Utajiri wa Magofu ya Rapta

Utajiri wa Magofu ya Rapta

NILIPOTEA KWA MUDA LEO NGOJA NISHUSHE MZIGO WA KUTOSHA


Yale maongezi na fatemeh ni kama yaliendelea kunifungua mambo mengi kuhusu yeye mwenyewe lakini pia kuhusu idara yake anayohudumu.

Lakini pia niligundua haikua kazi rahisi kufuatilia asili ya fatemeh kama nilivyopanga hapo mwanzo. Na hili niligundua baada ya kujua kuwa taarifa zote zilizomuhusu fatemeh hazikua zinapatikana kirahisi.

Yaani kwa maana rahisi ata ukienda kwenye kile kituo cha yatima kilichoitwa nursery imam Ali huwezi kukuta taarifa yeyote wala mtu yeyote ambae atakua anajua lolote kuhusu Maisha ya fatemeh.

Na sio hivyo tu ata ndani ya kitengo cha MOIS chenyewe ni Wachache sana wanaomjua na kwenye wachache hao wanaomjua bado tena kuna wachache sana wanaoijua background ya binti huyo mpaka kufikia apo.
Nilimueleza fatemeh Kuhusu hatua niliyofikia na shahzad, lakini pia nilimueleza Kuhusu kukutana na Rehman kabla ya safari yetu Kwani kulikua na mambo kadha wa kadha ya kuwekana sawa.

Fatemeh alinipa maelekezo ya kwenda kupumzika na mpaka ikifika asubuhi atakua tayari ana taarifa ya Rehman yote au kwa lugha rahisi atakua na file lote la bwana Rehman.

Mpaka wakati huo tayari nilishajua kila kitu kuhusu yule bwana Mohamed na wenzie kadhaa kwenye jengo hilo. Hivyo sikuona tena kama kuna haja ya kuwafuata kwa lolote kama watakua wananijua toka siku ya kwanza napanda meli ya Panama.

Kwakua fatemeh alisema usiku huo atautumia kupata taarifa zilizomuhusu Rehman basi niliamini anahitaji muda mwingi wa kukaa peke yake kuifanya kazi hiyo japo sikujua kazi hiyo inafanyika kama minajili ipi.
Nilichofanya mzee baba ni kuelekea kwenye room yangu kutafuta usingizi ili nijiandae na siku inayofuata kwa ajili ya kukutana na Rehman tupange mipango ya safari.

Hahaha hahahahah yaani kitu cha kuchekesha ni kwamba nilikua naenda kupanga mipango ya safari huku nikiwa sina hata mia mfukoni.

Nikiwa room nimepumzika mawaza yalisafiri mbali sana kwa usiku ule, naamini ni mawazo kwani hazikua ndoto na hakuna ndoto ya vile wala sijawahi kuota ndoto ya vile kwenye maisha Yangu.

Mpaka kufikia siku hiyo ni kwamba masiku yalishapita mengi sana ni kama mwaka umekatika bila mawasiliano na mtu yoyote wa nyumbani. Sio baba mama wala kaka zangu walijua nilipo kwa muda wote huo ambao nilikua haullaga na kisha Tehran huko Iran.
Nilijiona msaliti sana kwa familia lakini pia Sana sana kwa wazazi wangu wote wawili.

Ni hivi dunia ni ndogo sana ndugu zangu kama tunavyojulishwa na wana geografia kwamba ina mzingo wa kilometers zipatazo 44,000 hakika Dunia ni ndogo.

Kwa kurahisisha maneno niseme kwa mfano tu kutoka ubungo mpaka kigoma-buhigwe ni kilometers 1500, (tuelewane apa nimesema buhigwe) na kwa wazululaji wenzangu nadhani tunapajua buhigwe vizuri sana.

Nadhani apa tunazungumzia njia ile ya kupitia kahama nyakanazi kisha kibondo na kasulu alafu unapandisha mlima kuitafuta buhigwe ambayo buhigwe inaishia boda mnanila.


Lengo langu niseme nini apa, apa nilitaka tu niwaambie kama Dunia kwa mzingo wake ni hizo kilometers 44,000 basi ni sawa na kusema mtu atoke ubungo kwenda buhigwe mara 30 tu.

Yaani ndani ya nchi hii hii ukitoka ubungo kwenda buhigwe mara 30 utakua umeimaliza dunia hahaha hahaha hahah apa sijui mmenielewa kweli???

Anyway!!! Binafsi niliamini ndogo Kwani ndani ya muda mfupi sana niliweza kutembea umbali mrefu na sehemu nyingi sana kwenye dunia hii.

Basi bwana kumbe inawezekana kwa yeyote yule kufika popote pale ndani ya hii dunia kikubwa tu ni kuangalia umekutana na nani kwenye scenario ipi ilo ndilo lengo langu.



Lakini pia tujuzane kitu kimoja cha msingi sana hii ni kwa vijana ambao ndio wanajitafuta tafuta yaani hawana maisha kabisa kama wasemavyo watoto wa mjini.

Kwa vijana wa umri mdogo kuna kila sababu ya msingi ya kufikiria zaidi ya mara mbili unapofanya maamuzi yoyote hususani maamuzi ambayo yanaenda kubadili upepo wako wa upambanaji.

Kuamua maswala ya msingi ukiwa na mihemko either mihemko ya kushindwa jambo au mihemko ya kusalitiwa labda na ndugu au marafiki maamuzi ya namna hii hua yana impacts sana hivyo usifanye maamuzi kipindi hicho.

Mi nilifanya maamuzi ya kutokuendelea na shule baada ya kuona kuna mahala nimeshindwa na kuona nitazidi kumsononesha mzazi. Lakini maamuzi yale ya siku moja yamenifanya mpaka wakati huo nipo kwenye sintofahamu ya Maisha yangu.
Kuna msemo mmoja unasema kwamba YOU CAN'T LIVE OUTSIDE YOUR FATE,

Yaani hapa wanamaanisha kama ulipangiwa kwenye maisha yako utakua billionaire basi huo u billionaire utakufuata popote pale uendapo. Lakini sio hivyo tu, kama chief ulipangwa kufa masikini ukiwa huna ata kitanda basi utakufa hivyo ata ukimbilie wapi na mali zako.

Yaani umaskini utakufuata tu, hujawahi kuona watu wanatumia nusu ya maisha yao wakiwa ni matajiri na wana uwezo mkubwa lakini wanakuja kufa wakiwa hawana ata mahali pa kulala.

Bwana hao walikua wanajaribu kuikimbia fate yao huku wakisahau ya kwamba you can't live outside your fate.


Huu ni msemo tu usikukatishe tamaa ya kupambana na msemo huu unapingwa vikali na watu wanao amini kwenye kile kinachoitwa freewill.

Watu wa freewill wanaamini mtu anakua vile anavyotaka yeye mwenyewe kuwa, yaani kuwa tajiri au kuwa maskini inategemea na wewe mwenyewe umechagua nini kati ya hivyo.

Hizi concepts mbili yaani freewill na fatalism ni concepts tata sana kwa upande wa philosophy za maisha na dini hivyo tuachane nazo zisitupasue vichwa.

Siku nikipata muda tutaelezana vizuri na nina Iman wapo wanaozijua kuliko mimi, lakini shida ya hizi mambo kama ukiziamini sana unajikuta unatoka ata kwenye misingi ya dini na unaishi kipagani.


Point kubwa ni kwamba tutulie sana na halmashauri za vichwa vyetu tunapotaka kufanya maamuzi japo maamuzi yako yanaweza yasiwe sahihi lakini yakakupeleka uelekeo sahihi kulingana na fate yako.

Na wakati huohuo unaweza kufanya maamuzi sahihi Lakini yakakupeleka uelekeo usio sahihi kulingana na fate yako.

Mfano mrahisi, unaweza kuamua kukomaa na shule mpaka kufika vyuo vikuu kumbe ulitakiwa kukaa zako mtaani kukuza kipaji chako cha mpira. What next!! Unaanza kusumbua watu na bahasha zako za kaki kila siku ukitafuta connection.

Yote kwa yote kuna umri pia wa mtu kufanya maamuzi makubwa yanayoenda kuamua namna yake ya upambanaji.
 
Baada ya fatemeh kunitoa hofu kwa kusema kwamba lile lilikua ni swala dogo sana kwa upande wake. Hapo na mimi niliamini ni suala la muda tu Mambo yatakua yamedhihirika na tutakua tumjua Rehman kinagaubaga.

Baada ya breakfast nzito nilimuona fatemeh akirudisha ubize kwenye tarakirishi yake huku akiwasiliana na mtu kwa lugha ile ya kwao ambayo sikuweza kung'amua Chochote kwenye maongezi yale.

Na baada tu ya maongezi yale fatemeh alinipa taarifa ya yeye kutaka kutoka Ndani na kuelekea eneo ambalo anadhani anaweza maliza jambo lake kwa wepesi.

Alidai hakukua na haja ya yeye kufuatana na mimi, hivyo basi siku ile nitatakiwa kukaa tu home mpaka muda ambao yeye atarudi ili tuendelee na ratiba nyingine za kukamilisha mipango ya safari yetu.

Kama kawaida yake haikumchukua muda mreefu kujiandaa kama ilivyo kwa wadada wengine, dakika tano tu zilimtosha sana kujiandaa na kuwa tayari kwa ajili ya kutoka.

Kwakua sikuhiyo mkushi nilitakiwa kushinda home basi wakati yeye anajiandaa kwa ajili ya safari na mimi nikaenda zangu room kupunguza nguo ili mwili usibanwe sana.

Ratiba yangu kwa siku hiyo nilipanga kuanza na mipango ya safari katika namna ya mahali pa kufikia nikisha ingia Dar, wenyewe waliozaliwa kwenye mji wao nakumbuka walikua wanapaita Dizzim wakati tupo school.


Lakini pia kwa siku hiyo nilipanga kuangalia muvi ambazo mara kadhaa niliziona mule ndani lakini nilikosa tu muda wa kuruka nazo. Hivyo basi sikuhiyo niliona inafaa sana kupoteza muda kwenye muvi hizo pia.

Nikiwa Ndani ya boxa tu mzee baba nilijiachia kwenye sebule la mtoto wa kiajemi utafikiri nilikua najua ata bei ya zulia au pazia ahahah hahah

Fatemeh alitoka akiwa katika muonekano wake ule ule wa kila siku yaani mavazi ya Design ile ile ambayo ndio yalikua pendwa sana na wakina mama na wasichana wa Tehran.

Fatemeh aliniaga huku akinisisitza nisitoke ndani umo kuelekea popote mpaka yeye atakapo rudi, yaani utadhani ameacha mtoto wa miaka mitano ambaye anapenda kutembea hovyo kwa jinsi alivyokua anasisitiza.
Kama kawaida sikutaka nibaki kinyonge sana peke yangu mule Ndani, nilimsindikiza na goodbye kiss ambalo nilimpiga kwa timing kali sana.

Wakati huo gari yetu Ile ile ya kila siku ikiwa nje inamsubiri ikamtembeze kwenye mizunguko yake ya siku hiyo.

Hazikupita ata dakika 10 toka fatemeh ashuke chini kupitia lift ya jengo lile kwa ajili ya kwenda kwenye gari. Ndipo na mimi nikiwa nimejiachia sitting room nilisikia kengele ya mlango ikilia kama ishara ya uwepo wa mtu anaetaka kuingia Ndani.

Sasa hapo niliwaza ata kuwa ni nani huyo aliyepo mlangoni, Kwani kama ni fatemeh hua hanaga tabia ya kubonyeza kengele yeye kawaida yake ni kuingia moja kwa moja tena bila ata hodi.


Lakini pia niliwaza kwamba kawaida hakunaga mgeni yeyote anakuja kwenye nyumba ile tokea siku nimefika hapo zaidi ya watu wa delivery pekee. Sasa mtu huyo alikua ni nani kwa nini amakuja baada ya kuondoka fatemeh tu,

Nikiwa naendelea kujiuliza maswali ya hapa na pale yule mtu aliendelea kubonyeza kengele kwa fujo sana akionesha alikua na shida ya kuingia Ndani kwa Wakati huo.

Niliona sio kesi baada ya kukumbuka jengo lile halikaliwa na watu wa kawaida kwani kulingana na fatemeh mwenyewe ni kwamba ndani ya jengo lile 90% ni wale wazee wa MOIS.

Jengo lile halikua na tofauti na yale makazi ya pale makumbusho kwenye ile fensi ya hospital aliyofia MWAMBA kama hujapajua basi we bado saaaanaa

Si nikatoka mpaka mlangoni bwana, hahahaha hahaahahaha haha,
kumbe nilikua na boxa tu na sikua nimevaa Chochote, hivyo pale pale mlangoni kabla mgeni wangu hajaongea chochote aliniomba nikavae kwanza.

Na hapo ndipo na mimi nikastuka kumbe nilikua na boxa tu, kwa bahati nzuri alikua ni mgeni wa kiume tena alikua ni Rehman bwana,

Nilichofanya ni kufunga mlango kwanza na kumuacha palepale nje akiwa ananisubiri na mimi nikaelekea kwenye room yangu ili nivae suruali kwanza.

Ila mpaka hapo akili ilikua imeshavirugika Kuhusu huyu jamaa, Kwani ni mimi ndiye niliyechukua address yake nikimaanisha sikutaka ajue nilipo lakini pia sikutaka anisumbue kuhusu safari.
Swali je! Alipajuaje pale kwenye ile apartment kama ndipo ninapo ishi?

Aliwezaje kupita kule getini ambako kulikua na ulinzi pia yaani mtu wa kawaida huwezi ingia ndani umo kizembe zembe.

Narudia tena kwenye mfano uleule wa pale makumbusho kwenye makazi ya ndugu zetu wale, sidhani kama ni rahisi hivyo mtu kuingia pale kwa anaepajua.

Kwa ninavyojua ata ukiegesha gari au pikipiki eneo lile kibarua utakua nacho siku hiyo maana wale askari wao sijui wanakua wamefundisha au wamewekewa nini kwenye roho zao uko walikotoka.

Ngumu kunielewa kama hujawahi kuingia kwenye anga za wale jamaa wa makumbusho ambao ni hao hao tunawaona pia kwenye zile fensi za ikulu na sare zao zile ambazo hazieleweki,

Hazieleweki kwa maana ya kwamba ukiwa mbali utawaona kama wanajeshi ukiwa sogerea karibu ile sare yao inakua kama kitenge cha JKT ambacho maarufu tuna kiita karanga.

Hahahahah hahah

Anyway!! Apa nachotaka kumaanisha ni kwamba hao jamaa wanakuaga wakali sana ukiingia kwenye njia zao hususani kwenye mipaka wanayolinda.

Sijabahatika kujua wale askari wanaitwa jina gani ila walioingia anga zao tayari wamenielewa, ni askari ambao huwakuti popote zaidi ya maeneo hayo nyeti tu.
( Sio auxiliary police )

Tuwaache tu hawa jamaa ila kiukweli mimi ni moja ya watu waliowahi kunichanganya kuingia anga zao, kilichonikuta ni mungu ndio anajua sema jamaa nawakubali sana yaani wapo commited hadi raha.

Alafu they are too straight forward, hawana mboyoyo mingi kabisa yaani ukijichanganya anakunyoosha chap!!! alafu unapotea unaenda kumuonyesha majeraha mkeo.

Siku niliyokutana nao hao jamaa nilikua high sana lakini ganja ziliisha within a second kwa walichonionyesha.

Kwakua sikuwahi kuona zile sare zao hapo kabla basi mangi si nikajua wale majamaa ni mgambo wa jiji la kinondoni, kilichonikuta sasa!!!! Turudi kwenye simulizi yetu.


Lengo la hizo soga fupi zilizowahusu hao jamaa ilikua ni kutoa mfano wa askari waliokua wanakaa kwenye jengo lile la apartment aliyokua anaishi fatemeh.

Askari hao walikua harsh pia ikitokea umejichanganya, sasa mawazo yangu kwa Wakati huo ilikua ni kwa namna gani Rehman amefanikiwa kuingia Ndani ya jengo lile.

Na kwanini asubiri fatemeh aondoke, Kwani sikutaka kuamini eti ni bahati mbaya yeye kutokumkuta fatemeh pale. Niliamini alijua fatemeh ameondoka na ndio yeye kaja kuonana na mimi.

Wakati natafuta suruali huku nikijiuliza maswali mengi nikasikia tena kengele ikilia kwa mara ya pili. Tena safari hii alibonyeza mfululizo na kwa haraka akimaanisha nachelewa sana kutoka ndani.

Kiukweli sikua na mpango wa kumuingiza Rehman ndani ya nyumba ya fatemeh kwa namna yeyote ile lazima maongezi yetu yangefanyika nje ya nyumba ile.

Sababu za kufanya hivyo zilikua mbili tu na za msingi kwa Wakati huo.

Sababu ya kwanza, fatemeh mwenyewe aliwahi kutamka hakuna mgeni au mtu amewahi kufika hapo mbali na watu wa delivery ambao wanakuja baada ya kupewa taarifa ya uhitaji wa bidhaa.

Sababu ya pili ni kwamba mpaka wakati huo fatemeh hakua na taarifa au hakua amepata taarifa za kujiridhisha zilizomuhusu Rehman. Hivyo bado hatukua na uhakika kuhusu Rehman kuwa anaweza kuwa adui au mtu mzuri kwetu.


Hivyo mpaka hapo sikuona sababu ya kumkaribisha ndani Bwana Rehman kutokana na kile kilichokua kinasemwa na fatemeh.

Nilitoka nje chap huku nikimalizia kufunga mkanda wa suruali yangu mlangoni.

MIMI: Rehman!!!! How did you get here?
( Bwana Rehman umepajuaje hapa)

REHMAN: let me in
( Niruhusu niingie ndani basi)

MIMI: no i can't
( Hapana siwezi )



Nilimkatalia Rehman kuingia ndani huku nikimsisitiza kama anamaongezi tunaweza kuyaongea palepale nje.
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Sikutaka kuongea maneno mengi Nilimpa maelekezo Rehman tuelekee floor ya mwisho juu ya jengo hilo. Nilifanya hivyo kwanza kabisa kwa kuamini hakuna mtu ambae atakuwepo huko na kuingilia maongezi yetu.

Pili nilifanya hivyo ili kutokukaidi maagizo ya fatemeh kwani alinihasa sana kuhusu kutoka home siku ile.

Rehman alionekana tofauti kidogo kwa siku hiyo kwani alionekana ni mtu anajiamini sana na hakuhofia chochote kuwa kwenye jengo lile ambalo mara nyingi lilikua kimya siku saba za wiki na masaa yake 24.

Eneo lile la floor ya mwisho juu kabisa lilikua na sehemu kubwa ya wazi lakini pia sehemu ya kupumzika watu na kupiga stories ilikuwepo.
Tulipofika eneo hilo ni kama nilivyokuwa nawaza, hakukua na dalili ya kuwepo mtu yeyote yule hivyo tulikua ni Mimi na Rehman peke yetu.

Tulipoketi kwenye viti ambavyo vilipangwa vizuri kuzunguka meza nilianzisha maongezi,

MIMI: Did you understand why I took your address and I did not give you mine
( Hivi ulielewa kwanini nilichukua anuani yako na sikukupa yangu)

REHMAN: I know what you want to ask, so stop repeating the same questions
( Najua unachotaka kuuliza acha kurudia rudia maswali)

Alichokisema ni kweli, kwani apo nilikua nazunguka tu lakini swali langu lilikua ni amefikaje hapo.
MIMI: ok..!!! Mr Rehman, I need to know who I will travel with between Rehman a Prisoner and Rehman who is a Soldier.
( Sawa bwana Rehman, kabla ya yote nahitaji kujua nitasafiri na Nani kati Rehman mfungwa na huyu Rehman askari)

Kabla Rehman hajajibu chochote nilisikia mtu anapiga makofi nyuma yetu,

na Kwa jinsi tulivyokua tumekaa ni wazi Rehman alikua anamuona mtu anaepiga makofi kwani mimi nilikua nimempa mgongo huku nikitazamana na Rehman.

MOHAMED: this guy is too clever
( Huyu dogo anaakili sana)


Bila Shaka ilikua ni sauti ya Mohamed yule askari niliyekutana nae kwenye basement na akaniahidi nimtafute endapo nitakua na changamoto yoyote.

Nilishangaa ametembeaje bila mimi kujua au kumsikia mpaka ametukaribia kabisa kiasi kwamba anaweza akasikia maongezi yetu yote.

Lakini pia nilijiuliza kuna uhusiano gani kati yake na Rehman kwani ilionekana kabisa Rehman alikua akimuona wakati anatusogerea na hakunistua wala kuongea chochote.

Mohamed alikuja kujiunga na yeye kwenye kile kikao chetu tena bila hata kumkaribisha alifika akasogeza kiti kama na yeye anahusika kwenye yale maongezi.

Nilichofanya mimi ni kugeuza mada moja kwa moja ili usijue tulikua tunazungumzia kitu gani.

MIMI: While we were there in the 30-Tir STREET I saw very beautiful girls.

( Basi bwana tukiwa pale 30-Tir niliona watoto wakali wametapakaa mtaa mzima.)

MOHAMED: stupidity
( Jinga hili )

Mpaka hapo nilijua Mohamed amejua kama nilibadili mada kwa ajili ya kuhakikisha yeye hajui nilikua na agenda gani na Rehman.

Mohamed alinikosoa kwa kusema hakuna demu niliyemuona hapo kwa siku hiyo zaidi ya kuzunguka zunguka na fatemeh na kumnyonya mate tu na baada ya kurudi hivyo nisiwaongopee.


Kwa jinsi alivyokua anaelezea Mohamed ni kama tulikua nae siku ile tulivyoenda ule mtaa wa 30-Tir, na niliamini alikuwepo karibu na sisi kutokana na maneno ya fatemeh kwamba kumbe hao jamaa wakina Mohamed ni walinzi wa karibu wa fatemeh.

Sasa Rehman nae akatia neno,

"Hivi Unajua huyu dogo akiwa ndani na fatemeh hawavai nguo bwana."

Hahaha hahahahah hahaha hahahahaha
( Vilikua ni vicheko vya Rehman na Mohamed)

Rehman aliendelea kusema ameshuhudia hilo baada ya kuja kubisha hodi alafu mangi nikatoka na kaboxa tu.


Sasa hapa bwana jamaa walianza kunichanganya,.kwani ilionekana wazi kabisa Rehman na Mohamed ni washkaji na wanajuana vizuri tu.

MIMI: By the way, you know me before
( Kwaiyo Rehman ulikua unanijua kabla )

REHMAN: Who do you think the driver of your car is?
( Unafikiri dereva wa gari yenu ni nani)

Rehman aliendelea kusema kuwa dereva kama sio yeye basi Mohamed au yule bonge niliyemuona kule basement wakati namtafuta Mohamed.

Tena alisema kuna siku nilimletea ujinga sikutaka kufunga mlango niki target ashuke nimuone,.alisema siku ile ilikua kidogo ashuke aje anichape makofi sema tu alinionea huruma.
Sasa mpaka hapo nilikua kwenye sintofahamu kwani fatemeh nae alikua hawajui hawajamaa na kwa maana hiyo mimi ndio nimeanza kuwa gundua.

Mohamed alitoa sigara moja hivi ambayo haikua na brand yeyote na kisha kuiwasha na akatoa nyingine ambayo alimpatia Rehman.

Na mpaka wakati huo tayari nilishakua nimegundua kuwa hao wote ni team moja na hivyo fatemeh asingeweza kupata taarifa za Rehman kirahisi kama alivyokua anafikiria kwani hakua raia wa kawaida kama alivyofikiria.

Rehman aliniwekea sigara ile mdomoni kisha akachukua lighter na kuniwashia huku akiniambia anajua kama natumia vile vitu. Kiukweli haikua sigara kama nilivyofikiria, ilikua ni weed bwana sema kwa namna ilivyotengenezwa huwezi jua kama ni ganja.
Hapo sasa nikaanza kupata kaunafuu baada ya kuona Mohamed, Rehman na mimi tunashare interest yaani wote tulikua wavutaji na wao walikua wanajua kama mimi nimvutaji pia.

Nakumbuka maneno ya Mohamed akiwa bize na kuvuta weed yake alisema ametokea kunikubali sana,

Amenikubali katika namna mbili, ya kwanza kabisa alisema nipo makini sana na ninajua kumsoma mtu na ninafaa sana kwenye baadhi ya mambo huku akisisitiza hawakukosea kunichagua.

Alisema amegundua hilo kupitia uwezo wangu wa kukaa na watu ambao walishashindikana kwa baadhi ya watu kukaa nao. Apa aligusia pia kuhusu namna ninavyo mtreat fatemeh wao hawakutarajia kama naweza kumchezea vile mwanadada mafia huyo.
Ilionekana kama wao kuna namna wanamjua vizuri fatemeh kuliko mimi ambae nimekutana nae siku chache zilizopita.

Wakati huohuo akisema nahitaji kuelekezwa mambo machache sana na baada ya hapo nitakua na unyama mwingi sana kwenye tasnia yao.

Mohamed alinipa sifa nyingi ambazo kimsingi sikuona kama zinanifaa kwani sikuona kama kuna jambo lolote la maana nimelifanya au nimewafanyia.

Mohamed alisema idara yao imeridhia kabisa mimi niendelee kukaa na fatemeh tena ikiwezekana nijiweke kabisa na watanipa mbinu niache kufosi kula tunda kwa mbinu zangu za kitoto.

Ila alisema kabla ya kujiweka Rasmi kwa fatemeh nitatakiwa kupewa maelekezo ya ziada ya namna gani nitaishi nae na nini nifanye.
Niliuliza ni maelekezo gani hayo, lakini safari hii aliyejibu alikua ni Rehman na alisema ata wao hawajui kwani ni maelekezo kutoka juu.

Kuhusu fatemeh kufuatilia taarifa ya Rehman walisema huko alipoenda ataambiwa kila kitu na atambiwa watu wote wanaomzunguka ili kumhakikishia usalama wake.

Hivyo basi kwa lugha rahisi ni kwamba Rehman na Mohamed walikua ni sehemu ya watu hao ambao kazi yao ilikua ni kumpa ulinzi mwana mama huyo nguli wa udukuzi na mambo yote ya TEHAMA kwenye kitengo hichi cha MOIS.

Kwanini fatemeh hakua anajua kama ana ulinzi hapo kabla,



Kwa mujibu wa bwana Mohamed ni kwamba muda wote huo fatemeh alikua anatengezwa kuwa yule wanaemtaka wao, hivyo basi kwa ujio wangu pia unaonekana kuwa ni msaada kwenye kufikia malengo hayo.

Nimekua msaada katika minajili ipi, tuendelee kuwa pamoja hapo baadae tutajua tu.

Wakisha kumaliza kile walichokusudia ndipo watamuweka wazi kila kitu kuhusu maisha yake na mambo mengine ambayo alikua hayajui. Ila kwa Wakati huo alifichwa baadhi ya mambo kwa maslahi ya taifa lake na taasisi yake kwa ujumla.

Wakati napiga story na hawa jamaa huku tukiendelea kuvuta sigara kubwa, tulikua tumekaa katika namna flani hivi friendly sana yaani endapo angetokea yeyote angejua tulikua marafiki wa mda mrefu.
Na wakati tunaendelea walinitoa hofu ya kutokufika mtu yeyote eneo lile hivyo natakiwa nivute kwa ku relax kama wanavyofanya wao. Lakini pia kuhusu kurudi kwa fatemeh nyumbani waliniambia nisihofu pia kwani wao wanaratiba zote za fatemeh.

Kumuweka fatemeh under intensive care ilikua ni wazo la wakuu wa idara baada ya kuona wamesha poteza watu wengi sensitive kwenye idara yao kwa aidha usaliti au kuuawa kama nilivyokwisha toa takwimu kadhaa apo nyuma.

Hivyo hawakua na budi kumchunga fatemeh kwa udi na uvumba na huku ukizingatia wao wenyewe ndio wamempika kijana huyo mpaka kuwa bora kiasi kile.

Kwa upande wangu jamaa walinisifia huku wakisema kama nitaongezewa mambo machache sana na nikiondoa na baadhi ya vitabia kuna uwezekano mkubwa nikawa mtu hatari pia kwa tasnia hiyo.
Baada ya kuwa nimeskia maneno yale yanayonisifia kwamba kuna uwezekano mkubwa na mimi nikitengenezwa naweza kuwa tishio, basi nikakumbuka zile story za kwenye vijiwe vya kahawa vya stesheni na k/koo.

Vijiwe hivi mara kadhaa unakuta kuna story zinasema Tanzania kwa Africa inaongoza kwa kuwa majasusi bora na ata kwenye kutengeneza spy ring. Hivyo nikaamini eti! sifa hizo walizonipa zinatokana na nature ya nchi yangu kwenye masuala ya kijasusi.

Lakini Rehman na Mohamed kwa pamoja walinipinga vikali sana wakidai sio kweli kwa kile ninachokisema.

Walitoa maneno mengi ya kejeli kwa kuipinga sentensi yangu huku wakidai ya kwamba kuna baadhi ya vitu vikiachwa au vikifutwa na idara husika basi apo tunaweza kujaribu kusema sisi ni wa bora mbele ya mataifa mengine ya Africa.
Mbali na hapo waligusia pia kuhusu nature ya maadui na majirani zetu wanaotuzunguka kwenye ukanda huu.

Apa walidai kuwa nchi yetu bado changa sana katika nyanja zote kuanzia uchumi mpaka kwenye siasa lakini hatuna maadui tishio, je! Tulipima vipi ubora au uimara wa idara yetu.

Nilijaribu kujitetea kwamba majirani zetu wengi walishamaliza vita zao hivyo kwa sasa hakuna namna ya kuthibitisha ubora wa idara hiyo.

Rehman alicheka sana na akaniuliza mambo machache sana mfano;
nilisikia wapi ujasusi hufanywa kwenye vita pekee,

Je! Sijawahi kusikia ujasusi kwenye uchumi na biashara?
Sijawahi kusikia ujasusi kwenye technology, habari, sanaa na michezo?

Nilikosa point nikaamua kukaa kimya tu Kwani ilionekana wazi jamaa hawakutaka kusikia Chochote kuhusu mimi kuisifia nchi yangu.

Na waliongea shit nyingi hususani bwana Rehman ambae yeye anadai alifika bongo na kushuhudia matundu na madhaifu mengi kwenye idara zetu za ulinzi na usalama.

Kwa uzalendo wangu sikua tayari kuyapokea mapungufu yale hata kama sikua nikijua lolote kuhusu tasnia husika.

Kiukweli siku hiyo story zilikua nyingi sana na jamaa walinieleza mengi huku wakinihusia nisijaribu kufanya jambo lolote kinyume na matakwa yao kwani wapo na mimi kila ninapoenda.

Niliamini swala la wao kuwa na mimi kila mahala baada tu ya kumuona au kujua kuwa Rehman alikua ni sehemu ya jamaa hao.

Lakini jambo lingine lililonifurahisha ni baada ya mimi kujua Rehman ni sehemu yao hao jamaa hivyo niliamini safari yetu ya kurudi bongo itakua nyepesi sana.

Na mpaka muda huo nilikua nasubiri feedback kutoka kwa fatemeh,. kwakua jamaa walisema fatemeh kwa siku hiyo atajua mengi kama alivyojua siku moja nyuma kabla ya siku hiyo.

Lakini pia walidai anaweza akakabidhiwa file lililokua na kesi ya mauaji ya zahra na file hilo lina mambi mengi ya ziada yanayohusu maisha yake fatemeh mwenyewe.


Hapo kabla hakukabidhiwa file hilo wakiamini hakua matured enough kubeba mambo yaliyomo ndani ya file hilo.
 
Sikutaka kuongea maneno mengi Nilimpa maelekezo Rehman tuelekee floor ya mwisho juu ya jengo hilo. Nilifanya hivyo kwanza kabisa kwa kuamini hakuna mtu ambae atakuwepo huko na kuingilia maongezi yetu.

Pili nilifanya hivyo ili kutokukaidi maagizo ya fatemeh kwani alinihasa sana kuhusu kutoka home siku ile.

Rehman alionekana tofauti kidogo kwa siku hiyo kwani alionekana ni mtu anajiamini sana na hakuhofia chochote kuwa kwenye jengo lile ambalo mara nyingi lilikua kimya siku saba za wiki na masaa yake 24.

Eneo lile la floor ya mwisho juu kabisa lilikua na sehemu kubwa ya wazi lakini pia sehemu ya kupumzika watu na kupiga stories ilikuwepo.
Tulipofika eneo hilo ni kama nilivyokuwa nawaza, hakukua na dalili ya kuwepo mtu yeyote yule hivyo tulikua ni Mimi na Rehman peke yetu.

Tulipoketi kwenye viti ambavyo vilipangwa vizuri kuzunguka meza nilianzisha maongezi,

MIMI: Did you understand why I took your address and I did not give you mine
( Hivi ulielewa kwanini nilichukua anuani yako na sikukupa yangu)

REHMAN: I know what you want to ask, so stop repeating the same questions
( Najua unachotaka kuuliza acha kurudia rudia maswali)

Alichokisema ni kweli, kwani apo nilikua nazunguka tu lakini swali langu lilikua ni amefikaje hapo.
MIMI: ok..!!! Mr Rehman, I need to know who I will travel with between Rehman a Prisoner and Rehman who is a Soldier.
( Sawa bwana Rehman, kabla ya yote nahitaji kujua nitasafiri na Nani kati Rehman mfungwa na huyu Rehman askari)

Kabla Rehman hajajibu chochote nilisikia mtu anapiga makofi nyuma yetu,

na Kwa jinsi tulivyokua tumekaa ni wazi Rehman alikua anamuona mtu anaepiga makofi kwani mimi nilikua nimempa mgongo huku nikitazamana na Rehman.

MOHAMED: this guy is too clever
( Huyu dogo anaakili sana)


Bila Shaka ilikua ni sauti ya Mohamed yule askari niliyekutana nae kwenye basement na akaniahidi nimtafute endapo nitakua na changamoto yoyote.

Nilishangaa ametembeaje bila mimi kujua au kumsikia mpaka ametukaribia kabisa kiasi kwamba anaweza akasikia maongezi yetu yote.

Lakini pia nilijiuliza kuna uhusiano gani kati yake na Rehman kwani ilionekana kabisa Rehman alikua akimuona wakati anatusogerea na hakunistua wala kuongea chochote.

Mohamed alikuja kujiunga na yeye kwenye kile kikao chetu tena bila hata kumkaribisha alifika akasogeza kiti kama na yeye anahusika kwenye yale maongezi.

Nilichofanya mimi ni kugeuza mada moja kwa moja ili usijue tulikua tunazungumzia kitu gani.

MIMI: While we were there in the 30-Tir STREET I saw very beautiful girls.

( Basi bwana tukiwa pale 30-Tir niliona watoto wakali wametapakaa mtaa mzima.)

MOHAMED: stupidity
( Jinga hili )

Mpaka hapo nilijua Mohamed amejua kama nilibadili mada kwa ajili ya kuhakikisha yeye hajui nilikua na agenda gani na Rehman.

Mohamed alinikosoa kwa kusema hakuna demu niliyemuona hapo kwa siku hiyo zaidi ya kuzunguka zunguka na fatemeh na kumnyonya mate tu na baada ya kurudi hivyo nisiwaongopee.


Kwa jinsi alivyokua anaelezea Mohamed ni kama tulikua nae siku ile tulivyoenda ule mtaa wa 30-Tir, na niliamini alikuwepo karibu na sisi kutokana na maneno ya fatemeh kwamba kumbe hao jamaa wakina Mohamed ni walinzi wa karibu wa fatemeh.

Sasa Rehman nae akatia neno,

"Hivi Unajua huyu dogo akiwa ndani na fatemeh hawavai nguo bwana."

Hahaha hahahahah hahaha hahahahaha
( Vilikua ni vicheko vya Rehman na Mohamed)

Rehman aliendelea kusema ameshuhudia hilo baada ya kuja kubisha hodi alafu mangi nikatoka na kaboxa tu.


Sasa hapa bwana jamaa walianza kunichanganya,.kwani ilionekana wazi kabisa Rehman na Mohamed ni washkaji na wanajuana vizuri tu.

MIMI: By the way, you know me before
( Kwaiyo Rehman ulikua unanijua kabla )

REHMAN: Who do you think the driver of your car is?
( Unafikiri dereva wa gari yenu ni nani)

Rehman aliendelea kusema kuwa dereva kama sio yeye basi Mohamed au yule bonge niliyemuona kule basement wakati namtafuta Mohamed.

Tena alisema kuna siku nilimletea ujinga sikutaka kufunga mlango niki target ashuke nimuone,.alisema siku ile ilikua kidogo ashuke aje anichape makofi sema tu alinionea huruma.
Sasa mpaka hapo nilikua kwenye sintofahamu kwani fatemeh nae alikua hawajui hawajamaa na kwa maana hiyo mimi ndio nimeanza kuwa gundua.

Mohamed alitoa sigara moja hivi ambayo haikua na brand yeyote na kisha kuiwasha na akatoa nyingine ambayo alimpatia Rehman.

Na mpaka wakati huo tayari nilishakua nimegundua kuwa hao wote ni team moja na hivyo fatemeh asingeweza kupata taarifa za Rehman kirahisi kama alivyokua anafikiria kwani hakua raia wa kawaida kama alivyofikiria.

Rehman aliniwekea sigara ile mdomoni kisha akachukua lighter na kuniwashia huku akiniambia anajua kama natumia vile vitu. Kiukweli haikua sigara kama nilivyofikiria, ilikua ni weed bwana sema kwa namna ilivyotengenezwa huwezi jua kama ni ganja.
Hapo sasa nikaanza kupata kaunafuu baada ya kuona Mohamed, Rehman na mimi tunashare interest yaani wote tulikua wavutaji na wao walikua wanajua kama mimi nimvutaji pia.

Nakumbuka maneno ya Mohamed akiwa bize na kuvuta weed yake alisema ametokea kunikubali sana,

Amenikubali katika namna mbili, ya kwanza kabisa alisema nipo makini sana na ninajua kumsoma mtu na ninafaa sana kwenye baadhi ya mambo huku akisisitiza hawakukosea kunichagua.

Alisema amegundua hilo kupitia uwezo wangu wa kukaa na watu ambao walishashindikana kwa baadhi ya watu kukaa nao. Apa aligusia pia kuhusu namna ninavyo mtreat fatemeh wao hawakutarajia kama naweza kumchezea vile mwanadada mafia huyo.
Ilionekana kama wao kuna namna wanamjua vizuri fatemeh kuliko mimi ambae nimekutana nae siku chache zilizopita.

Wakati huohuo akisema nahitaji kuelekezwa mambo machache sana na baada ya hapo nitakua na unyama mwingi sana kwenye tasnia yao.

Mohamed alinipa sifa nyingi ambazo kimsingi sikuona kama zinanifaa kwani sikuona kama kuna jambo lolote la maana nimelifanya au nimewafanyia.

Mohamed alisema idara yao imeridhia kabisa mimi niendelee kukaa na fatemeh tena ikiwezekana nijiweke kabisa na watanipa mbinu niache kufosi kula tunda kwa mbinu zangu za kitoto.

Ila alisema kabla ya kujiweka Rasmi kwa fatemeh nitatakiwa kupewa maelekezo ya ziada ya namna gani nitaishi nae na nini nifanye.
Niliuliza ni maelekezo gani hayo, lakini safari hii aliyejibu alikua ni Rehman na alisema ata wao hawajui kwani ni maelekezo kutoka juu.

Kuhusu fatemeh kufuatilia taarifa ya Rehman walisema huko alipoenda ataambiwa kila kitu na atambiwa watu wote wanaomzunguka ili kumhakikishia usalama wake.

Hivyo basi kwa lugha rahisi ni kwamba Rehman na Mohamed walikua ni sehemu ya watu hao ambao kazi yao ilikua ni kumpa ulinzi mwana mama huyo nguli wa udukuzi na mambo yote ya TEHAMA kwenye kitengo hichi cha MOIS.

Kwanini fatemeh hakua anajua kama ana ulinzi hapo kabla,



Kwa mujibu wa bwana Mohamed ni kwamba muda wote huo fatemeh alikua anatengezwa kuwa yule wanaemtaka wao, hivyo basi kwa ujio wangu pia unaonekana kuwa ni msaada kwenye kufikia malengo hayo.

Nimekua msaada katika minajili ipi, tuendelee kuwa pamoja hapo baadae tutajua tu.

Wakisha kumaliza kile walichokusudia ndipo watamuweka wazi kila kitu kuhusu maisha yake na mambo mengine ambayo alikua hayajui. Ila kwa Wakati huo alifichwa baadhi ya mambo kwa maslahi ya taifa lake na taasisi yake kwa ujumla.

Wakati napiga story na hawa jamaa huku tukiendelea kuvuta sigara kubwa, tulikua tumekaa katika namna flani hivi friendly sana yaani endapo angetokea yeyote angejua tulikua marafiki wa mda mrefu.
Na wakati tunaendelea walinitoa hofu ya kutokufika mtu yeyote eneo lile hivyo natakiwa nivute kwa ku relax kama wanavyofanya wao. Lakini pia kuhusu kurudi kwa fatemeh nyumbani waliniambia nisihofu pia kwani wao wanaratiba zote za fatemeh.

Kumuweka fatemeh under intensive care ilikua ni wazo la wakuu wa idara baada ya kuona wamesha poteza watu wengi sensitive kwenye idara yao kwa aidha usaliti au kuuawa kama nilivyokwisha toa takwimu kadhaa apo nyuma.

Hivyo hawakua na budi kumchunga fatemeh kwa udi na uvumba na huku ukizingatia wao wenyewe ndio wamempika kijana huyo mpaka kuwa bora kiasi kile.

Kwa upande wangu jamaa walinisifia huku wakisema kama nitaongezewa mambo machache sana na nikiondoa na baadhi ya vitabia kuna uwezekano mkubwa nikawa mtu hatari pia kwa tasnia hiyo.
Baada ya kuwa nimeskia maneno yale yanayonisifia kwamba kuna uwezekano mkubwa na mimi nikitengenezwa naweza kuwa tishio, basi nikakumbuka zile story za kwenye vijiwe vya kahawa vya stesheni na k/koo.

Vijiwe hivi mara kadhaa unakuta kuna story zinasema Tanzania kwa Africa inaongoza kwa kuwa majasusi bora na ata kwenye kutengeneza spy ring. Hivyo nikaamini eti! sifa hizo walizonipa zinatokana na nature ya nchi yangu kwenye masuala ya kijasusi.

Lakini Rehman na Mohamed kwa pamoja walinipinga vikali sana wakidai sio kweli kwa kile ninachokisema.

Walitoa maneno mengi ya kejeli kwa kuipinga sentensi yangu huku wakidai ya kwamba kuna baadhi ya vitu vikiachwa au vikifutwa na idara husika basi apo tunaweza kujaribu kusema sisi ni wa bora mbele ya mataifa mengine ya Africa.
Mbali na hapo waligusia pia kuhusu nature ya maadui na majirani zetu wanaotuzunguka kwenye ukanda huu.

Apa walidai kuwa nchi yetu bado changa sana katika nyanja zote kuanzia uchumi mpaka kwenye siasa lakini hatuna maadui tishio, je! Tulipima vipi ubora au uimara wa idara yetu.

Nilijaribu kujitetea kwamba majirani zetu wengi walishamaliza vita zao hivyo kwa sasa hakuna namna ya kuthibitisha ubora wa idara hiyo.

Rehman alicheka sana na akaniuliza mambo machache sana mfano;
nilisikia wapi ujasusi hufanywa kwenye vita pekee,

Je! Sijawahi kusikia ujasusi kwenye uchumi na biashara?
Sijawahi kusikia ujasusi kwenye technology, habari, sanaa na michezo?

Nilikosa point nikaamua kukaa kimya tu Kwani ilionekana wazi jamaa hawakutaka kusikia Chochote kuhusu mimi kuisifia nchi yangu.

Na waliongea shit nyingi hususani bwana Rehman ambae yeye anadai alifika bongo na kushuhudia matundu na madhaifu mengi kwenye idara zetu za ulinzi na usalama.

Kwa uzalendo wangu sikua tayari kuyapokea mapungufu yale hata kama sikua nikijua lolote kuhusu tasnia husika.

Kiukweli siku hiyo story zilikua nyingi sana na jamaa walinieleza mengi huku wakinihusia nisijaribu kufanya jambo lolote kinyume na matakwa yao kwani wapo na mimi kila ninapoenda.

Niliamini swala la wao kuwa na mimi kila mahala baada tu ya kumuona au kujua kuwa Rehman alikua ni sehemu ya jamaa hao.

Lakini jambo lingine lililonifurahisha ni baada ya mimi kujua Rehman ni sehemu yao hao jamaa hivyo niliamini safari yetu ya kurudi bongo itakua nyepesi sana.

Na mpaka muda huo nilikua nasubiri feedback kutoka kwa fatemeh,. kwakua jamaa walisema fatemeh kwa siku hiyo atajua mengi kama alivyojua siku moja nyuma kabla ya siku hiyo.

Lakini pia walidai anaweza akakabidhiwa file lililokua na kesi ya mauaji ya zahra na file hilo lina mambi mengi ya ziada yanayohusu maisha yake fatemeh mwenyewe.


Hapo kabla hakukabidhiwa file hilo wakiamini hakua matured enough kubeba mambo yaliyomo ndani ya file hilo.
Safiiiiiii
 
TUNAENDELEA WAKUU.

Story na wale jamaa zilinifanya nizidi kuwa huru zaidi ya ilivyokua hapo kabla, na mpaka wakati huo nilijua kuwa Rehman ndio aliyeniwekea ile memo siku ile nikiwa msikitini.

Na wenyewe pia walikubali kuwa Tala ni fatemeh, na jina hilo alipewa wakati akiwa bado mdogo sana na mlezi wake wa hapo mwanzo ambaye aliitwa Zahra.

Kiukweli niliyajua mengi sana kwa siku hiyo na ni moja kati ya siku niliyowahi kuvuta sigara kubwa ambayo mpaka leo sijawahi kuipata tena.

Kwa mujibu wa mohamed ni kwamba ganja ile waliyokuwa wanatumia ilitokea au ilikua inazalishwa huko kaskazini mwa India. Na kwa jina maarufu iliitwa Idukki gold, ni moto wa kuotea mbali na kama una kichwa ya kuku hii kitu pita nayo mbali sana bwashee hahah hahaha.
Nimetumia neno hilo kichwa ya kuku kwasababu wote tunajua kichwa cha kuku hakiwezi kuvishwa kilemba eenhe.

Sifa moja ya Idukki gold ambayo inalimwa huko Kerala ni kwamba hii bwana ni miongoni mwa zile ganja ambazo ukivuta tarajia njaa moja ya hatari sana.

Na kumbe washkaji zangu wale wa kina Rehman na Mohamed ambao nilikua navuta nao wenyewe wanalijua hilo hivyo kabla ya kuivuta hujiandaa kabisa au huandaa kabisa mazingira ya misosi.

Hivyo basi kabla sijaanza kulalamika kuhusu kuhitaji msosi jamaa walinichukua mpaka kwenye apartments ambazo walikua wakiishi wao na zilikua kwenye floor moja juu chini ya apartment ile ya fatemeh.

Kwenye floor ile jamaa walikua wakikaa rooms tofauti tofauti lakini wote watatu walionekana kuwa wanashare mambo mengi sana hususani upande wa misosi.

Niligundua hilo kwani wote watatu walikua wakitumia jiko moja, napo sema wote watatu usipagawe sana kwani mpaka sahivi nimemtaja Mohamed na Rehman pekee.

Tukumbuke hawa ndio madereva wanaokuwa wakipeana shift kumzungusha fatemeh kwenye mizunguko yake. Na sababu ya wao kuwa madereva ni kwamba walitaka wajue ratiba na kila sehemu anayokwenda fatemeh.

Basi kwa mantiki hiyo, ina maana fatemeh siku hiyo alitoka na mtu mwingine mbali na Rehman na Mohamed ambao ata mimi niliwahi kukutana nao hapo kabla ila sikujua kama ni sehemu ya walinzi wa fatemeh.
Aliyetoka na fatemeh siku hiyo kama dereva alikua ni jamaa mmoja kibonge sana niliwahi kukutana nae ile siku niliyokua namtafuta Mohamed kwenye basement.

Na huyo jamaa ndiye alinielekeza sehemu ambayo naweza kuonana na mohamed ambayo ilikua ni floor ya mwisho juu kabisa nilipokaa nao siku hiyo.

Je! Hili jengo linashughuli gani nyingine? Au ni makazi pekee ya watu hawa. Kwani toka nimefika hapo sijawahi kuonana na watu wengine mbali na hao wachache na kuna siku nyingine niliwahi kukutana kwenye lifti na mashekhe au watu waliovalia kanzu.

Sasa sijui kama watu hao ndio wale wale wakina Rehman ila tu nilishindwa kuwatambua sababu ya ugeni wa mazingira hayo.

Kwa mujibu wa bwana Mohamed ni kwamba sehemu kubwa ya jengo lile lilitumika kama makazi ya vijana wa MOIS wanaofanya kazi nje na Ndani ya nchi. Hivyo basi wengi miongoni mwa majasusi walio nje kwenye misheni mbalimbali wanaporudi nchini kwao hufikia kwenye jengo hilo.

Lakini pia mbali na hapo jengo hilo hilo pia kuna floors zipo zikitumika kwa ajili ya vikao na mikutano ya siri ya idara yao.

Apa alidai kuna vikao vinaendelea Ndani ya idara ambavyo kiuhalisia hata serikali yenyewe kuna mambo haipaswi kuyajua kuhusu idara hiyo.

Changamoto kubwa ya idara yao ni hofu ya uwepo wa mapandikizi ya Mossad aidha Ndani ya serikali au ndani ya idara, hivyo basi kwa kuhofia hilo kuna vikao na mipango hufanywa na watu wachache sana Ndani ya idara kwa kuhofia kuvuja kwa taarifa zao kwa upande wa pili.
Kitu kikubwa nilichokipenda kuhusu hawa jamaa ni kwamba kwao pesa sio issue kabisa kwenye maisha na operation zao.

Yaani ukiwa agent hususani wale walioitwa field agent kwako pesa inakua sio issue kabisa yaani kila sehemu umezungukwa na pesa. Lakini nilichogundua ni kwamba hawa jamaa licha ya kuzungukwa na pesa nyingi hawana muda wa matumizi kabisa.

Lakini pia niligundua sababu ya kuwafanya au kuwapa jamaa access ya mpunga mwingi kiasi kile ilikua ni kuwaweka kisaikolojia wa amini pesa kwao sio tatizo la kuwafanya mpaka wao kutoa taarifa za siri kwa adui.

Nadhani hii kitu ata bongo itakua inatumika tu, kwani ukiwa agent wa haya Mashirika ya kijasusi alafu kwenye maisha yako unaandamwa na madeni kuanzia bank, vicoba, madukani mpaka bar unafikiria ukipata upenyo wa kuiba au kuuza taarifa utashindwa kweli kufanya hivyo. Huwezi kushindwa kufanya hivyo ata kama utakua ni mzalendo wa viwango vya juu kiasi gani.

Na sababu kubwa ya kushindwa kufanya hivyo ni moja tu,

The highest goal of life is happiness,

hivyo basi watu wanaitafuta furaha kwa namna yoyote ile. Huwezi kukosa amani kwa madeni wakati unajua kuna kitu ninacho na kinaweza kunisaidia kulipa madeni hayo.

Kwa mantiki hiyo basi hawa ma agents hupewa kila kitu cha msingi anachokihitaji binadamu ili ajione yupo kwenye ulimwengu ule mkamilifu.

Yaan apa namaanisha agent ataishi sehemu nzuri, atakula anachotaka na usafiri wa kwenda popote bila kuhofia vitu vidogo vidogo kama wese na entry permit za maeneo sensitive.

Kiufupi jamaa wanatengenezewaga mazingira ya kuifurahia nchi yao ( enjoying the land to the fullest ) na hii huwapelekea kuwa wazalendo kiasi kwamba ile spirit ya kuilinda nchi na viongozi wake kuwa kubwa sana.

Na tukumbuke hawa jamaa kawaida wapo kwa ajili ya kulinda maslahi ya nchi, amani pamoja na mfumo ila sio maslahi ya mtu au kiongozi kama ilivyo kwa Baadhi ya mataifa ya Africa.

Kwa mataifa mengi ya kiafrika unakuta Rais anapewa title au anaitwa sponsor wa idara ya inteligensia ya nchi husika.

Kwa mujibu wa hawa jamaa hili ni kosa, Kwani kwa kufanya hivyo ni wazi kunauwezekano wa kutengeneza mianya ya idara hizo kuanza kupambania maslahi ya sponsor baada ya kusimama kwenye lengo kuu ambalo ni usalama na maslahi ya nchi.

Yote haya niliyapata nikiwa na Mohamed pamoja na Rehman wakati wa kuandaa msosi mezani, lakini pia niligundua hawa jamaa wa Asia wanatudharau sana waafrika kuliko ata wazungu.

Yaani jamaa kila nilichokua najaribu kukitetea kwamba sisi tumejitahidi jamaa walikua wananipinga.

Japo kuna muda jamaa walikua wananipinga kwa facts ila nilikua najaribu tu kubisha sikutaka kuendelea kukubali kila walichokua wananiambia.

Kwa jinsi nilivyo enjoy siku hiyo kwa kupiga stories lakini pia kwa kuvuta kitu cha Idukki ambacho laiti kama yule muheshimiwa aliyekisifia cha Arusha hivi juzijuzi angeonja hii kitu ya Idukki basi nadhani angetengua kauli.

Tunatakiwa kujua kuwa kuishi kwingi ni kuona mengi, lakini tuwaaminishe watu kuwa kutembea kwingi ni kujua na kuona mengi zaidi.

Apa namaanisha unaweza kuwa mzee wa miaka 90 au ata 100 lakini kama maisha yako yote umeyatumia au umezeekea kwenu huko mbekenyela.

Huwezi kujua mengi kujilinganisha na kijana wa miaka 30 aliyewahi kuishi au aliyetembea kwenye nchi kubwa zaidi ya 7 duniani.



Lakini pia kama nusu ya ujana wako uliutumia kwenye kilimo na mifugo, basi huwezi kujilinganisha na mtu ambaye nusu ya ujana wake aliutumia kwenye shughuli kama za usafirishaji, biashara na nyingine za kufanana na hizi.

Watu hawa mara nyingi wakaua wame interact na watu wengi na wanakua wanajua mengi zaidi kuliko mtu aliyekaa sehemu moja.

Hivyo naomba nisisitize tu tutembee sana angali tukiwa bado vijana na tuna nguvu, kwa kutembea tutajua mengi na tutajifunza mengi tukiwa bado kwenye umri mdogo.

Mtu anaetembea sana hana tofauti na risk taker na tukumbuke kuwa mara nyingi risk takers ndio wanatoboa japo wakiangukia pua wanafulia vibaya sana hahahaha hahahah.

Risking ni sawa na sacrifice, sasa basi unapo sacrifice kikubwa ni wazi utatarajia kikubwa na unapo sacrifice kidogo basi ni wazi utatarajia kidogo zaidi.

Sacrifice kubwa Duniani inaaminika kuwa ni damu lakini sio kweli tunasahau kuwa kuna kitu kinaitwa MUDA. Uki sacrifice muda kwenye maisha yako basi ume sacrifice kitu kikubwa zaidi na hili nitakuja kulielezea vizuri wakati ujao.

Sacrifice ya Damu inagusa physical world kwa uchache sana na spiritual world kwa uchache pia. lakini wakati huohuo muda unagusa kuanzia physical mpaka spiritual world kwa sehemu kubwa zaidi ( ulimwengu wa kiroho ).

Siri zote kuu za ulimwengu wa kiroho na kimwili pamoja na maisha kwa ujumla zipo ndani ya muda na ndio maana siku muda ukisimama basi kila kitu kitasimama.

Niliwahi kusema hapo nyuma kuwa kuna maeneo huko baharini na angani yana sifa za kutokufungamana sheria za ki fizikia.

Moja ya sifa hizo nilisema ni kusimama kwa muda Ndani ya eneo hilo, apa nilimaanisha kama umeingia hapo ukiwa miaka kumi (10) basi ata ikipita miaka elfu moja 1000, utaendelea kuwa na miaka kumi hiyohiyo.

Hahahahaha hahahaha apa kama hujashiba yaani una njaa au unatumia akili kwenye kuvukia barabara tu huwezi kunielewa ata kidogo.

Anyway! Point kubwa nilitaka kuelezea logic ya kusimama kwa muda na nini kitatokea endapo muda utasimama lakini pia kwanini sacrifice kubwa tunaamini ni muda kuliko damu.
Naona kabisa naelekea kutoka nje ya simulizi lakini mtanisamehe kuna muda kichwa kina vitu vingi ambavyo natamani nivitoe tu.

Turudi kwenye simulizi yetu sasa,

Mazingira yale ambayo walikua wanaishi wale jamaa lakini pia nikiangalia na mazingira yale aliyokua anaishi fatemeh ni wazi jamaa walikua wanakila kitu lakini pia pesa haikua tatizo kabisa.

Tulipiga misosi ya kutosha, tena tulikula kweli sio masiala ogopa sana msosi unaopikwa wakati wa njaa tena mbaya zaidi njaa iliyosababishwa na majani ya Kerala.

Msosi mzito uliwekwa mezani huku kila mtu akiuparamia kwa style yake, mimi nilianza kwa push-up mbili tatu japo walinicheka sana kwamba pushups zangu za kitoto simfikii fatemeh ata kidogo.
Rehman ye alivua nguo zote na kubakia na boxa tu ndipo akaja mezani, kiuhalisia kilichokua kina endelea pale sio chochote bali ilikua ni trick ya wale jamaa kunifanya niwe huru zaidi kua nao lakini pia kunifanya mshkaji wao.

Walikua wanaandaa mazingira ya mimi kuwaamini na kuwazoea zaidi lakini pia na kuwa huru zaidi ninapokua nao.

Kwakua nilitarajia kufuatana nao kuja nao bongo basi niliamini hiyo ilikua ni miongoni mwa mipango yao ili tu tunapofika huku wao wasiwe wageni kwangu na mimi nisiwe mgeni kwao.

Tukiwa tunaendelea na stories na msosi pia jamaa waliahidi kwamba kuna siku kabla ya kuondoka Tehran watanipeleka eneo moja hivi nikafurahie watoto wa Tehran.

Na walisema hayo Kwani waliamini mpaka muda huo sijagusa mbususu kwa miezi kadhaa,

kuna muda Rehman alisema yeye ndiye alikuja bongo mara ya mwisho baada ya kupewa taarifa zangu ambazo waliziomba kutoka kwa agent wao aliyepo East Africa.

Kwanini Rehman alisema hayo! Apa alidai kuwa kwa nchi ya Iran swala la wasichana kuuza miili yao halipo kabisa. Ila tu wapo wasichana wachache kutoka mataifa jilani ambao wanaingia huko kimagendo kwa ajili ya biashara hiyo.

Lakini alidai alishangaa sana alipofika Africa mashariki baada ya kukutana na wadada wanaojiuza kwa bei rahisi kiasi kile. Tena kwa maelezo ya Rehman Alidai nchi jirani ya Kenya ndio balaa kuna biashara hiyo kwenye sehemu nyingi huku Nairobi ikiwa ndio kidedea.
Nchi nyingi za Asia huku Dubai ikiwa ndio kinara, kuna wadada wengi wa ukanda huu wa Africa mashariki hususani kenya wanaenda huko kwa ajili ya kuuza miili.

Story zilikua nyingi lakini nilitoka pale na jambo moja tu kwamba nilihitaji wanitimizie ahadi yao ya kunipeleka kule walipodai tutaenda kabla ya kuanza safari ya kuelekea bongo.

Niliondoka na kuelekea kwenye apartment yetu mimi na fatemeh kwa ajili ya kuendelea na ratiba yangu ile ya kuangalia muvi.

Lakini haikua hivyo kwani nilipofika tu na kutulia kwenye sofa nilipitiwa na usingizi mzito na wa ajabu ambao bila shaka ulisababishwa na Idukki gold pamoja na ile shibe.


Nilikuja kuamshwa na shughuli za fatemeh ambazo alikua akizifanya, ulikua ni usiku umeshaingia na sikumbuki nilala saa ngapi ila nilishangaa kuona usiku tayari umeshaingia.

Fatemeh alichofanya ni kunipa pole ya usingizi mzito alionikuta nao pale, alidai toka amefika pale yalipita takribani masaa matano na hajui mimi nilianza kulala mda gani.

Ata hivyo mi mwenyewe sijawahi kulala usingizi wa namna hiyo toka kuzaliwa kwangu hivyo nilihisi inawezekana kuwa ni ile weed niliyopewa na Mohamed na mwenzie.

Na kama sio weed basi kuna kitu wamenifanyia kwa makusudi kabisa kama walikua na mpango wa kuingia ndani ya apartment yetu kwa ajili ya upekuzi.


Fatemeh alijua usingizi ule haukua wa kawaida hivyo basi baada tu ya kuamka na kuniona nimeanza kukaa vizuri swali la kwanza lilikua ni, nilienda wapi na nilikutana na nani na walinipa kitu gani kwani alidai usingizi huo haukuwa wa kawaida.

Sikumficha Chochote fatemeh, nilimwambia kilakitu kwamba alipotoka yeye tu haukupita mda mrefu Rehman na yeye alifika hapo na kutaka kuongea na mimi.

Lakini nilimueleza kuwa hatukuingia Ndani zaidi ya kwenda floor ya mwisho juu kabisa ambako uko tuliungana pia na Mohamed. Na nilimwambia pia kuwa Rehman na Mohamed wanaonekana kuwa ni watu wa moja.

Baada ya kumpa majibu hayo nilirudisha swali kwa fatemeh mwenyewe, nilimuuliza amefikia wapi kuhusu kile alichokua anakitafuta kwenye details au taarifa zilizomuhusu Rehman.
Majibu ya fatemeh yalikua kama yangu tu, alidai Rehman hakua gerezani kule fashafuyeh lakini ni kweli alikua askari wa kikosi cha wanamaji ambae baadae alihamishiwa kwenye idara hiyo.

Mbali na hapo alikiri pia kuwa uwepo wa watu hao ni sehemu ya ulinzi ambao ulipangwa na wakuu wao ambao waliamini kumuacha fatemeh huru kuna hatari kubwa ya kumpoteza.

Yaani bila ulinzi wa aina yeyote inaweza kuleta madhara na wakamkosa kama ilivyokuwa kwa baadhi ya wataalamu wao waliouawa hapo kabla.

Fatemeh aliongezea kusema yeye alikua akiamini hana maadui mpaka kufikia umri huo lakini sio kweli, ni kwamba ana maadui wa karibia aina tatu wanaomtafuta kwa namna yeyote ile ili wampate.


Adui wa kwanza ni haya Mashirika ya kijasusi ambayo yamekwisha tengeneza audui dhidi ya Iran. Bila shaka watakua ni Mossad na CIA ambao wanamtafuta fatemeh lakini sio kwamba wanamjua la hasha.

Mossad na CIA kwa mara kadhaa misheni zao zimekua zikifaulu kwa upande wa technology au TEHAMA dhidi ya Iran.

Lakini kuanzia mwaka 2012 kumekuwepo mtu ambae ameonekana bora zaidi kwenye kulinda mifumo ya kikompyuta na kinyuklia mpaka kuweza kugundua uwepo wa virus kwenye mifumo hiyo.

Mbali na hapo mtu huyo ameonekana kuboresha ulinzi zaidi kwenye mifumo yao na ni mifumo hiyo sasa imeonekana kuwa imara zaidi ya ilivyokua awali.

Sasa basi CIA na Mossad wanachopambana kujua ni nani huyo aliyeingia kwenye kitengo hicho na kuimarisha sekta hiyo.

Lakini sio tu kumjua pia ana ujuzi gani na aliutolea wapi mpaka kufikia hatua ya kuwaumiza kichwa watu ambao wanaamini wao ndio wana akili duniani.

Hivyo basi ili tu wasiweze kumpoteza fatemeh kama ilivyokua kwa maprofesa kadhaa wa hapo nyuma wamelazimika kumuwekea fatemeh ulinzi wa namna hiyo.

Lakini watu wengine ambao ni maadui wakubwa wanaomtafuta fatemeh ni wale wanaoaminika kuwa ndio ndugu wa mwanamama aliyejulikana kama zahra. Sasa ndugu wa zahra wanatafuta vitu vikubwa viwili, cha kwanza wanataka kujua kama fatemeh yupo hai au amekufa na kama amekufa basi ndicho wanachotaka ila kama yupo hai basi kwa gharama yeyote anatakiwa kufa.
 
TUNAENDELEA WAKUU.

Story na wale jamaa zilinifanya nizidi kuwa huru zaidi ya ilivyokua hapo kabla, na mpaka wakati huo nilijua kuwa Rehman ndio aliyeniwekea ile memo siku ile nikiwa msikitini.

Na wenyewe pia walikubali kuwa Tala ni fatemeh, na jina hilo alipewa wakati akiwa bado mdogo sana na mlezi wake wa hapo mwanzo ambaye aliitwa Zahra.

Kiukweli niliyajua mengi sana kwa siku hiyo na ni moja kati ya siku niliyowahi kuvuta sigara kubwa ambayo mpaka leo sijawahi kuipata tena.

Kwa mujibu wa mohamed ni kwamba ganja ile waliyokuwa wanatumia ilitokea au ilikua inazalishwa huko kaskazini mwa India. Na kwa jina maarufu iliitwa Idukki gold, ni moto wa kuotea mbali na kama una kichwa ya kuku hii kitu pita nayo mbali sana bwashee hahah hahaha.
Nimetumia neno hilo kichwa ya kuku kwasababu wote tunajua kichwa cha kuku hakiwezi kuvishwa kilemba eenhe.

Sifa moja ya Idukki gold ambayo inalimwa huko Kerala ni kwamba hii bwana ni miongoni mwa zile ganja ambazo ukivuta tarajia njaa moja ya hatari sana.

Na kumbe washkaji zangu wale wa kina Rehman na Mohamed ambao nilikua navuta nao wenyewe wanalijua hilo hivyo kabla ya kuivuta hujiandaa kabisa au huandaa kabisa mazingira ya misosi.

Hivyo basi kabla sijaanza kulalamika kuhusu kuhitaji msosi jamaa walinichukua mpaka kwenye apartments ambazo walikua wakiishi wao na zilikua kwenye floor moja juu chini ya apartment ile ya fatemeh.

Kwenye floor ile jamaa walikua wakikaa rooms tofauti tofauti lakini wote watatu walionekana kuwa wanashare mambo mengi sana hususani upande wa misosi.

Niligundua hilo kwani wote watatu walikua wakitumia jiko moja, napo sema wote watatu usipagawe sana kwani mpaka sahivi nimemtaja Mohamed na Rehman pekee.

Tukumbuke hawa ndio madereva wanaokuwa wakipeana shift kumzungusha fatemeh kwenye mizunguko yake. Na sababu ya wao kuwa madereva ni kwamba walitaka wajue ratiba na kila sehemu anayokwenda fatemeh.

Basi kwa mantiki hiyo, ina maana fatemeh siku hiyo alitoka na mtu mwingine mbali na Rehman na Mohamed ambao ata mimi niliwahi kukutana nao hapo kabla ila sikujua kama ni sehemu ya walinzi wa fatemeh.
Aliyetoka na fatemeh siku hiyo kama dereva alikua ni jamaa mmoja kibonge sana niliwahi kukutana nae ile siku niliyokua namtafuta Mohamed kwenye basement.

Na huyo jamaa ndiye alinielekeza sehemu ambayo naweza kuonana na mohamed ambayo ilikua ni floor ya mwisho juu kabisa nilipokaa nao siku hiyo.

Je! Hili jengo linashughuli gani nyingine? Au ni makazi pekee ya watu hawa. Kwani toka nimefika hapo sijawahi kuonana na watu wengine mbali na hao wachache na kuna siku nyingine niliwahi kukutana kwenye lifti na mashekhe au watu waliovalia kanzu.

Sasa sijui kama watu hao ndio wale wale wakina Rehman ila tu nilishindwa kuwatambua sababu ya ugeni wa mazingira hayo.

Kwa mujibu wa bwana Mohamed ni kwamba sehemu kubwa ya jengo lile lilitumika kama makazi ya vijana wa MOIS wanaofanya kazi nje na Ndani ya nchi. Hivyo basi wengi miongoni mwa majasusi walio nje kwenye misheni mbalimbali wanaporudi nchini kwao hufikia kwenye jengo hilo.

Lakini pia mbali na hapo jengo hilo hilo pia kuna floors zipo zikitumika kwa ajili ya vikao na mikutano ya siri ya idara yao.

Apa alidai kuna vikao vinaendelea Ndani ya idara ambavyo kiuhalisia hata serikali yenyewe kuna mambo haipaswi kuyajua kuhusu idara hiyo.

Changamoto kubwa ya idara yao ni hofu ya uwepo wa mapandikizi ya Mossad aidha Ndani ya serikali au ndani ya idara, hivyo basi kwa kuhofia hilo kuna vikao na mipango hufanywa na watu wachache sana Ndani ya idara kwa kuhofia kuvuja kwa taarifa zao kwa upande wa pili.
Kitu kikubwa nilichokipenda kuhusu hawa jamaa ni kwamba kwao pesa sio issue kabisa kwenye maisha na operation zao.

Yaani ukiwa agent hususani wale walioitwa field agent kwako pesa inakua sio issue kabisa yaani kila sehemu umezungukwa na pesa. Lakini nilichogundua ni kwamba hawa jamaa licha ya kuzungukwa na pesa nyingi hawana muda wa matumizi kabisa.

Lakini pia niligundua sababu ya kuwafanya au kuwapa jamaa access ya mpunga mwingi kiasi kile ilikua ni kuwaweka kisaikolojia wa amini pesa kwao sio tatizo la kuwafanya mpaka wao kutoa taarifa za siri kwa adui.

Nadhani hii kitu ata bongo itakua inatumika tu, kwani ukiwa agent wa haya Mashirika ya kijasusi alafu kwenye maisha yako unaandamwa na madeni kuanzia bank, vicoba, madukani mpaka bar unafikiria ukipata upenyo wa kuiba au kuuza taarifa utashindwa kweli kufanya hivyo. Huwezi kushindwa kufanya hivyo ata kama utakua ni mzalendo wa viwango vya juu kiasi gani.

Na sababu kubwa ya kushindwa kufanya hivyo ni moja tu,

The highest goal of life is happiness,

hivyo basi watu wanaitafuta furaha kwa namna yoyote ile. Huwezi kukosa amani kwa madeni wakati unajua kuna kitu ninacho na kinaweza kunisaidia kulipa madeni hayo.

Kwa mantiki hiyo basi hawa ma agents hupewa kila kitu cha msingi anachokihitaji binadamu ili ajione yupo kwenye ulimwengu ule mkamilifu.

Yaan apa namaanisha agent ataishi sehemu nzuri, atakula anachotaka na usafiri wa kwenda popote bila kuhofia vitu vidogo vidogo kama wese na entry permit za maeneo sensitive.

Kiufupi jamaa wanatengenezewaga mazingira ya kuifurahia nchi yao ( enjoying the land to the fullest ) na hii huwapelekea kuwa wazalendo kiasi kwamba ile spirit ya kuilinda nchi na viongozi wake kuwa kubwa sana.

Na tukumbuke hawa jamaa kawaida wapo kwa ajili ya kulinda maslahi ya nchi, amani pamoja na mfumo ila sio maslahi ya mtu au kiongozi kama ilivyo kwa Baadhi ya mataifa ya Africa.

Kwa mataifa mengi ya kiafrika unakuta Rais anapewa title au anaitwa sponsor wa idara ya inteligensia ya nchi husika.

Kwa mujibu wa hawa jamaa hili ni kosa, Kwani kwa kufanya hivyo ni wazi kunauwezekano wa kutengeneza mianya ya idara hizo kuanza kupambania maslahi ya sponsor baada ya kusimama kwenye lengo kuu ambalo ni usalama na maslahi ya nchi.

Yote haya niliyapata nikiwa na Mohamed pamoja na Rehman wakati wa kuandaa msosi mezani, lakini pia niligundua hawa jamaa wa Asia wanatudharau sana waafrika kuliko ata wazungu.

Yaani jamaa kila nilichokua najaribu kukitetea kwamba sisi tumejitahidi jamaa walikua wananipinga.

Japo kuna muda jamaa walikua wananipinga kwa facts ila nilikua najaribu tu kubisha sikutaka kuendelea kukubali kila walichokua wananiambia.

Kwa jinsi nilivyo enjoy siku hiyo kwa kupiga stories lakini pia kwa kuvuta kitu cha Idukki ambacho laiti kama yule muheshimiwa aliyekisifia cha Arusha hivi juzijuzi angeonja hii kitu ya Idukki basi nadhani angetengua kauli.

Tunatakiwa kujua kuwa kuishi kwingi ni kuona mengi, lakini tuwaaminishe watu kuwa kutembea kwingi ni kujua na kuona mengi zaidi.

Apa namaanisha unaweza kuwa mzee wa miaka 90 au ata 100 lakini kama maisha yako yote umeyatumia au umezeekea kwenu huko mbekenyela.

Huwezi kujua mengi kujilinganisha na kijana wa miaka 30 aliyewahi kuishi au aliyetembea kwenye nchi kubwa zaidi ya 7 duniani.



Lakini pia kama nusu ya ujana wako uliutumia kwenye kilimo na mifugo, basi huwezi kujilinganisha na mtu ambaye nusu ya ujana wake aliutumia kwenye shughuli kama za usafirishaji, biashara na nyingine za kufanana na hizi.

Watu hawa mara nyingi wakaua wame interact na watu wengi na wanakua wanajua mengi zaidi kuliko mtu aliyekaa sehemu moja.

Hivyo naomba nisisitize tu tutembee sana angali tukiwa bado vijana na tuna nguvu, kwa kutembea tutajua mengi na tutajifunza mengi tukiwa bado kwenye umri mdogo.

Mtu anaetembea sana hana tofauti na risk taker na tukumbuke kuwa mara nyingi risk takers ndio wanatoboa japo wakiangukia pua wanafulia vibaya sana hahahaha hahahah.

Risking ni sawa na sacrifice, sasa basi unapo sacrifice kikubwa ni wazi utatarajia kikubwa na unapo sacrifice kidogo basi ni wazi utatarajia kidogo zaidi.

Sacrifice kubwa Duniani inaaminika kuwa ni damu lakini sio kweli tunasahau kuwa kuna kitu kinaitwa MUDA. Uki sacrifice muda kwenye maisha yako basi ume sacrifice kitu kikubwa zaidi na hili nitakuja kulielezea vizuri wakati ujao.

Sacrifice ya Damu inagusa physical world kwa uchache sana na spiritual world kwa uchache pia. lakini wakati huohuo muda unagusa kuanzia physical mpaka spiritual world kwa sehemu kubwa zaidi ( ulimwengu wa kiroho ).

Siri zote kuu za ulimwengu wa kiroho na kimwili pamoja na maisha kwa ujumla zipo ndani ya muda na ndio maana siku muda ukisimama basi kila kitu kitasimama.

Niliwahi kusema hapo nyuma kuwa kuna maeneo huko baharini na angani yana sifa za kutokufungamana sheria za ki fizikia.

Moja ya sifa hizo nilisema ni kusimama kwa muda Ndani ya eneo hilo, apa nilimaanisha kama umeingia hapo ukiwa miaka kumi (10) basi ata ikipita miaka elfu moja 1000, utaendelea kuwa na miaka kumi hiyohiyo.

Hahahahaha hahahaha apa kama hujashiba yaani una njaa au unatumia akili kwenye kuvukia barabara tu huwezi kunielewa ata kidogo.

Anyway! Point kubwa nilitaka kuelezea logic ya kusimama kwa muda na nini kitatokea endapo muda utasimama lakini pia kwanini sacrifice kubwa tunaamini ni muda kuliko damu.
Naona kabisa naelekea kutoka nje ya simulizi lakini mtanisamehe kuna muda kichwa kina vitu vingi ambavyo natamani nivitoe tu.

Turudi kwenye simulizi yetu sasa,

Mazingira yale ambayo walikua wanaishi wale jamaa lakini pia nikiangalia na mazingira yale aliyokua anaishi fatemeh ni wazi jamaa walikua wanakila kitu lakini pia pesa haikua tatizo kabisa.

Tulipiga misosi ya kutosha, tena tulikula kweli sio masiala ogopa sana msosi unaopikwa wakati wa njaa tena mbaya zaidi njaa iliyosababishwa na majani ya Kerala.

Msosi mzito uliwekwa mezani huku kila mtu akiuparamia kwa style yake, mimi nilianza kwa push-up mbili tatu japo walinicheka sana kwamba pushups zangu za kitoto simfikii fatemeh ata kidogo.
Rehman ye alivua nguo zote na kubakia na boxa tu ndipo akaja mezani, kiuhalisia kilichokua kina endelea pale sio chochote bali ilikua ni trick ya wale jamaa kunifanya niwe huru zaidi kua nao lakini pia kunifanya mshkaji wao.

Walikua wanaandaa mazingira ya mimi kuwaamini na kuwazoea zaidi lakini pia na kuwa huru zaidi ninapokua nao.

Kwakua nilitarajia kufuatana nao kuja nao bongo basi niliamini hiyo ilikua ni miongoni mwa mipango yao ili tu tunapofika huku wao wasiwe wageni kwangu na mimi nisiwe mgeni kwao.

Tukiwa tunaendelea na stories na msosi pia jamaa waliahidi kwamba kuna siku kabla ya kuondoka Tehran watanipeleka eneo moja hivi nikafurahie watoto wa Tehran.

Na walisema hayo Kwani waliamini mpaka muda huo sijagusa mbususu kwa miezi kadhaa,

kuna muda Rehman alisema yeye ndiye alikuja bongo mara ya mwisho baada ya kupewa taarifa zangu ambazo waliziomba kutoka kwa agent wao aliyepo East Africa.

Kwanini Rehman alisema hayo! Apa alidai kuwa kwa nchi ya Iran swala la wasichana kuuza miili yao halipo kabisa. Ila tu wapo wasichana wachache kutoka mataifa jilani ambao wanaingia huko kimagendo kwa ajili ya biashara hiyo.

Lakini alidai alishangaa sana alipofika Africa mashariki baada ya kukutana na wadada wanaojiuza kwa bei rahisi kiasi kile. Tena kwa maelezo ya Rehman Alidai nchi jirani ya Kenya ndio balaa kuna biashara hiyo kwenye sehemu nyingi huku Nairobi ikiwa ndio kidedea.
Nchi nyingi za Asia huku Dubai ikiwa ndio kinara, kuna wadada wengi wa ukanda huu wa Africa mashariki hususani kenya wanaenda huko kwa ajili ya kuuza miili.

Story zilikua nyingi lakini nilitoka pale na jambo moja tu kwamba nilihitaji wanitimizie ahadi yao ya kunipeleka kule walipodai tutaenda kabla ya kuanza safari ya kuelekea bongo.

Niliondoka na kuelekea kwenye apartment yetu mimi na fatemeh kwa ajili ya kuendelea na ratiba yangu ile ya kuangalia muvi.

Lakini haikua hivyo kwani nilipofika tu na kutulia kwenye sofa nilipitiwa na usingizi mzito na wa ajabu ambao bila shaka ulisababishwa na Idukki gold pamoja na ile shibe.


Nilikuja kuamshwa na shughuli za fatemeh ambazo alikua akizifanya, ulikua ni usiku umeshaingia na sikumbuki nilala saa ngapi ila nilishangaa kuona usiku tayari umeshaingia.

Fatemeh alichofanya ni kunipa pole ya usingizi mzito alionikuta nao pale, alidai toka amefika pale yalipita takribani masaa matano na hajui mimi nilianza kulala mda gani.

Ata hivyo mi mwenyewe sijawahi kulala usingizi wa namna hiyo toka kuzaliwa kwangu hivyo nilihisi inawezekana kuwa ni ile weed niliyopewa na Mohamed na mwenzie.

Na kama sio weed basi kuna kitu wamenifanyia kwa makusudi kabisa kama walikua na mpango wa kuingia ndani ya apartment yetu kwa ajili ya upekuzi.


Fatemeh alijua usingizi ule haukua wa kawaida hivyo basi baada tu ya kuamka na kuniona nimeanza kukaa vizuri swali la kwanza lilikua ni, nilienda wapi na nilikutana na nani na walinipa kitu gani kwani alidai usingizi huo haukuwa wa kawaida.

Sikumficha Chochote fatemeh, nilimwambia kilakitu kwamba alipotoka yeye tu haukupita mda mrefu Rehman na yeye alifika hapo na kutaka kuongea na mimi.

Lakini nilimueleza kuwa hatukuingia Ndani zaidi ya kwenda floor ya mwisho juu kabisa ambako uko tuliungana pia na Mohamed. Na nilimwambia pia kuwa Rehman na Mohamed wanaonekana kuwa ni watu wa moja.

Baada ya kumpa majibu hayo nilirudisha swali kwa fatemeh mwenyewe, nilimuuliza amefikia wapi kuhusu kile alichokua anakitafuta kwenye details au taarifa zilizomuhusu Rehman.
Majibu ya fatemeh yalikua kama yangu tu, alidai Rehman hakua gerezani kule fashafuyeh lakini ni kweli alikua askari wa kikosi cha wanamaji ambae baadae alihamishiwa kwenye idara hiyo.

Mbali na hapo alikiri pia kuwa uwepo wa watu hao ni sehemu ya ulinzi ambao ulipangwa na wakuu wao ambao waliamini kumuacha fatemeh huru kuna hatari kubwa ya kumpoteza.

Yaani bila ulinzi wa aina yeyote inaweza kuleta madhara na wakamkosa kama ilivyokuwa kwa baadhi ya wataalamu wao waliouawa hapo kabla.

Fatemeh aliongezea kusema yeye alikua akiamini hana maadui mpaka kufikia umri huo lakini sio kweli, ni kwamba ana maadui wa karibia aina tatu wanaomtafuta kwa namna yeyote ile ili wampate.


Adui wa kwanza ni haya Mashirika ya kijasusi ambayo yamekwisha tengeneza audui dhidi ya Iran. Bila shaka watakua ni Mossad na CIA ambao wanamtafuta fatemeh lakini sio kwamba wanamjua la hasha.

Mossad na CIA kwa mara kadhaa misheni zao zimekua zikifaulu kwa upande wa technology au TEHAMA dhidi ya Iran.

Lakini kuanzia mwaka 2012 kumekuwepo mtu ambae ameonekana bora zaidi kwenye kulinda mifumo ya kikompyuta na kinyuklia mpaka kuweza kugundua uwepo wa virus kwenye mifumo hiyo.

Mbali na hapo mtu huyo ameonekana kuboresha ulinzi zaidi kwenye mifumo yao na ni mifumo hiyo sasa imeonekana kuwa imara zaidi ya ilivyokua awali.

Sasa basi CIA na Mossad wanachopambana kujua ni nani huyo aliyeingia kwenye kitengo hicho na kuimarisha sekta hiyo.

Lakini sio tu kumjua pia ana ujuzi gani na aliutolea wapi mpaka kufikia hatua ya kuwaumiza kichwa watu ambao wanaamini wao ndio wana akili duniani.

Hivyo basi ili tu wasiweze kumpoteza fatemeh kama ilivyokua kwa maprofesa kadhaa wa hapo nyuma wamelazimika kumuwekea fatemeh ulinzi wa namna hiyo.

Lakini watu wengine ambao ni maadui wakubwa wanaomtafuta fatemeh ni wale wanaoaminika kuwa ndio ndugu wa mwanamama aliyejulikana kama zahra. Sasa ndugu wa zahra wanatafuta vitu vikubwa viwili, cha kwanza wanataka kujua kama fatemeh yupo hai au amekufa na kama amekufa basi ndicho wanachotaka ila kama yupo hai basi kwa gharama yeyote anatakiwa kufa.
Kwa mujibu wa hawa jamaa hili ni kosa, Kwani kwa kufanya hivyo ni wazi kunauwezekano wa kutengeneza mianya ya idara hizo kuanza kupambania maslahi ya sponsor baada ya kusimama kwenye lengo kuu ambalo ni usalama na maslahi ya nchi... HILI KOSA LINAFANYIKA TANZANIA MPAKA SASA, MANA MKUU WAO ANACHAGULIWA NA AMIRI JESHI MKUU
 
Niliahidi mzigo utaisha, hivyo nikipata muda nitajitahidi kutupia vipande vingi zaidi.
Kwa wanaotaka kusoma chap na kumaliza nendeni Whatsapp 0623329512 kule mzigo umeisha.
Mkuu kabla mzigo haujaisha usiache kutuambia kule wanakotengeneza madawa Fatemeh alipokuwa anaonesha dalili za arosto alikuwa anakimbilia kwenye kibanda kujitibu vipi na arosto.
 
Back
Top Bottom