mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Watu wa what's app mnaendeleaje huko[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi kabisaWatu wa what's app mnaendeleaje huko[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Tuleeni na sisi hukuSafi kabisa
We mjingaweweTuleeni na sisi huku
We mjingawewe
MjingaweweUshapigwa tukio tulia
SAHAU🥱🥱🥱 bado sijachoka kusubiria muendelezo.
Mh!Una moyo mkuu sana mkuu. Kuna wapuuzi wengi sana wanakutikisa ila umebakia imara
Chizi maarifa ajengewe mnara
Kule nako ni bila bila, japo tuko mwisho mwisho. Ila kwa zaidi ya mwezi sasa mambo hayaelewekiWatu wa what's app mnaendeleaje huko[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Chizi MaarifaKule nako ni bila bila, japo tuko mwisho mwisho. Ila kwa zaidi ya mwezi sasa mambo hayaeleweki
Nikiwaambia dogo ni muongo muongo mnakuwa wakali kuwa nawaharibia. Story ni ya kutunga na itamuwia vigumu kuiendeleza sababu kuna sehemu facts zitapingana naye. Ni hadithi ya kitoto sana ya uongo.Unaweza kuwa sahih kuataja majina na maeneo ila kukaa na IRGs agent tena mwanamke hilo nakataa iran kuna sheria kali sana mzee
Hawajui kuwa kutunga ni kazi kuliko kuandika kitu halisi. Sema unatakiwa ukae na watunzi wazuri wakuelekeze usiwe unaandika unabore na kujaza maneno mengi yasiyo na tija. Pia ujifunze kuandika uongo unaokaribiana na ukweli. Upande wa Ujasusi hujajua namna ya kutunga stories zake unaelezea kama hadithi ya mtoto wa darasa la 7 anayependa ujasusi ila hauelewi.Ni kweli mkuu ila Samahani sana, nina majukumu mengine mengi hivyo sio muda wote nakaa chini ku recall matukio na kuyaandika kikubwa tuvumiliane tu na mzigo utaisha boss.
Mvuta bange wa temeke alale nyumbs moja na spy iran waoigane denda kwenye gari??Iran sio manzese,Ronaldo mwenyewe kawekewa masharti magumu kuhusu uzinziNikiwaambia jamaa ni muongo muongo mnakuwa wakali kuwa nawaharibia. Story ni ya kutunga na itamuwia vigumu kuiendeleza sababu kuna sehemu facts zitapingana naye. Ni hadithi ya kitoto sana ya uongo.
Dogo muongo hajielewi na anadhani sisi wote vilaza. Hakuna spy angekuwa anamshirikisha maisha ya kiuspy kirahisi hivi kwa lipi alilo nalo? Ni muongo sana huyu dogo.Mvuta bange wa temeke alale nyumbs moja na spy iran waoigane denda kwenye gari??Iran sio manzese,Ronaldo mwenyewe kawekewa masharti magumu kuhusu uzinzi
Huyo spy wenzake wangeshamuua au dogo angeuliwa tuDogo muongo hajielewi na anadhani sisi wote vilaza. Hakuna spy angekuwa anamshirikisha maisha ya kiuspy kirahisi hivi kwa lipi alilo nalo? Ni muongo sana huyu dogo.