Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
zidisha juhudi katika kufanya kazi kwani mtaji ulio nao ni nguvu zako mwenyewe,Bidii gani?
Wizi wa mali za umma wewe unaita bidii?!
vinginevyo uoga na uvuvi wako ndio umaskini wako, acha tamaa na chuki dhidi ya mali za watu 🐒
watakuwa walikuwa wanawafuatilia na ndio maana wameibuka leo baada ya Ukwasi wao kukua haraka kuliko uhalisia wa mishahara yao
