikali ya mwalimu Nyerere la mwaka 1980's. Babu Yangu alikua ni miongoni mwa wale maafisa wakuu waliosuka ule mpango, Tuachane na babu na tuludi zetu sengerema.

Tukio la mgomo ndio lililoanzisha safari yangu Na lilipangwa usiku baada ya mlo wa jioni, vidume baada ya kushiba dona maharage pamoja na nchima boyo akili zikatutuma tufanye mgomo usiku wa siku hiyo. Sababu za mgomo zilikuwepo japokua hazikua na mashiko sana naweza sema ni ujana tu ndio ulikua unatusumbua ukiongeza na zile bangi zakuvutia maporini (chaka).

Kama kawaida mzee baba siku hiyo ya mgomo niliwekwa kitengo cha TANESCO, yani niliambiwa ikifika saa 2 kamili usiku ni hakikishe shule nzima umeme umezima. Hii ilitokana na ujuzi wangu wa mambo ya electronics na wiring za ujanja ujanja za mabwenini especially bweni la kimweri na sokoine.

Basi ilipotimu saa 2 kamili nilihakikisha Giza limetanda shule nzima kasoro nyumba za walimu tu, na kazi yangu iliishia hapo na Majukumu mengine yaliyobaki yalikua kwa wenzangu wahamisishaji kuhakikisha kila mmoja anashiriki. Lakini pia kuna jamaa mmoja wa mwananyamala yeye alikua na dumu la petrol lita 5 sijui alilitolea wapi usiku ule huyu bwana kazi yake ilikua kuhakikisha moto unawaka maeneo yote yaliyopangwa kuchomwa.

Mpaka kufika saa nne usiku stationary ya mwalimu wetu siwezi kumtaja jina ilikua haitamaniki na baadhi ya walimu walikimbiza familia zao mjini. 90% ya wanafunzi tulikua michepuo ya sayansi yani PCM, PCB na combination nyingine hivyo tulikubaliana kutokugusa maabara wala library wala darasa, wachache sana walikua arts na cha ajabu kwenye hii shule watu wa arts walikua wamestaarabika ukilinganisha na sayansi.

Shule imejengwa mlimani kabisa kiasi kwamba ilipofika saa 4 na nusu usiku defender ilionekana ikipandisha na wote tukapotelea maporini. Jambo la kufurahisha ni kwamba askari hawakufanikiwa kukamata ata mwanafunzi mmoja kati ya wanafunzi 800. Wengi waliishia kulala kwenye miembe na majaruba ya mpunga kwa usiku huo kwani shule ilizungukwa na makachero wakutosha. Lakini massawe nikasema siwezi lala juu ya mti Kama tumbili, usiku ule ule nikaanza safari ya kuelekea mjini mitaa ya soko mjinga.

Pale mjini kuna binti alikua anasoma shule ya jilani inaitwa NTUNDURU alikua amepanga ghetto. Can you imagine!!! Shule ya boarding na bado amepanga mtaani! asee!!... Merry alikua ni hatari sana mnyaturu yule wa singida.

Mishale ya saa tano usiku nilikua mlangoni kwa merry nabisha hodi, baada ya dikaka 3 alifungua mlango nikaingia. Walikua wawili yeye na mwenzie anaitwa jane. Ndani kulikua na chupa za safari na mzinga mkubwa wa konyagi, nilipoingia nilihisi uwepo wa mwanaume mule ndani na baadae niliona funguo za sun LG na vipisi vya sigara. Ila sikujali sana nilijitupa kitandani nikapitiwa na usingizi mzito uliotokana na uchovu wa mgomo na mbio za kuwakimbia field Force.

Nilikuja kustuka saa kumi alfajiri na mlio wa pikipiki uliokua unamrudisha merry ambae alikuja yupo hoi na kwa haraka niligundua jane amebaki na yule kidume wa jana.

Merry akilewa bia hua zinashuka chini, waliosoma cuba wamenielewa hapa. Hivyo baada ya kuingia ndani hakutaka story zaidi ya kutupa nguo kwenye kila kona ya chumba hicho kama mwehu. Na mimi kutokana na nilikua namjua vizuri haikusumbua kujua anataka nini zaidi ya kuanza mtanange wa kukata na shoka uliochukua zaidi dakika 90 kama finally ya Argentina vs France kule Qatar.

Tulikuja kuamshwa na mwanga mkali wa jua la saa 4 asubuh uliokua unapita dirishani Huku merry akiwaza supu. Ilituchukua muda mfupi kujiandaa kwenda maeneo ya stendi kupata supu, nilishangaa baada ya kufika stendi nilikutana na wanafunzi wenzangu wakiwa na mabegi wengine ma tranka. Nilipowauliza walijibu shule imefungwa kwa muda wa week 3 na tutapewa utaratibu wa jinsi ya kurud tukiwa nyumbani. Hapo nilianza kuwaza namna ya kurud nyumbani huku mizigo yangu yote imebaki shule na hakuna mwanafunzi anaeruhusiwa kwenda tena shule kwa muda huo.

Basi bwana tulipata supu na mrembo merry kisha tukarud zetu ghetto kupumzika, nakumbuka ilikua siku ya alhamisi hivyo merry hakuenda shule kutokana na hangover na tulishinda ndani siku nzima mpaka kesho yake asubuhi.

Siku ya pili akili ilivurugika zaidi baada ya kupata habari kwenye vituo vya habari viwili tofauti kuhusu mgomo wa sengerema, kituo cha kwanza ni redio sengerema ilitangaza wanafunzi kumi na tisa (19) wamefukuzwa na wengine kusimamishwa masomo kwa muda usiojulikana. Hivyo hivyo kwa redio free Africa na gazeti la mwananchi, gazeti hili lilitoa majina ya waliofukuzwa na mimi nilikua jina la kwanza kwenye ile list.

Niliwaza namwambia nini mzee massawe ambae alichoshwa na tabia zangu.

Akili ikanituma kuangalia upande wa pili wa maisha na sio kukomaa na shule, niliamini siku Moja nikiludi home na pesa nyingi mzee massawe atanikubali sana jembe lake.

Baada ya kupata wazo la kutoendelea na shule nikaanza kuwaza natakiwa nianzie wapi kutafuta pesa. Apo apo akili ikaniambia dar ndio sehemu pekee naweza tengeneza pesa nyingi, lakin kwa bahati mbaya sikua mzoefu wa mji huo na wala sikutakiwa kufikia kwa ndugu yoyote na bado sina nauli ya kufika huko. Niliamini nikifika Mwanza kwenda dar itakua rahisi hivyo nikaanza mchakato wa kufika mwanza (nyegezi).

Nilimshirikisha merry kwa makusudi ili anisaidie nauli ya kufika nyegezi kwani kutoka sengerema hadi nyegezi ni kiasi cha shilingi 4000 tu. Na kwa maelezo ya merry aliniomba tufike stendi kuna mtu atampatia tukifika hapo.tukiwa stendi Merry alimfuata jamaa mmoja bonge hivi anadeal na tickets pale stendi, Kwa haraka niligundua huyo ndio sponsor waliekua nae jana. Sikujua waliongea nini na merry ila merry aliniambia tusubiri kuna coaster inatokea katolo ndio tutaenda nayo mwanza.

Haikuchukua muda mrefu ile coaster ilifika na walipanda abiria kadhaa kisha bonge akamwambia konda hawa ndio wadogo zangu wanaoenda nyegezi. na sisi tulipanda tukaanza safari, nilishangazwa na uwepo wa Merry kwenye safari sikujua na yeye anaelekea wapi kwani hakua na sababu ya kutoka sengerema siku hiyo kwani masomo kwa upande wake yalikua yanaendelea. Merry alikua mwanafunzi wa kidato cha nne NTUNDURU sekondari na ile siku tumeshinda ote ndani nilitumia fursa kumfundisha almost topics tatu za msingi.

Sasa tukiwa ndani ya coaster kuelekea nyegezi nilimuuliza kwanini na yeye ameamua kusafiri, majibu yake yalikua ni kwamba ana muda mrefu hajafika mjini mwanza hivyo alitaka kwenda kuosha macho kwa muda kisha baadae ataludi sengerema.

Nilipata nafasi ya kupiga stories na konda ndipo niligundua wametokea geita walipeleka msiba na hapo wanarudi dar es salaam. Niliamini safari yangu kufika Dar es Salaam imerahisishwa nachotakiwa ni kuwaza namna gani naweza kushawishi jamaa ili aniruhusu nisafiri nae.

Majadiliano na konda yalikua hivi.

Konda:"dogo! we ni mwanafunzi Nini? Jana tukiwa na msiba tulibeba madogo kama watatu hivi wakiwa na suruali nyeusi na tishet za bluu kama ulivyovaa wewe"

Merry alijibu fasta kama ameulizwa yeye,

Merry: ndio sisi ni wanafunzi, ila tumerudishwa nyumbani ghafla sababu ya mgomo wa juzi usiku.
(konda hakujua kama sengerema ni shule ya wavulana pekee)

Konda: kama wanafunzi wenyewe ndio nyinyi hiyo shule kazi ipo. Kwaiyo nyumbani ni wapi??
Nilitumia swali hilo kama fursa ya kufanikisha misheni yangu.

Mimi: home dar na hatujatumiwa nauli sijui tunafikaje?

Konda: we mtoto wa kiume jitahidi upambane.

Jibu lile lilinikatisha tamaa ya kuendelea na maongezi yale.
Haikuchukua muda tulikua tumefika kivukoni busisi. Abiria wote tulishuka na kupanda kivuko, lakini nilifurahi baada ya kumuona konda anajisogeza kwa merry na kujiongeresha. nilijua kwa ujanja wa merry anaweza kufanikisha safari yangu kirahisi sana.

Baada ya kufika upande wa pili tulirudi ndani ya coaster na kuendelea na safari na wakati huu merry aliniambia ameshampanga konda hivyo tutafika wote dar es salaam.

Merry alikua binti mjanja sana na anamacho Fulani akikuangalia tu unajua atakua fundi, hahahahahaha kwa wale tuliopita sengerema miaka ile najua mtakua mnamkumbuka kwani alikua maarufu sana. Especially tukienda shuleni kwao kwa ajili ya michezo wengi walimtolea macho, nitakuja kueleza nilimpataje hapo baadae.

Baada ya kufika nyegezi tukijiandaa na safari ya kuanza kuitafuta dar es salaam nilishangaa konda aliniita na kunipa buku tano nikatafute msosi. Na kisha konda na merry walipotelea kusiko Julikana, Nilijua merry ameshafanya yake tayar niliishia kuitunza ile buku tano nikiamini itanisaidia mbele ya safari kwani sikua na chochote mfukoni.

Baada ya nusu saa merry na konda walirudi huku nikimuona merry na vifurushi vya kutosha bila shaka ilikua ni misosi na kimoyomoyo nikasema merry hajawahi kuniangusha ata siku moja. Tulikaa kwenye siti na kuendelea na safari Huku tukipiga msosi mzito nakumbuka ilikua ni Sato na chipsi kavu za kutosha.

Mimi: merry ulisema unaishia nyegezi vipi mbona unaendelea na safari???

Merry: sijawahi kufika Dar es Salaam, nadhani hii ni fursa ambayo sitakiwi kuichezea. Najua nipo na wewe hakuna kitachoharibika nitakaa week moja kisha nitarudi shule.

Daaaaah!!!!! Nilihisi mwili unakufa ganzi nilitaman kumwambia Mimi mwenyewe sina pa kufikia ila nikapiga moyo konde. tukaendelea na safari yetu huku stories zikiwa nyingi. Merry pekee ndio alikua na simu Mimi kilichokua mfukoni ni ile buku tano, kibiriti cha gesi na scientific calculator tu.

Baada ya safari ya muda mrefu wote tulipitiwa na usingizi, safari ile ni ya kutwa nzima kwani nakumbuka tuliingia morogoro usiku wa saa tano tena hiyo ilikua ni baada ya abiria kulalamikia speed ya gari ilikua kali mno. Tulipotoka moro baada ya kufika maeneo ya chalinze nilipitiwa tena na usingizi mzito. Nilikuja kushtuliwa na konda akidai alitusahau tumeshaingia mjini mda mrefu.

Konda: nyie mnashukia wapi tumeingia Dar es Salaam tayari.
Lile swali lilikua gumu kwangu kwani sikua ata najua tunapoelekea baada ya kufika dar. Kwa Dar es Salaam nachojua ni ubungo tu hivyo nilimjibu tunashuka ubungo.

Konda: ubungo tumepita tayari sisi tunaelekea mbagara, shukeni hapa mrudi vertinary mkapande gari za ubungo.

Kiukweli sikumuelewa konda ata kidogo kila alichonambia kilikua kipya ila sikutaka kuonyesha kutokujua mbele ya Merry hivyo tulishuka. Tulishushwa eneo moja lina mataa na ilikua saa saba na nusu usiku, nikiwa sijui cha kufanya Merry alianza kulalamika maumivu makali ya tumbo.
Nilijua tu itakua njaa kwani ni muda mrefu hatujapata chakula, baada ya kupepesa macho huku na kule niliona sehemu kwa mbaali kuna watu na mataa mengi yanawakawaka nikajua fika hapo patakua na bar hivyo hatuwez kosa msosi.

"Massawe hapa na kwenu kuna umbali gani?" Lilikua ni swali la Merry na mimi sikuona haja ya kuendelea kumficha ukweli, nilimueleza kila kitu kama nimeenda huko kutafuta maisha na nimeachana rasmi na masomo baada ya kufukuzwa shule na nilimueleza siwezi kurudi moshi kwa mzee massawe hatonielewa kabisa.

Kwa maumivu ya tumbo aliyokua anapitia Merry hakutaka kuendelea na mjadala nilimuona akiongoza kwenye lile eneo tuliloliona likiwa na watu wengi usiku ule.
Baada ya kufika eneo Hilo niliona maandishi makubwa yakiwakawaka yameandikwa SUGAR REY. Ni dhahiri ilikua ni bar, nilishangazwa na mavazi ya wadada wa eneo hilo na sio mimi tu ata merry pia.
"Hhhmmm kweli hii ndio dar es salaam ninayoisikia kila siku" yalikua ni maneno ya Merry. Tukiwa bado tumeduwaa alikuja bodaboda

Bodaboda: vipi mnaenda?

Mimi: hapana tumefika bro.

Bodaboda: punguzeni kushangaa basi.

Tulisogea mpaka eneo lile nikiamini hatuwezi kukosa chakula ukizingatia nilikua bado na lile buku tano la konda.

Tulipofika tu merry alimfuata Binti mmoja aliekua amekaa pembeni akiwa kwenye pozi Kama anamsubiri mtu na waliongea baadae wakafatana sikujua wameenda wapi. Nilijisogeza kwa jamaa wa bodaboda wakiwa na makoti makubwa nikajiunga kupiga nao story huku nikimsubiri Merry.

Mimi: bro samahan hawa wadada mbona wapo wengi na wana mishe gani apa mbona wamevaa kiasala asala?

Bodaboda: hao wanajiuza mjomba. We mgeni nini?

Mimi: ndio mi mgeni.

Bodaboda aliniangalia tu na hakuendelea kuongea chochote Zaidi ya kuwafata abiria wawili waliokua mbele yake.
Baada ya muda kidogo hivi nilimuona merry akiludi eneo nililokuwepo.

Mimi: merry punguza kujifanya unamjua kila mtu apa sio singida hii dar rafiki angu.

Merry: lile tumbo lilikua ni la siku zangu na sio njaa kama ulivyohisi hivyo nilienda kwa yule mdada kuona kama ata nipa msaada wowote si unajua sijatembea na chochote. Lakini pia nimemueleza changamoto niliyonayo kwamba hatuna pa kulala na ndio tumefika mjini.

Mimi: akasemaje?

Merry: kasema atanisaidia kwa leo sehemu ya kulala ila kuanzia kesho nitajua pa kwenda, lakini pia amenieleza kama sina ndugu kabisa atanionyesha kazi ya kufanya na tutakua tunachangia wote kulipa pango la nyumba hivyo mi nimeona niende nae tu.

Kiukweli sikutamani merry aondoke na yule dada lakini sikua na jinsi kwani hata hivyo sikua na sehemu yoyote ya kumpeleka. Merry alinikabidhi simu yake ili iwe rahisi kunipata siku inayofuata kwani alikua anajua sikua na simu. Tuliagana na merry na mimi nikabaki eneo hilo nikiwaza naelekea wapi kwa usiku huo wala sikutaka kujutia maamuzi yangu ata kidogo niliamini nipo sahihi kabisa.

Tunaendelea baadae usikae mbali.View attachment 2583318
Kama umepita KZ Camp na SunLG zilikuwepo we ni kinda hata Dumba pengine humkuta, au Warioba pale Kizuka Sec
 
Back
Top Bottom